ARCHBISHOP. FJ.KATUNZI WA CHRISTOS ASSEMBLIES OF GOD (CAG) KUJENGA MAKANISA 12,500 VIJIJINI NA MJINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 33

  • @winfridalazaro296
    @winfridalazaro296 9 дней назад +4

    Mungu uliye juu mbinguni,nakuomba Kwa jina la Yesu,mbariki huyu mtumishi wako pamoja na familia yake,bariki uzao wa viuno vyake ,amen.

  • @victorcephas3618
    @victorcephas3618 2 дня назад

    Kitambo sana Bishop tangu enzi zile za Tanzania Itubu nakukumbuka sana.
    Hakuna wa kuzuia baraka zangu by power by force

  • @christfamilychurch-cfctanz4270
    @christfamilychurch-cfctanz4270 9 дней назад +3

    Ninamtukuza sana Mungu kwa ajili yako Arch Bishop Rev. Florian Katunzi, Hakika hata sasa yeye ni Ebeneza, Umepewa unyenyekevu mkubwa sana!!!!
    Msalimie sana afande( Mama Askofu) najua ana mchango mkubwa sana katika hatua hii!!!
    Mungu awatunze hakika!!!!

  • @sweetbartmpanju6052
    @sweetbartmpanju6052 6 дней назад +1

    Sura ya Kristo ndani yako,imeonekana ,aliposema nitalivunja Ekaru hili nakulijenga kwasku tatu hawakuamini,Bwana ametenda , kichwa Yesu, mikono Bshop Katunzi,ubalikiwe sana na Hapybathday

  • @johnboscokiringo2398
    @johnboscokiringo2398 3 дня назад

    Big up Archbishop!

  • @leonardkajuna1213
    @leonardkajuna1213 3 дня назад

    Amina

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 5 дней назад +1

    Mungu anisamehe kama niliwahi kukufikilia vibaya hakika nia ya utumishi na uaminifu vinazihilika katika matendo Yesu Kristo akutie nguvu zaidi.

  • @davidmdadila4080
    @davidmdadila4080 8 дней назад +2

    MUNGU akubariki Sana mtumishi wa MUNGU nakupenda

  • @sinaimissions7554
    @sinaimissions7554 6 дней назад +1

    Hongeraaaaa Bishop. Nimnependa hatua zako

  • @adelinapesha6556
    @adelinapesha6556 9 дней назад +1

    Hongera Sana ASKOFU MKUU kwa hatua kubwa ambayo Mungu wa mbinguni amekufikisha. Nimejifunza Kitu kikubwa Sana kwako.

  • @heriethinnocent3283
    @heriethinnocent3283 8 дней назад +1

    Oooooooh yes. Asante Yesu kwa ajili ya neno. Sitakataa taama.

  • @eliasimoni4851
    @eliasimoni4851 9 дней назад +1

    Nimeupenda huu wimbo❤❤ upo you tube "hakika tunae Bwana wa vita" barikiwa sana baba askofu katunzi

  • @juliuskuluo8876
    @juliuskuluo8876 8 дней назад +1

    Mungu akubariki sana zaidi ya fikira za kibinadamu

  • @MlangwadavidDavidjohn
    @MlangwadavidDavidjohn 6 дней назад +1

    Baba MUNGU wa mbinguni akawe pamoja na wewe ninakufuatilia sana BABA yangu ninaitwa David kutoka Arusha

  • @JustineMollel-s9g
    @JustineMollel-s9g 8 дней назад +1

    Mungu na akubariki mtumishi wa mungu

  • @johansenf.mrengimrengi7050
    @johansenf.mrengimrengi7050 9 дней назад +1

    Hallelujah, Utukufu Kwa Mungu juu ktk Jina la Yesu!!

  • @bartonlesilwa2153
    @bartonlesilwa2153 9 дней назад +1

    Amen

  • @afonsozacariasaide175
    @afonsozacariasaide175 8 дней назад

    Rev, eu sou pastor sénior da igreja Missão cristã fraternidade de Moçambique, gosto muito do seu sonho no ministério de Cristo
    Deus abençoe

  • @ryobanchagwa2499
    @ryobanchagwa2499 9 дней назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @EstermsuyaMsuya
    @EstermsuyaMsuya 9 дней назад +1

    Ameen

  • @AmonSimfukwe-t7r
    @AmonSimfukwe-t7r 8 дней назад +1

    kwakweli nimepata nguvu kubwa sana kuendelea na utumishi

  • @EdwinMtokambali
    @EdwinMtokambali 5 дней назад

    Hakika una maono makubwa na mahubiri yako yapo mulemule kwenye injili ya kweli.

  • @elishaanyosisye4078
    @elishaanyosisye4078 9 дней назад +1

    UKUU HATA UKUU

  • @VictorjeremiaJeremia
    @VictorjeremiaJeremia 9 дней назад +2

    Sasa je wakubari wakatae Yesu wa kweli tutamtaja haijarishi tuko wapi

  • @musakatwale1959
    @musakatwale1959 9 дней назад +1

    MAKANISA MENGI YA KIPENTEKOSTE YANA SHIDA YA UONGOZI WA JUU,KUNA ROHO YA KUWAPINGA WATU WANAPOKUWA MAARUFU KIINJILI SIJUI KAMA NAO HUJIINUA? LAKINI MWISHOWE HUAMUA KUKIMBIA MFANO KULOLA MOSES N.K.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano 4 дня назад

    Kanisa sio jengo lenye jina fulani huo ni MPANGO WA SHETANI KUFARAKANISHA WATU WA MUNGU, kanisa ni mtu aliyekamilika katika cheo na kimo cha ukamilifu wa kristo, Mungu hakai kwenye hayo majengo, Matendo ya mitume 17:24-27. Acheni kudanganya watu hayo ni majina ya makufuru, ufunuo wa Yohana 17:3.

    • @moseshaule586
      @moseshaule586 2 дня назад +1

      kwa hiyo kama kanisa sio jengo tusijenge makanisa. Tutasalia wapi sasa au wewe mwenzetu hausalii kwenye jengo? Wapi tuambie tujue.

    • @MjumbeAgano
      @MjumbeAgano 2 дня назад

      @@moseshaule586 Imeandikwa ndio yenu na iwe ndio na hapana yenu na iwe hapana, Je? Umeagizwa na nani maana yazidiyo ndio yatoka kwa mwovu, kanisa la Yesu ni lipi alijenga wapi na linaitwaje,
      Au mitume wa Yesu walijenga kanisa lipi na linaitwaje? Matendo ya mitume 17:24-26, Sasa kama Mungu hakai humo anayekaa humo ni SHETANI na majini na roho za uchafu.

  • @mbuerecarlos1396
    @mbuerecarlos1396 5 дней назад +1

    Nauliza hilo kanisa liko wapi ndani ya Tanzania Liko sehemu gani.Sababu makanisa mengi yanajengwa Miji mikuu. Wanasahau kwenye mikoa yao .Ni mmoja nimemuona Askofu Robert Yule wa Karagwe ndiye pekee Ali jengo kwao Kanisa kubwa sana wengi wanataka kila Kona kwenda kule.

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga 9 дней назад +1

    Ameeen

  • @JACKSONKAMUZORA
    @JACKSONKAMUZORA 8 дней назад +1

    Ameeen

  • @ebenezermachange-zp4es
    @ebenezermachange-zp4es 9 дней назад +1

    Amen