Mmbaga nimekusilikiza MDA mrefu Sana mafundisho yako ni mazuri sana lakini umetekwa na general conference unafundisha mafundisho laini mtumishi hutak kusema kweli ndani ya kanisa nikama unakubali Mungu wa utatu tena huongei pathfinder ni kazi ya shetani
God is great I do enjoy your sermon all the time be blessed and pray for my sister who is seriously sick , cancer ya liver my mother died of the same illness, at the same thing my other sister two years back why all this same dead same family ombea hii family sana
I have a question great controversy chapter 40 I think talks about right before Jesus comes back, some people will be in prison and others in bush and others in caves Now am having hard time to understand how people will get confused unless if it won’t be world wide crisis ?? Please someone answer my question
Clip zingine unaona watu wanashangilia na simu mikononi Wakichukua vidio ati Yesu anaonekana akiwa kwa farasi kama wingu alafu unaona watu wa comments Wanaamini ati huyo ni Kristo Mwana wa Mungu 😢😢
Sasa Nina amini kwanini wanakupiga Vita kuiba camera kudukua mtandao huu Ni kuongea ukweli.tulivyo kuwa manyumbu tutadumbukia kwenye shimo hawataki watu wasijue kitu na mitandao ndio imeumiza na kizazi hiki kabisa
Pastor Mungu wetu akubariki akupake mafuta uzidi kutufunguwa macho ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Pr.Mmbaga l'm highly impressed by your Teaching wee uwetu l'm proud of mi mpare mwiyao sembuse MALAIKA WA MUNGU Nimi mama wako Judith Kimbute
Barikiwa Sana na Mungu azidi kukuza uwezo wako wa ndani
Asntee Yesu kwa Neema hii uliyotupatia ya kusika Neno lako. Mbariki sna mtumishi wako Pr Mmbaga.
Asante Mungu.
Tupe nguvu ili tuwe tayari.
❤amen❤
Mungu azidi kukutumia uje Kenya utufundishe ,tunahitaji mafundisho kama hayo
Pastor mungu akibariki.
Mmbaga nimekusilikiza MDA mrefu Sana mafundisho yako ni mazuri sana lakini umetekwa na general conference unafundisha mafundisho laini mtumishi hutak kusema kweli ndani ya kanisa nikama unakubali Mungu wa utatu tena huongei pathfinder ni kazi ya shetani
Mungu na akubariki ntumishi
Que l'Éternel vous bénisse Aux siècles des siècles Amen.
Mungu akubarik nabarikiwa sana na ujumbe unaoutoa nakufatiria sana nikiwa hapa Burundi bujumbura
Ameen👏👏👏
May God bless you
Amen
DUUUU!!MUNGU ATUREHEMU.🙏
BARIKIWA SANA PASTOR.
Mungu awabariki baba ana kutumiya sana ❤
Amen....blessings from Kenya 🇰🇪
Stay blessed and happy pr David Mmbaga
MUNGU Akubariki mchungaji kwa mafundisho Mazuri
Amen!
God is great I do enjoy your sermon all the time be blessed and pray for my sister who is seriously sick , cancer ya liver my mother died of the same illness, at the same thing my other sister two years back why all this same dead same family ombea hii family sana
I'm from Kenya I'm kemuma Beatrice ombea dada yangu Hugo mgonjwa Cancer ya liver
Amina ❤
Amina
Sabato njema barikiwa nikiwa kinya
I have a question great controversy chapter 40 I think talks about right before Jesus comes back, some people will be in prison and others in bush and others in caves Now am having hard time to understand how people will get confused unless if it won’t be world wide crisis ?? Please someone answer my question
Ukweli pastor kuhusu TikTok hujakosea inatawala hisia za wanadamu
𝘑𝘪𝘯𝘢 𝘭𝘢 𝘉𝘞𝘈𝘕𝘈 𝘭𝘪𝘣𝘢𝘳𝘪𝘬𝘪𝘸𝘦.
Clip zingine unaona watu wanashangilia na simu mikononi Wakichukua vidio ati Yesu anaonekana akiwa kwa farasi kama wingu alafu unaona watu wa comments Wanaamini ati huyo ni Kristo Mwana wa Mungu 😢😢
Siku zote ukweli haupendwi ila tujiandae kisawasawa
Nimejaribu kulidownlord Hilo SOMO limekataa shida nn
❤❤❤
Sasa Nina amini kwanini wanakupiga Vita kuiba camera kudukua mtandao huu Ni kuongea ukweli.tulivyo kuwa manyumbu tutadumbukia kwenye shimo hawataki watu wasijue kitu na mitandao ndio imeumiza na kizazi hiki kabisa
Fungu la23 sija ona apa nitofauti ulivyo soma mchugaji
Kvp
Amekosea t kutaja fung ni fungu la 25
Ni 24-24
Amen