TAMBUA NJIA ZA MUNGU MAISHANI SEH 2 | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 109

  • @angelmndambi8454
    @angelmndambi8454 27 дней назад +1

    Ubarikiwe pastor MUNGU AKUBARIKI

  • @EvaGregory-bk4sk
    @EvaGregory-bk4sk Год назад +7

    Nakupenda pasta MUNGU aendeleee kukutunza uzidii kutupa mafundisho

  • @AmaniIkomoelo
    @AmaniIkomoelo Месяц назад

    Asante sana Mwenyezi Mungu Kwaku nibadilisha tabia zangu

  • @janethgreysonmakengomakeng4145
    @janethgreysonmakengomakeng4145 6 месяцев назад

    Nabarikiwa Sana Pastor na mahubiri yako Mungu Azidi kukutunza Amen.

  • @BeatriceMathew-qy5lw
    @BeatriceMathew-qy5lw Месяц назад

    Moyo wangu unafarijika sana ninavosikiliza mahubiri haya

  • @user-uh9td3ti2z
    @user-uh9td3ti2z Год назад

    Mungu akulinde Sanaa naomba ukemee na pepo la ukaaba tazania kwasasa

  • @marynasyieki3783
    @marynasyieki3783 6 месяцев назад

    Mafunzo mazuri sana mchunguja, Barikiwa🤲🙏🏿🙏🏿

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 9 месяцев назад

    Nilikua katika uraibu wa zinaa lakini nashukuru mungu kwa kufunga na kuomba niliacha kabisa hata sikumbuki nangoja mme mwema anaye mwogopa mungu na kumheshimu.

  • @kwandundaki8568
    @kwandundaki8568 10 месяцев назад

    Hujui tu pastor vile huwa natafuta mahubiri yako nabarikiwa sana sana

  • @RamazaniLumbu
    @RamazaniLumbu 11 месяцев назад

    Mchungaji mungu asifiwe akubariki leo nimebariwa mutukumbuke kwa malombi tutembee katika njia ya bwana Mimi ni ndugu yenu katika Imani jina languni kitungwa dunia Douglas mchungaji Na wote walio pamoja nawe tunaitaji usaada wa maombi yenu kwani mke wangu atapita kwenye opération

  • @florianmeshack-e8e
    @florianmeshack-e8e 2 месяца назад

    Mungu atakubaliki Sana mtumishi na Mimi niombe kunakitu kinaleta ukuta katika kufikia malengo yangu ya chuo

  • @raphaelmuiris7517
    @raphaelmuiris7517 6 месяцев назад

    Mungu nihirume baba yesus nihirume 😢

  • @aloycelyimo1518
    @aloycelyimo1518 Год назад +1

    Barikiwa pastor; kwa neema zake Mungu baraka hizi zikawafikie na wengine sote tuongozwe katika njia zake

  • @VingungutiSda
    @VingungutiSda 29 дней назад

    mchawi alisosema ni sahihi kuna nukuu inayosema kua Shetani kumjaribu Mtu wa Mungu,huaga anaomba ruhusa kwa Mungu,Nae Mungu humpatia ruhusa ya kukujaribu huku akimpa mipaka ya kutokuvuka,na hata kwa hili,Yesu anakua anakuombea ili upate Nguvu za kulishinda Jaribu na ndio maana inasemwa ya kwamba majaribu hayamkuti mtu ambae Mungu hajaweka ndani yake uwezo wa kuyashinda!!

  • @magretmwinukafarijala
    @magretmwinukafarijala Месяц назад

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa mungu

  • @EverlyneAjayo
    @EverlyneAjayo Месяц назад

    Pastor you are really blessing me

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 9 месяцев назад

    Mungu fungua fikira zangu nitoke kwenye machungu

  • @user-um1iw8rf1x
    @user-um1iw8rf1x 10 дней назад

    Ubarikiwe mchungaji🙏🙏🙏🙏

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi8211 Год назад +2

    Asantii pst mahubiri haya yananifanya kusogea mbele za mungu,God bless you

  • @BonfaceSikuku-rw3io
    @BonfaceSikuku-rw3io Год назад

    MUNGU BABA na azidi kuku jaza roho mtakatifu na hekima ili ulimwengu uwone utukufu wa MUNGU

  • @user-ih7rz4rf3i
    @user-ih7rz4rf3i 10 месяцев назад

    ushindi kwa Yesu ni hakika

  • @user-tp8to4sv9x
    @user-tp8to4sv9x 10 месяцев назад

    Balikiwa sana mchunganji kwa mafundisho unayo towa

  • @fridahnanyokie372
    @fridahnanyokie372 Год назад +2

    Ur always my favorite and best.Uzidi kubarikiwa na uishi miaka mingi naheri duniani

  • @deborahayubu6866
    @deborahayubu6866 Год назад

    Ulichosema pasta ni kweli

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Год назад +1

    Eeee MUNGU naamini jibu la NDUGU YANGU juu ya TIBA yake umeshalipisha KIBALI kinatoka KWAKO. WATU WATESI wangu WOTE wanyamazishwe na waamini njia za MUNGU hazichunguziki kamwe. Haleluya.

  • @Grace-ts2rf
    @Grace-ts2rf Год назад +1

    Pastor Mmbaga nakupenda sana kutoka Rwanda
    Kwa hekima zako wewe ndiye Ps Rutayisire Antoine wa Rwanda

  • @eustina0
    @eustina0 Год назад +2

    Pr barikiwa sana mahubiri haya Mungu anifungue macho nione mbele 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 Год назад +1

    Amina Amina nimebarikiwa sana na somo hili nimerudia zaidi ya mara2 ❤❤❤ Mungu akubariki pastor mbanga pamoja na family yako

  • @DottoChiriko-wj6dm
    @DottoChiriko-wj6dm Год назад

    Barikiwa paster

  • @user-hg6ru8ib2q
    @user-hg6ru8ib2q 10 месяцев назад

    Tangu kukupata nimeona majibu ya maswali yangu mengi sana Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu alie juu sana ,,,,,,,wa Afríka Mungu ama tujia pia ,,,, ame tukumbuka kabisa......🇨🇩🇨🇩

  • @user-um1iw8rf1x
    @user-um1iw8rf1x 10 дней назад

    Amina mchungaji

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 Год назад +2

    Amen amen 🙏 be blessed pst May God protect you and u family

  • @user-jx2nc1bz7v
    @user-jx2nc1bz7v Год назад +4

    Uishi miaka 150 uokoe roho nyingi

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 Месяц назад +1

      Ameeeen Ameeeen Ameeeen aishi hata na zaidi kama wafalme wa zamani aki na daudi walivyokuwa wanaishi hata zaidi ya myaka Mia 200

  • @PhebiElias-rw9ns
    @PhebiElias-rw9ns Год назад +1

    Pasta unanipa mafundisho mema yananifanya nibadilike

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 9 месяцев назад

    Mungu alinionyesha njia za haki

    • @Joy-mm1ut
      @Joy-mm1ut 4 месяца назад

      Halleluyah yesu niongeze katika njia zako nimeteseka kwa mda mrefu lakini Leo utaniongoza katika njia sahihi Amina

  • @negwamwaipopo6467
    @negwamwaipopo6467 Год назад +1

    Hakika,Umenibariki Pastor. Mungu baba akutangulie na kukupa maisha marefu.

  • @user-kx6ss2vc8p
    @user-kx6ss2vc8p Год назад +1

    Mchungaji namshukuru mungu jambo nisomo la muda ila namshukuru mungu kwakunifungua na kuachwa huru kuwa mpya kila sikuu asnte yesu umenitoa kwenye giza nene asante bwana wa majeshiiii

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Год назад

      Ameeeen

    • @user-kx6ss2vc8p
      @user-kx6ss2vc8p Год назад +1

      Nimeamini sauti ya mungu imenena ndani yangu ila nilipuuzia lakini nimepat majibu nikajua kweli nimungu alinisemeshaaa na sikuusikia nimetubu naamini mungu amenisamehee

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Год назад

      Amen

  • @nancyonyiego307
    @nancyonyiego307 Год назад

    Nko na uraibu wa zinaa lakini baada ya kukusikiza niliacha kabisa na ninaichukia hiyo tabia sana

  • @leilahjaye6413
    @leilahjaye6413 Год назад +3

    I connected for my children to stop substance abuse.
    In Jesus mighty name

  • @JAMESALBANO-uv5kt
    @JAMESALBANO-uv5kt Год назад

    Nahis furaha

  • @gracekisaka8461
    @gracekisaka8461 Год назад

    AMEEEN MTUMISHI

  • @GidionBuholela-pt7sm
    @GidionBuholela-pt7sm Год назад

    pasta ubarikiwenabwana,

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo3637 Год назад +1

    God bless you pastor ,I'm growing daily, may God continue using you and keep you in good health.

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 9 месяцев назад

    Pr niombee nitoke kwenye uraibu wa machungu

  • @tantinemissi4801
    @tantinemissi4801 Год назад

    Mnda wote napokusikiliza uwa na barikiwa sawa when you preaching can’t get tiyed of you god bless you pastor

  • @ywydhhd7941
    @ywydhhd7941 Год назад

    Aki mchungaji MUNGU WA mbinguni awabariki sana,
    Ila Leo umenichekesha sana bendi 1😂😂😂😂😂

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Год назад

    Pastor oooh UMENENA kweli kabisa, vishetani vibaya vibaya vibaya, kwani sina NGUVU ya kuwapiga, NAOMBA MUNGU MWENYEWE awapige kiasi kwamba hawatajua nani anawapiga lkn wapigwe kwa kishondo mshindo mkubwa na bwana yesu na jamii ishuhudie na asiwepo mwingine wa kujaribu kufanya kama hawa.

  • @giftsimbeye347
    @giftsimbeye347 Год назад

    Pastor I like your preaching because hakuna sehem unapaluka unagusa kila seem am so blessing

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 Год назад

    Niseme je ila kushukuru mungu na akukubuke sana Pastor Mbaga umenisaidia sana kwa mahubiri yako🙏🙏🙏🙏

  • @esterkaogo2390
    @esterkaogo2390 Год назад

    Ninamshukuru MUNGU WETU wa MBINGUNI nimepokea uponyaji katika ombi hili🙏

  • @ariellatm8741
    @ariellatm8741 Год назад

    Mwenyezi Mungu azidi kukupa maisha marefu...we love you so much!..

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 Год назад

    amen sana mchungaji nakupenda sana mungu akupe siku nyingi za kuishi ili utufundishe neno la mungu

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Год назад

    Nakukubali sana Mungu azidi kukupa hekima na maarifa

  • @lennysam4126
    @lennysam4126 Год назад

    Baba nifinike mm na family yangu na damu ya Yesu kristu

  • @AdrianoChacha-yw2yb
    @AdrianoChacha-yw2yb Год назад

    Amen

  • @giftsimbeye347
    @giftsimbeye347 Год назад

    Stay blessings pastor Mbaga am so blessed only God can give your need 🙏

  • @latestfunnyvideo2187
    @latestfunnyvideo2187 16 дней назад

    Imenilazimu kuludia hili somo

  • @DeoMollamu-ey4tk
    @DeoMollamu-ey4tk Год назад

    Bwana akubariki sana pr. Huwa unanibariki sana nikikusikiliza

  • @akinyiroselyne2697
    @akinyiroselyne2697 Год назад

    Lead me in your ways ooh Lord

  • @emanuelymrombo9900
    @emanuelymrombo9900 Год назад

    Mungu akubariki sana pr mmbaga

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 Год назад

    Nipate neema mbele Zako bwana barikiwa sana

  • @adellahchipanyanga5107
    @adellahchipanyanga5107 Год назад

    Nipate neema mbele Zako bwana barikiwa Mtumishi

  • @ernestmhilya960
    @ernestmhilya960 Год назад

    Asante aba kwa mtu huyu maishani mwetu

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 Год назад

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu

  • @magrethjuma8515
    @magrethjuma8515 Год назад

    Sa mchungaji je ukiwa ume fanya zinaaa na mchumba wako kabla ya ndoa hiyo nayo Bado ni dhambi mbele za mungu?????😔 please tujibu 🧎

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Год назад

      Kutoka 20:14 Usizini. Thou shalt not commit adultery.

  • @janethfwamba8561
    @janethfwamba8561 Год назад

    Amina mtushii mungu aendelee kukutumia baba

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Год назад

    Amen. Ubarikiwe pastor Mbaga

  • @adorymongish2972
    @adorymongish2972 Год назад

    I say waweka wazi kabisa tutupu

  • @user-bw6rr7rp5c
    @user-bw6rr7rp5c Год назад

    Amen pastor ubarikiwe

  • @sarahemukule
    @sarahemukule Год назад

    Amen amen 🙏🙏,be blessed pastor

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад

    🙏👊✌️.

  • @ruthmagare8725
    @ruthmagare8725 Год назад

    Thanks pastor for the good message. God continually bless you

  • @happynessisack7918
    @happynessisack7918 Год назад

    Mchungaji ulisema hivyo ndoa zote zitavunjika maana mme mnaaza kujadili vizuri lakini mwisho wake ni shidaaa

  • @eliyaedward
    @eliyaedward Год назад

    BWANA AKUBARIKI PASTOR

  • @danielfesto489
    @danielfesto489 Год назад

    amina pastor

  • @kwandundaki8568
    @kwandundaki8568 10 месяцев назад

    Pastor umenichekesha eti ukichwa wiki mambo hayashiki😅😅😅😅😅

  • @zirhumanafiston9174
    @zirhumanafiston9174 Год назад

    Amina 🇨🇩

  • @leilahjaye6413
    @leilahjaye6413 Год назад

    Amen Amen

  • @user-is9iv7fd3i
    @user-is9iv7fd3i Год назад

    Amen 🙏

  • @esterkaogo2390
    @esterkaogo2390 Год назад

    Toka songea

  • @daud8785
    @daud8785 Год назад

    Amina Amina

  • @DottoChiriko-wj6dm
    @DottoChiriko-wj6dm Год назад

    PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAko

  • @DottoChiriko-wj6dm
    @DottoChiriko-wj6dm Год назад

    PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAKO

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Год назад

    MUNGU atusaidie AMINA

  • @user-is9iv7fd3i
    @user-is9iv7fd3i Год назад

    Nataka kuongea na yeye please

  • @apostlezizi
    @apostlezizi Год назад

    Gehazi bwana 😂 alikua anatabia kama za wasaidizi wa waganga wa kienyeji, wana mikwara

  • @user-is9iv7fd3i
    @user-is9iv7fd3i Год назад

    Hii church ya pastor mmbaga Iko side gani hiku Nairobi plz

    • @NkwayaDotto
      @NkwayaDotto Год назад

      Uliza s.d.a church utakuwa umefika

  • @user-is9iv7fd3i
    @user-is9iv7fd3i Год назад

    Mnisaindie number ya pastor mmbaga plz.niko kenya

  • @janethgreysonmakengomakeng4145
    @janethgreysonmakengomakeng4145 6 месяцев назад

    Nabarikiwa Sana Pastor na mahubiri yako Mungu Azidi kukutunza Amen.

  • @user-uh9td3ti2z
    @user-uh9td3ti2z Год назад +1

    Mungu akulinde Sanaa naomba ukemee na pepo la ukaaba tazania kwasasa

  • @Calton898
    @Calton898 Год назад

    Amen

  • @Boreshandotoyako
    @Boreshandotoyako Год назад

    Mungu akubariki sana Pr.

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 Год назад

    Amen and Amen

  • @DottoChiriko-wj6dm
    @DottoChiriko-wj6dm Год назад

    PASTER MUNGU AKUTUNZE NAVUTIWA NA HUDUMA YAKO

  • @rhinakiza
    @rhinakiza Год назад

    Amen