2. DALILI ZA KURUDI KWA YESU NA UNYAKUO WA KANISA | Mwl. Isaac Javan

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 152

  • @mumwisenjumile1411
    @mumwisenjumile1411 Месяц назад +2

    Ubarikiwe sana kwa kutupa neno zuri la kutuokoa katika dhambi tulio kuwa nayo sasa tunatoka huko tunaenda kuokoka mungu akubariki amen

  • @lembalai
    @lembalai Год назад +19

    Mtumishi wa Mungu, Mwl. Javan! Hakika Mungu wa mbinguni akubariki sana kwa mafunuo haya ya pekee! Mimi najifunza mengi sana kwako, hili somo limejaa mafunuo makubwa. Barikiwa Baba.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад +2

      Amen mtumishi uzidi kubarikiwa na BWANA YESU milele, na YESU azidi kukujaza nguvu na mafuta. Ubarikiwe sana

    • @benithafredrick2465
      @benithafredrick2465 7 месяцев назад

      Amina Asante

  • @etoabwe3451
    @etoabwe3451 Месяц назад +2

    Ubarikiwe mtumishi unatufungua akili ili tupate kujuwa wakati tulio nao ,Bwana yesu akuongezee zaidi na zaidi

  • @johnmurimi9831
    @johnmurimi9831 4 месяца назад +1

    Amen

  • @CelvineFloriani
    @CelvineFloriani 2 месяца назад +2

    Duhuuu!!!!! Kweli dunia imekwisha jamani tumrudiy Mungu

  • @Misswinnie-j8x
    @Misswinnie-j8x 23 дня назад +1

    Mungu akubariki sana nimeelewa mambo mengi niliyokuwa nikijiukiza na sipati majibu barikiwa sana Mungu atupe mwisho mwema 🙏🙏

  • @emmymatigula4870
    @emmymatigula4870 5 месяцев назад +2

    Asante kwa Neno na maombi
    Naendelea kupona kwa Jina la YESU KRISTU ALIYEHAI 🙏
    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI 🇺🇸

  • @ShukuruDaudi-ue6in
    @ShukuruDaudi-ue6in Месяц назад +1

    Amina 🙏🏼 🙏🏼 Asante MUNGU akubariki sana na atusaidie sana 🙏🏼

  • @CelvineFloriani
    @CelvineFloriani 2 месяца назад +2

    asante sana mtumishi wa Mungu by kevn😂😂😂😂

  • @rhodamwakatundu5226
    @rhodamwakatundu5226 9 месяцев назад +5

    ubarikiwe mtumishi wa Mungu kwa kutufungua na kutukombos

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele yote

  • @Rajabrajukarajab
    @Rajabrajukarajab 29 дней назад +1

    Amina sana mtumishi wa MUNGU MUNGU akubaliki Sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  27 дней назад

      Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele

  • @Jojiisraeli
    @Jojiisraeli 10 дней назад

    Ameni mtumishi Mungu akuongeze miaka na nguvu

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche1119 2 месяца назад +1

    Ee Bwana Yesu unirehem.

  • @bigtengwemela3153
    @bigtengwemela3153 Месяц назад +1

    Mungu wa mbinguni akubariki sana baba🙏

  • @FloridaSyombua
    @FloridaSyombua 9 месяцев назад +4

    Amen ,nimebarikiwa sana na mafundisho haya ,Mungu akubariki sana na neema yake iongezeke kwako, Amina

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад +1

      Amen Amen jina la BWANA YESU litukuzwe milele. Uzidi kubarikiwa pia kwa baraka za milele yote

  • @pilishabani6928
    @pilishabani6928 Год назад +2

    Ameeen 🙏 ubarikiwe sanaa Mtumishi wa mungu kwa mafundisho haya nabarikiwa sana baba na nitazidi kuishi uweponi kwa bwana yesu kristo🙏🙏🙏🙏🙏

  • @beatricechepkurui9161
    @beatricechepkurui9161 Год назад +5

    Amen 🙏 i receive in Jesus name this message is very powerful service God is good all time

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen God is good all the time. Be blessed with everlasting blessings

  • @JoshwahioBaba
    @JoshwahioBaba Месяц назад +1

    Amén amén mtumshi wa mungu akubarki

  • @rehemashariff3119
    @rehemashariff3119 Год назад +3

    Ameeeen Ameeeen mtumshi wa Mungu akubariki sana na azidi kukufunulia ilikwamba utujuze mambo haya ya Muhimu eeh Mungu wangu nitie nguvu katika safari hii naomba eeh Bwana utengeneze nami mtumwa wako

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen mwanangu ubarikiwe na BWANA YESU

  • @hellen9056
    @hellen9056 2 месяца назад +2

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Jehovah

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 месяца назад

      Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele

  • @faithe4063
    @faithe4063 9 месяцев назад +3

    Amen and Amen yaani Mungu akubariki kweli unaniinuwa kiwango kingine.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen jina la BWANA YESU litukuzwe sana. Mungu akubariki

  • @cesiliamasumu432
    @cesiliamasumu432 Год назад +3

    Mtumishi mafundisho haya yanaumiza sana na yatawaumiza sana wale ambao
    Watashindwa kuyasikia na kuyaelewa maana muda ni mchache sana wa sisi
    Kuchukua MAAMUZI MAGUMU YA KUMFUATA YESU. NAKUACHA YA DUNIA,MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏🙏🙏🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Mungu ni mwaminifu sana. Tuzidi kuomba na kujitakasa na YESU azidi kuonekana. Mungu akubariki mwanangu kwa baraka za milele yote

  • @MAIKOMODEST-gw3go
    @MAIKOMODEST-gw3go Месяц назад

    Ubalikiwe mtumishi munguazit kitufunuliwa

  • @siwaleshadrick41
    @siwaleshadrick41 5 дней назад

    Asante sana mtumishi kwa kutufungua maskio na ufahamu

  • @jacobkazungu7089
    @jacobkazungu7089 4 месяца назад +2

    Amen Amen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 месяца назад

      Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele yote

  • @rabiokama6910
    @rabiokama6910 5 месяцев назад +1

    Yesu akutunze mtumishi

  • @YusufKisingile-dv7ui
    @YusufKisingile-dv7ui 7 месяцев назад +3

    Asante kwa ujumbe mzuri. Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Amen Mungu akubariki nawe pia kwa baraka za milele

  • @Mbingutv508
    @Mbingutv508 15 дней назад

    Niseme tu Mungu amemuumba kila mtu kwa kusudi maalumu la utumishi wake juu ya wanadamu basi nawe eeh mtumishi mwema wa BWANA yesu kristo umeitwa kwa kusudi hili nikuombee Bwana akutie nguvu na aendelee kukutia nguvu sana mtumish

  • @eliasstephen5378
    @eliasstephen5378 9 месяцев назад +3

    Very powerful revelation.... hakika hiki ni kipindi cha mwisho ...na Baba wa uongo anatuzubaisha kuona bado tupo sana ili aendelee kuvuna roho za kwenda nazo Motoni maana yeye amekwisha kuhukumiwa

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen Amen ubarikiwe sana kwa baraka za milele yote

  • @johnjohnkipokola5077
    @johnjohnkipokola5077 9 месяцев назад +3

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele

  • @NanaMachela
    @NanaMachela 8 месяцев назад +3

    Mtumishi ubarikiwe sana sana ! Jina la Bwana libarikiwe! Mungu tusaidie!

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      Amen Amen ubarikiwe nawe sana pia kwa baraka za milele yote

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 19 дней назад

    Barikiwa sana,nimejifuza kitu kikubwa Mungu nisaidie

  • @ZuenaKararo
    @ZuenaKararo Год назад +3

    Very deep Teaching ❤Ubarikiwe tena na milele my Dad . Amen 🙏🏽

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen my daughter, God bless you with everlasting blessings.

  • @johnlisu7715
    @johnlisu7715 9 месяцев назад +3

    Ubarikiwe mtu was Mungu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen Mungu akubariki nawe pia, kwa baraka za milele yote

  • @NatashaCharles-gv3qb
    @NatashaCharles-gv3qb 2 месяца назад +2

    Uniongoze baba kwa huruma yako.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 месяца назад +1

      Mungu akubariki na kukutunza

  • @JoshuaKameta-jf2rb
    @JoshuaKameta-jf2rb 4 месяца назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🎉 😢❤❤❤❤❤😂

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 месяца назад

      Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele

  • @joanithagidion9796
    @joanithagidion9796 6 месяцев назад +2

    Ameeni

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад +1

      Amen ubarikiwe kwa baraka za milele

  • @overcomer-ud1it
    @overcomer-ud1it 7 месяцев назад +3

    Mmoja Katika wattumishi ameelezea vizuri sana hata darasa la nne anaelewa ni huyu sasa

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Amen jina la BWANA YESU litukuzwe na kusifiwa sana. Ubarikiwe na YESU

  • @MalikiaRecho
    @MalikiaRecho 19 дней назад

    Yesu nisaidie

  • @susanilunda
    @susanilunda 8 месяцев назад +3

    Asante YESÚ KRISTO amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote

  • @henryvictoirek
    @henryvictoirek 4 месяца назад +2

    Ubarikiwe mpendwa kwa mafundisho hayo

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  2 месяца назад

      Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele yote

  • @marybukuku1494
    @marybukuku1494 Год назад +3

    Ameen Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Mama ubarikiwe sana pia na BWANA YESU milele

  • @petermollel1471
    @petermollel1471 9 месяцев назад +4

    Powerful 🎉🎉

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen to JESUS be the glory

  • @AngelJeska-qz2jg
    @AngelJeska-qz2jg Месяц назад

    Hakika unabii unatimilika mungu atutangulie atuhrpushe atupe nguvu na ujasiri wakiroo wakuikataa dunia na mambo yake wala tusigeuke nyuma tena😓🙏

  • @gloriatoya72
    @gloriatoya72 Год назад +2

    Ameeen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili Bwana atusaidie

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele

  • @wivinendege
    @wivinendege Год назад +3

    Give us an ending better oh LORD than the beginning . I know you’re coming back soon Jesus Christ our Sevior don’t leave me and also my Family in the Name of Jesus will Be there on the Last Day Kumulaki Bwana YESU Mokozi Wetu 🎉 you’re a good Father ♥️♥️♥️

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen my daughter, I have just released the continuation of the message. You will be blessed after you hear it.

    • @DevotaSanga
      @DevotaSanga 10 месяцев назад

  • @beatricechepkurui9161
    @beatricechepkurui9161 Год назад +2

    Amen 🙏 god is in the away soon god have mercy for all

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 9 месяцев назад +2

    Ameen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад +1

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @oscarkalihamwe1621
    @oscarkalihamwe1621 8 месяцев назад +3

    Nimetetemeka niliposikia mafundisho haya

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      YESU akupe amani na akubariki kwa baraka za milele

  • @kitumainikubatu3182
    @kitumainikubatu3182 8 месяцев назад +1

    Mafundisho yanayo jenga Imani yetu kuendelea.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      Amen jina la BWANA YESU litukuzwe sana

  • @barryelisha6349
    @barryelisha6349 7 месяцев назад +2

    Amina sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Amen jina la BWANA YESU litukuzwe

  • @samsonmaroda6373
    @samsonmaroda6373 7 месяцев назад +2

    ❤🎉

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Ubarikiwe na BWANA YESU

  • @Bynecha-uc6xc
    @Bynecha-uc6xc 11 месяцев назад +2

    Amina mtumish nimebalikiwa sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen zidi kubarikiwa sana pia kwa baraka za milele yote

  • @KavungoSokoni
    @KavungoSokoni 9 месяцев назад +2

    Amen amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @apostlemwakyoma9042
    @apostlemwakyoma9042 8 месяцев назад +1

    Ubarikiwe Sana mwl kwa fundisho la kinabii

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      Amen Mungu akubariki nawe pia

  • @gracemambali3360
    @gracemambali3360 9 месяцев назад +2

    Hakika unabii wako unatubariki sana

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen jina la BWANA YESU libarikiwe

  • @KoomeNzima-lp4ql
    @KoomeNzima-lp4ql Год назад +2

    Ameni

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele yote

  • @overcomer-ud1it
    @overcomer-ud1it 7 месяцев назад +2

    Ubarikiwe

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  7 месяцев назад

      Amen ubarikiwe nawe pia kwa baraka za milele

  • @eveandrew7096
    @eveandrew7096 Год назад +3

    Amen baba. Hiii ni kengele ya kutuamsha tuwe tayari.. Kristo utusaidie

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen mama, Mungu atusaidie tujiweke tayari nyakati zote. Ubarikiwe sana na BWANA YESU milele

    • @eveandrew7096
      @eveandrew7096 Год назад

      Amen baba. Hakika Kristo awe nguvu yetu nyakati hizi

  • @norahabuyeka9617
    @norahabuyeka9617 Год назад +1

    Waaaah,Mungu,wangu ufunuo mkubwa mno

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele

  • @esthermalisa9516
    @esthermalisa9516 Год назад +1

    Ubarikiwe sana Kwa mafunuo haya Mtumishi wa Mungu,asante Kwa kutufikishia ujumbe huu ni jukumu letu Sasa kujiweka teari ..Mungu azidi kutumia ktk huduma hii

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU milele

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Damu ya YESU inene maneno mazuri kwa ajili yako. Usisahau kufuatilia muendelezo wa somo hili

  • @IreneMdemu-m9d
    @IreneMdemu-m9d 9 месяцев назад +2

    Emungu nisaidie Niko hapa

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen ubarikiwe kwa baraka za milele yote

  • @pearlgellix8485
    @pearlgellix8485 Год назад +1

    Shalom, muendelezo wa somo naomba

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU. Muendelezo umeshatoka tayari. Karibu usikilize

  • @pearlgellix8485
    @pearlgellix8485 Год назад +3

    Asante sana kwa somo hili

    • @nathalypontian2674
      @nathalypontian2674 Год назад +1

      Mungu atujalie mwisho mwema.

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu uzidi kubarikiwa sana na BWANA YESU milele yote

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  Год назад

      Amen mwanangu ubarikiwe sana na BWANA YESU

    • @pearlgellix8485
      @pearlgellix8485 Год назад

      Naomba kuuliza hivi unajuaje kama Israel ndio mtini?

  • @renathaburchard5554
    @renathaburchard5554 Месяц назад

    Uturehemu ee bwana tumetenda dhambi😊

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n Месяц назад

    ❤❤❤❤

  • @magrethmkemwa9287
    @magrethmkemwa9287 10 месяцев назад +2

    Ndo Kwanza nimekuonà Leo jpil tar2/Desemba,Naomba NAmba yako ya simu,kuchangia injili hii muhimi

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад +1

      Amen Mungu akubariki na asante kwa kufuatilia mafundisho. Asante kwa kupenda kuchangia injili. Mungu akubariki na kukutunza. YESU akutane na haja za moyo wako. +255 745 76 45 72 Isaac Javan

  • @MamaLio475
    @MamaLio475 9 месяцев назад +4

    Mtumishi unaweza kutuambia tunawezaje kuchangia ujenzi wa Hekalu tushiriki baraka hii kubwa

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад +2

      Mungu akubariki sana. Nakushauri usichangie ujenzi wa hekalu la tatu. Kipindi cha kutumia hekalu kilishapita. Hata utaratibu wa sadaka za kuteketezwa hekaluni zilishapita. YESU alipokuja alifanyika sadaka kwa ajili yetu, na akafanyika yote katika yote. Lakini ili unabii wa siku za mwisho utimie, ni lazima hekalu lijengwe ili Mpinga Kristo alitumie. Kwa hiyo nakushauri usichangie ujenzi wa hekalu. Ubarikiwe sana na BWANA YESU

  • @adv.benedictpius
    @adv.benedictpius 8 месяцев назад +1

    Na pia utufunze jambo la kunena kwa lugha na unabii wa roho tatu za vyura

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU

  • @herintimizi5154
    @herintimizi5154 8 месяцев назад +1

    Hi Isaac, how do we get these teachings in English language to spread the word here in UK? You’re truly the preacher of God 🙏

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      God bless you. Am sorry we cannot do that for now because we still have a lot more coming on the subject. But we encourage anyone who hears the message to share what they have learned to many others.

  • @mwaledwardugendo7344
    @mwaledwardugendo7344 8 месяцев назад +2

    Hakika naamini hakuna jina lingine linipasalo kuokolewa kwalo ila YESU=664=EMMANUEL

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      Amen Mungu akubariki kwa baraka za milele yote

  • @PamelaGodfrey-q9b
    @PamelaGodfrey-q9b 9 месяцев назад +2

    Tunaomba no zako mtumishi tujue tunaenda kusali wapi ambako siyo san day

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Mungu akubariki sana. Mahali pa kusali nakushauri umuombe Mungu akuongoze, naye atafanya hivyo. Zaburi 23:2

  • @luciadominik1626
    @luciadominik1626 5 месяцев назад +1

    Sasa mtumishi mbona wifi yangua alisali rozali mwenzie mzima akapata mtoto baada ya kukaa mika kumi kwenye ndoa

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  5 месяцев назад +1

      Si hivyo tu, kuna watu wanaenda kwa waganga na wanapata watoto. Hiyo haina maana kwamba jambo hilo ni sawa. Shetani anao uwezo wa kuwapa watu vitu wanavyotaka.

  • @silassaitoti7689
    @silassaitoti7689 6 месяцев назад +1

    Sasa watakatifu tukinyakuliwa Nani atajenga Hekalu?

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад

      Hekalu halijengwi na watakatifu. Hekalu la tatu litatumiwa na mpinga kristo.

  • @sundymolls9673
    @sundymolls9673 8 месяцев назад +1

    Shalom mtumishi naweza kupata namba zako za sim kuna jambo napenda unisaidie naitwa Sunday Niko Marekani

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      Amen Sunday, unaweza kuwasiliana nasi kwa WhatsApp kupitia simu namba +255 745 76 45 72. Mungu akubariki

  • @adv.benedictpius
    @adv.benedictpius 8 месяцев назад +1

    Sema unabii wa hekalu la tatu mtumishi bado sijaelewa sasa chukizo la uharibifu linasimamaje ili hali tayari watu wameshanyakuliwa?

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      Mungu akubariki. Chukizo la uharibifu ni mpinga kristo. Na mpinga kristo atalitumia hekalu baada ya kanisa kunyakuliwa (kipindi cha dhiki kuu).

  • @EdithaSanga
    @EdithaSanga 6 месяцев назад +1

    Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  6 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU

  • @Geeforexke
    @Geeforexke 23 дня назад

    AMEN

  • @PaulinaLunyonga
    @PaulinaLunyonga Месяц назад +1

    Amen

  • @kizandume3015
    @kizandume3015 8 месяцев назад +4

    Amen

  • @hasanygodda9242
    @hasanygodda9242 8 месяцев назад +1

    Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU

  • @AliceMwacharo
    @AliceMwacharo 8 месяцев назад +2

    Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  8 месяцев назад +1

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 9 месяцев назад +2

    AMEN

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  9 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU milele

  • @jean-mariebuhuru9833
    @jean-mariebuhuru9833 6 месяцев назад

    Amen

    • @IsaacJavan
      @IsaacJavan  5 месяцев назад

      Amen ubarikiwe na BWANA YESU