Nilikua katika uraibu wa zinaa lakini nashukuru mungu kwa kufunga na kuomba niliacha kabisa hata sikumbuki nangoja mme mwema anaye mwogopa mungu na kumheshimu.
Mchungaji mungu asifiwe akubariki leo nimebariwa mutukumbuke kwa malombi tutembee katika njia ya bwana Mimi ni ndugu yenu katika Imani jina languni kitungwa dunia Douglas mchungaji Na wote walio pamoja nawe tunaitaji usaada wa maombi yenu kwani mke wangu atapita kwenye opération
mchawi alisosema ni sahihi kuna nukuu inayosema kua Shetani kumjaribu Mtu wa Mungu,huaga anaomba ruhusa kwa Mungu,Nae Mungu humpatia ruhusa ya kukujaribu huku akimpa mipaka ya kutokuvuka,na hata kwa hili,Yesu anakua anakuombea ili upate Nguvu za kulishinda Jaribu na ndio maana inasemwa ya kwamba majaribu hayamkuti mtu ambae Mungu hajaweka ndani yake uwezo wa kuyashinda!!
Eeee MUNGU naamini jibu la NDUGU YANGU juu ya TIBA yake umeshalipisha KIBALI kinatoka KWAKO. WATU WATESI wangu WOTE wanyamazishwe na waamini njia za MUNGU hazichunguziki kamwe. Haleluya.
Tangu kukupata nimeona majibu ya maswali yangu mengi sana Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu alie juu sana ,,,,,,,wa Afríka Mungu ama tujia pia ,,,, ame tukumbuka kabisa......🇨🇩🇨🇩
Mchungaji namshukuru mungu jambo nisomo la muda ila namshukuru mungu kwakunifungua na kuachwa huru kuwa mpya kila sikuu asnte yesu umenitoa kwenye giza nene asante bwana wa majeshiiii
Nimeamini sauti ya mungu imenena ndani yangu ila nilipuuzia lakini nimepat majibu nikajua kweli nimungu alinisemeshaaa na sikuusikia nimetubu naamini mungu amenisamehee
Pastor oooh UMENENA kweli kabisa, vishetani vibaya vibaya vibaya, kwani sina NGUVU ya kuwapiga, NAOMBA MUNGU MWENYEWE awapige kiasi kwamba hawatajua nani anawapiga lkn wapigwe kwa kishondo mshindo mkubwa na bwana yesu na jamii ishuhudie na asiwepo mwingine wa kujaribu kufanya kama hawa.
Ubarikiwe pastor MUNGU AKUBARIKI
Nakupenda pasta MUNGU aendeleee kukutunza uzidii kutupa mafundisho
Asante sana Mwenyezi Mungu Kwaku nibadilisha tabia zangu
Nabarikiwa Sana Pastor na mahubiri yako Mungu Azidi kukutunza Amen.
Moyo wangu unafarijika sana ninavosikiliza mahubiri haya
Mungu akulinde Sanaa naomba ukemee na pepo la ukaaba tazania kwasasa
Mafunzo mazuri sana mchunguja, Barikiwa🤲🙏🏿🙏🏿
Nilikua katika uraibu wa zinaa lakini nashukuru mungu kwa kufunga na kuomba niliacha kabisa hata sikumbuki nangoja mme mwema anaye mwogopa mungu na kumheshimu.
Mungu atukuzwe
Hujui tu pastor vile huwa natafuta mahubiri yako nabarikiwa sana sana
Mchungaji mungu asifiwe akubariki leo nimebariwa mutukumbuke kwa malombi tutembee katika njia ya bwana Mimi ni ndugu yenu katika Imani jina languni kitungwa dunia Douglas mchungaji Na wote walio pamoja nawe tunaitaji usaada wa maombi yenu kwani mke wangu atapita kwenye opération
MUNGU ATENDE MUUJIZA
Mungu atakubaliki Sana mtumishi na Mimi niombe kunakitu kinaleta ukuta katika kufikia malengo yangu ya chuo
Mungu akutendee
Mungu nihirume baba yesus nihirume 😢
Barikiwa pastor; kwa neema zake Mungu baraka hizi zikawafikie na wengine sote tuongozwe katika njia zake
mchawi alisosema ni sahihi kuna nukuu inayosema kua Shetani kumjaribu Mtu wa Mungu,huaga anaomba ruhusa kwa Mungu,Nae Mungu humpatia ruhusa ya kukujaribu huku akimpa mipaka ya kutokuvuka,na hata kwa hili,Yesu anakua anakuombea ili upate Nguvu za kulishinda Jaribu na ndio maana inasemwa ya kwamba majaribu hayamkuti mtu ambae Mungu hajaweka ndani yake uwezo wa kuyashinda!!
Mungu akubariki sana Mtumishi wa mungu
Pastor you are really blessing me
Mungu fungua fikira zangu nitoke kwenye machungu
Ubarikiwe mchungaji🙏🙏🙏🙏
Asantii pst mahubiri haya yananifanya kusogea mbele za mungu,God bless you
MUNGU BABA na azidi kuku jaza roho mtakatifu na hekima ili ulimwengu uwone utukufu wa MUNGU
ushindi kwa Yesu ni hakika
Balikiwa sana mchunganji kwa mafundisho unayo towa
Ur always my favorite and best.Uzidi kubarikiwa na uishi miaka mingi naheri duniani
Ulichosema pasta ni kweli
Eeee MUNGU naamini jibu la NDUGU YANGU juu ya TIBA yake umeshalipisha KIBALI kinatoka KWAKO. WATU WATESI wangu WOTE wanyamazishwe na waamini njia za MUNGU hazichunguziki kamwe. Haleluya.
Pastor Mmbaga nakupenda sana kutoka Rwanda
Kwa hekima zako wewe ndiye Ps Rutayisire Antoine wa Rwanda
Pr barikiwa sana mahubiri haya Mungu anifungue macho nione mbele 🙏🙏🙏🙏🙏
Amina Amina nimebarikiwa sana na somo hili nimerudia zaidi ya mara2 ❤❤❤ Mungu akubariki pastor mbanga pamoja na family yako
Barikiwa paster
Tangu kukupata nimeona majibu ya maswali yangu mengi sana Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu alie juu sana ,,,,,,,wa Afríka Mungu ama tujia pia ,,,, ame tukumbuka kabisa......🇨🇩🇨🇩
Amina mchungaji
Amen amen 🙏 be blessed pst May God protect you and u family
Uishi miaka 150 uokoe roho nyingi
Ameeeen Ameeeen Ameeeen aishi hata na zaidi kama wafalme wa zamani aki na daudi walivyokuwa wanaishi hata zaidi ya myaka Mia 200
Pasta unanipa mafundisho mema yananifanya nibadilike
Mungu alinionyesha njia za haki
Halleluyah yesu niongeze katika njia zako nimeteseka kwa mda mrefu lakini Leo utaniongoza katika njia sahihi Amina
Hakika,Umenibariki Pastor. Mungu baba akutangulie na kukupa maisha marefu.
Mchungaji namshukuru mungu jambo nisomo la muda ila namshukuru mungu kwakunifungua na kuachwa huru kuwa mpya kila sikuu asnte yesu umenitoa kwenye giza nene asante bwana wa majeshiiii
Ameeeen
Nimeamini sauti ya mungu imenena ndani yangu ila nilipuuzia lakini nimepat majibu nikajua kweli nimungu alinisemeshaaa na sikuusikia nimetubu naamini mungu amenisamehee
Amen
Nko na uraibu wa zinaa lakini baada ya kukusikiza niliacha kabisa na ninaichukia hiyo tabia sana
I connected for my children to stop substance abuse.
In Jesus mighty name
Nahis furaha
AMEEEN MTUMISHI
pasta ubarikiwenabwana,
God bless you pastor ,I'm growing daily, may God continue using you and keep you in good health.
l
Amina
Pr niombee nitoke kwenye uraibu wa machungu
Mnda wote napokusikiliza uwa na barikiwa sawa when you preaching can’t get tiyed of you god bless you pastor
Aki mchungaji MUNGU WA mbinguni awabariki sana,
Ila Leo umenichekesha sana bendi 1😂😂😂😂😂
Pastor oooh UMENENA kweli kabisa, vishetani vibaya vibaya vibaya, kwani sina NGUVU ya kuwapiga, NAOMBA MUNGU MWENYEWE awapige kiasi kwamba hawatajua nani anawapiga lkn wapigwe kwa kishondo mshindo mkubwa na bwana yesu na jamii ishuhudie na asiwepo mwingine wa kujaribu kufanya kama hawa.
Pastor I like your preaching because hakuna sehem unapaluka unagusa kila seem am so blessing
Niseme je ila kushukuru mungu na akukubuke sana Pastor Mbaga umenisaidia sana kwa mahubiri yako🙏🙏🙏🙏
Ninamshukuru MUNGU WETU wa MBINGUNI nimepokea uponyaji katika ombi hili🙏
Mwenyezi Mungu azidi kukupa maisha marefu...we love you so much!..
amen sana mchungaji nakupenda sana mungu akupe siku nyingi za kuishi ili utufundishe neno la mungu
Nakukubali sana Mungu azidi kukupa hekima na maarifa
Baba nifinike mm na family yangu na damu ya Yesu kristu
Amen
Stay blessings pastor Mbaga am so blessed only God can give your need 🙏
Imenilazimu kuludia hili somo
Bwana akubariki sana pr. Huwa unanibariki sana nikikusikiliza
Lead me in your ways ooh Lord
Mungu akubariki sana pr mmbaga
Nipate neema mbele Zako bwana barikiwa sana
Nipate neema mbele Zako bwana barikiwa Mtumishi
Asante aba kwa mtu huyu maishani mwetu
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Sa mchungaji je ukiwa ume fanya zinaaa na mchumba wako kabla ya ndoa hiyo nayo Bado ni dhambi mbele za mungu?????😔 please tujibu 🧎
Kutoka 20:14 Usizini. Thou shalt not commit adultery.
Amina mtushii mungu aendelee kukutumia baba
Amen. Ubarikiwe pastor Mbaga
I say waweka wazi kabisa tutupu
Amen pastor ubarikiwe
Amen amen 🙏🙏,be blessed pastor
🙏👊✌️.
Thanks pastor for the good message. God continually bless you
Amina
Mchungaji ulisema hivyo ndoa zote zitavunjika maana mme mnaaza kujadili vizuri lakini mwisho wake ni shidaaa
BWANA AKUBARIKI PASTOR
amina pastor
Pastor umenichekesha eti ukichwa wiki mambo hayashiki😅😅😅😅😅
Amina 🇨🇩
Amen Amen
Amen 🙏
Toka songea
Amina Amina
PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAko
PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAKO
MUNGU atusaidie AMINA
Nataka kuongea na yeye please
Gehazi bwana 😂 alikua anatabia kama za wasaidizi wa waganga wa kienyeji, wana mikwara
Hii church ya pastor mmbaga Iko side gani hiku Nairobi plz
Uliza s.d.a church utakuwa umefika
Mnisaindie number ya pastor mmbaga plz.niko kenya
Nabarikiwa Sana Pastor na mahubiri yako Mungu Azidi kukutunza Amen.
Mungu akulinde Sanaa naomba ukemee na pepo la ukaaba tazania kwasasa
Amen
Mungu akubariki sana Pr.
Amen and Amen
PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAKO
Amen