MAOMBI YA KUTAMKA | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 124

  • @MaombiJofre-k8m
    @MaombiJofre-k8m 11 месяцев назад +5

    Amen hakika kuanzia leo naenda kutamka mema maishani mwangu kwa jina la YES I KRISTO ,na kila neno baya la laana nililojitamkia au nililo tamkiwa Nalibatilisha na kulifuta kwa Damu ya YESU KRISTO AMEN naamini imekuwa 🙏🙏🙏

  • @ruthnyakundi6861
    @ruthnyakundi6861 9 месяцев назад +4

    Natamka kupata kazi na ushindi kwa yesu katika jina la yesu kristo

  • @JoyceKadii-b8y
    @JoyceKadii-b8y Год назад +5

    Natamka kufunguliwa Kwa uchumi wa mume wangu Kwa jina la jesu amen amen amen🤱

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Год назад +7

    Pastor David Mmbaga, maneno yananikosa, naomba Mungu anikutanishe nawe siku moja, naishi Sweden 🙏

  • @ISAYAMAULID
    @ISAYAMAULID 9 месяцев назад +4

    Natamka baraka katika maisha yangu pia zaidi roho mtakatifu awe ndan yangu Amen🙏🙏

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 Год назад +4

    Natamka Baraka Kwa watoto wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏❤

  • @sue743
    @sue743 Год назад +8

    Maombi haya ya kutamka mema yawe yangu kwa Jina kuu la Yesu, Amen

  • @EllenMbota
    @EllenMbota Год назад +5

    Amen Amen Mungu akubariki san mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mtaamu san mwenye nguvu ubarikiwe san

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 Год назад +12

    Natamka Kufunguliwa kwa UCHUMI wa mume wangu Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏♥️

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb 10 месяцев назад +3

    Amen pastor mungu akubariki zaiidi na siku zote

  • @evasesoa8437
    @evasesoa8437 10 месяцев назад +1

    Neno ni zuri kutamka lazima tutamke maneno mazuri kwa watoto wetu

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Год назад +3

    Mungu akupe haja ya moyo wako paster na waumini wote Ameen

  • @priscaalphonce1662
    @priscaalphonce1662 Год назад +3

    Mungu azidi kukubariki,kukupa uzima na afya njema wewe pamoja na uzao wako na wote wanaomtumikia Mungu katika kweli yote baraka hizi Mungu awape.

  • @jacquelinesalugole6400
    @jacquelinesalugole6400 Год назад +2

    Natamka baraka kwangu na watoto wangu na mme wangu kwa jina la Yesu

  • @fermeagro-pastoraledekaghu2589
    @fermeagro-pastoraledekaghu2589 Месяц назад

    Pastor Mungu akubariki sana kwa fundisho hili nzuri. Kweli sisi wenyewe tumebaki tukisumbuliwa na umaskini sababu ya kujitamkiya vibaya. Tangu leo Mungu atusamehe kabisa. Tunaenda kuanza na maombi ya kutamka ili Mungu afungue familia zetu, afungue watoto wetu, afungue biashara zetu kwa jina la Yesu.

  • @MaryanneAuma-l4u
    @MaryanneAuma-l4u 2 месяца назад

    Asante sana pastor mmbaga..nakufatilia sana na hivi sasa nimekua nikisoma biblia.. kiukweli hapo kwa kutoa kafara sikua naelewa mbona hayo yote..but Asante nashukuru Mungu kwa hii neema yakupata haya mahubiri

  • @veronicaaugustino9521
    @veronicaaugustino9521 Год назад +3

    Mungu akubariki sana Mchungaji, hili somo litanibadilisha kwa jina la Yesu.

  • @annettegeorge2424
    @annettegeorge2424 Год назад +4

    Mungu aendelee kukupigania Pastor Mbaga

  • @ElvinaLuvuno-d7u
    @ElvinaLuvuno-d7u 9 месяцев назад +1

    Pastor asante kwà mahubiri matamu Mimi nilikiwa naendesha Sana lakini baada ya mahubiri niliomba kwa Imani Na nilipona Mungu amenitendea muujiza Amen

  • @ziporamachilu6877
    @ziporamachilu6877 Год назад +3

    Nabarikiwa na mahubiri yako wakati wote nakuombea afya njema mtumushi wa Bwana

  • @phydloramnyaka3026
    @phydloramnyaka3026 Месяц назад

    Bwana nitakase Kisha unibariki .Mtumishi barikiwa

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 Год назад +2

    Pastor Mmbaga, Mungu akubariki sana saana saaaaana 🙏♥️

  • @benjaminmuema
    @benjaminmuema Месяц назад +1

    Nimekuwa nikifanya maombi kwa kutamka, nikiomba sana na sipati majibu....but nikitamka tuuuu....naaza Kuona watenja...nikilala natamka keshoye watenja wanajaa...na sikuwa nimesikiza hiii😊😊😊😊😊😊😊...so it's treu

  • @wittiebanie3194
    @wittiebanie3194 Год назад +1

    Natamka baraka kwa maisha yangu na familia yangu siku zote za maisha yetu.. Pastor Mungu akubariki sana akupe maisha marefu

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 Год назад +3

    Amen nimebarikiwa sana siku ya Leo na nifeel uwepo Bwana Yesu

  • @FloraMmbaga-pr8er
    @FloraMmbaga-pr8er 2 месяца назад

    Nambarikkiwa sana na mahubiri yako mchungaji

  • @rebaccaewoi8882
    @rebaccaewoi8882 Год назад +2

    Pastor niombee ni jenge nyumba yangu 🙏

  • @tulimgaya6250
    @tulimgaya6250 Год назад +1

    MUNGU aendelee kukupa afya njema na maisha marefu kwaajili ya watu wake

  • @BilaliLwebula-du3gd
    @BilaliLwebula-du3gd 5 месяцев назад +1

    Nipenda mahubiri haya

  • @lizm8598
    @lizm8598 Год назад +1

    Amen barikiwa sana mtumishi 🙌kweli kutamka ni jambo jema

  • @FloraMmbaga-pr8er
    @FloraMmbaga-pr8er 2 месяца назад

    Mungu ni mwema.

  • @tabithamasesa7390
    @tabithamasesa7390 5 месяцев назад

    Kwa jina la yesu krsto natamka kufunguliwa kwa tumbo langu ameen

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 Год назад +1

    Najitamkia Kufunguliwa kiuchumi Kwa Jina la Yesu Kristo 🙏

  • @TheclaDeogratius-ol1mv
    @TheclaDeogratius-ol1mv 4 месяца назад

    Asante sana kwa hili neno .....hakika Mungu mkubwa

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 Год назад +1

    Yaani kweli upepo umeongezeka na kupungua wakati Pr akiongea.Mungu akubariki Pr umenisaidia kuanza kumuelewa Mungu

  • @neemamahenge2735
    @neemamahenge2735 Год назад +1

    Asante sana Pr, unatubariki kwa kweli.

  • @godlovemapunda774
    @godlovemapunda774 Год назад

    Eee Mungu naomba unifutia laana nilizotamukiwa ugeuze ziwe baraka kwangu kupitia m2mishi wako nabarikiwa sana namwombea afya njema na familia yake

  • @magrethmichael3881
    @magrethmichael3881 3 месяца назад

    ubarikiwe mtumishi hakika umefanyika baraka sana katika maisha yangu

  • @WivineNikola
    @WivineNikola Год назад

    Asante mchungaji ombi langu nikwamba mungu atawale maisha yangu na niishi maisha yautakoso siku zote naku tamka maneno ya baraka kwangu mimi nakwa wengine amina

  • @VeronicaKisinga
    @VeronicaKisinga Год назад +3

    🙏🙏 more blessing pastor Mbaga

  • @SigwaLusaja
    @SigwaLusaja 2 месяца назад

    Nataka kuponywa majeraha ya moyo wangu

  • @Edinahnyaboke-b9o
    @Edinahnyaboke-b9o 4 месяца назад

    Amen barikiwa sana mutumishi wa mungu mafundisho mazuri nimebarikiwa sana mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏

  • @JACQULYNEMUASA
    @JACQULYNEMUASA Год назад

    Asante mchungaji kwa neno nzuri shida yetu wasabato ni hatuamini nguvu za Mungu

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Год назад +1

    MUNGU atusaidie sana AMEN

  • @elienew3788
    @elienew3788 Год назад

    Amina Ee.Mwokozi unisafishe mimi Kabisa Baba

  • @perisbosibori8524
    @perisbosibori8524 Год назад +2

    I've learnt a lot and been blessed so much in today's message Pastor. May our good GOD give you long life and bless you abundantly for this wonderful work you're doing 🙏 🙌.

  • @eustina0
    @eustina0 Год назад

    Amina hakika Mungu nmwema naona baraka zake

  • @ElishaSedekia-w2o
    @ElishaSedekia-w2o Год назад

    Mungu anchokifanya kupitia ww nikikubw kulik unavyofaham umenifanya kuwa jeuli kwa shetan mpank ananigway

  • @MaombiJofre-k8m
    @MaombiJofre-k8m 11 месяцев назад

    Amen Barikiwa sana David Mmbaga

  • @victoriaprotas2976
    @victoriaprotas2976 Год назад

    Amina nimebarikiwà sana na SoMo hili

  • @scholarmgalla8778
    @scholarmgalla8778 6 месяцев назад

    Natamka kupata kazi kwa ushindi amina🎉

  • @omankadara6418
    @omankadara6418 Год назад

    Ameen pasita mubarikiwa sana na mahubiri yako

  • @EstherMwenze-dx6qj
    @EstherMwenze-dx6qj 3 месяца назад

    Pastor nko Kenya naomba mamba Yako unisAidie kuvunja rahana za ukoo

  • @AbellyPhilemon
    @AbellyPhilemon Год назад

    Natamka kupona na kipaa kazi kwa JINA la YESU STAUGUA TENA

  • @sarahpaschal-nj9ix
    @sarahpaschal-nj9ix 4 месяца назад

    Wimbo no ngapi huu wameimba hapa❤

  • @AmosElie
    @AmosElie Год назад

    Mungu aku zidishiye 🙏🙏🙏🙏

  • @RebecaKamwela-j1g
    @RebecaKamwela-j1g Год назад

    Ubarikiwe pastor Mmbaga kwa somo zuri.

  • @redemptakajungiro8599
    @redemptakajungiro8599 Год назад

    Pastor Mungu akubariki sana kwa kufika mitaa ya kwetu. Nimebarikiwa sana na hili somo. Maombi mengi ya kutamka niliyofanya yamekua nikiona majibu yake kwa haraka sana. Tuna mamlaka tumepewa na Mungu, tukitamka na kuamini kinakuwa.

    • @jackmasiko2583
      @jackmasiko2583 11 месяцев назад

      Jaman mwenye namba ya hyu pastor mbaga naomba anisaidie

  • @mildredmariera7733
    @mildredmariera7733 Год назад

    Amen pastor nimebarikwa

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio Год назад

    Very true, Pr! Jitamkie baraka na ushindi wa dhambi....utashinda !

  • @pacshalfrenk8982
    @pacshalfrenk8982 Год назад

    Naomba maombi Yako pr. Nipate moto nimehangaika sana.

  • @cyrusmuthee9191
    @cyrusmuthee9191 Год назад

    Pastor Mungu ni mwema juzi nimefuatilia msichana mmoja alivyo kuwa akinenea jini imulete waume za watu na alikuwa anatamka tu na analetewa , nimejua kuanzia Leo jinsi ya kutumia nguvu za Mungu Kwa utukufu wake .

    • @PheadaKasigwa
      @PheadaKasigwa Месяц назад

      Hakika neno la Mungu ni tamu na n kali kama upanga,BWANA WANGU YESU KTK JINA LAKO NATAMKA KUFUNGULIWA ZIDI YA NGUVU ZA MWOVU NA KUJAZWA NGUVU YA ROHO MTAKATIFU.

  • @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf
    @YohanaDigulaFumbuka-ug6pf Год назад

    Nabarikiwa nikiwa dar mchungaji kilio changu ni lilelile naomba kitabu chako Siri ya maombi yaliyo jibiwa naomba uumpe Kaka philimoni Asante kwa kuendeleza kutuimarisha kiimani

  • @beatricemageka0708
    @beatricemageka0708 Год назад

    Pastor Mmbaga nashukuru kwa fundisho linalonilenga mimi hapa.Sasa swali langu ni ,nafanya hiyo kazi nikiwa mbali nayo,kama shamba nitafanyaje kutamkia na ifanyike nikiwa uarabuni na shamba Kenya naomba unielekeze tafadhali, asante na ubarikiwe mtumishi

    • @joramjaphet2740
      @joramjaphet2740 Год назад +1

      Omba utumiwe picha la shamba Kisha tamka neno linatokea,Muhimu n MANENO yako yaambatane na moyo wako yaan kuyaamini hayo unayotamka

    • @faustermtavangu8212
      @faustermtavangu8212 Год назад

      Baada ya somo hili naamini maneno niliyotamka yanakuwa asante kwa somo zuri.asante Mungu.

  • @rebeccaonyando7214
    @rebeccaonyando7214 Год назад

    Amina. Nabarikiwa nikiwa Kenya.

  • @SigwaLusaja
    @SigwaLusaja 2 месяца назад

    Nataka msamaha wa dhambi

  • @LinahRwambali
    @LinahRwambali 2 месяца назад

    Sisi tuliotazama kwa RUclips tumeshindwa kuelewa ilo suala la matawi yaliopepea na kuacha jamani, ila si mbaya tumepata kakitu Fulani, ubarikiwe pastor

  • @slyviamariammariam-7262
    @slyviamariammariam-7262 3 месяца назад

    Nisamehe Yesu nitakase uovu wa kinywa changu nisijitamukie laana nijitamukie mema

  • @SaitotiHinyura
    @SaitotiHinyura Год назад +1

    Naiwe hivyo.

  • @kingmseti9205
    @kingmseti9205 Год назад

    Wellcom 🇹🇿🇰🇪 our Place Pastor

  • @raelsarange638
    @raelsarange638 Год назад

    Natamka baraka kwenye maisha yangu na familia yangu na ile ya Baba angu, maneno yote ya kutamkiwa, rahana na damu za kiukoo nimeziondoa sasa kwa Jina la YESU kristo AMEN 🙏🙏

  • @FabianiFaidaFabianiFaida-t4z
    @FabianiFaidaFabianiFaida-t4z 3 месяца назад

    Amina

  • @sylviesaidi5740
    @sylviesaidi5740 4 месяца назад

    Ubarikiwa sn post tukumbuke nas kwa sala tu

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 Год назад

    Acha hadithi za kufikirika(Mauzauza), fanya wewe sasa, sana sana utafanya mauzauza kama ya zumaridi, ambayo hata mababu zetu waliyafanya kwa kuimba, kupiga makelele. Pazia la hekalu lilipasuka katikati (kila mtu alipo ni Madhabahu kwa namna zake).

  • @NyanzobeSalula
    @NyanzobeSalula Год назад

    nabarikiwa sana na mafundisho yako pastor mungu aendelee kukupa mafunuo ili uendelee kutufundisha ili nasi tuuone utamu wa mungu jinsi anavotupenda

  • @justinchibule5692
    @justinchibule5692 Год назад

    Mafundisho mazuri Sana

  • @zirhumanafiston116
    @zirhumanafiston116 Год назад

    Amina Amina 🇨🇩

  • @Utukufuzazy
    @Utukufuzazy 7 месяцев назад

    Amen

  • @mariethanzallah6698
    @mariethanzallah6698 4 месяца назад

    Ameen

  • @SamuelKambale-yb4vk
    @SamuelKambale-yb4vk 21 день назад

    Asanta mchungaji katika mahubiri hiyo nimepata bandiliko la Kiroho na miye naanza maombi ya kutamuka

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 11 месяцев назад

    Amen!

  • @andrewmogire
    @andrewmogire 9 дней назад

    Thanks

  • @silviafurah9172
    @silviafurah9172 Год назад

    Aminaaa 🙏🙏

  • @peninamwita3399
    @peninamwita3399 Год назад

    Kiukweli jijifunze kunena mema kwa kila mtu na sio kwa watoto wetu t,pr uende mbali hadi mbinguni

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Год назад

    Amen Ameeeen

  • @LillianYatundu-yh2cn
    @LillianYatundu-yh2cn Год назад

    😭😭😭😭😭😭Am just shedng tears.... Me namka saa tisa kuomba lakini nikirud kulala naota ndoto mbaya tupuu... Hadi nime give up kuomba nami niko na shda tupu😭😭😢

    • @sarahratemo6239
      @sarahratemo6239 Год назад +1

      Usikate Tamaa katika kuomba.Mungu atakujibu kwa wakati wake.

    • @chagonjambaga5817
      @chagonjambaga5817 Год назад

      Zidi kutamka shetani anataka akukatishe tamaa

    • @zeliageorge3311
      @zeliageorge3311 Год назад

      Pole mwaya, mm nilikuwa ivo ivo lakini ckukata tamaa na pia niliomba msaada wa maombi kutoka kwa watu wa karibu yangu nilisaidika.

    • @zeliageorge3311
      @zeliageorge3311 Год назад +1

      Usikate tamaa endelea kuomba na kuomba lakini pia waweza kuomba msaada wa kusaidiwa maombi kwa mtu utakaye mwamini naamini yote yatatoweka kwa jina la Yesu.

    • @naomiissa8407
      @naomiissa8407 Год назад

      muamini mungu,, wako hajawai kumuacha mtu ndie rafikii wa kwelii wala usikate tamaa kumbuka pale akili yako inapofikia mwisho mungu ndipo hujitokeza n kutenda🙏🙏

  • @jdm1459
    @jdm1459 Год назад

    AMINA

  • @nundabe
    @nundabe Год назад

    26:26 iyo nimeikamata... Kumbe tumepewa mamlaka😳

  • @jerlaskambale5458
    @jerlaskambale5458 Год назад

    Amene

  • @jerlaskambale5458
    @jerlaskambale5458 Год назад

    Asante kwabaraka pasta ila matoyo 19:23_24 inatuchanganya???

  • @obadiazabroni6518
    @obadiazabroni6518 Год назад

    Pastor nahitaji vitabu vyako navipataje Niko Simiyu

  • @upendomaduhu1310
    @upendomaduhu1310 Год назад

    Mi natamani nikupigie nikueleze kinachonisumbua moyoni mwangu kama nipo sahihi au sipo sahihi

  • @Deogerald-gj2um
    @Deogerald-gj2um 4 месяца назад +1

    natamani kupata mahubiri yako umekuwa kwangu msaada

  • @eustina0
    @eustina0 Год назад

    Animaa❤❤❤❤

  • @BeatriceMathew-qy5lw
    @BeatriceMathew-qy5lw 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂 nimecheka kwakweli mti unauambia uongezeke unaongezeka kwel

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 11 месяцев назад

    Amen

  • @marthaseleman9957
    @marthaseleman9957 Год назад

    Amina

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig Год назад

    AMINA

    • @kwandundaki8568
      @kwandundaki8568 Год назад

      Mimi mpaka watoto wangu na msichana wangu wa kazi walikuwa wananiambia usiseme kitu maana ukisema kinakuwa kweli na hata mme wangu huwa hataki kabisa niseme neno negative jui ya jambo lolote juu yake au juu ya familia Maana maneno yanaumba kwa kweli

    • @tumainimutatembwa4343
      @tumainimutatembwa4343 Год назад

      Amen

    • @hadijaraphael8382
      @hadijaraphael8382 11 месяцев назад

      Nilisha tamka kunguliwa kwa iman

  • @edinahmoraamageto7344
    @edinahmoraamageto7344 Год назад

    Amen

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 Год назад

    Amen