Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
MMBAGA moyo wangu ukikusikilza unapata falijiko sana,nipo Tanzania tabora igunga.
Nashukuru sana kwa mahubiri Yako yamenibadilisha sana mpaka namuona yesu
Amen Mungu akubariki sn Mtumishi wa Mungu pamoja na familia yako yote 🙏🙏
Pasto mungu akubariki napitia hali ngumu nashukuru Mungu kwa kunileta hili somo limejipatia ukatili wa kuzinga mbele kwa imani kwamba ya anaweza yote
Ubarikiwe mtumishi, tunaona upendo wa Mungu kupitia mafundisho yako.Mungu wetu azidi kukutumia kwa ajili ya utukufu wake.Amina
Mungu akubariki sana pastor hakika najikuta napona
Amen 🙏🙏 nabarikiwa sana pr be blessed
𝘏𝘪𝘷𝘪 𝘸𝘦𝘸𝘦 𝘱𝘳 𝘩𝘶𝘸𝘢 𝘶𝘯𝘢𝘯𝘪𝘫𝘶𝘢𝘫𝘦 𝘱𝘢𝘬𝘢 𝘶𝘯𝘢𝘯𝘪𝘰𝘯𝘨𝘦𝘢 𝘬𝘸𝘦𝘯𝘺𝘦 𝘮𝘢𝘩𝘶𝘣𝘪𝘳𝘪 𝘺𝘢𝘬𝘰.?😢😢
Ananiongeleaga mimi, sio wewe🙄😁
@@nahasonfadhili-un8or 𝘋𝘢𝘩 𝘬𝘸𝘢𝘬𝘸𝘦𝘭𝘪 𝘩𝘶𝘺𝘶 𝘣𝘸𝘢𝘯𝘢 𝘬𝘪𝘭𝘢 𝘯𝘪𝘬𝘪𝘧𝘶𝘯𝘨𝘶𝘢 𝘮𝘢𝘩𝘶𝘣𝘪𝘳𝘪 𝘵𝘷 𝘯𝘢𝘬𝘶𝘵𝘢 𝘢𝘯𝘢𝘯𝘪𝘴𝘦𝘮𝘢 𝘵𝘶 𝘮𝘪𝘮𝘪 𝘪𝘭𝘢 𝘯𝘢𝘴𝘩𝘶𝘬𝘶𝘳𝘶 𝘬𝘸𝘢𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘢𝘮𝘦𝘯𝘪𝘰𝘬𝘰𝘢.
Amina
Ubarikiwe sana mchungaji
Kazi ya Mungu haitasimama Licha ya majaribu nimeshajoin tena
What happened to mahubiri TV
Amina ,mch mbaga Ile mahubiri tv Bado hamjairudisha mikononi mwenu???
Ikiwa hii Channel imeingiya majaribuni, tusiwe na hofu, kwasababu yesu mwenyewe, huwa anajifanyiya kazi yake.
ninabarikiwa sana na ww mchungaji. Mungu wetu akubariki sana na familia yako. niombee sana na mm katika hali ngumu ninazopitia.
Aminaaa
Nauliza hapo alipoponya mama mkwe wa petro ..petro alikuwa bado mwanafunzi . Wa. Yesu?
Hii chanel pastor alisema imehakiwa. Nahivyo picha ya malaika sielewi. Ama adui wanarusha vipndi. Au mindosjaelewa jamani
Hyo nembo cyo. Mbona inanembo ya jua?
😅😂😂😂
Mchungaji hii Mahubiri TV2 mpya?
Ooh kumbe Kuna mahubiri tv2!!
Ile ya kwanza imedukuliwa, haipo tena mikononi mwa Pastor Mmbaga, kwa sasa tupo hapa hadi itakapotangazwa vinginevyo tena
🤔???
Hii ndio sahihi ile ya kwanza muovu ameivamia ila kazi ya Mungu haitasimama
Fake fake fake a million times
Napenda unavyo tafsiri maandishi , mungu hatuonei haya kama wadogo zake.mimi nami ntaijua lini biblia
Wana wa giza walituibiya Mahubiri Tv hivyo hii Mahubiri Tv2 ni backup channel. Mahubiri Tv, walioiba wameshindwa Bwana ameirudisha.
Barikiwa sana Mchungaji Mmbaga 🙏🙏..
Asantii YESU❤🙏🙏🙏🙏🙏
MMBAGA moyo wangu ukikusikilza unapata falijiko sana,nipo Tanzania tabora igunga.
Nashukuru sana kwa mahubiri Yako yamenibadilisha sana mpaka namuona yesu
Amen Mungu akubariki sn Mtumishi wa Mungu pamoja na familia yako yote 🙏🙏
Pasto mungu akubariki napitia hali ngumu nashukuru Mungu kwa kunileta hili somo limejipatia ukatili wa kuzinga mbele kwa imani kwamba ya anaweza yote
Ubarikiwe mtumishi, tunaona upendo wa Mungu kupitia mafundisho yako.
Mungu wetu azidi kukutumia kwa ajili ya utukufu wake.
Amina
Mungu akubariki sana pastor hakika najikuta napona
Amen 🙏🙏 nabarikiwa sana pr be blessed
𝘏𝘪𝘷𝘪 𝘸𝘦𝘸𝘦 𝘱𝘳 𝘩𝘶𝘸𝘢 𝘶𝘯𝘢𝘯𝘪𝘫𝘶𝘢𝘫𝘦 𝘱𝘢𝘬𝘢 𝘶𝘯𝘢𝘯𝘪𝘰𝘯𝘨𝘦𝘢 𝘬𝘸𝘦𝘯𝘺𝘦 𝘮𝘢𝘩𝘶𝘣𝘪𝘳𝘪 𝘺𝘢𝘬𝘰.?😢😢
Ananiongeleaga mimi, sio wewe🙄😁
@@nahasonfadhili-un8or 𝘋𝘢𝘩 𝘬𝘸𝘢𝘬𝘸𝘦𝘭𝘪 𝘩𝘶𝘺𝘶 𝘣𝘸𝘢𝘯𝘢 𝘬𝘪𝘭𝘢 𝘯𝘪𝘬𝘪𝘧𝘶𝘯𝘨𝘶𝘢 𝘮𝘢𝘩𝘶𝘣𝘪𝘳𝘪 𝘵𝘷 𝘯𝘢𝘬𝘶𝘵𝘢 𝘢𝘯𝘢𝘯𝘪𝘴𝘦𝘮𝘢 𝘵𝘶 𝘮𝘪𝘮𝘪 𝘪𝘭𝘢 𝘯𝘢𝘴𝘩𝘶𝘬𝘶𝘳𝘶 𝘬𝘸𝘢𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘢𝘮𝘦𝘯𝘪𝘰𝘬𝘰𝘢.
Amina
Ubarikiwe sana mchungaji
Kazi ya Mungu haitasimama Licha ya majaribu nimeshajoin tena
What happened to mahubiri TV
Amina ,mch mbaga Ile mahubiri tv Bado hamjairudisha mikononi mwenu???
Ikiwa hii Channel imeingiya majaribuni, tusiwe na hofu, kwasababu yesu mwenyewe, huwa anajifanyiya kazi yake.
ninabarikiwa sana na ww mchungaji. Mungu wetu akubariki sana na familia yako. niombee sana na mm katika hali ngumu ninazopitia.
Aminaaa
Nauliza hapo alipoponya mama mkwe wa petro ..petro alikuwa bado mwanafunzi . Wa. Yesu?
Hii chanel pastor alisema imehakiwa. Nahivyo picha ya malaika sielewi. Ama adui wanarusha vipndi. Au mindosjaelewa jamani
Hyo nembo cyo. Mbona inanembo ya jua?
😅😂😂😂
Mchungaji hii Mahubiri TV2 mpya?
Ooh kumbe Kuna mahubiri tv2!!
Ile ya kwanza imedukuliwa, haipo tena mikononi mwa Pastor Mmbaga, kwa sasa tupo hapa hadi itakapotangazwa vinginevyo tena
🤔???
Hii ndio sahihi ile ya kwanza muovu ameivamia ila kazi ya Mungu haitasimama
Fake fake fake a million times
Napenda unavyo tafsiri maandishi , mungu hatuonei haya kama wadogo zake.mimi nami ntaijua lini biblia
Wana wa giza walituibiya Mahubiri Tv hivyo hii Mahubiri Tv2 ni backup channel. Mahubiri Tv, walioiba wameshindwa Bwana ameirudisha.
Barikiwa sana Mchungaji Mmbaga 🙏🙏..
Asantii YESU❤🙏🙏🙏🙏🙏