Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

1. DALILI ZA KURUDI KWA YESU NA UNYAKUO WA KANISA | Mwl. Isaac Javan

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 июн 2023
  • Tunakaribia mwisho wa dunia hii, na YESU yupo karibu kuja kulichukua kanisa lake. Kama Mungu amekupa nafasi ya kuwa hai siku ya leo, fahamu ya kwamba unaishi kwenye kipindi muhimu sana kwenye historia ya maisha ya mwanadamu.
    Mambo tunayoyashuhudia leo, ni mambo ambayo manabii waliopita walitamani kuyaona lakini hawakuyaona. Mambo tunayosikia, ni mambo ambayo manabii walitamani kuyasikia, lakini hawakuyasikia. Sisi tumepewa kibali na neema ya kuishi na kushuhudia unabii ukitimia mbele ya macho yetu.
    Hili somo linakuja kwako ili kukuandaa kunyakuliwa, kwa sababu YESU yupo karibu sana kurudi. Hakikisha unasikiliza vizuri mafundisho haya, halafu uweke kwenye matendo kile utakachojifunza, ili parapanda ikilia, na wewe uwe mmoja wa tutakaomlaki YESU pale mawinguni.
    Nakuombea YESU akutie nguvu ya kusimama katika imani yako ndani ya KRISTO. Nakuombea utunze vazi lako la wokovu, ili shetani asije akaitwaa taji yako. Nakuombea tumaini lenye baraka la kumyakuliwa lisikupotee, lakini ukae tayari kwa sababu saa yaja, nayo sasa ipo. YESU anarudi.
    Mungu akubariki. Mshirikishe na ndugu, jamaa na marafiki zako juu ya ujumbe huu muhimu. Amani ya YESU iwe ndani yako. Amen
    Mwl. Isaac Javan

Комментарии • 138

  • @user-po7zh4zz2k
    @user-po7zh4zz2k 5 месяцев назад +6

    Roho Mtakatifu nisaidie, niwezeshe nakuomba unipe utayari wa kukesha. Nakupenda sana YESU nisaidie.

    • @angelitapaulo
      @angelitapaulo 5 месяцев назад +4

      Amen tunaomba kwa pamoja tumepita kwenye chanel hii MUNGU aziponye roho zetu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  5 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  5 месяцев назад +1

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote

  • @cesiliamasumu432
    @cesiliamasumu432 Год назад +7

    Mafundisho yako yananifanya nionekama natoka shimoni ambako kulikuwa nagiza nene sana Ni Mungupeke yake ndo anajua, Mungu akulinde na kukutunza wakati wote Kwa damu yake TAKATIFU UNATUFUNGUA KWA JINA LA YESU BARIKIWA

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +2

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Mungu azidi kukuonekania na kukushindia daima. Ubarikiwe sana

  • @johnjohnkipokola5077
    @johnjohnkipokola5077 6 месяцев назад +4

    Ninatamani mbingu ya Mungu. Ee Yesu nakusihi usiniache na unikumbuke kwenye ufalme wako.✝️Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад +1

      Amen Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m 15 дней назад

    Aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa aminaaaaa barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu ni kweli kabiza huu ni wakati wa mwinzo

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 2 месяца назад

    Amen Ameeeen nimebarikiwa mno na mafundisho yako mwl Isaac

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 Год назад +4

    Ameeeen Ameeen eeh Bwana wangu kristo naomba uniongoze katika hii dunia nishikamane nawe Baba yangu nipe moyo wakuyapuza ya dunia hii ili niishi kwa tumaini lako Yesu kristo ili ujapo Bwana niwe mmoja wa kukulaki mawingini 😢😢😢nisaidie Yesu tawala maisha yangu niwembali na dhambi mimi mtumwa wako nakusihi Bwana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      Amen Amen mwanangu, ubarikiwe sana na BWANA YESU. Tuzidi kujiweka tayari. Amen Amen

  • @nanapega3908
    @nanapega3908 6 месяцев назад +2

    Mungu atupe hofu ya Zambi na kuliweka neno lake moyoni

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад

      Amen Mungu akubariki sana kwa baraka za milele yote

  • @patrickndamiye3402
    @patrickndamiye3402 3 месяца назад

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @leonardkitta2143
    @leonardkitta2143 2 месяца назад

    Ubalikiwe sana mtumishi

  • @user-ip3oo1st7u
    @user-ip3oo1st7u 2 месяца назад

    Asante Nina mushukuru mungu kwa ajili ya neno ili la okovu nimefunguliwa

  • @mwarabu-u2r
    @mwarabu-u2r 3 месяца назад

    Nahitaji msaada wako mwalimu kwasababu nilikuwa mfuasi mzuri wa Mungu ghafla nimetoka kwenye uwepo wa Mungu na kuwa mtenda dhambi mkubwa dhambi chafu sana nafanya jitihada kurudi tena kwake lakini nahisi kabisa yuko mbali

  • @user-yi4pk2wc6m
    @user-yi4pk2wc6m 9 месяцев назад +2

    bwana yesu asifiwe mtumishi mungu akubariki sana maana kupitia wewe nimejifunza mambo mengi ambayo nilikuwa siyajui kabisa mungu akubariki sana mtumishi mimi naswali moja tu naomba unisaidie hapa unyakuo utatokea ni baada ujenzi wa hekaru la tatu au kabla ya ujenzi wa hekaru la tatu niilotu.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Mungu akubariki sana pia, na asante kwa kufuatilia mafundisho haya. Unyakuo utatokea "wakati wowote kuanzia sasa".

  • @GAlice-cn5zh
    @GAlice-cn5zh 8 месяцев назад +1

    Mambo ni mengi ambayo tumekuwa hatuyajua..God has choosen you for his purpose to his people.Na mwenye sikio ni asikie...Yanaongopesha..lakini tuliyenaye ni MKUU!! Be BLESSED!!

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Amen Amen uzidi kubarikiwa na kutunzwa na BWANA YESU milele yote

  • @lembalai
    @lembalai Год назад +2

    Hakika Yesu yu karibu kurudi. Baba ubarikiwe sana kwa ufunuo huu mkubwa. Utunzwe na damu ya Yesu!

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen mtumishi Mungu akubariki sana kwa baraka za milele yote, na damu ya YESU inene mema kwa ajili yako.

    • @annastaziaemmanuel8664
      @annastaziaemmanuel8664 Год назад

      Bwana Yesu akutunze Mwl, maana kupitia wewe Mungu amenipa Kile Huwa napenda,mm napenda kufundishwa kwanza afu ndo niombe,Mungu wa mbinguni azidi kukupa mafunuo zaidi na zaidi.
      Na pia nawezaje pata mfululizo wa Somo la Vita ya ndoa,maana ninaona vl 40 tuu.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      @@annastaziaemmanuel8664 Amen Mungu akubariki sana, na asante kwa kupenda kujifunza. Roho Mtakatifu azidi kukufundisha zaidi kupitia neno la Mungu. Ubarikiwe sana.
      Hilo somo linaitwa MAOMBI YA KUPONYA HISTORIA YA MAISHA. Vita ya ndoa ilikuwa ni kipengele kimojawapo cha somo. Vipengele vinavyotangulia havihusiani na ndoa lakini vitakusaidia kwenye maeneo mengine ya maisha.
      Ili kupata mfululizo wote, fungua link hii hapa chini, na Mungu akubariki sana. Amen!
      ruclips.net/p/PLP643MGs6uo1HZKI6Xpub1jCmQeBjo5Be

    • @annastaziaemmanuel8664
      @annastaziaemmanuel8664 Год назад

      @@IsaacJavan Amina Amina,Somo la Vita ya ndoa naweza lipataje lote Mwalimu,plz nalihitaji sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      @@annastaziaemmanuel8664 Mungu akubariki mwanangu, naomba uwasiliane nasi kwa WhatsApp kwa msaada zaidi.

  • @misnasma7875
    @misnasma7875 Год назад +2

    Asante Kwa kutuelimisha ... MUNGU akubariki mtumishi

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele yote

  • @sophiamsuliche9487
    @sophiamsuliche9487 Год назад +2

    Amen baba,kwakwel Mungu azidi kukubariki toka nianze kukufatilia humu RUclips nimepiga hatua kiroho,nimepona

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu zidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote

  • @ZuenaKararo
    @ZuenaKararo Год назад +2

    JESUS CHRIST is coming soon 🔜 let’s be Ready Children of God Amen Thank you Man Of God 🙏🏽

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      Amen He is coming soon indeed! Let's all be ready. God bless you with everlasting blessings

  • @elizabethsidi5574
    @elizabethsidi5574 5 месяцев назад

    Ooooh mwalimu hapo mwisho ni mimi nimefikisha mara ya nne sasa leo ikiwa ni sku ya nne nikiota yesu amerudi watu wamenyakuliwa mm nieachwa 😢😢 mwaka 2015 nilikua katika maombi nikaota hivo nilipoamka nililia saaana lakini hivi leo nimeota nimenyakuliwa halafu nikarudi 😢😢😢 ooooh Jesus have mercy on me lord.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  5 месяцев назад

      Amen, indeed may God have mercy and help us stay on the right path as we wait for his return. Mungu akubariki

    • @afredfodogo7857
      @afredfodogo7857 4 месяца назад

      Maneno haha ni ya kweli tupu na yamekuja kwa wakati wenyewe mwenye masikio ya Rohoni ataelewa na atayapenda sana ,

  • @ansilalulehana4715
    @ansilalulehana4715 3 месяца назад +1

    Mungu anisaide nisije nikawa wakukataliwa

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  3 месяца назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU

  • @rhodamwakatundu5226
    @rhodamwakatundu5226 7 месяцев назад +2

    Asante YESU kwa mafundisho haya

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Amen Amen hakika jina la BWANA YESU libarikiwe sana. Mungu akutunze na kukubariki kwa baraka za milele yote. Usisahau kuwashirikisha na wote unaowapenda ili twende nao mbinguni pamoja.

  • @annamushi7357
    @annamushi7357 Год назад +1

    Mungu aendelee kukupa na mwendelezo wa jambo hili la wakati na majira

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele. Nimeweka muendelezo wa tatu, karibu sana uendelee kubarikiwa.

  • @faithe4063
    @faithe4063 6 месяцев назад +1

    Ohh hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah yaani huu ufunuo ni ya ukweli kabisa, barikiwa kweli, ndio maana ufunuo 22 v 11 inasema na mwenye kudhulumu na azidi, kumbe hiyo wakati Roho wa Mungu itakua imeenda na waminio, Asante sana kwa huu ujumbe nzuri umenifunza kweli

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад

      Amen Amen Mungu azidi kukubariki na kukutunza

  • @magrethmkemwa9287
    @magrethmkemwa9287 8 месяцев назад +1

    Mungu akubariki, Kwa kuwa ninMtumishi mojawapo wa Mungu anayejitambua kuwa Yesu Anarudi,Shangaa wengine wanapotosha kanisa😭😭wanasema hata vita inayoendelea Israel ni ya kawaida

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Ni kweli, roho ya udanganyifu inatenda kazi kwa kiwango kikubwa sana kwenye siku hizi za mwisho. Mungu ni mwaminifu, YESU anarudi, na tuzidi kujiweka tayari. Ubarikiwe sana na BWANA YESU

  • @Thinker338
    @Thinker338 3 месяца назад

    😭😭Nisaidie Yesu

  • @user-rq1sc4pc7u
    @user-rq1sc4pc7u 7 месяцев назад +2

    Nimejifuza kuwa nisifuatishe ya dunia hii.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote

  • @eveandrew7096
    @eveandrew7096 Год назад +1

    Amen baba. Kristo atusaidie tuisikie sauti yake tusibaki nyuma..

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mama ubarikiwe sana na BWANA YESU, tuzidi kujiweka tayari. Ubarikiwe sana

  • @pearlgellix8485
    @pearlgellix8485 Год назад +3

    Very important message to all! Be blessed Teacher!

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      Important message indeed! God bless you very much and please help me share this message to your loved ones. Tomorrow we shall continue with part two. You are blessed!

    • @pearlgellix8485
      @pearlgellix8485 Год назад

      Amen

  • @wivinendege
    @wivinendege Год назад +3

    Ooh Lord Thank you for connecting me with Your servant Isaac Javan , I have learned a lot and I have been opened to passages that have bound me hallelujah Thank You Jesus my Sevior Amen Amen 🙏 ♥️♥️♥️🤝🤝🤝

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      Amen my daughter, God bless you very much. Please help me share this message to your friends and family. Tomorrow we shall continue with part two. You are blessed!

    • @wivinendege
      @wivinendege Год назад

      Amen I do it My Dad . God bless your Servant Isaac Javan Forever 🎉hallelujah amen 🙏

  • @annamushi7357
    @annamushi7357 Год назад +1

    Mwalimu Mungu akubariki na kukuongeza zaidi.
    Namshukuru Mungu kwa ajili yako

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +1

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na YESU akutunze

  • @creativepublishers7746
    @creativepublishers7746 Год назад +1

    Ubarikiwe sana baba nami nimejifunza kitu na Mungu atusaidie sana kwa kweli

  • @esthermalisa9516
    @esthermalisa9516 Год назад +1

    Ubarikiwe sana Kwa mafundisho haya Kwa kuzidi kutukumbusha..Mungu azidi kukuinua ktk huduma hii.,namshukuru Mungu kupitia huduma yako imefanyika kua msaada mkubwa sana ktk maisha yangu.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu, zidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote. Amen Amen

    • @esthermalisa9516
      @esthermalisa9516 Год назад

      Amen

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb 2 месяца назад

    MIKONONI MWAKO YESU NAIWEKA ROHO YANGU..

  • @DEUSLONGO-fd8qb
    @DEUSLONGO-fd8qb Год назад +1

    Amen baba Mungu akubariki kwa kutupa neno nzuri LA kutafakari kila siku

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu uzidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote

  • @helansakeyan5307
    @helansakeyan5307 Год назад +1

    AMEN AMEN NINAMSHUKURU MUNGU KUNIWEKA HAPA

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele

  • @PaskalinaNesphory
    @PaskalinaNesphory Год назад +1

    Ee yesu kweli mwisho wa dunia umekaribia maana maasi yamezidi sana ninazidi kukusihi niwe mmoja wa watu wako utakao wanyakua nishike mkona kama yule akida uliye ingia ktk ufalme wa mbinguni

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU

  • @petermollel1471
    @petermollel1471 6 месяцев назад +2

    Powerful Powerful teachings

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад

      Amen God bless you with everlasting blessings

  • @JumaKimanga
    @JumaKimanga 5 месяцев назад

    Amina nabalikiwa sana na mahubili yako all the way from Boston Massachusetts BWANA YESU ASIFIWE

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  5 месяцев назад

      Amen Mungu azidi kukubariki kwa baraka za milele

  • @frankmwagike
    @frankmwagike 4 месяца назад +1

    Mungu akubariki

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  4 месяца назад +1

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @user-je2cr9su8q
    @user-je2cr9su8q 5 месяцев назад +2

    Amen glory to GOD

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  4 месяца назад

      Amen to God be the glory indeed! Be blessed with everlasting blessings

  • @cynthiatesy4998
    @cynthiatesy4998 6 месяцев назад

    Habari, Asante kwa dadili nzuli sana. Na mimi napata ndoto mara kwa mara bus ikiniacha , as all seating space have been taken. Naomba unifufunurie.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад

      Hapana, hiyo ndoto ina maana nyingine tofauti na unyakuo.

  • @marybukuku1494
    @marybukuku1494 Год назад +1

    Ameen Amen ahsante kwa neno la uzima 🙏🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Mama ubarikiwe sana na BWANA YESU milele yote

  • @beatricemwashiti7763
    @beatricemwashiti7763 8 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sanamutumishi

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Amen Amen ubarikiwe nawe sana pia kwa baraka za milele yote

  • @amaryanmnango
    @amaryanmnango Год назад

    ubarikiwe sana Baba mungu wa mbinguni akutunze mafundisho yako yananibariki sana🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu uzidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote

  • @user-jc5uc6ds6n
    @user-jc5uc6ds6n 11 месяцев назад +1

    Amina barikiwa

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  11 месяцев назад

      Amen ubarikiwe sana na BWANA YESU milele

  • @serinaserina9639
    @serinaserina9639 Год назад

    Ameen Ameen baba asanteee sana kwa somo neema ya Mungu itusaidie kuyashika haya nakuwakarbu na Mungu 🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu, uzidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote

  • @jerryjuma1339
    @jerryjuma1339 8 месяцев назад +1

    Ubarikiwe sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Amen ubarikiwe nawe sana pia kwa baraka za milele yote

  • @RehemaKimaro-dw3pg
    @RehemaKimaro-dw3pg 3 месяца назад

    🙏🙏🙏🙏

  • @silasnatir7915
    @silasnatir7915 Год назад

    Amen mwalimu umepotea sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Mungu akubariki sana. Ni kabisa, nimerejea kwa neema ya YESU. Mungu akubariki sana kwa baraka za milele yote

  • @pendoshaban1010
    @pendoshaban1010 Год назад +1

    Mbarikiwe

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU

  • @pilishabani6928
    @pilishabani6928 Год назад

    Ameeen 🙏 ubarikiwe sanaa Mtumishi wa mungu 🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu uzidi kubarikiwa na BWANA YESU milele yote

  • @akhalakwalubisia1738
    @akhalakwalubisia1738 Год назад +1

    Amen glory to God ❤

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen God bless you with everlasting blessings

  • @beatricechepkurui9161
    @beatricechepkurui9161 Год назад

    Amen 🙏 nothing but the blood of Jesus Christ the Lord is my shepherd amen 🙏 please pray for me thanks

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen, and we shall overcome the devil by the blood of JESUS. You are blessed!

  • @maglindaanyango
    @maglindaanyango Год назад

    Oooooo😢😢😮😮😮 barikiwa sana amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele

  • @kidadimgaya7479
    @kidadimgaya7479 Год назад +1

    Amen baba. Mungu atupe kusimama imara mpaka siku ya unyakuo.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu Mungu akubariki sana kwa baraka za milele yote

  • @fatumaadam7970
    @fatumaadam7970 6 месяцев назад +1

    ✝️😭lord have mercy on us

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад

      Amen God bless you

  • @josephfortunatuskuzenza1378
    @josephfortunatuskuzenza1378 6 месяцев назад +1

    Amina

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад

      Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele

  • @rachelc2633
    @rachelc2633 Год назад +1

    Amen 🙏

  • @bwilamwakajumba1498
    @bwilamwakajumba1498 4 месяца назад +1

    Nimebarkiwa sana n it's so scary..naomba niilize swali kuhusu hii theory ya kuona meli ikiwa baharini inaonekana kwa mbali ilkianzi kwenye top then badae unaiona?!

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  4 месяца назад

      Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele. Kuhusu swali lako la meli ikiwa baharini, hiyo ni "law of perspective"

  • @dinairenge
    @dinairenge 6 месяцев назад

    Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU

  • @Famiya949
    @Famiya949 6 месяцев назад

    Amen 🙏🙏🙌🙌👏👏😭😭

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  5 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU

  • @fatumaminyeko1875
    @fatumaminyeko1875 6 месяцев назад +1

    Eeee MUNGU usiniashe ukirudi unitakase na damu yako

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад

      Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele

  • @lilyiminza79
    @lilyiminza79 Год назад

    Emen 🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @elishangoma8235
    @elishangoma8235 4 месяца назад

    hapo kwenye unyakuo ndio pameniogopesha kuanzia leo nimeamua kuokoka sitaki kuachwa na YESU

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  4 месяца назад

      Amen ubarikiwe sana na hongera kwa kufanya maamuzi mazuri. Ubarikiwe sana

  • @sirpleasureb
    @sirpleasureb 20 дней назад

    ULIENDA WAPI NA MBONA HU POST MAHUBIRI?.

  • @giffttymlemwa4523
    @giffttymlemwa4523 2 месяца назад

    Naomba namba za huyu mchungaji

  • @sophiaesmarcharo9775
    @sophiaesmarcharo9775 Год назад

    💓🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  11 месяцев назад

      Ubarikiwe sana na BWANA YESU

  • @alfayosauli-ls8uv
    @alfayosauli-ls8uv 6 месяцев назад +1

    Amina

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU