BWANA YESU NISAIDIE MIMI NISIKENGEUKE, NA KUIACHA NJIA YAKO NYEMBAMBA YA UTAKATIFU, USHUHUDA HUU UMENITIA NGUVU SANA YA KUENDELEA KUYAISHI MAISHA MATAKATIFU, NA KUJITOA KWA MALI ZANGU KUIFANYA KAZI YAKO BWANA YESU.
Eeee Bwana yesus christon wanazareth alie hai tusamehee sisiwakosaji samehe ulimwenguwote mzima baba sameh wa mama sameh wa baba vijana na watoto samehee wote kwadamu yako iliomwangika msalabani sameh watumishiwako wote hapo dunia uwarudisha kwanjia yako iliosahihi samehe waimbaji wa injili bwana samehe. Dunia nzima kupitia ushuudahii yakutisha bwana tusamee sisiwote namafamilia zetu zote tusamee eeee christon yesus
Eee YESU BWANA wangu wewe wajua hatuwezipekeyetu lakini kwakoyoteyawezekana unisaidie kazininayo kutumikia isifebure Asante kwa tafsiri hii MUNGU akubariki
Amina niliambiwa na Roho Mtakatifu tumbee kanisa nguvu ya unyakuo ,Hushuda huo nikweli,kabisa ,Mungu hawezi kufanya Jambo bila kuwajulisha wateule wake,,watu wamekuwa wagumu kuokaka ,na kufanywa upya ,Haleluya tunaondoka,
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Amen MUNGU wangu nisahidiy kuacha kutenda dhambi nijeninyakulikuwe siku hiy ya mwisho 🙏
BWANA YESU NISAIDIE MIMI NISIKENGEUKE, NA KUIACHA NJIA YAKO NYEMBAMBA YA UTAKATIFU, USHUHUDA HUU UMENITIA NGUVU SANA YA KUENDELEA KUYAISHI MAISHA MATAKATIFU, NA KUJITOA KWA MALI ZANGU KUIFANYA KAZI YAKO BWANA YESU.
Ameen. Usizimie moyo!Bwana Yesu anarudi upesi
Yesu yuarudi
Asante kwa kutukumbusha kujakwake yesu
Tuzid kumcha bwana tusijichanganye na mambo ya dunia hii. Ameen!!
Amina Amina
Eeee Bwana yesus christon wanazareth alie hai tusamehee sisiwakosaji samehe ulimwenguwote mzima baba sameh wa mama sameh wa baba vijana na watoto samehee wote kwadamu yako iliomwangika msalabani sameh watumishiwako wote hapo dunia uwarudisha kwanjia yako iliosahihi samehe waimbaji wa injili bwana samehe. Dunia nzima kupitia ushuudahii yakutisha bwana tusamee sisiwote namafamilia zetu zote tusamee eeee christon yesus
Haleluya Roho Mtakatifu anashuhudia ndani yangu Safari yetu imeiva ,omba Sana Neema ya kunyakuliwa
Heri wazifuao nguo zao,wawe amri kuuendea mti wa uzima niwajibu wetu kujitakasa ,barikiwa mtumishi
Eee YESU BWANA wangu wewe wajua hatuwezipekeyetu lakini kwakoyoteyawezekana unisaidie kazininayo kutumikia isifebure Asante kwa tafsiri hii MUNGU akubariki
Niwezeshe kuishi maisha matakatifu,ee Yesu.
Ee BABA wa Yesu kristo nijalie jina langu lidumu kwenye kitabu Cha uzima
Amen mungu atusaidie tusikie nebo lake, ktk neema yake.
Yesu jina langu lidumu kwenye kitabu cha uzima,na unisaidie kuhubiri ukweli
Mungu akubariki kwa huu ujumbe Amina
Napenda roho yangu ambayo nimepewa na Bwana Yesu Kristo Amen Amen Amen Amen Amen 😇
Amina niliambiwa na Roho Mtakatifu tumbee kanisa nguvu ya unyakuo ,Hushuda huo nikweli,kabisa ,Mungu hawezi kufanya Jambo bila kuwajulisha wateule wake,,watu wamekuwa wagumu kuokaka ,na kufanywa upya ,Haleluya tunaondoka,
Aiseee nilipitwa kidgo but YESU n mwemaa kabsaaa bado tuko pamoja blessed my lovely sister
Amina hallelujah YESU kristo nimwanzo namwisho sifa nashukran na utukufu tunamregesheya MUNGU wambinguni
Eeh .Mungu nakuomba nisaidie .. ninyakuliwe na watoto wangu wote wa kiroho na kimwili wooooteeee !!
Amen🙌mungu wang nisahidiy kuacha kutend dhambi il nij ninyakuliwe sik hiy ya mwisho🙏🙏
Asante kwa kunipa ujumbe huu nisaidie nisikose njia ya kweli. NimlakinYesu mawinguni na kwenda pamoja naye.
Mungu nisaidie na unichungu ili siku ya mwisho niwe tiyari kwenda mbinguni kwa jina la yesu amen!!!
Yes nisaidie nipite katikajia zako
Asante kwa ushuhuda mzuri sana kuna kitu nimejifunza hapa.
Yesu nisaidie nimalize salama
Eee mungu nisamehe zambi zangu , nitakase Yesu nisaidie Bwanawangu, nipe mwisho mwema😭😭😭😭
Amen
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Amen.
Kweli nami ushuhuda huu umeniamsha naomba Bwana anishike mkono
Bwana yesu unijaliye Neena.
Amen 🙏mungu wangu nilehemu papa n unikumbuke
HALLELLUA HALLELLUA ASAANTE SAANAA YESU CHRISTO 👏👏👏👏📯📯📯📯📯📢📢📢🎸🎸🎸🎸
Hakika hii ni siku ya kutisha eeeh Mungu tuhurumie na utusamehe dhambi zetu 😢😢😢tusaidie ili siku hiyo utukute tukiwa tayari wasafi wa moyo 😢😢
Eee BWANA YESU naomba unisaidie nimalize mwendo wangu salama
Yesu nisaidie kukaa kwenye utakatifu
❤❤
YESU wew ndiye njia yangu ya wokovu
Mungu atuhurumie sana 😔
❤❤ Amen 🙏 jina la bwana libarikiwe milele
Bwanaunisaidie nimalize salama
Amina
BWANA WETU YESU KRISTO UNIREHEMU NA UTUREHEMU UNINYAKUE NA UTUNYAKUE BWANA
Wakati wa unyakuzi bwana usinipite
Mungu nisaidie
YESU NDIYE Yuko ambaye Yuko
Ee BWANA tusaidie tuuone ufalme wa mbinguni. Kukutumikia kwetu kusiwe bure tuone faida ya kukutumikia.
Mungu nisaidie nisikose mbingu
Eebwana nisaidie nishikilie mpaka mwisho !!
Eeeee Mungu nisaaidie niuishi utakatifu.
Eee YESU😭😂🙆
😢😢😢😢😢🙏🙏🙏🙏
ⓔⓔ ⓜⓤⓝⓖⓤ ⓝⓘⓞⓚⓞⓔ ⓝⓐⓜⓐⓣⓐⓣⓔⓩⓞ ⓨⓞⓣⓔ
Yes nisaidie nipite katikajia zako
Amen