Mtumishi wa Mungu, Mwl. Javan! Hakika Mungu wa mbinguni akubariki sana kwa mafunuo haya ya pekee! Mimi najifunza mengi sana kwako, hili somo limejaa mafunuo makubwa. Barikiwa Baba.
Ameeeen Ameeeen mtumshi wa Mungu akubariki sana na azidi kukufunulia ilikwamba utujuze mambo haya ya Muhimu eeh Mungu wangu nitie nguvu katika safari hii naomba eeh Bwana utengeneze nami mtumwa wako
Mtumishi mafundisho haya yanaumiza sana na yatawaumiza sana wale ambao Watashindwa kuyasikia na kuyaelewa maana muda ni mchache sana wa sisi Kuchukua MAAMUZI MAGUMU YA KUMFUATA YESU. NAKUACHA YA DUNIA,MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏🙏🙏🙏
Niseme tu Mungu amemuumba kila mtu kwa kusudi maalumu la utumishi wake juu ya wanadamu basi nawe eeh mtumishi mwema wa BWANA yesu kristo umeitwa kwa kusudi hili nikuombee Bwana akutie nguvu na aendelee kukutia nguvu sana mtumish
Very powerful revelation.... hakika hiki ni kipindi cha mwisho ...na Baba wa uongo anatuzubaisha kuona bado tupo sana ili aendelee kuvuna roho za kwenda nazo Motoni maana yeye amekwisha kuhukumiwa
Give us an ending better oh LORD than the beginning . I know you’re coming back soon Jesus Christ our Sevior don’t leave me and also my Family in the Name of Jesus will Be there on the Last Day Kumulaki Bwana YESU Mokozi Wetu 🎉 you’re a good Father ♥️♥️♥️
Ubarikiwe sana Kwa mafunuo haya Mtumishi wa Mungu,asante Kwa kutufikishia ujumbe huu ni jukumu letu Sasa kujiweka teari ..Mungu azidi kutumia ktk huduma hii
Amen Mungu akubariki na asante kwa kufuatilia mafundisho. Asante kwa kupenda kuchangia injili. Mungu akubariki na kukutunza. YESU akutane na haja za moyo wako. +255 745 76 45 72 Isaac Javan
Mungu akubariki sana. Nakushauri usichangie ujenzi wa hekalu la tatu. Kipindi cha kutumia hekalu kilishapita. Hata utaratibu wa sadaka za kuteketezwa hekaluni zilishapita. YESU alipokuja alifanyika sadaka kwa ajili yetu, na akafanyika yote katika yote. Lakini ili unabii wa siku za mwisho utimie, ni lazima hekalu lijengwe ili Mpinga Kristo alitumie. Kwa hiyo nakushauri usichangie ujenzi wa hekalu. Ubarikiwe sana na BWANA YESU
God bless you. Am sorry we cannot do that for now because we still have a lot more coming on the subject. But we encourage anyone who hears the message to share what they have learned to many others.
Si hivyo tu, kuna watu wanaenda kwa waganga na wanapata watoto. Hiyo haina maana kwamba jambo hilo ni sawa. Shetani anao uwezo wa kuwapa watu vitu wanavyotaka.
Ubarikiwe sana kwa kutupa neno zuri la kutuokoa katika dhambi tulio kuwa nayo sasa tunatoka huko tunaenda kuokoka mungu akubariki amen
Mtumishi wa Mungu, Mwl. Javan! Hakika Mungu wa mbinguni akubariki sana kwa mafunuo haya ya pekee! Mimi najifunza mengi sana kwako, hili somo limejaa mafunuo makubwa. Barikiwa Baba.
Amen mtumishi uzidi kubarikiwa na BWANA YESU milele, na YESU azidi kukujaza nguvu na mafuta. Ubarikiwe sana
Amina Asante
Ubarikiwe mtumishi unatufungua akili ili tupate kujuwa wakati tulio nao ,Bwana yesu akuongezee zaidi na zaidi
Amen
Amen ubarikiwe
Duhuuu!!!!! Kweli dunia imekwisha jamani tumrudiy Mungu
Mungu akubariki sana nimeelewa mambo mengi niliyokuwa nikijiukiza na sipati majibu barikiwa sana Mungu atupe mwisho mwema 🙏🙏
Asante kwa Neno na maombi
Naendelea kupona kwa Jina la YESU KRISTU ALIYEHAI 🙏
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI 🇺🇸
Amina 🙏🏼 🙏🏼 Asante MUNGU akubariki sana na atusaidie sana 🙏🏼
asante sana mtumishi wa Mungu by kevn😂😂😂😂
ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa kutufungua na kutukombos
Amen Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele yote
Amina sana mtumishi wa MUNGU MUNGU akubaliki Sana
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele
Ameni mtumishi Mungu akuongeze miaka na nguvu
Ee Bwana Yesu unirehem.
Mungu wa mbinguni akubariki sana baba🙏
Amen ,nimebarikiwa sana na mafundisho haya ,Mungu akubariki sana na neema yake iongezeke kwako, Amina
Amen Amen jina la BWANA YESU litukuzwe milele. Uzidi kubarikiwa pia kwa baraka za milele yote
Ameeen 🙏 ubarikiwe sanaa Mtumishi wa mungu kwa mafundisho haya nabarikiwa sana baba na nitazidi kuishi uweponi kwa bwana yesu kristo🙏🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏 i receive in Jesus name this message is very powerful service God is good all time
Amen God is good all the time. Be blessed with everlasting blessings
Amén amén mtumshi wa mungu akubarki
Ameeeen Ameeeen mtumshi wa Mungu akubariki sana na azidi kukufunulia ilikwamba utujuze mambo haya ya Muhimu eeh Mungu wangu nitie nguvu katika safari hii naomba eeh Bwana utengeneze nami mtumwa wako
Amen Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU
Mungu akubariki sana mtumishi wa Jehovah
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele
Amen and Amen yaani Mungu akubariki kweli unaniinuwa kiwango kingine.
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe sana. Mungu akubariki
Mtumishi mafundisho haya yanaumiza sana na yatawaumiza sana wale ambao
Watashindwa kuyasikia na kuyaelewa maana muda ni mchache sana wa sisi
Kuchukua MAAMUZI MAGUMU YA KUMFUATA YESU. NAKUACHA YA DUNIA,MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏🙏🙏🙏
Amen Mungu ni mwaminifu sana. Tuzidi kuomba na kujitakasa na YESU azidi kuonekana. Mungu akubariki mwanangu kwa baraka za milele yote
Ubalikiwe mtumishi munguazit kitufunuliwa
Asante sana mtumishi kwa kutufungua maskio na ufahamu
Amen Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele yote
Yesu akutunze mtumishi
Asante kwa ujumbe mzuri. Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.
Amen Mungu akubariki nawe pia kwa baraka za milele
Niseme tu Mungu amemuumba kila mtu kwa kusudi maalumu la utumishi wake juu ya wanadamu basi nawe eeh mtumishi mwema wa BWANA yesu kristo umeitwa kwa kusudi hili nikuombee Bwana akutie nguvu na aendelee kukutia nguvu sana mtumish
Very powerful revelation.... hakika hiki ni kipindi cha mwisho ...na Baba wa uongo anatuzubaisha kuona bado tupo sana ili aendelee kuvuna roho za kwenda nazo Motoni maana yeye amekwisha kuhukumiwa
Amen Amen ubarikiwe sana kwa baraka za milele yote
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele
Mtumishi ubarikiwe sana sana ! Jina la Bwana libarikiwe! Mungu tusaidie!
Amen Amen ubarikiwe nawe sana pia kwa baraka za milele yote
Barikiwa sana,nimejifuza kitu kikubwa Mungu nisaidie
Very deep Teaching ❤Ubarikiwe tena na milele my Dad . Amen 🙏🏽
Amen Amen my daughter, God bless you with everlasting blessings.
Ubarikiwe mtu was Mungu
Amen Mungu akubariki nawe pia, kwa baraka za milele yote
Uniongoze baba kwa huruma yako.
Mungu akubariki na kukutunza
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🎉 😢❤❤❤❤❤😂
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele
Ameeni
Amen ubarikiwe kwa baraka za milele
Mmoja Katika wattumishi ameelezea vizuri sana hata darasa la nne anaelewa ni huyu sasa
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe na kusifiwa sana. Ubarikiwe na YESU
Yesu nisaidie
Asante YESÚ KRISTO amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Ubarikiwe mpendwa kwa mafundisho hayo
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele yote
Ameen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Amen Mama ubarikiwe sana pia na BWANA YESU milele
Powerful 🎉🎉
Amen to JESUS be the glory
Hakika unabii unatimilika mungu atutangulie atuhrpushe atupe nguvu na ujasiri wakiroo wakuikataa dunia na mambo yake wala tusigeuke nyuma tena😓🙏
Ameeen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili Bwana atusaidie
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Give us an ending better oh LORD than the beginning . I know you’re coming back soon Jesus Christ our Sevior don’t leave me and also my Family in the Name of Jesus will Be there on the Last Day Kumulaki Bwana YESU Mokozi Wetu 🎉 you’re a good Father ♥️♥️♥️
Amen Amen my daughter, I have just released the continuation of the message. You will be blessed after you hear it.
Amen 🙏 god is in the away soon god have mercy for all
Amen God bless you forever
Ameen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Nimetetemeka niliposikia mafundisho haya
YESU akupe amani na akubariki kwa baraka za milele
Mafundisho yanayo jenga Imani yetu kuendelea.
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe sana
Amina sana
Amen jina la BWANA YESU litukuzwe
❤🎉
Ubarikiwe na BWANA YESU
Amina mtumish nimebalikiwa sana
Amen zidi kubarikiwa sana pia kwa baraka za milele yote
Amen amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Ubarikiwe Sana mwl kwa fundisho la kinabii
Amen Mungu akubariki nawe pia
Hakika unabii wako unatubariki sana
Amen jina la BWANA YESU libarikiwe
Ameni
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote
Ubarikiwe
Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele
Amen baba. Hiii ni kengele ya kutuamsha tuwe tayari.. Kristo utusaidie
Amen Amen mama, Mungu atusaidie tujiweke tayari nyakati zote. Ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Amen baba. Hakika Kristo awe nguvu yetu nyakati hizi
Waaaah,Mungu,wangu ufunuo mkubwa mno
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Ubarikiwe sana Kwa mafunuo haya Mtumishi wa Mungu,asante Kwa kutufikishia ujumbe huu ni jukumu letu Sasa kujiweka teari ..Mungu azidi kutumia ktk huduma hii
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele
Amen Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Damu ya YESU inene maneno mazuri kwa ajili yako. Usisahau kufuatilia muendelezo wa somo hili
Emungu nisaidie Niko hapa
Amen ubarikiwe kwa baraka za milele yote
Shalom, muendelezo wa somo naomba
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Muendelezo umeshatoka tayari. Karibu usikilize
Asante sana kwa somo hili
Mungu atujalie mwisho mwema.
Amen mwanangu uzidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote
Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU
Naomba kuuliza hivi unajuaje kama Israel ndio mtini?
Uturehemu ee bwana tumetenda dhambi😊
❤❤❤❤
Ndo Kwanza nimekuonà Leo jpil tar2/Desemba,Naomba NAmba yako ya simu,kuchangia injili hii muhimi
Amen Mungu akubariki na asante kwa kufuatilia mafundisho. Asante kwa kupenda kuchangia injili. Mungu akubariki na kukutunza. YESU akutane na haja za moyo wako. +255 745 76 45 72 Isaac Javan
Mtumishi unaweza kutuambia tunawezaje kuchangia ujenzi wa Hekalu tushiriki baraka hii kubwa
Mungu akubariki sana. Nakushauri usichangie ujenzi wa hekalu la tatu. Kipindi cha kutumia hekalu kilishapita. Hata utaratibu wa sadaka za kuteketezwa hekaluni zilishapita. YESU alipokuja alifanyika sadaka kwa ajili yetu, na akafanyika yote katika yote. Lakini ili unabii wa siku za mwisho utimie, ni lazima hekalu lijengwe ili Mpinga Kristo alitumie. Kwa hiyo nakushauri usichangie ujenzi wa hekalu. Ubarikiwe sana na BWANA YESU
Na pia utufunze jambo la kunena kwa lugha na unabii wa roho tatu za vyura
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Hi Isaac, how do we get these teachings in English language to spread the word here in UK? You’re truly the preacher of God 🙏
God bless you. Am sorry we cannot do that for now because we still have a lot more coming on the subject. But we encourage anyone who hears the message to share what they have learned to many others.
Hakika naamini hakuna jina lingine linipasalo kuokolewa kwalo ila YESU=664=EMMANUEL
Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele yote
Tunaomba no zako mtumishi tujue tunaenda kusali wapi ambako siyo san day
Mungu akubariki sana. Mahali pa kusali nakushauri umuombe Mungu akuongoze, naye atafanya hivyo. Zaburi 23:2
Sasa mtumishi mbona wifi yangua alisali rozali mwenzie mzima akapata mtoto baada ya kukaa mika kumi kwenye ndoa
Si hivyo tu, kuna watu wanaenda kwa waganga na wanapata watoto. Hiyo haina maana kwamba jambo hilo ni sawa. Shetani anao uwezo wa kuwapa watu vitu wanavyotaka.
Sasa watakatifu tukinyakuliwa Nani atajenga Hekalu?
Hekalu halijengwi na watakatifu. Hekalu la tatu litatumiwa na mpinga kristo.
Shalom mtumishi naweza kupata namba zako za sim kuna jambo napenda unisaidie naitwa Sunday Niko Marekani
Amen Sunday, unaweza kuwasiliana nasi kwa WhatsApp kupitia simu namba +255 745 76 45 72. Mungu akubariki
Sema unabii wa hekalu la tatu mtumishi bado sijaelewa sasa chukizo la uharibifu linasimamaje ili hali tayari watu wameshanyakuliwa?
Mungu akubariki. Chukizo la uharibifu ni mpinga kristo. Na mpinga kristo atalitumia hekalu baada ya kanisa kunyakuliwa (kipindi cha dhiki kuu).
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
AMEN
Amen
Amen
Amen Amen 🙏
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU
AMEN
Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele
Amen
Amen ubarikiwe na BWANA YESU