NI NANI HUYU - PR DAVID MMBAGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 33

  • @mussacharles5311
    @mussacharles5311 8 дней назад +5

    MMBAGA moyo wangu ukikusikilza unapata falijiko sana,nipo Tanzania tabora igunga.

  • @amororogers8597
    @amororogers8597 3 дня назад

    Nashukuru sana kwa mahubiri Yako yamenibadilisha sana mpaka namuona yesu

  • @ClaudineClaudine-h9f
    @ClaudineClaudine-h9f 4 дня назад

    Amen Mungu akubariki sn Mtumishi wa Mungu pamoja na familia yako yote 🙏🙏

  • @joycemugaka3039
    @joycemugaka3039 4 дня назад

    Pasto mungu akubariki napitia hali ngumu nashukuru Mungu kwa kunileta hili somo limejipatia ukatili wa kuzinga mbele kwa imani kwamba ya anaweza yote

  • @btechie04
    @btechie04 8 дней назад +4

    Ubarikiwe mtumishi, tunaona upendo wa Mungu kupitia mafundisho yako.
    Mungu wetu azidi kukutumia kwa ajili ya utukufu wake.
    Amina

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 4 дня назад

    Mungu akubariki sana pastor hakika najikuta napona

  • @janetwambuchi830
    @janetwambuchi830 4 дня назад

    Amen 🙏🙏 nabarikiwa sana pr be blessed

  • @DanielSamson-h4v
    @DanielSamson-h4v 3 дня назад +5

    𝘏𝘪𝘷𝘪 𝘸𝘦𝘸𝘦 𝘱𝘳 𝘩𝘶𝘸𝘢 𝘶𝘯𝘢𝘯𝘪𝘫𝘶𝘢𝘫𝘦 𝘱𝘢𝘬𝘢 𝘶𝘯𝘢𝘯𝘪𝘰𝘯𝘨𝘦𝘢 𝘬𝘸𝘦𝘯𝘺𝘦 𝘮𝘢𝘩𝘶𝘣𝘪𝘳𝘪 𝘺𝘢𝘬𝘰.?😢😢

    • @nahasonfadhili-un8or
      @nahasonfadhili-un8or 3 дня назад +1

      Ananiongeleaga mimi, sio wewe🙄😁

    • @DanielSamson-h4v
      @DanielSamson-h4v 2 дня назад

      @@nahasonfadhili-un8or 𝘋𝘢𝘩 𝘬𝘸𝘢𝘬𝘸𝘦𝘭𝘪 𝘩𝘶𝘺𝘶 𝘣𝘸𝘢𝘯𝘢 𝘬𝘪𝘭𝘢 𝘯𝘪𝘬𝘪𝘧𝘶𝘯𝘨𝘶𝘢 𝘮𝘢𝘩𝘶𝘣𝘪𝘳𝘪 𝘵𝘷 𝘯𝘢𝘬𝘶𝘵𝘢 𝘢𝘯𝘢𝘯𝘪𝘴𝘦𝘮𝘢 𝘵𝘶 𝘮𝘪𝘮𝘪 𝘪𝘭𝘢 𝘯𝘢𝘴𝘩𝘶𝘬𝘶𝘳𝘶 𝘬𝘸𝘢𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘢𝘮𝘦𝘯𝘪𝘰𝘬𝘰𝘢.

  • @christinalunyilija
    @christinalunyilija 8 дней назад +1

    Amina

  • @MariamBusele
    @MariamBusele 4 дня назад

    Ubarikiwe sana mchungaji

  • @tomborathomas2124
    @tomborathomas2124 4 дня назад

    Kazi ya Mungu haitasimama Licha ya majaribu nimeshajoin tena

  • @beckykenyaable
    @beckykenyaable 4 дня назад +1

    What happened to mahubiri TV

  • @DotoS12
    @DotoS12 4 дня назад

    Amina ,mch mbaga Ile mahubiri tv Bado hamjairudisha mikononi mwenu???

  • @EsperanceKahindo-kc4gq
    @EsperanceKahindo-kc4gq 4 дня назад

    Ikiwa hii Channel imeingiya majaribuni, tusiwe na hofu, kwasababu yesu mwenyewe, huwa anajifanyiya kazi yake.

  • @LeahObedi
    @LeahObedi 22 часа назад

    ninabarikiwa sana na ww mchungaji. Mungu wetu akubariki sana na familia yako. niombee sana na mm katika hali ngumu ninazopitia.

  • @MariamBusele
    @MariamBusele 4 дня назад

    Aminaaa

  • @byusaajumapili6750
    @byusaajumapili6750 4 дня назад

    Nauliza hapo alipoponya mama mkwe wa petro ..petro alikuwa bado mwanafunzi . Wa. Yesu?

  • @HellenaMky
    @HellenaMky 4 дня назад

    Hii chanel pastor alisema imehakiwa. Nahivyo picha ya malaika sielewi. Ama adui wanarusha vipndi. Au mindosjaelewa jamani

  • @HellenaMky
    @HellenaMky 4 дня назад

    Hyo nembo cyo. Mbona inanembo ya jua?

  • @christinalunyilija
    @christinalunyilija 8 дней назад +1

    😅😂😂😂

  • @joynaiponaipasoi1335
    @joynaiponaipasoi1335 4 дня назад

    Mchungaji hii Mahubiri TV2 mpya?

  • @fredinandvyoisaka6490
    @fredinandvyoisaka6490 7 дней назад

    Ooh kumbe Kuna mahubiri tv2!!

    • @ellycondanptyltd3437
      @ellycondanptyltd3437 7 дней назад

      Ile ya kwanza imedukuliwa, haipo tena mikononi mwa Pastor Mmbaga, kwa sasa tupo hapa hadi itakapotangazwa vinginevyo tena

    • @JuliaLumande-r4p
      @JuliaLumande-r4p 4 дня назад

      🤔???

    • @tomborathomas2124
      @tomborathomas2124 4 дня назад

      Hii ndio sahihi ile ya kwanza muovu ameivamia ila kazi ya Mungu haitasimama

  • @InnohubGroup
    @InnohubGroup 4 дня назад

    Fake fake fake a million times

  • @CarinaNyamagwa
    @CarinaNyamagwa День назад

    Napenda unavyo tafsiri maandishi , mungu hatuonei haya kama wadogo zake.mimi nami ntaijua lini biblia

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 4 дня назад

    Wana wa giza walituibiya Mahubiri Tv hivyo hii Mahubiri Tv2 ni backup channel. Mahubiri Tv, walioiba wameshindwa Bwana ameirudisha.

  • @gelardjames2595
    @gelardjames2595 4 дня назад

    Barikiwa sana Mchungaji Mmbaga 🙏🙏..

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 3 дня назад

    Asantii YESU❤🙏🙏🙏🙏🙏