😁😁😁Mahubiri matamu jameni👌👌👌👌following you from Kenya 🇰🇪🇰🇪kutoka nisikize Mahubiri yako ujisomesha mambo na **maombi**na umuhimu WA kufunga, sitakoma kusikiza ujumbe WAKO, be blessed PST David Mbaga🙏🙏😇😇❤️
Nàshukuru kwa ujumbe wako tatizo langu naomba msaada wako naota ndugu zangu waliokufa yaani maisha yale ya zamani ya mwaka 1996--------- ndoto. Hizi zinamaana gani kwangu msaada wako paster
Pastor ninaota babangu aliofaliki mwaka 2016 lakini naota anipa ufungu ,mara ingene niota kanibadilichia gali langu alinipa gali lingine sijuwi maana yake
Mtumishi Mungu akubariki sana maana unahubiri Injilli ya kweli na si vinginevyo,wengine wangehubiri dhehebu lao badala ya Injili
Mtumishi barikiwa sana,nabarikiwa mno na mafundisho yako.yamenikuza sana kiimani.
Amen 🙏 ubarikiwe sana pastor tuna ku subiri kwa makini USA 🇺🇸
Amen mtumishi wa MUNGU kwa mafudisho yako
Amina mtumishi mafundisho yako yanaponya sn roho na miili yetu
Hao wa mbuzi wamenifrahisha kweli, pastor ubarikiwe sana napenda mafundisho yako una hekima nyingi
AMEEN Mtumishi na PASTOR so mimi nawezaji kukipata hicho kitabu ya kufahamu vile Mola atasemesha. Barikiwa sana Mtumishi
Amina,hakika kwa ujumbe u nimebarikiwa sana.Na Mungu akuzidishie neema.
Amen, Asante San mtumishi wa mungu kwa kutupa maarifa
Pr. you are always inspering me, be blessed
😁😁😁Mahubiri matamu jameni👌👌👌👌following you from Kenya 🇰🇪🇰🇪kutoka nisikize Mahubiri yako ujisomesha mambo na **maombi**na umuhimu WA kufunga, sitakoma kusikiza ujumbe WAKO, be blessed PST David Mbaga🙏🙏😇😇❤️
Iam also from Kenya,na anakuja kwa effort ya wiki mbili huku kwetu Nairobi
Barikiwa sana mtumish
Asante.sana.sana.kaka.yangu👏👏👏
Mungu Akubariki
Amina mtumishi napenda kusikilizaa mahubiri yako
Somo hili namin mwenyezi Mungu atanisaidia linibadilishe
Ubarikiwe Sanaa Mtumishi wa MUNGU
Amina Pr Mmbaga
Asante kwa kunihelimisha
Ubarikiwe sana mchungaji
Pastor barikiwa sana, nimeguzwa kabisa na naomba Mungu anisaidie niishi kiulingana na hili SoMo amen
Barikiwa mtumishi wa Mungu
God bless you Pastor. From Kenya.
Amina umenikomboa kifkra
Nakupata mtumishi nikiwa Oman
Mbaga kuna sharia na amri kumi za Mungu je unzitumia vizuri?make amri kumi hazibadishwi sharia zinabadilishwa
Huwa nakukubali sana japo mm Sio msabato,huwa nakusikilizaga sana .
Barikiwa
Good preaching. Be Blessed Pastor 🙏🙏
God is good
Barikiwa mtumishi
Amen
Nàshukuru kwa ujumbe wako tatizo langu naomba msaada wako naota ndugu zangu waliokufa yaani maisha yale ya zamani ya mwaka 1996--------- ndoto. Hizi zinamaana gani kwangu msaada wako paster
Issue ni kuomba tu no alternative
Pastor ninamgonja mtoto wa mama mdogo wangu ninakupataje
hata mimi piya nashanga kwa maesabu hayo hahahaha
❤❤❤
Asante mjungaji mungu akupaliki sana
BANANA azidi kukutangulia sote tufike mbinguni
Nikwr watu wanatakiwa watufuate.
Yes 🥰🥰 amen sabbath
Nzuri
Tafadhali pastor
Hi
Emma oscar
Asante kwa mahubiri mema
Nimepigwa na kitu kizito hapo kwenye iPhone 13 alafu sina hata roboheka 😔😔😔😔 Lord have mercy
Mungu Maombi ya kabadilishe maisha yangu na Mume Wangu ktk uchumi. Na kutuondolea magonjwa ktk mwak 2024
Pastor ninaota babangu aliofaliki mwaka 2016 lakini naota anipa ufungu ,mara ingene niota kanibadilichia gali langu alinipa gali lingine sijuwi maana yake
Asante paster kwa mahubiri.
Mawasiliano yako
Pastor mmbaga David nakufata vizuri kwenye maumbiri yako nafarijika sana naomba number yako
Jambo kwenu ! Nahitaji siku moja ni shiriki mafundisho ya Mchungaji huu Bwana David.
Karibu uko wapi
Niko Uganda mutumishi wa Bwana. Tena mimi ni mukimbizi toka DRC.
Hata ukiwa mbali endelea kumfuatilia
Tafuta utaratibu ututumie hicho kitabu soft copy tununue Pastor.
Amina sana
Namuomba Mungu anisaidie niweze kufatilia kuliko kuangalia mov
Barikiwa
Pastor nahitaji namba zako samahani niko nchini Oman nina shida ya kuongea nawewe Pqstor
Barikiwa sana
Amen
Amen