Natangaz uponyaji na ushindi kwenye maisha yangu yote na future yangu kwanzia Sasa na hata milele hakuna kushindwa mim nimebalikiwa na Yesu Kristo Alie hai kwakua mim ni wa efatha nipo sehemu salama na sahihi kwetu hakuna kushindwa🙏
Amina my Spiritual Father, natangaza Ndoa yangu, Elimu, biashara, Kaz, uzao wangu, ubadae wa wangu, ufahamu wao, Elimu yao, imekombolew na ndugu zangu kwa Damu ya Yesu.
Pesa yangu haitatumika kutibu magonjwa, pesa yangu ni kwaajili ya kuhubiri injili na maendeleo Pesa yangu imekombolewa,ndoa yangu imekombolewa, watoto wangu wamekombolewa
Natangaza usindi. Pesa Yangu Ni ya maendeleo sio kutibu magonjwa. Sio ya kutibu matatizo. Eee Mungu iponye ndoa Yangu. Komboa kizazi changu ktk damu ya yesu kirsto nateketeza Kila aina ya ualibifu wa kualibu biashar Yangu ndoa kizazi changu. AMEN
Mimi ni mshindi mara dufu kwa damu ya yesu pesa yangu pamoja na watoto yatima wajane na pamoja na kazi ya Mungu by zakayo mwashilindi from TDM songwe ujumbe yesu kristo ni mshindi kwetu❤❤❤❤
Nakataa pesa yangu si ya kulipa madeni, nimekombolewa, pesa yangu imekombolewa, watoto wangu wamekombolewa, hakuna bad luck kwa maisha yangu. Imbilisi hunipati enda kuzimu kwa jina la Yesu, Amen
Natagaza ushindi na kufunguliwa Kila nguvu za kichawi ndani ya familia ya Amon Isaya, pia Kila ninachokifanya kitafanikiwa kwa jina la Yesu Kristo. Hakutakuwepo na misiba wala machozi, wala kuwa masikini, amen amen amen
Uchumi wangu utakuwa kwa ajili ya kujenga Ufalme wa Bwana na kinachoniangukia kwa ajili ya mahitaj na wale ambao Mungu amekusudia niwasaidie, pesa nitaikamat Kama sumaku haitaponyok kwangu
Katika masomo yangu mimi ni msindi sintoshindwa kwa jina la yesu ndoa yangu imepona watt wangu wamepona mimi nimepona mimi ni mshindi ibilisi hunipati tena
Nimekombolewa mimi nakizazi cangu watakuwa juu watatembeya mataifa namataifa watakuwa wa levo ya juu .hakuna magonjwa hakuna ajali hakuna njaa kwa jina la Yesi Kristo Amen amen
natakaza kurudishiwa pesa zangu zote kwa jina l yesu makata kudhurumiwa natangaza kurudishiwa pesa zangu zote natangaza kumbolewa ki uchumi watoto wangu wamekombolewa nitatmbea
Natangaz uponyaji na ushindi kwenye maisha yangu yote na future yangu kwanzia Sasa na hata milele hakuna kushindwa mim nimebalikiwa na Yesu Kristo Alie hai kwakua mim ni wa efatha nipo sehemu salama na sahihi kwetu hakuna kushindwa🙏
❤❤❤❤❤❤❤ alelluyah alelluyah blessed barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu Glory be to God
Amina my Spiritual Father, natangaza Ndoa yangu, Elimu, biashara, Kaz, uzao wangu, ubadae wa wangu, ufahamu wao, Elimu yao, imekombolew na ndugu zangu kwa Damu ya Yesu.
Alelluyah blessed barikiwa sanaaaana mutumishi wa Mungu sifa na utukufu simurudiye Mungu
Muovu ushindwe KWA namna yoyote vyote vilivyo vyangu vikombolewaaaa amina ❤
Natangaza ushindi Katika maisha yangu yote natangaza kwa jina la yesu
Napokea uponyaji katika Jina LA Yesu amen
Pesa yangu haitatumika kutibu magonjwa, pesa yangu ni kwaajili ya kuhubiri injili na maendeleo
Pesa yangu imekombolewa,ndoa yangu imekombolewa, watoto wangu wamekombolewa
Natangaza uponyanji kwenye maisha yangu amennn
Natangaza usindi. Pesa Yangu Ni ya maendeleo sio kutibu magonjwa. Sio ya kutibu matatizo. Eee Mungu iponye ndoa Yangu. Komboa kizazi changu ktk damu ya yesu kirsto nateketeza Kila aina ya ualibifu wa kualibu biashar Yangu ndoa kizazi changu. AMEN
Mimi ni mshindi mara dufu kwa damu ya yesu pesa yangu pamoja na watoto yatima wajane na pamoja na kazi ya Mungu by zakayo mwashilindi from TDM songwe ujumbe yesu kristo ni mshindi kwetu❤❤❤❤
Amina naomba ulizi wako bwana yesu
Nakataa pesa yangu si ya kulipa madeni, nimekombolewa, pesa yangu imekombolewa, watoto wangu wamekombolewa, hakuna bad luck kwa maisha yangu. Imbilisi hunipati enda kuzimu kwa jina la Yesu, Amen
Natagaza ushindi na kufunguliwa Kila nguvu za kichawi ndani ya familia ya Amon Isaya, pia Kila ninachokifanya kitafanikiwa kwa jina la Yesu Kristo. Hakutakuwepo na misiba wala machozi, wala kuwa masikini, amen amen amen
Natangaza uponyaji kwenye kizazi changu na familia yangu.Mungu wa Efatha akamguse mama aliyeko kitandan muda huu
Natangaza uponyaji katika kila eneo la maisha yangu mimi ni mshindi nimeshida kwa jina la YESU
Natangaza uponyaji ktk maisha yangu na wanangu mm ni mshindi kwa jina la yesu
Amen nakataa kila vifafa na magonjwa ya kulisi kwenye familia yangu
Ameeeeennnn ndivyo itavyokuwa
Me ni mshundi Kwa Kila jambo amen nimekombolewa
Natangza ndoa yangu ifunguliwe kwa jina la yesu
Ndio Bwana ndiyo Bwana
Ameen
Nitangaza ushindi katika jina la yesu
Amina mimi nimshindi
Amina ❤❤❤❤❤
Uchumi wangu utakuwa kwa ajili ya kujenga Ufalme wa Bwana na kinachoniangukia kwa ajili ya mahitaj na wale ambao Mungu amekusudia niwasaidie, pesa nitaikamat Kama sumaku haitaponyok kwangu
mtaji wangu unatoka kwa mungu
Damu ya yesu ikañizunguke naomba ulinzi wako usiku na mchana unitangurie amee
Natangaza ushindi nimebarikiwa Mimi na kizazi changu kwa jina la yesu
Natangaza ushindi Kwa jina la yesu kristo
I'm anointed, I'm equipped, I'm talented in Jesus Christ name, AMENI.
Natangaza uponyaji juu yangu na kanisa la Bwana ktk maeneo yote Amina
Mimi ni mshindiiiii
Kwenda kushindwa kwenda kuchelewaaaa, mimi sijachelewaa
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ❤❤❤❤
Aminaaaaa
Katika masomo yangu mimi ni msindi sintoshindwa kwa jina la yesu ndoa yangu imepona watt wangu wamepona mimi nimepona mimi ni mshindi ibilisi hunipati tena
Amin,Mimi ni mshindi zaidi ya washindi
Nimekombolewa mimi nakizazi cangu watakuwa juu watatembeya mataifa namataifa watakuwa wa levo ya juu .hakuna magonjwa hakuna ajali hakuna njaa kwa jina la Yesi Kristo Amen amen
Amen Dady
Amen ,upweke ,uhitJi ,umaskini mwisho
Natangaza uponyaji kwenye ndoa yangu, Mimi ni mshindi watt wangu ni washindi Mume wangu ni mshindi
Mimi ni mushidi, saidi Yesu alinindiya muzalabanie
natakaza kurudishiwa pesa zangu zote kwa jina l yesu makata kudhurumiwa natangaza kurudishiwa pesa zangu zote natangaza kumbolewa ki uchumi watoto wangu wamekombolewa nitatmbea
Amen Amen Amen
Natàngaza uponyaji katika kila jambo langu akika nifanikiwe zaidi katika jambo langu mimi mshindi zaidi ya ushindi
No premature death in the mighty name of jesus christ
We roho wakushindwa kwenda kwenda kwenda kwajian la YESU
Kwenda roho ya kushindwa toka ndani yngu
Amen
Ameen baba napokea. Kwadamu yayesu
❤❤❤❤❤❤❤
Mtumishi ubarikiwe kwa maombi ma
Mimi sio wakushindwa mtajiwangu hautoki kwako mungu ndie mtajiwangu
Amen 🙏
Asante baba yangu nakunda
Natangaza uponyaji kizazi na uzao wangu niwe na nyumba yangu
Natangaza uponyaji kiafya kiakili , mm ni mshindi
Nimekombolewa nayesu,adui shetani hutaniweza tena kwajina la yesu
Mimi ni mshindi
Mimi ni mshindi katikati ya washindi
Nitatembea kunako ukamilifu maana damu ya yesu imenibadilisha
Njiungsmanishs baba yangu
Josephat Mwingira kumfuza
Amen babaa
Natangaza ushindi kuanzia sasa mimi nimshindi kwajina layesu
Toka kushindwa toka nani yangu
Amen baba
Yeye abadilishae, amenibadilisha
Mimi nimushindi
Amina
amen. baba
Ameen daddy🙏🏾🙏🏾
Pesa yangu hazitafutuka tena
Matanga za mwamko mpya Kwanzia usiku huu wa leo
ibilisi unipati tena umechelewa natangaza kmbolewa kwa uchumi wangu watoto wangu nakuponda ibilisi
Naitaji maombi
AMEEEN
nakimbiza kushindwa nakibizwa kudhurumiwa kwenda kuchelewa haunamaosha
Ameni
natangaza uponyaji kwenye kila kiungo cha mwili wangu shetan nakulaam kwa jina La YESU imeshindwa wewe kwenda na ujinga wako shetani😅
Ameni Ameni in Jesus name amen
Alipo Bwana yote Yanawezekana
Ameen baba
Ameeeeen
Nilipew sumu nawatu
Karibu kanisa la Efatha lolote lililopo jirani yako
Tapeli kabisa
Amen
❤❤❤❤❤❤❤
Amina baba
Amen dady
Mimi nimushindi
Amina
Aminaa🙏🙏🙏
Amenii baba
Ameeen
mmi wa efatha sitaludi nyuma kiuchumi amiiinaa baba
Ameen
Amen amen
Amen
Amina baba