KURUDI KWA YESU -01

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 45

  • @emmanuelshaban4834
    @emmanuelshaban4834 Месяц назад +2

    Mtumishi wa Mungu, Bwana Yesu aendelee kukutumia tu kwani umenisaidia mengi mno, hata hivo naomba tafsiri ya Danieli 12:11--12. Ndimi Ignatius Nzigo nipo Kibondo mjini, Amen.

  • @UkundiMlelwa
    @UkundiMlelwa 4 месяца назад +5

    Amen rabbi kwa mafundisho ya wakati huu hasa. Nilikuwa natamani sana kupata mafundisho ya kipindi hiki cha mwisho, Mungu amenionyesha hii channel nabarikiwa sana.

  • @byusaajumapili6750
    @byusaajumapili6750 4 месяца назад +11

    Mungu akubariki mchungaji ninaposikiya mahubiri Yako yananijega sana maana mahubiri kama hayo hayasikiki tena ina kuwa tutabarikiwatu . Baba utakuja Burundi Siku gani ? Tunatamani uje nakwetu

    • @esthersamuel2459
      @esthersamuel2459 3 месяца назад

      Mungu akumariki mtumishi

    • @AlphaBalezi
      @AlphaBalezi Месяц назад

      Nina haja ya nambar mutumishi anaye hubiri

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад +2

    Tubinganiye Yesu peke yetu hatuwesi Vita ni vyako si vyeyu Yesu tusaindiye

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад +1

    Mungu tuhurumihe tupe nguvu za ushindi hizi nyakati za mwinzo Mungu tushidanie Yesu Kristo wanasareti

  • @joycenjana7331
    @joycenjana7331 4 месяца назад +2

    Amen amen mtumishi nabarikiwa sana kwa neno, umebarikiwa

  • @AgnessHezron
    @AgnessHezron 4 месяца назад +2

    Mungu. akubariki.mtumishi. wa Mungu

  • @emilykangaty1262
    @emilykangaty1262 3 месяца назад +2

    Nifanye KAZI ya kumtumikia Mungu kwa ngu u na juhudi zote

  • @JustineMuhindo-tb6en
    @JustineMuhindo-tb6en 4 месяца назад +2

    Yesu akubariki sana nakuzidishiye nguvu

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA Месяц назад +1

    AMEN MTU wa MUNGU alie juu saana

  • @BarakaKamara
    @BarakaKamara Месяц назад +2

    Mahubiri haya ñi hadimu sana katika kipindi hiki cha mwisho. Sijui watumishi wa Mungu walio wengi wamerogwa na nani?

  • @deboramwizarubi
    @deboramwizarubi 2 месяца назад +1

    Baba Bwana aendelee kukutumia tunajifunza mnooo

  • @afredfodogo7857
    @afredfodogo7857 4 месяца назад +1

    Asante YESU KWA kujizihilishwa kupitia TAIFA TEULE LA EZIRAEL TUNAIPENDA EZIRAELI LINDA KWA DAMU YAKO MILELE,

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад +2

    Mungu tuhurumihe huu wakati wa mwinzo hatujui kutaendaje

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 Месяц назад +1

    Hapana kila kitu Mungu akubariki mtumishi. Mimi ni mkristo Ila sitokuwa na kubaliana na wahubiri hata kama yeye ni mwisrael, mwisrael sio Malaika wala rohomtakatifu bali ni mtu kama sisi na kunamara hajaongozwa na Roho wa Mungu kwenye kila kitu wanacho sema. Muwe makini sana watu wataenda kushangaa huko Mbinguni.

  • @oliverbernad5570
    @oliverbernad5570 4 месяца назад +2

    Nakupata VZR MTUMISHI Absharom ,Iringa MJINI

  • @japhetmasai9954
    @japhetmasai9954 4 месяца назад +2

    Mungu akubariki mtumishi wa bwana kwakweli yote unayoyasema ni ukweli kabisa manake kiroho kweli yesu yu karibu sana

  • @AlphaBalezi
    @AlphaBalezi Месяц назад +1

    Aksate sana kwa ma hubiri . Alpha DRC Congo

  • @sarahnjowela554
    @sarahnjowela554 4 месяца назад +2

    Amina mtumishi nabarikiwa sana ubarikiwe

  • @JOESE-n1n
    @JOESE-n1n 29 дней назад +1

    Mwenye kusikia na asikie maneno haya ambayo Roho Mtakatifu anasema na kanisa

  • @JOESE-n1n
    @JOESE-n1n 29 дней назад

    Inasikitisha sana kama wakirsto hatutatambua nyakati hizi za mwisho ktk unyakuo wa kanisa la Mungu

  • @joellumala3206
    @joellumala3206 4 месяца назад +2

    Ni wakati wa mwisho., Tujiweke tayari, muda sio rafiki

  • @LinaLema-c1m
    @LinaLema-c1m Месяц назад +1

    Ameen amen

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 2 месяца назад +1

    Mahubiri haya nilikuwa nayasikia kwa mzee kulola sasa kwa mzee magembe wengine wamekalia kupaka watu mafuta ndo watu wamejaa iliwaje kufagiliwa vizuri

  • @ALEXLESERE
    @ALEXLESERE 4 месяца назад +1

    Amen 🙏, mtumishi nabarikiwa sana na mahubiri Yako ya siku za mwisho,

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 2 месяца назад +1

    Ni wakati wa wanawali 10 watano wenye busara na 5 wapumbavu Mungu tutie nguvu tuwe na mafuta

  • @emmanuelshaban4834
    @emmanuelshaban4834 4 месяца назад

    Ninakufuatilia Sana mtumishi wa Mungu na kupitia mahubiri yako kuna vitu vingi ninaendelea kuviongeza ktk Imani yangu, Bwana Yesu akulinde na kuzidi kukubariki zaidi, Karibu kwetu Kigoma.

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 3 месяца назад

    Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana mutumishi wa mungu

  • @blondyd4256
    @blondyd4256 4 месяца назад +1

    Haleluya, nabarikiwa kutoka Geita

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 5 дней назад

    AMEN

  • @emilykangaty1262
    @emilykangaty1262 3 месяца назад

    Mafndisho haya yananiongezea kiwango changu Cha kumpenda Mungu

  • @DieudonneMAHANGO-ws3do
    @DieudonneMAHANGO-ws3do 4 месяца назад

    Amen 🙌

  • @eliyamakanika7282
    @eliyamakanika7282 4 месяца назад

    Amen ❤❤

  • @MethodAlphan
    @MethodAlphan 4 месяца назад

    Amen mwana wa mungu 🙏🇮🇱 mafundisho mema

  • @rosemarymwanitega7926
    @rosemarymwanitega7926 4 месяца назад

    Ameni Hallelujah

  • @JustineMuhindo-tb6en
    @JustineMuhindo-tb6en 4 месяца назад

    Ninaswali pasta je wewe nimuyahudi wakuzalikiwa

  • @masindemagee9603
    @masindemagee9603 4 месяца назад

    amn

  • @LydiaNasimiyu-h1n
    @LydiaNasimiyu-h1n 2 месяца назад

    Mungu tuhurumihe tupe nguvu za ushindi hizi nyakati za mwinzo Mungu tushidanie Yesu Kristo wanasareti

  • @JustineMuhindo-tb6en
    @JustineMuhindo-tb6en 4 месяца назад

    Yesu akubariki sana nakuzidishiye nguvu