FAIDA YA KUMSHUKURU MUNGU KATIKA MAOMBI YAKO - MWL. ISAAC JAVAN - KKKT KISASA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024
  • Kuna siri kubwa sana katika kumshukuru Mungu. Ndiyo maana ukisoma kitabu cha (1Wathesalonike 5:18), maandiko yanasema "Shukuruni kwa kila jambo, maana hayo ni mapenzi ya Mungu".
    Katika somo hili, utajifunza umuhimu, faida, na nguvu ya kumshukuru Mungu katika maombi yako. Watu wengi ni waaminifu kuomba. Lakini ni watu wachache sana wanamshukuru Mungu.
    Mungu amependa nikushirikishe somo hili, ili kukusaidia upate kutembea katika ushindi ndani ya KRISTO YESU, kupitia maombi yanayoambatana na Shukrani kwa Mungu wetu.
    Karibu ujifunze mafundisho haya. Roho Mtakatifu akufungulie akili yako upate kuelewa na maandiko. Mungu akubariki na kukupa kitu cha kukusaidia kupitia mafundisho haya. Mshirikishe na mtu mwingine, ambaye anaweza kunufaika na mafundisho haya.
    Isaac Javan.

Комментарии • 35

  • @halmashekalage2318
    @halmashekalage2318 Год назад +2

    Mungu akubariki baba nimeanza kufuatilia link zako mwaka huu 2023 Nauona mkono wa Mungu katika maisha yangu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen jina la BWANA YESU litukuzwe sana. Nashukuru Mungu kwa yote anayoendelea kukutendea. Damu ya YESU ikulinde na kukushindia katika yote

  • @cesiliamasumu432
    @cesiliamasumu432 Год назад +1

    Mungu Akubariki baba Unatusaidia kutukumbusha baba TUMEJISAHAU 🙏🙏🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu, ubarikiwe sana na BWANA YESU

  • @hyasintandunguru-gx6sz
    @hyasintandunguru-gx6sz Год назад +1

    Asante kwa mafundisho mazuri kweli yanatuzidishia Imani Amina🙏🙏🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Imani yako izidi kukua na YESU azidi kukuonekania daima. Ubarikiwe sana

  • @floraan4388
    @floraan4388 Год назад +1

    Ooh hallelujah asante yesu wa mate ndola y

  • @tabithajeremiah2657
    @tabithajeremiah2657 2 года назад +1

    Asante mtumishi wa Mungu kwa somo zuri

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU

  • @jescamongi3583
    @jescamongi3583 2 года назад +1

    Amen, Mungu wetu awatunze mnatusaidia mno kumtafuta uyu Mungu ambae ni Alpha and Omega aliyepo na atakayekuwepo milele yote. Asanten sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU. Mungu azidi kukutana na mahitaji yako kwa utukufu wa jina lake

  • @purryselestineraggty3171
    @purryselestineraggty3171 Год назад +1

    😢Unapatikana... Wap... Baba.. Mchungaji... Maombi.. Yako... Yananituma... Nije... Kanisani... 😢Kwako... Umenisaidia.. Sana... Mungu... Haendelee.. Kukupa.. Afya.. Njema.... 🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      BWANA YESU asifiwe mwanangu. Hatuna kanisa, huduma hii ni kwa njia ya mtandao wa RUclips pekee. Ubarikiwe sana na BWANA YESU milele

    • @purryselestineraggty3171
      @purryselestineraggty3171 Год назад +1

      Mungu.. Mwema.. Mwakan... Tutapata... Kanisa... Uduma.. Yako.. Ni.. Nzur... Sana... 🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      @@purryselestineraggty3171 Ubarikiwe mwanangu

    • @rhodahsavayi5146
      @rhodahsavayi5146 Год назад

      Mchungaji Bwana Yesu asifiwe na barikiwa Sana na Mao.mbi yako Mungu akulinde ila mahali nimeolewa Kuna vifungo vingi Sana nimeviona na kuvijua kupitia maombi yenye unawachilia hapa uwe unaikumbuka hio Familia yangu naamini Mungu ataifungua kwa wakati wake Amen
      Rhodah kenya

  • @deodatasndunguru989
    @deodatasndunguru989 Год назад +1

    Mungu akutunze baba

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU kwa baraka za milele yote

  • @jackympangile-nt3js
    @jackympangile-nt3js Год назад +1

    Amen,,barikiwa BABA

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele

  • @nuruduma4954
    @nuruduma4954 2 года назад +1

    Amina Mtumishi.,,🙏🏿

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @elizabethjackson3865
    @elizabethjackson3865 2 года назад +1

    Amen 🙏🏼 baba barikiwa sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU

  • @fgggvh6090
    @fgggvh6090 2 года назад +1

    Ameeen Nazidi kubarikiwa Mwalimu GOD BLESS U 🙏🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Amen mwanangu, zidi kubarikiwa zaidi na BWANA YESU

  • @azizapilipili8950
    @azizapilipili8950 Год назад +1

    Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele

  • @euniceenike2240
    @euniceenike2240 2 года назад +1

    It's so powerful man of God

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад

      Yes my daughter, God bless you forever

  • @dainesgebu7944
    @dainesgebu7944 2 года назад +1

    Nimependa maombi yako ♥️ naomba namba ya sadaka nikiwa napata natuma sadaka yangu moyo wangu unanituma sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 года назад +1

      Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU. +255 745 76 45 72

    • @dainesgebu7944
      @dainesgebu7944 2 года назад

      @@IsaacJavan amen