FAIDA YA KUMSHUKURU MUNGU KATIKA MAOMBI YAKO - MWL. ISAAC JAVAN - KKKT KISASA
HTML-код
- Опубликовано: 25 окт 2024
- Kuna siri kubwa sana katika kumshukuru Mungu. Ndiyo maana ukisoma kitabu cha (1Wathesalonike 5:18), maandiko yanasema "Shukuruni kwa kila jambo, maana hayo ni mapenzi ya Mungu".
Katika somo hili, utajifunza umuhimu, faida, na nguvu ya kumshukuru Mungu katika maombi yako. Watu wengi ni waaminifu kuomba. Lakini ni watu wachache sana wanamshukuru Mungu.
Mungu amependa nikushirikishe somo hili, ili kukusaidia upate kutembea katika ushindi ndani ya KRISTO YESU, kupitia maombi yanayoambatana na Shukrani kwa Mungu wetu.
Karibu ujifunze mafundisho haya. Roho Mtakatifu akufungulie akili yako upate kuelewa na maandiko. Mungu akubariki na kukupa kitu cha kukusaidia kupitia mafundisho haya. Mshirikishe na mtu mwingine, ambaye anaweza kunufaika na mafundisho haya.
Isaac Javan.
Mungu akubariki baba nimeanza kufuatilia link zako mwaka huu 2023 Nauona mkono wa Mungu katika maisha yangu
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe sana. Nashukuru Mungu kwa yote anayoendelea kukutendea. Damu ya YESU ikulinde na kukushindia katika yote
Mungu Akubariki baba Unatusaidia kutukumbusha baba TUMEJISAHAU 🙏🙏🙏🙏
Amen mwanangu, ubarikiwe sana na BWANA YESU
Asante kwa mafundisho mazuri kweli yanatuzidishia Imani Amina🙏🙏🙏🙏
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Imani yako izidi kukua na YESU azidi kukuonekania daima. Ubarikiwe sana
Ooh hallelujah asante yesu wa mate ndola y
Mungu akubariki mwanangu
Asante mtumishi wa Mungu kwa somo zuri
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Amen, Mungu wetu awatunze mnatusaidia mno kumtafuta uyu Mungu ambae ni Alpha and Omega aliyepo na atakayekuwepo milele yote. Asanten sana
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU. Mungu azidi kukutana na mahitaji yako kwa utukufu wa jina lake
😢Unapatikana... Wap... Baba.. Mchungaji... Maombi.. Yako... Yananituma... Nije... Kanisani... 😢Kwako... Umenisaidia.. Sana... Mungu... Haendelee.. Kukupa.. Afya.. Njema.... 🙏
BWANA YESU asifiwe mwanangu. Hatuna kanisa, huduma hii ni kwa njia ya mtandao wa RUclips pekee. Ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Mungu.. Mwema.. Mwakan... Tutapata... Kanisa... Uduma.. Yako.. Ni.. Nzur... Sana... 🙏
@@purryselestineraggty3171 Ubarikiwe mwanangu
Mchungaji Bwana Yesu asifiwe na barikiwa Sana na Mao.mbi yako Mungu akulinde ila mahali nimeolewa Kuna vifungo vingi Sana nimeviona na kuvijua kupitia maombi yenye unawachilia hapa uwe unaikumbuka hio Familia yangu naamini Mungu ataifungua kwa wakati wake Amen
Rhodah kenya
Mungu akutunze baba
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU kwa baraka za milele yote
Amen,,barikiwa BABA
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Amina Mtumishi.,,🙏🏿
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen 🙏🏼 baba barikiwa sana
Amen mwanangu, ubarikiwe na BWANA YESU
Ameeen Nazidi kubarikiwa Mwalimu GOD BLESS U 🙏🙏🙏
Amen mwanangu, zidi kubarikiwa zaidi na BWANA YESU
Amen
Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele
It's so powerful man of God
Yes my daughter, God bless you forever
Nimependa maombi yako ♥️ naomba namba ya sadaka nikiwa napata natuma sadaka yangu moyo wangu unanituma sana
Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU. +255 745 76 45 72
@@IsaacJavan amen