ZABURI YA KINGA DHIDI YA MAJANGA NA MIKOSI-- PR. DAVID MMBAGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 285

  • @SharonAron-t1j
    @SharonAron-t1j 2 месяца назад +28

    Barikiwa mtumishi wa Mungu unatutia moyo sana haswa nyakati ngumu mimi huwa nakimbilia masomo yako mana nitakutana na nguvu mpya, mana kwa hakika kuna wakati hata biblia huwwzi kusoma na kuomba unaishia kulia hujui hata useme nini maneno yanaisha, endelea kunikumbuka kwenye maombi yako 🙏

  • @antidiuskaroli4102
    @antidiuskaroli4102 2 месяца назад +8

    Mchungaji Mmbaga umenisaidia sana katika maisha yangu.. nimeona umuhimu wa mafundisho yako hasa maombi ya ulinzi na kujikabidhi mikononi mwa Mungu kabla ya kuanza siku. Nimeona miujiza na ujasiri katika kazi zangu. Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.

  • @SalomeMwaipopo-i3g
    @SalomeMwaipopo-i3g 25 дней назад +1

    Naomba Mungu amponye mwanangu Jack Mwaipopo figo na gas

  • @CynthiaKwamboka-y4p
    @CynthiaKwamboka-y4p Месяц назад +2

    Mungu azidi kukubariki mchungaji naomba uiombee familia yangu kwa machanga na magonjwa yanayotusumbua,mahubiri yako yanaendelea kututia moyo.

  • @ElizabetMboya
    @ElizabetMboya 22 дня назад

    Nashukuru mno kwa mahubiri yako. Yamenigusa sana. Ubarikiwe mtumishi wa Mungu.

  • @PriscaJohn-y8s
    @PriscaJohn-y8s Месяц назад +1

    Namshukuru sana Mungu kwa mengi aliyonitendea ndani ya familia kwa mwaka 2023 na 2024 Mama yangu aliugua na hata kupata ulemavu ila namshuduia Bwana yesu ameweka ulinzi juuh yake na kumponya had leo namshukuru sana Mungu kwa jambo hilo pia ulinzi ndan ya familia yangu na mim mwenyew 🙏 🙏 🙏

  • @elizabethribiru6406
    @elizabethribiru6406 14 дней назад

    Just in time message.be blessed.You are one of my mentors for quite some time and I thank God for you.Mungu akulinde na familia pia. Amen

  • @LinnetSammy
    @LinnetSammy День назад

    Pastor nashukuru kwa mafudisho ya kipekee nabarikiwa sana naona mabadiriko katika maisha yangu mungu asifiwe

  • @JoyceKabuo
    @JoyceKabuo 22 дня назад

    Asante muchungaji kwa SoMo nzuri. Uniombeye mungu anipe mwicho muzuri kiloko mwanza

  • @RosemaryWillson-q9n
    @RosemaryWillson-q9n 2 месяца назад +6

    Mchungaji Mungu akubariki sana yaani unanipa nguvu mpya napitia magumu ila masomo yako hakika yananipa nguvu

  • @musicMediarena777
    @musicMediarena777 Месяц назад +3

    I was almost differing my university studies when I was in second year ...but God gave me a good work that us enabled me to pay fee and other arrears until now I'm in my fourth year of study se...I love good with my whole heart ❤️ 😊 for his support and care upon my education journey. And many more life breakthrough. Amen

  • @nsabimanamalirojeandedieu6649
    @nsabimanamalirojeandedieu6649 11 дней назад

    Muchungaji, Mungu akuzidishiye nguvu ya kumutumikiya na azidi kuku funuliya maneno yake mingi

  • @BoniphaceMachibya
    @BoniphaceMachibya 7 дней назад

    Barikiwa sana pr binafisi mahubiri Yako hunitia nguvu daima

  • @sarahdamian5043
    @sarahdamian5043 29 дней назад

    MUNGU nijalie nipate kazi, nitoe kwenye hivi vifungo vya maisha vinavyonikabili, ninakushikuru kwasababu mimi ni mpya sana na najivunia kuwa mtoto wako katika jina la YESU Amen🙏

  • @CecyPaul-c9d
    @CecyPaul-c9d 2 месяца назад +6

    Mungu mchungaji anakutumia kufungua vifungo vya watu dhidi ya shetani Mungu akubariki Sana tunatiwa nguvu sana

  • @NibitangaClaudine-h5k
    @NibitangaClaudine-h5k Месяц назад

    Naomba Mungu anipe mwisho mzuri na fanmilia yangu yote 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @NibitangaClaudine-h5k
    @NibitangaClaudine-h5k Месяц назад

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu Mungu akupe mwisho mzuri na familia yako yote Amen🙏🏼

  • @LaurenciaJac
    @LaurenciaJac 22 дня назад

    Hakika somo hili limenipa ujasili wa kimungu kwani kila jaribu ninalopitia mungu analijua kwani kupitia hilo jaribu hufanya njia ya kuliondoa, barakiwa sana mtumishi

  • @Jadeslayergaming
    @Jadeslayergaming 9 дней назад

    Amena libarikiwe jina la bwana yesu christo kwa upendo
    wake

  • @MaryBille-v1i
    @MaryBille-v1i 4 дня назад

    Unifundisha hiyo zab nimepata wokovu mkubwa moyoni mwangu
    Asante sana.

  • @ViolethGoodluck
    @ViolethGoodluck 11 дней назад

    Maisha yake yabadilike akamjue mungu kwa namna ya pekee naomba afunguliwe maisha yake pia mungu aweke uweza katika kichwa chake amfundishe namna ya kuomba

  • @MaryBille-v1i
    @MaryBille-v1i 4 дня назад

    Mungu akubariki sana mchungaji.

  • @joycekabungo6483
    @joycekabungo6483 Месяц назад

    Amina barikiwa Saana Pr

  • @merinamkocha3818
    @merinamkocha3818 Месяц назад +1

    Asante kwa maombi yako. Mungu nisaidie nisiangamie mimi watoto wangu. Ulinzi wa KiMungu uwe juu yetu. Barikiwa mch. Kwa mafundisho

  • @rosemshana7885
    @rosemshana7885 2 месяца назад +6

    Amina nabarikiwa na mahubiri nashkuru Mungu kwa yale aliyonitendea.kuna siku Mungu alijibu ombi langu mpaka nikaona natoka machozi

  • @castykangai4609
    @castykangai4609 6 дней назад

    Thank you so much God bless you

  • @hadijamohammed1868
    @hadijamohammed1868 4 дня назад

    Mungu anisaidie, nimekuwa yatima tangu Mdogo Sana, familia yangu wote walikufa ,lkn mpaka Leo bado ni mpweke , nimekuwa mkubwa lkn bado najiskia yatima Sina mume ninalea mtoto wangu pekeyangu, sitegemei msaada popote,

  • @nasseriansemetei8381
    @nasseriansemetei8381 23 дня назад

    Asante kwa hili som mchungaji

  • @Joy-mm1ut
    @Joy-mm1ut 2 месяца назад +4

    Amen asanti sana mchungaji mbaga ..nabarikiwa sana nikiwa Dubai mungu akubariki

  • @Innocent-Km-z8z
    @Innocent-Km-z8z Месяц назад

    Mtumishi asante sana,haya mahubiri yamenifungua sana Mungu akubariki na aendelee kukutumia ili tuzidi kupona

  • @AgnesMoraa-h8q
    @AgnesMoraa-h8q 19 дней назад

    Pastor for sure kupitia mahubiri haya ijapo mtoto wangu alichomekewa vitu kwa nyumba namshukuru huyu mungu kwa kumweka awe hai pamoja na watoto wake,ubarikiwe sana

  • @nasseriansemetei8381
    @nasseriansemetei8381 23 дня назад

    Barikiwa sana mchungaji pia unanibariki aswaa

  • @muzigemudege4924
    @muzigemudege4924 Месяц назад

    Amen 🙏 🙏 🙏 ubarikiwe sana

  • @judithkihigwa1644
    @judithkihigwa1644 Месяц назад +2

    Mchungaji naomba Mungu asidie sana familia yangu kila tukipanga latiba za ibaada atutimizi latiba,naomba Mungu aingilie kati yetu

  • @NeemaEmmanuel-cx5rt
    @NeemaEmmanuel-cx5rt Месяц назад

    Asante kwa somo zuri mchungaji ubariliwe sana

  • @nackymanjale2850
    @nackymanjale2850 2 месяца назад +1

    Ujumbe mzuri sana Pr. Mungu wetu ni mwema sana kwetu. Hutulinda dhidi ya hatari mbali mbali hata mimi anaendelea kuniokoa ktk ugonjwa. Nazidi kung’ang’ania nikiamini ataniponya.

    • @SabatoSteven
      @SabatoSteven Месяц назад

      Nimetumia mafundisho yako unayo tufundisha hakika muujiza mkuu naona nimepiga hatua sana yesu akutunze kwaajili yetu

  • @teresaokongo-ci8sx
    @teresaokongo-ci8sx 10 дней назад

    Thanks for your prayey

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 2 месяца назад +3

    Tangu unifundishe, ninasoma Zaburi kila siku. Ni Raha Sana, kuamini ahadi za Mungu❤

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn Месяц назад +1

    Ameeen napokea mahitaji yangu

  • @CarolineKinuthia-tg6ps
    @CarolineKinuthia-tg6ps 2 дня назад

    Hello pastor please pray for my financial freedom and God to brake the spirit of poverty in me .thank you

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 Месяц назад

    Asante sana ,Mch .Mmbaga. Tunakuombea daima ,wewe ,familia na team nzima ya Mahubiri Tv

  • @Maxmillian-mz5dm
    @Maxmillian-mz5dm 2 месяца назад

    Amen pastor Mmbaga,matumaini yangu yataendelea kipindi tanuru linawska moto,nimejifunza kumshukuru Mungu

  • @NyamariFaith-qu1jm
    @NyamariFaith-qu1jm 2 месяца назад

    A m so blessed pastor u are my mentor everytime I listen to the msg of God through u may u b a blessing to many souls with ur family b blessed 🙏

  • @loycemsety4607
    @loycemsety4607 2 месяца назад +1

    Amen.. Mungu akutunze Paster ile hofu nilokuwa nayo imeondoka week hii naenda kwenye chumba cha operation nilikuwa naogopa sanaa . Baada ya kusikiliza ibada hii imeondoa hofu yangu yote .

  • @elianshimaakweka5462
    @elianshimaakweka5462 Месяц назад

    Naomba baraka kwenye ndoa za watoto wangu.

  • @MaryBiyaki-t4y
    @MaryBiyaki-t4y 2 месяца назад

    Kila wakati nikingia kwenye mawazo unanipea nguvu sana mtumishi, nimejifunza mengi sana,be blessed 🙏🙏

  • @MilkaMusa
    @MilkaMusa Месяц назад

    Mtumishi naomba maombi yako nipone maradhi yangu naamini MUNGU atatenda. Kupitia wewe amina 🙏🙏

  • @lydiahgerase4500
    @lydiahgerase4500 Месяц назад

    Barikiwa pastor kwa mafunzo mazuri

  • @Victoria-bv6xu
    @Victoria-bv6xu Месяц назад

    God bless you pastor 👏🙏

  • @MarryMnzava
    @MarryMnzava 2 месяца назад

    Amina. Somo ni nzuri limenibariki.Naendelea kufatilia masomo yako

  • @esternkamata4908
    @esternkamata4908 Месяц назад

    Amina, Mchungaji Barikiwa sana kwa kazi njema. Unanibariki sana

  • @fredmmgonja2982
    @fredmmgonja2982 2 месяца назад +1

    Amina sanaaaa, mimi nimkatoriki ila huwa nabarikiwa sana namahubiri yako

  • @LilyDisanto
    @LilyDisanto 2 месяца назад

    Ubarikiwe sana pastor.
    Mungu akubariki na familia yako ibarikiwe🙏

  • @NaomiTshineva
    @NaomiTshineva Месяц назад

    Pasta mungu akubariki sana kwa kazi yote umetenda

  • @fermeagro-pastoraledekaghu2589
    @fermeagro-pastoraledekaghu2589 Месяц назад

    Mungu akubariki sana kwa kututiya moyo kupitiya mafundisho haya yanayo tutiya moyo. Mimi binafsi napitiya changamoto na wakati mgumu maishani.Na nimehangaisha mafikiri yangu huku na huku nikitafuta msaada lakini nafurahiya sana kusikiya asubui hii kama kwa Mungu tu ndiko kunakuwa usalama. Naanza tangu sasa kujisalimisha kwa Mungu ili yeye mwenyewe aongoze maisha yangu. Alinde familia yangu na atuokoe na majanga tunayo yapitiya. Anipe nguvu ya kusona Zaburi hiyi ya 91 kila wakati ninapo pitiya wakati mgumu maishani. Anipe mwisho muzuri kuliko mwanzo.

  • @KaviraMulumbi
    @KaviraMulumbi Месяц назад

    Amen 🙏 🎉

  • @agnesfrancis1519
    @agnesfrancis1519 2 месяца назад

    Mwenyezi Mungu azidi kukutumia na kukubariki kwa ajili ya watu wake. This is very powerful.

  • @ApolinaryBiyengo
    @ApolinaryBiyengo 2 месяца назад

    Ahsante umenijenga Kwa Imani nitakuwa chiñi ya mkono wa Mungu

  • @paulaminzi114
    @paulaminzi114 2 месяца назад +1

    Mungu ninaomba unikumbatie mimi, watoto wangu na familia yangu yote ktk ulinzi wako!! Unisaidie na kunitia nguvu na ujasiri ktk kazi yangu!! Ameeen

  • @mariathomas363
    @mariathomas363 Месяц назад

    Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu

  • @JaneNdunge-y8c
    @JaneNdunge-y8c 2 месяца назад +1

    Asante sana pastor kwa mahubiri matamu,niomba uombee ndoa yangu napitia changamoto mingi pastor,pia mtoto wangu mmoja amekohoa kwa mda mrefu akipimwa hakuna kitu kinaoneka nitashukuru barikiwe sana.

    • @MaddieMoreno-i7i
      @MaddieMoreno-i7i 2 месяца назад

      Bwana Mungu aibariki ndoa yako na pia amesha mponya mtoto wako AMEN 🙏🏽

  • @julianakarashani4927
    @julianakarashani4927 2 месяца назад +1

    Amen. Mungu nilinde.na familia yangu kila iitwapo Leo

  • @MaryMkumbi
    @MaryMkumbi 2 месяца назад

    Naomba roho ya madeni na oma zinitoke kwa jina la yesu Amina🙏

  • @hellinahombuya5174
    @hellinahombuya5174 2 месяца назад

    Asante sana Mungu kwa Mtumishi wako.asante Mtumishi kwa mafundinzo.

  • @susanolambo9723
    @susanolambo9723 2 месяца назад

    Naomba Mungu anipe amani ya moyo na uchumi leo nipate pesa niifanye kazi ya Mungu. Amen

  • @JOBMOYAKA
    @JOBMOYAKA 2 месяца назад +1

    Asante sana pastor kwa mahubili mazuri nikiomba naishiwa nguvu.

  • @cerecere5758
    @cerecere5758 2 месяца назад +1

    Barikiwa mtumishi , hicho kitabu nilipewa kupitia Kwa ndoto nilipogonjeka Sana sijawahi kusahau venye nilikua nakisoma kila wakati

  • @SundiMuniwe
    @SundiMuniwe 2 месяца назад

    Amina mtumishi nabarikiwa sana na mahubiri yako

  • @drleahjohn5429
    @drleahjohn5429 2 месяца назад +2

    Pastor mdogo wangu Benjamin John anapitia changamoto kubwa ya maisha ,unafanya kazi [ni nesi mwenye degree) akipokea mshahara anachezea kamali hela yote anakosa hata hela ya kuna ana familia ya mke na watoto wadogo 2 mapacha wanakosa chakula na pesa ya mahitaji,mbaya zaidi ana madeni mengi sana kwenye bank tofauti tofauti, microfinance tofauti tofauti na watu Binafsi mbali mbali ,pastor naomba maombi yako juu ya hili

  • @jeryniyi3934
    @jeryniyi3934 2 месяца назад

    Asante mtumishi wa Mungu ,nimeondolewa hofu na Mungu aendelee kukutia nguvu tunabarikiwa sana namahubiri yako

  • @MagrethKisaka
    @MagrethKisaka Месяц назад

    Mungu niinue kiuchumi katika biashara yangu kwa kunipatia wateja wengi sanaa ili kupitia biashara hii niweze kukutumikia wewe,
    Mungu imarisha ulinzi,,,na uondoe maagano na minyororo yote yaliyowekwa juu yangu.

  • @lugembejm2505
    @lugembejm2505 Месяц назад

    Amen,🙏🙏

  • @FlorMwalongo
    @FlorMwalongo 2 месяца назад

    Asante mchungaji naamini kweli Mungu ananitetea sana hata kwenye mauti dhidi watoto wangu somo hili lina tia nguvu kumtumainia Mungu wetu

  • @mosesmasamaga6930
    @mosesmasamaga6930 Месяц назад

    Mchungaji barikiwa kwa masomo yako.

  • @truphenakhagori9387
    @truphenakhagori9387 13 дней назад

    Amen Amen Amen

  • @jeanneriziki638
    @jeanneriziki638 2 месяца назад +1

    Aksante sana mchungaji
    Moto waMUNGU ufunike busines,watoto ... nimepokeya kwa jina la yesu

  • @frankmahinyila
    @frankmahinyila Месяц назад

    Mungu akubariki mtumishi wa Bwana

  • @veronicahneko4772
    @veronicahneko4772 Месяц назад

    Nimejaribu kusikiliza mahubiri yako kila siku kweli mungu ako nawe nabarikiwa sana sana mtumishi.barikiwa.

  • @AbiaAbemugisho
    @AbiaAbemugisho Месяц назад

    Barikiwa na mungu asi ku acilie kwa ajili ya utukufu wake. Tuna kufwata ku tokea drc .

  • @MaheriGati
    @MaheriGati Месяц назад

    Bwana ni mwema sana nina ushuhuda mwingi sana juu ya mungu mkuu amenitendea makuu mno

  • @ShamsaniOthuman-sr7kh
    @ShamsaniOthuman-sr7kh 2 месяца назад +3

    Amina mchungaji naomba uniombee familia yangu inasumbuliwa na nguvu za Giza

  • @mapembakipimbye4102
    @mapembakipimbye4102 2 месяца назад +2

    Mtumishi wa mungu endelea kutuongoza na kutuombea sisi tunaonewa utuombehe

  • @DidierPascal-w9n
    @DidierPascal-w9n Месяц назад

    Mungu Mwenyezi waupendo akuzidishiw Roho ya ufafanuzi
    Katika jina la yesu kristo alie hai

  • @stanslausishengoma3506
    @stanslausishengoma3506 2 месяца назад +6

    Bonge la speech ever ever nina hakika ni Roho mtakatifu anaongea juu yake....yaani nimeamka moyo wangu ukasema msikilize uyu leo
    Kifaranga usilalamikie maji yanapita chini ukasahau mvua kubwa iliyozuiliwa na mbawa za mama❤❤❤❤❤

  • @adelinekatwanga756
    @adelinekatwanga756 2 месяца назад

    Ee Bwana ninakushukuru kwa Neno lako ninakuomba umwokoe kijana wangu Robert katika ulevi. Mungu umbariki Mchungaji wetu

  • @GraceHosea-ee1kq
    @GraceHosea-ee1kq Месяц назад

    Mungu akuinue sana mch mmbaga

  • @joycenyamwaka1884
    @joycenyamwaka1884 2 месяца назад

    Amen amen My pastor God bless you abundantly

  • @MonicaAmma-t3i
    @MonicaAmma-t3i 2 месяца назад

    Mchungaji Mungu akubariki kwa somo nzuri

  • @kijamange577
    @kijamange577 Месяц назад

    Barikiwa Mchungaji, nami nikumbuke katika maombi.

  • @emmanuelymittango
    @emmanuelymittango 2 месяца назад

    MCHUNGAJI Mbaga Asante sana nazidi kubarikiwa na kuwa na natumaini ninapopitia changamoto maana unafundisha masomo ya kututia tumaini🙏🙏

  • @KaviraMitavo
    @KaviraMitavo 2 месяца назад

    Amen pastor Mungu akuongezeye zaidi.

  • @godlivamgana1891
    @godlivamgana1891 2 месяца назад

    Amen, Mchungaji natamani kuwasiliana na wewe lakini nakosa njia rahisi nifanyaje, barikiwa sana kwa Mahubiri/mafunzo Maziri

  • @angeldavid3811
    @angeldavid3811 2 месяца назад

    Barikiwa sana Baba yetu, ni ukweli usiopingika tunaponywa hata kwa kusikia mahubiri yako Kubwa naomba kupata mwongozo wa namna ya kupata vitabu vyako.

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 2 месяца назад +1

    Amina pst niombee atima yangu ufike pia nipate kibari naweza pata kibari Cha Cha kupewa Kaz ikiisha pesa spewing na mm nimeokoka naona siwez kufanya vulugu nazan kibari niombee kibari watu kabla ya Kaz wananifurahia Kaz ikiisha awanipend kwenye pesa spat niombee

  • @Lionofjudah-74
    @Lionofjudah-74 Месяц назад

    Mungu akubariki kwaneno nzuri ambalolimetufunzamengi

  • @liberatajohn9503
    @liberatajohn9503 2 месяца назад

    Pr, mungu mwenyezi akubariki kwa maubili yako. Muombee mdogo wangu. Ameota anachomwa kisu, ubavuni mwa mikono wake wa kushoto. Na Sasa ni mgonjwa.

  • @RudiaKassanda
    @RudiaKassanda 2 месяца назад

    Asante tumishi wa Mungu kwa kuendelea kutulisha chakula kitamu cha kiroho

  • @hildamakundi281
    @hildamakundi281 2 месяца назад

    Naomba Mungu uniponye magonjwa yote yanayosumbua . Amen

  • @HelenaPatrick-x5f
    @HelenaPatrick-x5f 2 месяца назад

    Asante pr kwa somo nzuri MuNGU awe pamoja nasj

  • @DorothyChilembo
    @DorothyChilembo 2 месяца назад

    Amen mtumishi ubarikiwe Sana 🙏🙏