ASKOFU MKUU DR. DANIEL KULOLA BILA HOFU NA WASIWASI AZUNGUMZA MANENO MAZITO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Askofu mkuu wa makanisa ya SEIC ameendelea kulileta kanisa lake kwa wananchi ili kupitia huduma inayotolewa na makanisa yote ya SEIC watu wahudumiwe bila kulipishwa na wala longolongo. Inatia moyo kwa makanisa ya SEIC yanazidi kupaa si kwa Tanzania pekee bali hata nje ya nchi

Комментарии • 13

  • @MagesaYohana
    @MagesaYohana Месяц назад

    Asante nakumbuka ilikuwa Na mwasisi WA
    E
    A
    G
    T

  • @healingclinic698
    @healingclinic698 Месяц назад

    Asante sanaaa Mungu azidi kukutumia

  • @danieljumapili1018
    @danieljumapili1018 11 дней назад

    Ubarikiwe

  • @martinMwangomo
    @martinMwangomo 4 месяца назад

    Like father like son. Mungu akubariki sana mtumishi Daniel Kulola.

  • @dianadaudi5535
    @dianadaudi5535 5 месяцев назад

    Hallelujah Mungu anatupenda sana 🙏 🙌
    Asante Baba kuamua kuziokoa Roho za Wengi

  • @KabutenZorwa
    @KabutenZorwa 4 месяца назад

    Barikiwa mtumishi Dani kulola

  • @Leahmwankundile
    @Leahmwankundile 5 месяцев назад

    Asante kiongozi

  • @mutiembingi-le6kz
    @mutiembingi-le6kz 27 дней назад

    Kwanini kanisa limewekwa misalaba Kwenye jengo je , misalaba SI ni laana SI ni mateso misalaba ni shetani ni kinyonga?

  • @OdhiamboLazaro-y8o
    @OdhiamboLazaro-y8o Месяц назад

    Tupo pamoja

  • @ibrasudi-m6y
    @ibrasudi-m6y 2 месяца назад

    Askofu kwa Dar kanisa liko wapi?

  • @Leahmwankundile
    @Leahmwankundile 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @edsonisrael8996
    @edsonisrael8996 4 месяца назад

    Kwani hauko Tena EAGT Tena!?