WANAWAKE NI WACHACHE MBINGUNI USHUHUDA WA DADA FABIOLA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 май 2023

Комментарии • 129

  • @catenzoka2003
    @catenzoka2003 Год назад +4

    Huu ujumbe ni Wa kweli Na si mara ya Kwanza kuletewa si wanadamu .yesu tusaidie wamama wengi tumepotea tukijiona kwamba tko Katika njia sahihi.asante dada .

  • @fediskalume4712
    @fediskalume4712 Год назад +3

    Mungu nisamehe kwa maovu yangu yoto niliyo fanya, nauniajalie neema.😭😭

  • @annakwaso6263
    @annakwaso6263 Год назад +2

    Ww unayepinga maono angalia sana na uombe rehema,hyu alikuwa ktk roho na mkristo yeyote aliyempokea Yesu yeye ni roho,Munguni roho nae amwabudie inampasa kumwabudu ktk rohona kweli,.Nawatumishi baadhi walikuwa wakichukuliwa ktk roho na kuandika kwenye bibilia,mfano nalikuwa ktk roho nikaona,na hyu aliona ktk roho.Tofauti na hapo itakuwa ni roho ya mpinga kristo inayopinga haya maono.

  • @imeldanyarotsa3636
    @imeldanyarotsa3636 5 месяцев назад

    aki Mungu anisaidie mimi kama mwanamke nimepungukiwa kwa ajili ya dhambi nyingi☺,thanks for the testimony it has thought me something

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Год назад +21

    Kuhusu wanaweke wachache mbinguni n kwel kabsaa coz wanawake hatupend kuacha mapambo umbea uzush Asiraa .vitu vidgovdgo ndo vtafanya wanawake weng tukose mbingu😢.YESU tusaidie pale tunaposikia NENO lako tulifanyie Kaz n cyo kusikiliza tu.

  • @rugumisapastory9669
    @rugumisapastory9669 Год назад +3

    Ubarikiwe Kwa kazi nzuri ya Mungu

  • @JasinthaAlex
    @JasinthaAlex 2 месяца назад

    Mungu nisaidie na unitie nguvu katika Kila Hali,za tabu na raha nisije nikakutenda dhambi na kuukosa urithi wa uzima wa milele,Baki nami🙏🙏

  • @janeraphael5430
    @janeraphael5430 Год назад +5

    Tubu, dhambi zako haijalishi umetoa mimba mungu nimwingi warehema simwepesi, wahasira hivyo utasamehewa

  • @tulizorukundo9458
    @tulizorukundo9458 Год назад +4

    Amen God bless you

  • @jeanefelix70
    @jeanefelix70 Год назад +1

    Ujumbe huu ni wa huongo watu someni neno ili musipotezwe, Yesu alituombea kwa Baba atutakase kwa ile kweli neno la Mungu ndilo kweli. akuna mtu anaekwenda mbinguni sote tunamsubiri Yesu atupeleke kwa Baba.

    • @elizabethmoses3975
      @elizabethmoses3975 8 месяцев назад

      Ukweli

    • @EdwinMbwilo-fj6bf
      @EdwinMbwilo-fj6bf 8 месяцев назад

      Ni matamshi tu kwa lugha nyepesi alionyeshwa Mbinguni ndo maana tunaita maono.

    • @RoseMary-sw2ec
      @RoseMary-sw2ec 8 месяцев назад

      Mung akusamehe san ndug yesu anakupenda ndugu tubu nawe utauona ufalme wa mung mbingun huingii kw neema bal ni kuacha yte mabaya na kufany mapenz ya mung ubarikiwe sana 🙏🙏

  • @MossesLeokadia-xf7yf
    @MossesLeokadia-xf7yf Год назад

    Ehe mungu tusaidie sana wanawake mudamwingine tunajiona tukosaw kumbetumepoea katika ufalme wambinguni

  • @nellydeborah943
    @nellydeborah943 Год назад +3

    Amen ,be blessed

  • @user-oy8gk5fj2e
    @user-oy8gk5fj2e 3 месяца назад

    Mungu nisamehee kwa maovu yangu mm ninakili kuwa ni mwenye zambi ninaomba rehema kwako mungu wangu

  • @beatricegitonga9364
    @beatricegitonga9364 Год назад +2

    Amen amen utukufu kwa yesu

    • @DenisCasey-kh8ub
      @DenisCasey-kh8ub 6 месяцев назад

      Amen asante Bwana wetu Yesu Kristo kwaku tuandalia mazuri sisi wanaowako tuliyo duniani tujalie tuweze shinda hii dunia hii ya muovu chetani tushushie malaika zako wapate kuongoza🙏

  • @bernadetteshukuru9154
    @bernadetteshukuru9154 Год назад +1

    Amen aliye towa mimba na aliye shiriki wote wana pashwa kuomba musamaha mbele ya Mungu asante kwa ulizo

    • @gracengugi-tx1tt
      @gracengugi-tx1tt Год назад

      Hapo kweli maana yote hayo tulitenda kwa kupotoshwa....mungu tuhurumie😭

  • @godfreyshayo5833
    @godfreyshayo5833 Год назад +1

    Amin❤

  • @nyashangondya3660
    @nyashangondya3660 Год назад +1

    Mungu atusaidie kanisan tupo wengi mbinguni tupo wachache mungu atusaidie

  • @NeemaKatabi-tz5hs
    @NeemaKatabi-tz5hs Год назад +4

    Sikubari shuhuda hii, kwani sasa hakuna mtu ambae Mungu anaweza kumpeleka mbinguni lamda kwà ulimwengu wa Roho. Na wote walio lala usingizi wa mauti wanasubili ujio wapili wa yesu kristo ,

    • @lightness2640
      @lightness2640 Год назад +3

      Kama huamini haupo kwenye safar y kwenda mbinguni wew n mpinga kristo,huijui Dunia wala mbingu. Soma neno utaelewa ushuhuda huu😢 22:22

    • @victorianchimbi8640
      @victorianchimbi8640 4 месяца назад

      Nakupa pole

    • @KelvinSinkamba-xi7ql
      @KelvinSinkamba-xi7ql 3 месяца назад

      Nduguyangu kwann huamina

  • @user-rj1qd9ou9s
    @user-rj1qd9ou9s 5 месяцев назад +1

    Mungu. Akurinde. Naakutunze

  • @bukurubahati958
    @bukurubahati958 Год назад

    Asante sana kwa ujumbe huu, ubarikiwe mjakazi wa baba aliye juu

  • @suzanne9517
    @suzanne9517 Год назад +1

    Asante sana kwa ujumbe mtumishi

  • @linetmbevi6806
    @linetmbevi6806 Год назад +2

    Amen mungu atudaidie

  • @catherinemakokha1400
    @catherinemakokha1400 Год назад +1

    Amen tumeipokea huo ujumbe.

  • @VIJANAWAYESU12
    @VIJANAWAYESU12 7 месяцев назад

    Amen BWANA wamajeshi atusaidiye

  • @monicambetwa9301
    @monicambetwa9301 Год назад

    Amina Barikiwa Sana

  • @wambimbwelo5141
    @wambimbwelo5141 3 месяца назад

    Siku tukienda huko mbinguni ndio itajulikana idadi ya walioenda kwa sasa watu bado wanokoka na wendine wanajitakasa hatuwezi kupata idadi kabla mwisho haujafika wapendwa wangu tusiogope ila kila mtu aokoke na kuzishika amri za Mungu

  • @DenisCasey-kh8ub
    @DenisCasey-kh8ub 6 месяцев назад

    Amen

  • @anastasiagilbert4165
    @anastasiagilbert4165 Год назад +1

    Amen sana 🙏 ❤

  • @AgnesKalinga-if3uf
    @AgnesKalinga-if3uf Год назад

    Ubarikiwe Fabi

  • @mwanyulatz
    @mwanyulatz Год назад

    Ubarikiwe kwa kazi ya Mungu Yesu kristo akubariki sana

  • @christind655
    @christind655 Год назад +1

    Amen and amen 🙏🙏🙏

  • @yohanakllaizer276
    @yohanakllaizer276 Год назад

    Mungu wa mbinguni akubariki Sana

  • @suzanalucasemanuel7006
    @suzanalucasemanuel7006 Год назад

    Amen ❤

  • @odenciojulioarvai9869
    @odenciojulioarvai9869 Год назад

    Amén🙏

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Год назад +1

    Amen
    Asante dadangu zidi kubarikiwa

  • @rozascola-cy8qi
    @rozascola-cy8qi 7 месяцев назад +1

    amen

  • @giselemapendo-7427
    @giselemapendo-7427 6 месяцев назад

    Kinacho nifanya kuskiliza hushuuda wako unatupa na maandiko ya biblia nakusoma ..mungu akubariki dada yangu endelea nakutupa hushuuda unatufanya kuwokoka nakuacha mabayaaa

  • @emillyzeeh1173
    @emillyzeeh1173 Год назад

    Amen Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @Mjakazisafi8361
    @Mjakazisafi8361 Год назад

    Amen 🙏 🙏

  • @lightness2640
    @lightness2640 Год назад +1

    mtu ambae haelewi hushuhuda huu hamjui mungu Wala halijui neno l mungu wakristo somen neno l mungu .mnamkataa mungu je nani mnamwamini?

  • @nyashangondya3660
    @nyashangondya3660 Год назад

    Kanisan wanaume wachache mbinguni wapo wengi ee mungu tuinue tupe wepes

  • @massawegetrude2322
    @massawegetrude2322 Год назад

    amin❤️❤️❤️❤️

  • @JeffsonIvan-xx5jr
    @JeffsonIvan-xx5jr Год назад

    Mungu atusaidie

  • @rebeccamaunde4085
    @rebeccamaunde4085 Год назад

    Amen ujumbe tumepokea

  • @PillyMasaka-dw5zc
    @PillyMasaka-dw5zc Год назад

    Mungu tunaomba rehema zako

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 6 месяцев назад

    Ameen ❤

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Год назад

    Hata Mimi nilikuwa najiuliza hii swali .lasma wanawake wawe wachache Sana binguni..sanabu ya mambo Yao..sio kama Mimi ninakamilika

  • @user-tq8cv5le3o
    @user-tq8cv5le3o 2 месяца назад

    Mungu ni mwema siku zote kutuibia siri

  • @MadamOrida
    @MadamOrida 24 дня назад

    😢😢mungu nisaidie

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Год назад

    Blessed my lovely sister kwa testimony of evening❤

  • @BerylSeer1
    @BerylSeer1 Год назад +1

    Mbona msieke watangazaji wawe wawili, wa kike na wakiume

  • @wambimbwelo5141
    @wambimbwelo5141 3 месяца назад

    Mbinguni hakuna mwanamke wala mwanamke utajuaje kama huyu ni mwanake au huyu ni mwanaume ?

  • @paskaliasuwi
    @paskaliasuwi Год назад +1

    Enyi watu wa dunia mtamwamini nani bc.?kila mtu mwamuona muongo.mnataka nn bc enyi kizazi Cha nyoka kilichopotoka zaidi ya dodoma.?bc subirieni atakuja mwenyewe na huo mda mtakuwa mmechelewa.barikiwa sana dada🙏🙏

  • @user-ok9mv3xr2g
    @user-ok9mv3xr2g 8 месяцев назад

    Mbinguni hakuna mwanamke wala mwanaume sisi some ni mabibi Alusii

  • @WityJustine-mp7rd
    @WityJustine-mp7rd Год назад

    Eee BWANA YESU utusaidie watoto wako

  • @user-kp2sn9ei6v
    @user-kp2sn9ei6v Год назад

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MLIMA-WA-BWANA
    @MLIMA-WA-BWANA Год назад +2

    AMEN AMEN 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤

  • @user-bh7nb2kn5o
    @user-bh7nb2kn5o 7 месяцев назад

    Hivyo kutakuwa hamna wanawake

  • @annakwaso6263
    @annakwaso6263 Год назад

    Wanawake wivu ndo KBS,MTU haweziuliza jinsi umefanikiwa ili umwinue.lkn utasikia kakusema kakusengenya na wivu uzaa mauti,kaini alimwua ndugu take kwa kupitia wivu.

  • @user-um4cf7qs8m
    @user-um4cf7qs8m 9 месяцев назад

    Dada naomba niongoze salatatoba naitwa dorini naomba uniongoze salayatoba na uniombee

  • @btsanime6138
    @btsanime6138 Месяц назад

    Cv

  • @sheyosquad5755
    @sheyosquad5755 2 месяца назад

    Mmmmh acha uongo wewe..sabato ni siku gani

  • @abdalahsuleman2791
    @abdalahsuleman2791 Год назад

    Uongo wa Asilimia 100

  • @njiaya6833
    @njiaya6833 Год назад

    mbinguni akuna kuoa wala kuolewa hama kuoana je jinsia hizo zatoka wapi enyi mafarisoyo wa uhaba wa neno ?

  • @salehkhamis-ob8ln
    @salehkhamis-ob8ln Год назад

    Makafiri hawaendi peponi

  • @user-iu8tn6tr7g
    @user-iu8tn6tr7g Год назад

    Nisamehe lakini kile na jua ni akuna mwana ume ama mtoto ama mwanamke wote wanafanana lakini sijui

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u 8 месяцев назад

      Matendo ya uovi na dhambi za mtu pia zitafanana, wacheni kijidanganya mioyo yenu hiyo ni kubadilishwa miili Kwa wako tenda mema,bali kama ulitenda uovo jehanamu inakuhusu yeyote yule

  • @HildaPaul-hm4jk
    @HildaPaul-hm4jk Год назад

    Mapambo yatatughalimu

  • @queenWitynes
    @queenWitynes Год назад

    Mh niuongo😂😂😂

  • @agnessshole
    @agnessshole Год назад

    Doto za kuzama katika maji.

  • @bobp6720
    @bobp6720 Год назад

    Uongo uongo uongo ujinga na ujinga na ujinga na upumbavu, kwanza unatakiwa kujua maandiko yanasemaje, anasema aliona roho je kwa mjibu wa maandiko Mbiguni kutakuwa na roho? Au kutakuwa na watu hapo mtu ananukuu kitabu cha ufunuo akaongeza na yakwe kidogo ili mmwamini

  • @josephkate3664
    @josephkate3664 Год назад

    ASANTE KWA USHUHUDA NIMEBAINI BADO SIPO KATIKATI NJIA SAHIHI

  • @joycekimorgo5239
    @joycekimorgo5239 10 месяцев назад

    Roho mtakatifu tuelekeze sisi wamama

  • @salimuismaily7754
    @salimuismaily7754 Год назад

    KUHUSU WANAWAKE KUWA WACHACHE NI KWELI

  • @NeemaKatabi-tz5hs
    @NeemaKatabi-tz5hs Год назад

    Hakuna ukweli wowote hapo, jindae kwa ujio wa yes kwa mala yapili , maana hakuna mwanadamu aliko mbinguni hadi atakapo kuja bwana wa mavuno kuitenga ngano na magugu

    • @DamianPango-xn5wz
      @DamianPango-xn5wz Год назад

      Usipende kuhukumu kaa kimya ni dhambi ajuae ukweli ni mungu wa mbinguni pekeeee

    • @RoseMary-sw2ec
      @RoseMary-sw2ec 8 месяцев назад

      Jidanganye ndugu mbngun huingii kw neema huingii ukiwa mchafu tubu nawe utauona ufalme wa mbngun...hat yesu akirud atakuja kupepeta magugu na ngano kwhyo tujiwek tayr barikiwa 🙏

  • @denismokaya5725
    @denismokaya5725 Год назад

    Nobody who knows the secrets of heaven and heaven there's no genda so don't lie people with fun things read your Bible well

  • @barakapeter6327
    @barakapeter6327 Год назад

    Mtu aliyetoa mimba na mtu aliyeshikiri kutoa mimba atafanya nn ili awe salama ?

    • @susanmuiruri5246
      @susanmuiruri5246 Год назад

      Ni kujitakasa na kujitolea dhabihu ya maombi

    • @DamianPango-xn5wz
      @DamianPango-xn5wz Год назад

      Ukiomba toba ya kweli usijihukum tena upo huru mungu husamehe na kusahau

  • @osmaannchimwanga8792
    @osmaannchimwanga8792 Год назад

    Naomba nifahamishwe,maana ninachanganyikiwa nikisikia kila shuhuda za walioenda Mbinguni wanakuta watu motoni au mbinguni.Kinachonichanganya ni kwamba,miili yetu tukifainazikwa kaburini na kuoza,sasa ni miili gani tena inayopatikana motoni ikiungua na mbinguni ikiburudika?

    • @Nenolamaarifa
      @Nenolamaarifa Год назад

      Kuna miili ya duniani na miili ya milele

    • @elishavenance1348
      @elishavenance1348 Год назад +1

      Mwana damu amegawanyika sehemu mbili ,mwili na rohon, ambapo nafisi yake ndiyo uhalisia wa mwanadamu hivyo nafsi ambayo ndo wewe bada ya kufa nafsi hufaa mwili mpya ama kwa ajili ya hukumu au kwenda mbinguni

    • @SteveNyombo
      @SteveNyombo Год назад

      Iyi nehema na ipenda sana ,mungu Léo amefanya nehema iyi ya kwenda kuzimu na mbinguni ,kurudi Ku twambia mambo ilioko

    • @AjunaRugimbana-ff9xz
      @AjunaRugimbana-ff9xz Год назад

      Roho yako ndoinaenda mbinguni na mwili ndounao oza

    • @simasimon9917
      @simasimon9917 Год назад

      Mungu akiwa amekusudia kufundisha lazima uwaone tu
      Mkumbuke tajiri na baba ibrahimu

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu2974 Год назад

    Nisaidieni wapendwa hivi uasherati ndo upoje

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Год назад +2

      Muasherati ni mtu anayefanya ngono Ikiwa bado hayuko kwenye ndoa, na mzinzi ni mtu anayefanya ngono na mtu mwingine ambaye sio mume au mke wake wakati yupo kwenye ndoa

    • @esthermbilinyi3452
      @esthermbilinyi3452 Год назад

      Umebadili uasherati ni yule mwenye ndoa ila achepuka, Uzinzi ni wale wafanyao tendo la ndoa kabla ya ndoa
      ...... Uasherati ni kwa wanandoa,

    • @DamianPango-xn5wz
      @DamianPango-xn5wz Год назад

      Real, tofauti kati ya uzinzi na uasherati ni nin?

    • @namisisiboe7256
      @namisisiboe7256 Год назад

      Thank u Lord for your voice. Father Lord forgive all my deeds,help me to your Way. Amem

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 Год назад

    Biblia inasema tukifika mbinguni tutabadishwa miili yetu, tutakuwa kama malaika, kutakuwa hakuna kuoa wala kuolewa na mambo yote ya duniani tutayaacha huku.tutakuwa tukisifu na kuabudu. Sasa mimi sijaelewa kama tutaweza kutambua huyu ni mwanaume au mwanamke. Mimi bado sijaelewa

    • @EdwinMbwilo-fj6bf
      @EdwinMbwilo-fj6bf 8 месяцев назад

      Tutajulikana kwa vazi. Mfano aliyekuwa mwanaume duniani vazi lake lina mkanda mmoja kiunoni
      Na aliyekuwa mwanamke duniani vazi lake lina mikanda miwili.

  • @Nenolamaarifa
    @Nenolamaarifa Год назад +1

    Amen

  • @ETCN.CHURCH.
    @ETCN.CHURCH. Год назад

    Amen

  • @slamafamily5720
    @slamafamily5720 Год назад

    Amen

  • @user-zr5kf5pk4p
    @user-zr5kf5pk4p Год назад

    Amen

  • @JuliasRanga-dd8zn
    @JuliasRanga-dd8zn Год назад

    Amen

  • @user-lj4hf6pn7v
    @user-lj4hf6pn7v Год назад

    Amen

  • @PeninahMwendwa
    @PeninahMwendwa 10 месяцев назад

    Amen

  • @abigaelnelima8504
    @abigaelnelima8504 Год назад +2

    Amen