PART 1 USO KWA USO NA YUDA KUZIMU ALIYE MSALITI BWANA YESU USHUHUDA WA EMMANUEL SENAYON

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 июн 2023

Комментарии • 58

  • @Mjakazisafi8361
    @Mjakazisafi8361 Год назад +6

    Ee YESU naomba msaada wako maana bila wewe mimi c chochote nakuitaji ndani ya maisha yangu Amen Amen 🙏 🙌

    • @damasmayanja2930
      @damasmayanja2930 Год назад +2

      Ukimpenda Amna Baba yake atakupenda nao watakuja Kwako na kufanya makao Milele Yohana 14:23 wakishakuja ndani yako watafanya yote bila hata kuomba na utashangaaa.

    • @damasmayanja2930
      @damasmayanja2930 Год назад +1

      Ukimpenda Yesu utashika Neno lake na Baba yake atakupenda nao watakuja Kwako na kufanya makao Milele Yohana 14:23

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Год назад +3

    Amen BWANA YESU Asante kwa uvunuo huu ,na awabariki wanao Amina

  • @lilianmajana5032
    @lilianmajana5032 Год назад +5

    I like you voice sister thank you so much for the nice testimony God please forgive me and help us to make HEAVEN AMEN 🙏 🙏🙏🙏🙏

  • @dadaz4653
    @dadaz4653 Год назад +4

    Ee Mungu wangu tusaidie

  • @jorambranchofmud6299
    @jorambranchofmud6299 Год назад +4

    Barikiwa mtumishi

  • @elizathomas7442
    @elizathomas7442 Год назад +9

    Ee MUNGU tulikuwa vipofu lkn sasa umetufanya tuone maana kumbe yote yapo kwenye Biblia ,sasa naona nitie nguvu nifike kwenye ufalme wake

  • @elizathomas7442
    @elizathomas7442 Год назад +2

    Amen Jina la YESU linanguvu zaidi ya sana

  • @emmanulmbembati
    @emmanulmbembati Год назад +1

    Bwana yesu akufunike akutetee kwa kazi kubwa ya shuda hiz tunakuwa kiroho

  • @namvurasikitu791
    @namvurasikitu791 Год назад +2

    Mungu atupemwishomuzuri. Amena

  • @lucylumasho9317
    @lucylumasho9317 Год назад +3

    Asante na ubarikiwe sana Kwa ukweli,

  • @jacklinekhayechia4362
    @jacklinekhayechia4362 Год назад +6

    Eeh mungu atusaidie kama mtoto wa miaka 6 ako kuzimu inatubidii kila mara tuishi kwa toba

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu Год назад +1

    Eeh Mungu nisaidie kuyafanya mapenzi yako,barikiwa mtu wa Mungu nmetiwa nguvu mpya

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 Год назад

    Jamn cku hiz nakosa vtu vngi vya mbinguni kwa ajil ya kuwa bz n mikaz YESU nisaidie dunia isinifanye nikusahau bal nikupendee milele.siku zote za maisha yngu😢

  • @user-zu5gf8zf1g
    @user-zu5gf8zf1g Год назад +4

    Ee MUNGU tusaidie watoto wako, Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU

  • @UpendoBadi
    @UpendoBadi 5 месяцев назад

    Ee yesu tusaidie

  • @NellyDeborah77
    @NellyDeborah77 Год назад

    Barikiwa sana

  • @lucywilson5875
    @lucywilson5875 Год назад +3

    Ee Yesu wangu

  • @VumiliaMwakamisa
    @VumiliaMwakamisa 10 месяцев назад

    Amina mtumishi

  • @samuelshikari3937
    @samuelshikari3937 10 месяцев назад

    Kweli Mungu yu mwema asante kwa ushuhuda

  • @lukasemmanuel4614
    @lukasemmanuel4614 Год назад +1

    Amina Nzuri sana hii

  • @didacenjungani5629
    @didacenjungani5629 Год назад

    Nimebarikiwa na UJUMBE huu!!! Ubarikiwe.

  • @StrongWomen-ob8yq
    @StrongWomen-ob8yq Год назад

    Mungu tafadhali tuokoe na turehemu mungu wetu hatuezi mbele zako

  • @babafranco3366
    @babafranco3366 Год назад

    Una maneno mengi sana

  • @NellyDeborah77
    @NellyDeborah77 Год назад

    Amen

  • @yesuanikumbukejanuary8363
    @yesuanikumbukejanuary8363 Год назад

    MUNGU wetu naomba msaada wako niishi maisha matakatifu ya kuku pendeza.

  • @amandaangie4806
    @amandaangie4806 Год назад +1

    Amen 🙏

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Год назад +1

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu kwa ujumbe hizi

  • @bazurimwemdi9060
    @bazurimwemdi9060 Год назад

    Amena

  • @IsayaModest-nx7kp
    @IsayaModest-nx7kp Год назад +1

    AMEN

  • @VumiliaMwakamisa
    @VumiliaMwakamisa 10 месяцев назад

    🙏🙏🙏

  • @consolatamakonjo3271
    @consolatamakonjo3271 Год назад

    Jesus name is powerful 🙏🙏

  • @hajimnzava1972
    @hajimnzava1972 Год назад +1

    Wesema umeamua kutufundisha Neno lamungu hii habari ya kusema umeenda mbinguni,acheni kutudanganya,bana

    • @lukasemmanuel4614
      @lukasemmanuel4614 Год назад

      Kama wewe unasema unadanganywa kaa hivyo hivyo siku moja utaamini

  • @jorambranchofmud6299
    @jorambranchofmud6299 Год назад +3

    Kuna part 2 au itahishia tu hapo

    • @Nenolamaarifa
      @Nenolamaarifa Год назад

      Part 2 ipo

    • @jesusmercytv2801
      @jesusmercytv2801 Год назад

      Duuuuuu Mungu atujalie kufika

    • @stevenkambindu5914
      @stevenkambindu5914 Год назад

      Aliyeninyonga ndiye Yuda Iscariot kitabu Cha Biblia ya kikatoliki kiliandikwa na Yuda Makabayo kama kitabu Cha historian ya mapambano yake aliyofanya dhidi ya Antiokasi Epifanisi alieiondoa serikali ya kiyahudi na kulinajisi Hekalu Kitabu hicho hakikupitishwa kwenye Kanuni ya maandiko matakatifu miaka 200 BC Wakatoliki walikichukua miaka mingi baada ya Kristo na kukifanya kuwa kitabu kimojawapo Cha vile 72 vinavyounda Biblia ya Wakatoliki

  • @EsauBakari
    @EsauBakari Год назад

    ame andika pat 1

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 Год назад

    Duu! Yuda! Shetan akamdanganya amsalti BWANA YESU sasa tena mateso yake ni makuu kwa sababu kukubali kwake kumsaliti BW.YESU ss tunaokoka! Ni km ya kuchekesha! ... Tulie tulie tulilie dunia BW.WETU Analia anatulilia pia hadi atakapolinyakua kanisa! Basi tulie naye

  • @damasmayanja2930
    @damasmayanja2930 Год назад +1

    Uongo wa Mwisho, Yuda hawezi kuwa kuzimu, alimwamini Kristo Yesu Kwa kiwango kikubwa mnoooo, Kama Yuda yuko kuzimu Basi Kristo Yesu hakufufuka na hakushuka kuzimu, lakini kama alishuka kuzimu aliwafungulia wote waliotekwa mateka na Mkuu wa Kuzimu tangu Adam na aliondoka nao Mbinguni.

    • @rehemavickie6521
      @rehemavickie6521 Год назад

      Nimewaza hivyo pia. Hii kidogo napatq shida

    • @ivomhagama9796
      @ivomhagama9796 Год назад

      Mungu sio mtu,hutimiza mapenzi yake yote kama apendavyo.hebu tujifunze kitu unapofanya dhambi mbele za Mungu Aliye hai ,bila kutubu anakuhukumu kwa haki .kumbuka hakuna mtu maarufu mbele za Mungu Mkuu.kumbuka utukufu aliopewa Lucifer,lakini Bwana wa Majeshi .kamlaani na kumtowesha Mbinguni akisubiri hukumu ya ziwa la moto.pia na malaika wengine walio kosa wamewekwa chini ya kifungo Hadi ije hukumu..kumbuka njia za Mungu sio njia za mwanadamu .

    • @shuhudazakweli3406
      @shuhudazakweli3406  Год назад

      Kifo cha Yuda alijinyonga baada ya kuona mambo yamekuwa ivyo je? Unazani mtu aliye jinyonga anaweza kuingia mbinguni?

    • @mariamswedi1140
      @mariamswedi1140 Год назад

      mtu aliyejinyonga haingii mbinguni pia Yesu alishuka kuzimu kumnyang'anya shetani funguo ya mauti na kuzimu pia alienda kuwahamisha watakatifu waliokuwa wakikaa huko lkn hakwenda kuhubiri na neno linasema baada ya kifo n hukumu wala hakuna shaka andiko linajieleza Yuda yko kuzimu

    • @damasmayanja2930
      @damasmayanja2930 Год назад

      Kristo Yesu ni Roho si mwili, unaweza kuwa ndani yake naye ndani yako yaani mkavaana, hakuna adhabu ya kifo Kwa wao waliomvaa Kristo, Yuda alinyonga mwili wake na siyo Roho yake, Roho ni Mungu Mwenyewe na Roho haiwezi kutenda dhambi Kwa maana haiko chini ya sheria kama mwili, ulitambua dhambi Kwa sababu sheria ilisema, wale wote waliomvaa Kristo Yesu hawako chini ya Sheria bali wako katika Amri ya Pendo sawa na Baba, Kwa maana Kristo ndio mwisho wa sheria na Torati yote, ndani ya Kristo hakuna dhambi ,hukumu Wala mauti bali UZIMA WA MILELE KATIKA YEYE na utahesabiwa Haki Kwa KUMWAMINI yeye tu, ukijitenga ukawa nje ya Kristo rafiki yangu Kuna sheria na Torati yote ya Musa ambayo unapaswa kuifuata yote Ili uhesabiwe Haki Kwa jitihada zako za matendo ya kuzitii sheria na Torati yote 633, usipofuata sheria hizi Musa mwenyewe anakushitaki Kwa Baba Yohana 5:45, Tena nawaambia wamelaaniwa wote wategemeao uzima Kwa jitihada za matendo Yao ya mwili huku wakiiacha Neema ya Mungu ambacho ni kipawa chake mwenyewe kiletacho wokovu, wametengwa na Kristo Yesu wote watakaokuhesabiwa Haki Kwa Sheria Wagalatia 5:4
      Ndani ya Kristo huwezi kufanya Wala kutenda dhambi Kwa sababu hazipo. Kristo Yesu aliibeba dhambi ya ulimwengu ni mwanakondoo na sadaka iliyompendeza Baba kuondoa dhambi ya ulimwengu Yohana 1:29 na si kuifunika dhambi kama sadaka za mafahali zilivyofanya.
      Kristo Yesu ni Pendo na REHEMA ya Baba kufanya upya Agano na ulimwengu kutoka kuhesabiwa Haki ya uzima wa Milele Kwa matendo ya sheria na kufanya Agano jipya la kuhesabiwa Haki Kwa IMANI Kwa Yesu Kristo pekee. Baba Hana njia nyingine ya kuukomboa ulimwengu na kuwapa walimwengu uzima wa Milele nje ya IMANI Kwa Kristo Yesu.
      Yeye asiyeijua dhambi Baba alimfanya dhambi Ili ulimwengu wote uhesabiwe Haki ya Mungu Kwa IMANI 2:Wakorinto 5:21, wewe ndio Haki ya Mungu kupitia Kristo Yesu
      Wewe ni Mtoto wa pili wa Mungu kupitia Kristo Yesu.

  • @prospermatovu3334
    @prospermatovu3334 Год назад

    Huu ni uwongo wa wazi watu wanajitahidi kutafsiri biblia kwa kuruongopea walifika mbinfuni na kadhalika sasa kama hukumu alishIona sasa hukumu ipi hiyo ijayo??? Acheni uwongo.

  • @davidkitumbi6457
    @davidkitumbi6457 Год назад

    Wacha uwogo wako wewe unandaganya tu wale awajui, Mwalimu ni mmoja tu Zouloula 100 inaweza kusearch on RUclips ama u search imani mchimbwa, mtasaidika nyote.

    • @lwijisotweve1225
      @lwijisotweve1225 11 месяцев назад

      Kwan lazima uccoment ungeweza kukaa kimya ni busara pia

    • @davidkitumbi6457
      @davidkitumbi6457 11 месяцев назад

      @@lwijisotweve1225 ni vizuri kuabiwa wezako kuabia wezako kuna ambo hawana huo ufahamu na sio eti niwajiga

  • @queenesther2639
    @queenesther2639 Год назад

    Duu! Yuda! Shetan akamdanganya amsalti BWANA YESU sasa tena mateso yake ni makuu kwa sababu kukubali kwake kumsaliti BW.YESU ss tunaokoka! Ni km ya kuchekesha! ... Tulie tulie tulilie dunia BW.WETU Analia anatulilia pia hadi atakapolinyakua kanisa! Basi tulie naye