TUMIA MAMLAKA HII ILI KUFUNGULIWA-- PR. DAVID MMBAGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 135

  • @annamanyam2010
    @annamanyam2010 2 месяца назад +32

    Namshukuru na kumtukuza Mungu wa Mbinguni, nimepata period kwa muda wa siku 17 mfufulizo, nikaenda hospital na kupewa dawa lakini bado haikukata, lakini baada ya kujiungamanisha na maombi haya Mungu ameniponya na period imekata kabisa. Asante Mungu

  • @AgripinaKivike
    @AgripinaKivike 2 месяца назад +38

    Ila wasabato Kama tutaelewa ptr mbaga anavofundisha tutapendeza saana mabakibaki ya ufarisayo yapo Roho mtakatifu tutawale na utuongoze ameni. Haleluya

    • @daudnyore4696
      @daudnyore4696 2 месяца назад +4

      Wengi hawataki Kubadilisha Mtazamo wa kiakili

    • @neisaprince
      @neisaprince Месяц назад

      Mungu endelea kutumika kwenye maisha yangu hatima yangu Iko kwako🙏🙏

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 Месяц назад +3

    Nimerudi tena kusikiliza neema Mungu aliyo mpatia Mch .Mmbaga. Nimerudi hapa kwa mara ya Tatu. Ila leo ,nimemsikia Mungu akiniambia soma Waefeso sura ya Tatu. Baada ya kusoma Roho Mtakatifu amenisemesha, 'Ombea Kanisa lipokee ujumbe huu hasa fungu la kumi'. Hii siri niya kufunuliwa Kanisani (Waefeso 3:10).
    Asante sana Mungu kwa mafunuo haya. Zidi kumtumia Mch .Mmbaga na team yake . Bariki kila atakaye msikiliza aelewe ,apate neema ya mahitaji yake yake yote. Kisha Injili itakwenda kwa haraka nawe utarejea kutuchukua Kwenye makao ya amani . Kwa Jina la Yesu nimeomba .Imekuwa .

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 2 месяца назад +28

    Baba yetu wa MBINGUNI, nakutukuza daima kwa kumtumia Mch. Mmbaga. Leo naombea hufahamu wako ujidhihirishe kwa kila atakaye msikiliza Mch. Mmbaga, asikie sauti yako ikimdhibitishia kuwa neno lako ni Kweli na lakuaminika. Kwa Jina la Yesu, AMEN.

  • @godlovemapunda774
    @godlovemapunda774 Месяц назад +6

    Ee Mungu wangu naomba ktk maombi haya ndoa yangu uitete shetan anataka kuvunja amina

  • @wiza2309
    @wiza2309 Месяц назад +2

    Amen Mchungaji. Mungu anisamehe kwakweli na kunifungua. Mimi ni mdhambi nahitaji kuokolewa na damu ya Yesu.

  • @MakaleCostancia
    @MakaleCostancia 9 дней назад

    Pr Mbaga, huyu jehova tunayemwabudu naomba akupe maisha mareeefu sana
    Ww n sababu ya mimi kuwa na maisha hya niliyonayo kupitia maombi yako nilipata kazi tna siy kazi tu, kazi nzuri na hpo ni baada ya miaka mitano nkitafuta
    Asante nko nyamongo Tarime ulikuja net event
    Nakukumbuka sana sina namna ya kuwasiliana na wewe MUNGU WA MBINGUNI AKUTUNZE
    Ombi langu leo Kama MUNGU alivyonitendea awatendee na wengine

  • @DeborahMganga-p9y
    @DeborahMganga-p9y 27 дней назад

    Pastor Mbaga Mungu wetu wa mbinguni aliye juu kuliko vitu vyote aendelee kukubariki katika siku zote za maisha yako.

  • @mtumishiraymond2001
    @mtumishiraymond2001 2 месяца назад +3

    Jina la bwana wetu Yesu kristo liimidiwe nimepokea neno 🙌🏿🙌🏿🙌🏿🙌🏿

  • @JacklineMoti
    @JacklineMoti 2 месяца назад +6

    Amen 🙏🙏 naskia kufarijika sana mafundisho yenye uelewa Bwana akuongoze siku sote mtumishi WA Mungu 🙏🙏🙌

  • @GloriaKayumbaKabange
    @GloriaKayumbaKabange 7 дней назад

    Nous rendons grâce à Dieu pour votre vie, pasteur que Dieu vous bénisse

  • @kalengalukozi9242
    @kalengalukozi9242 2 месяца назад +2

    Hubarikiwe sana mtumishi wa Mungu David kwa mafundisho siku ya leo nimepata chakula chenye uzima Amen

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb 2 месяца назад +3

    Amen bwana asifiwe namshkuru niko salama nabarikiwa na mafundisho haya mzuri

  • @AwAw-i3d
    @AwAw-i3d 2 месяца назад +2

    Bariwa sana, kwakweli nilidhofika sana kulingana n changamoto kazini, nikaamua naacha kazi leo asubui nikiwanaski hili somo nikapata nguvu mpia naendelea n kz, Mungu amenipa nguvu mpia sifa n heshima zimrudie amen 🙏🙏

  • @PheadaKasigwa
    @PheadaKasigwa 2 месяца назад +2

    Ahsante mtumishi wa Mungu aliye hai umeugusa moyo wangu na kufunu wazi mapungufu yangu ukweli nikuwa naona kama Mungu yuko mbali nami lakini kuanzia leo yeye ni Aba kwangu.

  • @williammanyasi9196
    @williammanyasi9196 Месяц назад +1

    Guy pr mungu amubariki pop

  • @hellen.b4ga2cj7m
    @hellen.b4ga2cj7m Месяц назад

    Bwana Yesu asifiwe....Nafurahia Mafundisho yako sana Mchungaji Mbaga hakika yamenibadilisha mtizamo wanguu Kiroho🙏🙏🙏

  • @RoseMwema-ix8hb
    @RoseMwema-ix8hb 2 месяца назад +3

    Amen,am much transformed, God bless you pastor mmbaga

  • @berthadaudi-n2m
    @berthadaudi-n2m Месяц назад

    Kwa kweli MUNGU ananipenda yaani ulichofundisha na kuomba ni kama nimekueleza Pasta, Asante Mungu kwa kunijibu ninaamini umenifungua leo

  • @KajuraMkama
    @KajuraMkama Месяц назад

    Asante Mungu kwa kuruhusu kusikiliza mafundisho haya ambayo napata kuwekwa huru kupitia kristo mwana wa Adamu katika jina la Yesu kristo Amina.

  • @jonacemanyama4858
    @jonacemanyama4858 2 месяца назад +3

    Natamani kukusikiliza Tena na tena Mungu aliehai akulinde Pr.DAVID AZAEL MMBAGA,pamoja na familia Yako.AMINA.

  • @Issasaku-n6f
    @Issasaku-n6f 15 дней назад

    Asantee Mungu kwa neema yako nimekuwa huru

  • @judithdaniel5089
    @judithdaniel5089 2 месяца назад +1

    Amina, Ahsante sana pastor Mungu akubariki unapoendelea kufanya KAZI yake kwa bidiii

  • @edsonmashama6782
    @edsonmashama6782 2 месяца назад +3

    Ninabarikiwa sana na mafundisho yako! Mungu amenitendea mengi na makuu tangu nimemjua hyu Mungu! Ni dhahili na hakika Baba yetu hayuko mbali nasi

  • @JacksonSwai-g2y
    @JacksonSwai-g2y 5 дней назад

    Unanibariki sana Pastor Mmbaga

  • @agnesmushi5709
    @agnesmushi5709 2 месяца назад +2

    Mungu wewe ni Aba , nisaidie leo 🙏

  • @Marianamsafiri-sm2vx
    @Marianamsafiri-sm2vx Месяц назад

    Amen mchungaji.Mungu naomba unisamehe dhambi zangu, pia uniondowe katika kila vifungo vya ukoo na vya familiya,uniponye na adui zangu uniondelee kila mikosi na mabalaa Amen 🙏

  • @williamkasubi2436
    @williamkasubi2436 2 месяца назад +1

    Atukuzwe Yesu Kristo, Baada tu ya maombi haya nimepokea muujiza wangu.

  • @Wolfpricencee
    @Wolfpricencee Месяц назад +1

    Amina

  • @gracej876
    @gracej876 2 месяца назад +1

    Eeh Mungu wangu endelea kunifundisha mimi mwana wako ni mengi bado tunajifunza haswa mambo ya kiroho, naja mbele zako fungua moyo wangu na uingie ndani yangu na ukaishi hapo kwakuwa nimekuchagua wewe kuwa Bwana na mwokozi wangu. Angaza maisha yangu eeh Mungu wangu mimi mwanao nipo tayari kuongozwa nawe. Maisha yangu nayakabidhi mikononi mwako ukaniongoze siku zote za maisha yangu. Nawaombea na watu wako ulimwenguni kote yeyote akuitaye kwa jina lako basi ukawatendee sawa sawa na mapenzi yako Amen🙏

  • @vinniebaraka132
    @vinniebaraka132 2 месяца назад +2

    Barikiwa sana pastor David, hii channel imenifunza mengi na kunifanya niwe na ujasiri wa kumtafuta mungu

  • @bridgetmbawala1029
    @bridgetmbawala1029 2 месяца назад +1

    Somo hili limeniinua kiimani. Namshukuru Mungu. Mungu akubariķi mchuñgaji.

  • @GetrudeMachimu
    @GetrudeMachimu 2 месяца назад

    Eeh Mungu katika maombi haya naomba kugunguliw nguvu za giza zote katika maisha yangu na mchumba wangu agunguliwe kwa jina la Yesu familia yangu na mdogo wangu binamu yangu watoke gerezani naamin Baba umetenda Amina😢

  • @DanfordMvela
    @DanfordMvela Месяц назад

    Bwana akuinue zaidi pr

  • @lutenenhatagambaga5050
    @lutenenhatagambaga5050 2 месяца назад +1

    Prom mbaga ubarikiwe sana tunabarikiwa mm na familia yangu; ulikuja Kilolo ckupata mda wa kukupa ushuhuda ila naamini tutakutana siku nyingne nikwambie Mungu alichotutendea.

  • @PhinaMoses-kd6fs
    @PhinaMoses-kd6fs 2 месяца назад +1

    Ahsante MUNGU napona kupitia mtumishi wako sifa ni kwako baba

  • @AlexAlipo
    @AlexAlipo Месяц назад

    Amen,nabarikiwa sana mtumishi wa mungu kwa kweli mungu amekupa karama ya ualimu na sio uchugaji tu ,

  • @WastonMkane
    @WastonMkane 23 дня назад +1

    Ingawaje sijajua somo lilitolewa lini, lakini MCHUNGAJI ww ndiye uliyenirudisha kwa bwana. MUNGU ashukuliwe sana

  • @AtimGrace-yk8sn
    @AtimGrace-yk8sn 2 месяца назад

    Amen aki nabarikiwa sana na ingili hii nikiwa Nairobi mutumishi wa mungu na mungu azidi kukutumia

  • @FridaMwaihojo
    @FridaMwaihojo 2 месяца назад +1

    Asante sana Mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazuri

  • @SamuelMwambene-b5s
    @SamuelMwambene-b5s Месяц назад

    Asante sana pasta kwakunifundisha siri hii ya maombi naomba mungu akubariki sana sana mpendwa wangu.

  • @KaviraMulumbi
    @KaviraMulumbi 2 месяца назад +2

    Amen amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @tuyizereJoel-n3q
    @tuyizereJoel-n3q Месяц назад

    Nashukuru MUNGU kwakukupa uwezo uwezowamahubiri.

  • @irineDancan
    @irineDancan 18 дней назад

    Amen and amen mimi nikohapa saudi karibu nikufena na sikukufa

  • @dianapeter9311
    @dianapeter9311 Месяц назад

    Naomba Mungu amponye baba yangu,, pr naomba uniombee

  • @EverlyneSinganga
    @EverlyneSinganga 2 месяца назад

    Amen....kpitia kwa mafundisho yako naendelea kukua kiroho na pia kumwona mungu kama kaka na rafiki wangu wa karibu.....yale mungu amenitendea na mahali amenitoa acha sifa na utukufu ziendelee kumrudia yeye maana anasitaili

  • @Theodora-k3h
    @Theodora-k3h 2 месяца назад

    Pastor Asante kwa maombi Mana nimefunguliwa na mungu kutoka kwenye nguvu za Giza Mana ulipoomba Mara ya Kwanza nilihisi Giza limetanda usoni nakama nahisi kuanguka Ila Mara ya pili na ya tatu nikajihisa nipo sawa kabisa namshukuru mungu kwa uponyaji🙏

  • @rosemutinda3076
    @rosemutinda3076 2 месяца назад

    Amen my lovely Big Brother Jesus Christ my Saviour kwa kunifungua 🙏🙏🙏

  • @EvaMgongolwa
    @EvaMgongolwa 2 месяца назад

    Ahsante kwa Neno ubarikiwe mtumishi,

  • @PatriciaMwamba-h6y
    @PatriciaMwamba-h6y Месяц назад

    Tunashukuru sana Bwana kwa somo ii

  • @jeunerosemango8109
    @jeunerosemango8109 2 месяца назад

    Amina. Asante kwa maombi.
    Mungu nyumbaji na wa rehema ametenda maajabu.

  • @VanessaJohnson-lw5mz
    @VanessaJohnson-lw5mz Месяц назад

    Amen Pastor.nimefunguliwa

  • @AshaMazuri-m4g
    @AshaMazuri-m4g 2 месяца назад

    Amina nimebarikiwa sana mchungaji naomba uniombe nizidikuwa na ujasili

  • @esthersikilio657
    @esthersikilio657 14 дней назад

    NIMEBARIKIWA SANAAA

  • @EvaKsrsiti
    @EvaKsrsiti Месяц назад

    Asantee mtumishi kwa somo❤

  • @SweetbetVentura
    @SweetbetVentura Месяц назад

    Amen Amen 🙌

  • @BeatriceKingeli
    @BeatriceKingeli 2 месяца назад

    God bless you pastor mafundi zo yakoyameninua sana

  • @lilianeerica3318
    @lilianeerica3318 2 месяца назад

    Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen Ameeeen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️

  • @rebeccamwangi9888
    @rebeccamwangi9888 2 месяца назад

    Amen barikiwa sana mchungaji. Nimebarikiwa

  • @GeorgeBarnaba-to5sx
    @GeorgeBarnaba-to5sx 2 месяца назад

    Amina, na kuelewa sana pastor

  • @pmgpmg7717
    @pmgpmg7717 2 месяца назад +4

    Thanks pastor for sharing napenfa mahubiri yako Sana.
    Teach us about tithe.
    Nikichukuwa tithe kwa kusaidia watoto yatima au kwa kujenga kanisa nitakuwa nimekosea?

    • @rechaelnjeri335
      @rechaelnjeri335 2 месяца назад

      Sanaaaa hufai saka ni ya mungu pekeee

  • @ajelicakobiazaaieaqk3278
    @ajelicakobiazaaieaqk3278 Месяц назад

    Nina mskru mungu Kwa kupitia mafundizo yameninua kiroho Sana mungu akubariki pastar undelete kubariki wengine

  • @elizabethmakaranga218
    @elizabethmakaranga218 2 месяца назад +1

    Mch Mbaga barikiwa sanaaa

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 2 месяца назад

    Amina Mungu atusaidie

  • @ngolorose
    @ngolorose 2 месяца назад

    Amina pastor tume barkiwa

  • @magdalenawerema1658
    @magdalenawerema1658 2 месяца назад

    God bless you Pastor Mbaga

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 2 месяца назад +1

    Amen hallelujah ❤❤

  • @gladysmwende7500
    @gladysmwende7500 Месяц назад

    Amen and Amen

  • @vinniebaraka132
    @vinniebaraka132 2 месяца назад

    Sifa na utukufu kwake mwenyezi Mungu

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 2 месяца назад

    Zidi kubarikiwa Pastor

  • @golasrichard4400
    @golasrichard4400 Месяц назад

    Yesu tusaidie katika saa hizi za jioni

  • @DayanaMoshiro-gd8pr
    @DayanaMoshiro-gd8pr Месяц назад

    Hakika nimeiyona nguvu ya mungu pr ulivyo momba nimeona mwanga mkali kama moto na ulivyomaliza maombi nikaswet hakika bungu kaniweka kaniponya🙏🙏🙏

  • @pendomarc9286
    @pendomarc9286 Месяц назад

    Amen 🙏

  • @EuniceOlumbe
    @EuniceOlumbe 2 месяца назад +1

    Pr. Niombe nguvu za Giza inanisumbua na watoto wangu kuna mtoto wangu aliingia Kwa Devo na inamsumbua sana

  • @NgegeGilinde
    @NgegeGilinde 2 месяца назад

    Mungu nisaidie niodokane nazabi napepo watama

  • @dativapeter6700
    @dativapeter6700 2 месяца назад +2

    Mchungaji naomba uniombee nipokee uponyaji ili niwe ushuhuda kw wengine,n Mungu wa mbinguni ukabari

  • @mtumishiraymond2001
    @mtumishiraymond2001 2 месяца назад

    Amina 🙌🏿

  • @LenaAuko-tj1io
    @LenaAuko-tj1io 2 месяца назад

    Amina Sana from saidi

  • @phiniassoli3903
    @phiniassoli3903 Месяц назад

    Somo Zuri ubarikiwe pr

  • @stevenkaunda1124
    @stevenkaunda1124 2 месяца назад +5

    Bwana Yesu asifiwe. Jamani huyu mchungaji amewahi kufundisha somo la kutafsiri vitu lipo humu ndani you tube ila sijui lonaitwaje. Yaani majina ya vitu na maana yake naomba msaada jamani

  • @carenjepkemboi6333
    @carenjepkemboi6333 Месяц назад

    Amen 🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 2 месяца назад

    Amen!

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 2 месяца назад +1

    Emeeeen

  • @PauloMole-lv4tf
    @PauloMole-lv4tf 2 месяца назад

    Ameen

  • @abbasmkambara5815
    @abbasmkambara5815 2 месяца назад

    Mbaga Baba laooo 💪

  • @Trizah-254-e
    @Trizah-254-e 2 месяца назад

    AMEN

  • @khadijajulius2611
    @khadijajulius2611 2 месяца назад

    ameena

  • @mophinenyaboke8678
    @mophinenyaboke8678 2 месяца назад +2

    Nitataka kuamini kwa zia hivi pastor niombee

  • @linzah7563
    @linzah7563 Месяц назад

    Nimebarikiwa sana kulijikuta na wasi wasi sana lakini baada ya hili somo nimejikuta grafla nina amani na furaha sana

  • @abiahmagembe170
    @abiahmagembe170 11 дней назад

    Ni Mibaraka Tele atufundishayo huyu.mjolli wa Kristo aendelee kulindwa,kujaliwa Afya njema na familia yake pasiwepo na changamoto yoyote aendelee kutukumbusha jinsi ya kuyaishi maisha ya BWANA.

  • @DianaLameck-tj7rv
    @DianaLameck-tj7rv Месяц назад

    Mungu azidi kukutumia pastor,mimi naomba naomba namba yako pastor Mbaga nahitaji kuja oficini kwako.

  • @DeboraMuyenjwa
    @DeboraMuyenjwa Месяц назад

    Pasta nasumbuliwa sana na peresha,naomba unikumbuke kwenye maombi

  • @princessmbusiro
    @princessmbusiro Месяц назад

    mchungaji nauliza hilo ombi uliloelekeza hapo je naweza kuomba na watu 2 ndugu au rafki lakin tuko mbali hata kimkoa lakin tunaombea kitu kimoja na tukapata majibu au mpaka niwe peke yangu barikiwa

  • @davidmisiwa4622
    @davidmisiwa4622 2 месяца назад +5

    MUNGU AIBARIKI HUDUMA HII

  • @AsaMtuli
    @AsaMtuli 2 месяца назад

    Balikiwa mchungaji

  • @thejungletv493
    @thejungletv493 Месяц назад

    Kuna sehemu sijaelewa kusudi la kuchinja mnyama agano la kale ilikua kuwakilisha damu ya Yesu ambayo ingemwagika na dhambi ya Kaini ilikua kukiuka huu mfumo wa ibada akapeleka mazao ya kondeni Sasa hapa kwenye unga au divai hapa ilitolewaje kuwakilisha damu ili msamaha utoke mwenye maelezo please??

  • @IliminaKiwanga
    @IliminaKiwanga Месяц назад

    Natamni haya mahubir niwe nasikikiza mda wote tu sijui na download vip yajaetu kwenye sim yangu na ki share kwawatu wengi zaidi

  • @aleroalero277
    @aleroalero277 2 месяца назад +1

    Wakati mchngaji unaomba imekuja picha kama mwamke amevali mavazi ya kiganga amelala chali, naamini Mungu ametenda jambo

  • @Ungwamissi
    @Ungwamissi 2 месяца назад

    Amen❤️‍🩹

  • @AgripinaKivike
    @AgripinaKivike 2 месяца назад +2

    Mch Mbaga kanisa letu Lina idara na ni nzuri tu je kwa Nini maombi na maombezi hata ikiitwa vingine isiwe idara kamili hi ikiwa idara na ikaimarishwa tutawavuta wote kwa christo