1. Hasira 2.Laana ya maneno (wazazi,watumishi) ulimi 3. Korinto 1, 16:19 (kushinda kwa ufahamu) Wapo wapingao (rehema za Mungu kushinda). 4.zaburi 27:3 (ukiwa unakaribia kufanikiwa jeshi linakuja kinyume na wewe) Jeshi linaenda sehem yenye mjongeo (kileleni) 5.waovu (adui na watesi) Ukianza kushine ndo wanakuja. (Zaburi 27:4) Kuwaza vibaya-unakosa usingizi Kisukari,presha, magonjwa ukose amani +furaha 6. Zabur 106:39 Waabuduo sanamu,wanatoa watoto zao nk…. (Nimepewa mamlaka ya ardhi na anga) Waabuduo sanamu ukiwaachilia wanachafua ardhi yako Ukiwaachilia wachafue unakuwa chini ya laana.! Waabuduo sanamu natakiwa kuharibu kazi zao, kuwatiisha chini ya msalaba, na kuwaaribu, wasibaki kuishi. 7. Zaburi 116:3 Huzuni sio nzuri unakuwa dhaifu Kiroho +kimwili Huzuni ya kifo . Kutokuruhusu kabisa Huzuni ni maradhi ya hatari Huzuni ikikaa mda mrefu unapata bumbuwazi (despression) uponyaji ni upendo sio maombi! 8.shida kutoka kuzimu Kuna nguvu ya kuishinda kutoka kwa Mungu Mara zote inakuonyesha kama unakufa Ibada za sanamu >huzuni ya kifo Zaburi 116 ni pendo tu ndo litaweza kunifanya niondoke kwenye shida ya kuzimu
Yesu mzur mungu akulinde baba
Nimejifunza hapa
Nimejifunza kituu 😅😊
Kwakweli?
Leo nimejifunza kitu kikubwa God bless baba
Yesu niokoe😭🙌
Amina baba Asante
Ameen Baba Neema ya Mungu inisaidie
Niondoleee huzuni kwa jina la yesu
1. Hasira
2.Laana ya maneno (wazazi,watumishi) ulimi
3. Korinto 1, 16:19 (kushinda kwa ufahamu)
Wapo wapingao (rehema za Mungu kushinda).
4.zaburi 27:3 (ukiwa unakaribia kufanikiwa jeshi linakuja kinyume na wewe)
Jeshi linaenda sehem yenye mjongeo (kileleni)
5.waovu (adui na watesi)
Ukianza kushine ndo wanakuja. (Zaburi 27:4)
Kuwaza vibaya-unakosa usingizi
Kisukari,presha, magonjwa ukose amani +furaha
6. Zabur 106:39
Waabuduo sanamu,wanatoa watoto zao
nk….
(Nimepewa mamlaka ya ardhi na anga)
Waabuduo sanamu ukiwaachilia wanachafua ardhi yako
Ukiwaachilia wachafue unakuwa chini ya laana.!
Waabuduo sanamu natakiwa kuharibu kazi zao, kuwatiisha chini ya msalaba, na kuwaaribu, wasibaki kuishi.
7. Zaburi 116:3
Huzuni sio nzuri unakuwa dhaifu
Kiroho +kimwili
Huzuni ya kifo . Kutokuruhusu kabisa
Huzuni ni maradhi ya hatari
Huzuni ikikaa mda mrefu unapata bumbuwazi (despression) uponyaji ni upendo sio maombi!
8.shida kutoka kuzimu
Kuna nguvu ya kuishinda kutoka kwa Mungu
Mara zote inakuonyesha kama unakufa
Ibada za sanamu >huzuni ya kifo
Zaburi 116 ni pendo tu ndo litaweza kunifanya niondoke kwenye shida ya kuzimu
Thanks mtumishi , u've really simplified for me to take notes..ur genius.
Thanks mtumishi , u've really simplified for me to take notes..ur genius.
Amen
AMINA🙏🙏🙏
Thanks you Daddy ILOVE YOU DADDY
Asante sana kwa kuweka Hizi Video. Nilikuwa natafuta sana😭 Ubarikiwe.
Amina.
😢 asante Kwa somo zuri
Ameeeeeeen dady love u
Asante dady
Asante Baba
Amen dady
Ameen Daddy
Amen
Amen God help me to move in this area
Amen believe and still listening the words of GOD
@@elishajailosy8346 q
Aa
@@elishajailosy8346 0
Ameen baba
Kutoka Ni lazma na kuachiriliwa Ni lazma maana tumeachuliwa.Acha MUNGU akupe Miaka ming Appostle
Kweli Mwenyezi MUNGU akuongezeye maarifa pia naitaji numba yako binafsi. Bintu kutoka Goma DRC.
Mwaka huu lazima tutoke
Maubiri
Amina baba
Amina.🙏🙏🙏
Nimejifunza hapa
Amen
Amen amen
Amina
Amen ubarikiwe sana baba yetu kipenz mungu ukupe maisha malefu kwenye utumish wko
Ubarikiwe mlipooo
Amina
Amen