Mtumishi wa Mungu, Bwana Yesu aendelee kukutumia tu kwani umenisaidia mengi mno, hata hivo naomba tafsiri ya Danieli 12:11--12. Ndimi Ignatius Nzigo nipo Kibondo mjini, Amen.
Amen rabbi kwa mafundisho ya wakati huu hasa. Nilikuwa natamani sana kupata mafundisho ya kipindi hiki cha mwisho, Mungu amenionyesha hii channel nabarikiwa sana.
Mungu akubariki mchungaji ninaposikiya mahubiri Yako yananijega sana maana mahubiri kama hayo hayasikiki tena ina kuwa tutabarikiwatu . Baba utakuja Burundi Siku gani ? Tunatamani uje nakwetu
Hapana kila kitu Mungu akubariki mtumishi. Mimi ni mkristo Ila sitokuwa na kubaliana na wahubiri hata kama yeye ni mwisrael, mwisrael sio Malaika wala rohomtakatifu bali ni mtu kama sisi na kunamara hajaongozwa na Roho wa Mungu kwenye kila kitu wanacho sema. Muwe makini sana watu wataenda kushangaa huko Mbinguni.
Ninakufuatilia Sana mtumishi wa Mungu na kupitia mahubiri yako kuna vitu vingi ninaendelea kuviongeza ktk Imani yangu, Bwana Yesu akulinde na kuzidi kukubariki zaidi, Karibu kwetu Kigoma.
Mtumishi wa Mungu, Bwana Yesu aendelee kukutumia tu kwani umenisaidia mengi mno, hata hivo naomba tafsiri ya Danieli 12:11--12. Ndimi Ignatius Nzigo nipo Kibondo mjini, Amen.
Amen rabbi kwa mafundisho ya wakati huu hasa. Nilikuwa natamani sana kupata mafundisho ya kipindi hiki cha mwisho, Mungu amenionyesha hii channel nabarikiwa sana.
Mungu akubariki mchungaji ninaposikiya mahubiri Yako yananijega sana maana mahubiri kama hayo hayasikiki tena ina kuwa tutabarikiwatu . Baba utakuja Burundi Siku gani ? Tunatamani uje nakwetu
Mungu akumariki mtumishi
Nina haja ya nambar mutumishi anaye hubiri
Tubinganiye Yesu peke yetu hatuwesi Vita ni vyako si vyeyu Yesu tusaindiye
Mungu tuhurumihe tupe nguvu za ushindi hizi nyakati za mwinzo Mungu tushidanie Yesu Kristo wanasareti
Amen amen mtumishi nabarikiwa sana kwa neno, umebarikiwa
Mungu. akubariki.mtumishi. wa Mungu
Nifanye KAZI ya kumtumikia Mungu kwa ngu u na juhudi zote
Yesu akubariki sana nakuzidishiye nguvu
AMEN MTU wa MUNGU alie juu saana
Mahubiri haya ñi hadimu sana katika kipindi hiki cha mwisho. Sijui watumishi wa Mungu walio wengi wamerogwa na nani?
Baba Bwana aendelee kukutumia tunajifunza mnooo
Asante YESU KWA kujizihilishwa kupitia TAIFA TEULE LA EZIRAEL TUNAIPENDA EZIRAELI LINDA KWA DAMU YAKO MILELE,
Mungu tuhurumihe huu wakati wa mwinzo hatujui kutaendaje
Hapana kila kitu Mungu akubariki mtumishi. Mimi ni mkristo Ila sitokuwa na kubaliana na wahubiri hata kama yeye ni mwisrael, mwisrael sio Malaika wala rohomtakatifu bali ni mtu kama sisi na kunamara hajaongozwa na Roho wa Mungu kwenye kila kitu wanacho sema. Muwe makini sana watu wataenda kushangaa huko Mbinguni.
Nakupata VZR MTUMISHI Absharom ,Iringa MJINI
Mungu akubariki mtumishi wa bwana kwakweli yote unayoyasema ni ukweli kabisa manake kiroho kweli yesu yu karibu sana
Aksate sana kwa ma hubiri . Alpha DRC Congo
Amina mtumishi nabarikiwa sana ubarikiwe
Mwenye kusikia na asikie maneno haya ambayo Roho Mtakatifu anasema na kanisa
Inasikitisha sana kama wakirsto hatutatambua nyakati hizi za mwisho ktk unyakuo wa kanisa la Mungu
Ni wakati wa mwisho., Tujiweke tayari, muda sio rafiki
Ameen amen
Mahubiri haya nilikuwa nayasikia kwa mzee kulola sasa kwa mzee magembe wengine wamekalia kupaka watu mafuta ndo watu wamejaa iliwaje kufagiliwa vizuri
Amen 🙏, mtumishi nabarikiwa sana na mahubiri Yako ya siku za mwisho,
Ni wakati wa wanawali 10 watano wenye busara na 5 wapumbavu Mungu tutie nguvu tuwe na mafuta
Ninakufuatilia Sana mtumishi wa Mungu na kupitia mahubiri yako kuna vitu vingi ninaendelea kuviongeza ktk Imani yangu, Bwana Yesu akulinde na kuzidi kukubariki zaidi, Karibu kwetu Kigoma.
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana mutumishi wa mungu
Haleluya, nabarikiwa kutoka Geita
AMEN
Mafndisho haya yananiongezea kiwango changu Cha kumpenda Mungu
Amen 🙌
Amen ❤❤
Amen mwana wa mungu 🙏🇮🇱 mafundisho mema
51:23
Ameni Hallelujah
Amina
L
Q~ee10
Ninaswali pasta je wewe nimuyahudi wakuzalikiwa
amn
Mungu tuhurumihe tupe nguvu za ushindi hizi nyakati za mwinzo Mungu tushidanie Yesu Kristo wanasareti
Yesu akubariki sana nakuzidishiye nguvu