Комментарии •

  • @teddytedy248
    @teddytedy248 3 месяца назад +2

    Mtumishi Mungu akubariki sana maana unahubiri Injilli ya kweli na si vinginevyo,wengine wangehubiri dhehebu lao badala ya Injili

  • @anawemamalila1209
    @anawemamalila1209 Год назад +3

    Mtumishi barikiwa sana,nabarikiwa mno na mafundisho yako.yamenikuza sana kiimani.

  • @ngolorose
    @ngolorose Год назад +3

    Amen 🙏 ubarikiwe sana pastor tuna ku subiri kwa makini USA 🇺🇸

  • @fatemajohn3195
    @fatemajohn3195 6 месяцев назад +1

    Amen mtumishi wa MUNGU kwa mafudisho yako

  • @paulpauline6707
    @paulpauline6707 Год назад +2

    Amina mtumishi mafundisho yako yanaponya sn roho na miili yetu

  • @LillianNyaboke-kg3ee
    @LillianNyaboke-kg3ee 9 месяцев назад +1

    Hao wa mbuzi wamenifrahisha kweli, pastor ubarikiwe sana napenda mafundisho yako una hekima nyingi

  • @bernardomondi2632
    @bernardomondi2632 2 года назад +1

    AMEEN Mtumishi na PASTOR so mimi nawezaji kukipata hicho kitabu ya kufahamu vile Mola atasemesha. Barikiwa sana Mtumishi

  • @Johnwekesa.3245
    @Johnwekesa.3245 2 года назад +1

    Amina,hakika kwa ujumbe u nimebarikiwa sana.Na Mungu akuzidishie neema.

  • @joannelson1137
    @joannelson1137 2 года назад +1

    Amen, Asante San mtumishi wa mungu kwa kutupa maarifa

  • @pauljangu4532
    @pauljangu4532 2 года назад +2

    Pr. you are always inspering me, be blessed

  • @bridgitkola5341
    @bridgitkola5341 Год назад +2

    😁😁😁Mahubiri matamu jameni👌👌👌👌following you from Kenya 🇰🇪🇰🇪kutoka nisikize Mahubiri yako ujisomesha mambo na **maombi**na umuhimu WA kufunga, sitakoma kusikiza ujumbe WAKO, be blessed PST David Mbaga🙏🙏😇😇❤️

    • @gracekariuki1078
      @gracekariuki1078 Год назад

      Iam also from Kenya,na anakuja kwa effort ya wiki mbili huku kwetu Nairobi

  • @YASINTAMARTIN
    @YASINTAMARTIN 3 месяца назад

    Barikiwa sana mtumish

  • @aminasangali8649
    @aminasangali8649 Год назад +1

    Asante.sana.sana.kaka.yangu👏👏👏

  • @JoyceRamadhan-cl2us
    @JoyceRamadhan-cl2us 10 дней назад

    Mungu Akubariki

  • @charlessando4129
    @charlessando4129 2 года назад +1

    Amina mtumishi napenda kusikilizaa mahubiri yako

  • @fadhiliedson2996
    @fadhiliedson2996 2 года назад +1

    Somo hili namin mwenyezi Mungu atanisaidia linibadilishe

  • @masulerichardtv.210
    @masulerichardtv.210 2 года назад +2

    Ubarikiwe Sanaa Mtumishi wa MUNGU

  • @joycekerenge2427
    @joycekerenge2427 Год назад +1

    Amina Pr Mmbaga

  • @salomekemunto8217
    @salomekemunto8217 2 года назад +1

    Asante kwa kunihelimisha

  • @mwavitafuraha7244
    @mwavitafuraha7244 Год назад +1

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @cristinekenya1050
    @cristinekenya1050 2 года назад +1

    Pastor barikiwa sana, nimeguzwa kabisa na naomba Mungu anisaidie niishi kiulingana na hili SoMo amen

  • @dennisobiri1398
    @dennisobiri1398 Год назад +3

    God bless you Pastor. From Kenya.

  • @leahsafiel5669
    @leahsafiel5669 2 года назад +1

    Amina umenikomboa kifkra

  • @JoyceRamadhan-cl2us
    @JoyceRamadhan-cl2us 10 дней назад

    Nakupata mtumishi nikiwa Oman

  • @salmamsabaha8434
    @salmamsabaha8434 2 года назад +1

    Mbaga kuna sharia na amri kumi za Mungu je unzitumia vizuri?make amri kumi hazibadishwi sharia zinabadilishwa

  • @elizabethkivuruga5351
    @elizabethkivuruga5351 6 месяцев назад +1

    Huwa nakukubali sana japo mm Sio msabato,huwa nakusikilizaga sana .

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 2 года назад +2

    Good preaching. Be Blessed Pastor 🙏🙏

  • @nathankanamba3600
    @nathankanamba3600 2 года назад +2

    God is good

  • @sareheisalige-sd1rr
    @sareheisalige-sd1rr Год назад

    Barikiwa mtumishi

  • @terezamsako1748
    @terezamsako1748 2 года назад +3

    Amen

  • @costarathuman3296
    @costarathuman3296 2 года назад +1

    Nàshukuru kwa ujumbe wako tatizo langu naomba msaada wako naota ndugu zangu waliokufa yaani maisha yale ya zamani ya mwaka 1996--------- ndoto. Hizi zinamaana gani kwangu msaada wako paster

  • @nakundwamallya2295
    @nakundwamallya2295 Месяц назад

    Pastor ninamgonja mtoto wa mama mdogo wangu ninakupataje

  • @angenizigama8861
    @angenizigama8861 2 года назад +2

    hata mimi piya nashanga kwa maesabu hayo hahahaha

  • @nezerinejuma5510
    @nezerinejuma5510 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @user-ew6tr5jk2o
    @user-ew6tr5jk2o Год назад

    Asante mjungaji mungu akupaliki sana

  • @KunyongaPhilipo-on9ry
    @KunyongaPhilipo-on9ry 11 месяцев назад +1

    BANANA azidi kukutangulia sote tufike mbinguni

  • @user-zx2kb2ir3t
    @user-zx2kb2ir3t 7 месяцев назад +1

    Nikwr watu wanatakiwa watufuate.

  • @Briansimiyu254
    @Briansimiyu254 2 года назад +1

    Yes 🥰🥰 amen sabbath

  • @philemonmlowe7418
    @philemonmlowe7418 2 года назад +1

    Nzuri

  • @nakundwamallya2295
    @nakundwamallya2295 Месяц назад

    Tafadhali pastor

  • @emmaoscar2326
    @emmaoscar2326 Год назад +1

    Emma oscar

  • @DaviasAmbundo
    @DaviasAmbundo 8 месяцев назад

    Asante kwa mahubiri mema

  • @montteyfloki3953
    @montteyfloki3953 2 года назад +1

    Nimepigwa na kitu kizito hapo kwenye iPhone 13 alafu sina hata roboheka 😔😔😔😔 Lord have mercy

  • @estherjonas8466
    @estherjonas8466 6 месяцев назад +1

    Mungu Maombi ya kabadilishe maisha yangu na Mume Wangu ktk uchumi. Na kutuondolea magonjwa ktk mwak 2024

  • @MortonKaunda
    @MortonKaunda 3 дня назад

    Pastor ninaota babangu aliofaliki mwaka 2016 lakini naota anipa ufungu ,mara ingene niota kanibadilichia gali langu alinipa gali lingine sijuwi maana yake

  • @fabricebonkisandemumbere7361
    @fabricebonkisandemumbere7361 2 года назад +1

    Asante paster kwa mahubiri.

  • @nakundwamallya2295
    @nakundwamallya2295 Месяц назад

    Mawasiliano yako

  • @felixbaraka7101
    @felixbaraka7101 Год назад +1

    Pastor mmbaga David nakufata vizuri kwenye maumbiri yako nafarijika sana naomba number yako

  • @mugabanyivital
    @mugabanyivital 2 года назад +1

    Jambo kwenu ! Nahitaji siku moja ni shiriki mafundisho ya Mchungaji huu Bwana David.

    • @SAVPTVOnline
      @SAVPTVOnline 2 года назад

      Karibu uko wapi

    • @mugabanyivital
      @mugabanyivital 2 года назад

      Niko Uganda mutumishi wa Bwana. Tena mimi ni mukimbizi toka DRC.

    • @SAVPTVOnline
      @SAVPTVOnline 2 года назад

      Hata ukiwa mbali endelea kumfuatilia

  • @elizabethkivuruga5351
    @elizabethkivuruga5351 6 месяцев назад +1

    Tafuta utaratibu ututumie hicho kitabu soft copy tununue Pastor.

  • @abweanyenga7151
    @abweanyenga7151 2 года назад +1

    Amina sana

  • @upendomaduhu1310
    @upendomaduhu1310 7 месяцев назад

    Namuomba Mungu anisaidie niweze kufatilia kuliko kuangalia mov

  • @janechilendu1438
    @janechilendu1438 Год назад +1

    Pastor nahitaji namba zako samahani niko nchini Oman nina shida ya kuongea nawewe Pqstor

  • @dilurai4204
    @dilurai4204 Год назад +1

    Amen

  • @nelsonsalumuclovis753
    @nelsonsalumuclovis753 2 года назад +1

    Amen