Mwimbaji wa Kenya akaimba "Simba wa Yuda akiguruma, simba wengine wote wanazimba vinywa" 😊😊. Yesu akiguruma kwa maisha yangu, adui wote wanasabaratika 😃
Je kanisa la adventiste ime tosha wapi hii tabia ya ku peperusha bendera ya inchi ya Israël inayo uwa watu kama nyama??? Ukristo ni mpaka bendera ya Israël ???
Pastor mungu azidi kukubariki na shukuru mungu nabarikiwa kila wakati
Amen Amen Amen Mungu wa Mbinguni azidi kukufunulia mambo makubwa Kwa ajili Ya wokovu wa wengi
Asante umefinyanga mioyo ya watu upya mungu akulinde Toka nimeanza kukufatilia nmefanyika kiumbe kipy uishi miaka mingi❤❤❤❤
Amen
@@MahubiriTv2pastor niombee kwa mungu nipate uzima wa milele
Amen. Tunashukuru kwa kupata hii channel .Mungu aendelee kukutumia Kama apendavyo
Amen barikiwa sana Mchungaji..
Amina pastor barikiwa zaidi
Mubarikiwe sana sana, Muctungaji kuani munatu bariki sisi kua maneno tamu
Amen!
Amen🙏🙏❤
AMEN AMEN
Mungu ni mwema siku zote
Yesu anarudi
Aminaaaa
Kwer dunia imeshikwa na mungu
AMINA NAZIDI KUPATA UTAKASO WA ROHO MTAKATIFU KUPITIA MAFUNDUSHO NA HAKIKA NAONA NURU MBELE YANGU
naomba Namba ya kutoa sadaka kwa huduma ya MUNGU
Mwimbaji wa Kenya akaimba "Simba wa Yuda akiguruma, simba wengine wote wanazimba vinywa" 😊😊. Yesu akiguruma kwa maisha yangu, adui wote wanasabaratika 😃
Je kanisa la adventiste ime tosha wapi hii tabia ya ku peperusha bendera ya inchi ya Israël inayo uwa watu kama nyama??? Ukristo ni mpaka bendera ya Israël ???
Amen Amen
Aminaaa