NGUVU YA MSALABA WA KRISTO MAISHANI || PR. DAVID MBAGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mkutano maalumu wa kukomboa familia yako, mafundisho makuu yanaletwa na mchungaji David Mbaga. Utakutana na masomo ya afya na malezi, pamoja na masomo yenye kukutia moyo katika changamoto unazozipitia wewe kama mwanafamilia. Karibu sana.
    #pizzoonlinetv #family #familyvlog #familylove #atape #ATAPERetreat2024 #mbeya #greencity #ibadahonline #sdasermon #sdachurch #sda

Комментарии • 49

  • @annamariakambi9858
    @annamariakambi9858 10 дней назад +1

    Ubarikiwe sanaa Pastor kwa mafundisho ya ukweli

  • @annamariakambi9858
    @annamariakambi9858 10 дней назад +1

    Ufanikwe sana Pastor endelea kutupatia neno

    • @pizzoonlinetv
      @pizzoonlinetv  10 дней назад +1

      Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 4 месяца назад +3

    Nabarikiwa sana
    Mungu atusaidie tufike Mbinguni tukae nae

  • @thobiasmwalimo775
    @thobiasmwalimo775 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe pastor kwa kutufunulia haya ambayo yanatufanya turudi nyuma

  • @thobiasmwalimo775
    @thobiasmwalimo775 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe pastor kwa kutufunulia haya

  • @YohanaJames-e2j
    @YohanaJames-e2j 3 месяца назад +4

    Nilikuwa nalitafuta sana hili somo hili ubarikiwe sana

    • @pizzo9500
      @pizzo9500 17 дней назад +2

      Amina, barikiwa sana

  • @Alan-g2t
    @Alan-g2t 4 месяца назад +2

    Kwakweli mtumishi tangia nianze kusikiliza mahubili Yako nabarikiwa sana tena sana, Mungu akulinde na akutumie apendavyo yeye.

    • @pizzoonlinetv
      @pizzoonlinetv  4 месяца назад

      Hallelujah ubarikiwe sana Mwana wa Mungu

  • @Edward_Ndaro
    @Edward_Ndaro 3 месяца назад +2

    Barikiwa sana Pastor

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 3 месяца назад +1

    Mungu akutunze, Mh. Mmbaga

  • @deboramsangi360
    @deboramsangi360 4 месяца назад +9

    Hii kula au kulala Kwa mchawi inategemea na ukiroho wa mtu binafsi baba. Napenda kukusikiliza sana

  • @MariamBusele
    @MariamBusele 2 месяца назад +2

    Aminaaa

  • @jacquesmwangu1541
    @jacquesmwangu1541 4 месяца назад +2

    Hubiri hili Lina jenga tena saana mubarikiwe

  • @mshigilakarume4425
    @mshigilakarume4425 3 месяца назад +2

    Amen pasta

  • @jacquelinebyaombe9729
    @jacquelinebyaombe9729 4 месяца назад +2

    Amen

  • @MaryWanjiku-tr8ji
    @MaryWanjiku-tr8ji 4 месяца назад +1

    Asnte yesu kwaupatanisho

  • @mariamkibebeti1254
    @mariamkibebeti1254 3 месяца назад +2

    Mchungaji ubarikiwe , ila naomba unisaidie tofauti kati ya viumbe walio tupwa pamoja na shetani (pepo wa chafu na majini) na hao viumbe wengine wa sayari ambazo dhambi aikuingia.

  • @BeatriceMathew-qy5lw
    @BeatriceMathew-qy5lw 2 месяца назад +3

    Mtumishi naipate no yako ya simu nataka kuongea na wewe

  • @MurungiRaeli
    @MurungiRaeli 27 дней назад +2

    Hakika nilitazama somo hili nikafunguliwa vifungo vilivyonitesa kwa muda mrefu.
    Hata sasa kwenye kazi yangu ninaufurahia ushindi wa Yesu.

  • @BeatriceMathew-qy5lw
    @BeatriceMathew-qy5lw 2 месяца назад +2

    Nilikuwa naangalia haya mahubiri gafla simu ikapigwa na ndugu zangu ambao sio wema sana kule kijijini kwetu kumbe moja wao anaumwa nikamwambia utapona yani nina kama mwaka moja sijawai ongea nae lakin leo amepiga simu uku nasikiliza mahubiri haya

  • @MussaAdballa
    @MussaAdballa 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤🤝👆

  • @thabitawanka963
    @thabitawanka963 4 месяца назад +3

    40:57 40:59 41:01 41:02

  • @raelkerubo2276
    @raelkerubo2276 Месяц назад +1

    Nauliza ni wapi naweza pata nabari ya simu ya pastor mbaga

    • @pizzoonlinetv
      @pizzoonlinetv  17 дней назад +1

      Bofya hapa au ingia RUclips tafuta account yenye jina la Mahubiri Tv utaiona juu kabisa kwenye ukurasa huo

  • @elietuyizere4129
    @elietuyizere4129 4 месяца назад +2

    kumbe guhama duka kwasababu yaucawi ni ujinga?

    • @pizzoonlinetv
      @pizzoonlinetv  4 месяца назад +1

      Bila shaka,, inabidi uache mara Moja huo uoga🤗

  • @zabronemmanuel-eo1om
    @zabronemmanuel-eo1om 4 месяца назад +3

    Amina nabii wetu ubarikiwe sana