YESU YUPO KARIBU SANA KUNYAKUA KANISA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 ноя 2023

Комментарии • 70

  • @FREDRICKMWALUPEMBE
    @FREDRICKMWALUPEMBE Месяц назад +1

    Ujumbe mzuri nimebarikiwa

  • @HildaPaul-hm4jk
    @HildaPaul-hm4jk Месяц назад +1

    Amen

  • @SospeterRevocatus
    @SospeterRevocatus 24 дня назад +2

    Amen! Tunajifunza sana

  • @user-sz6qc5fh3q
    @user-sz6qc5fh3q 3 месяца назад +2

    Amina baba Mungu atupe kutengeneza

  • @user-sz6qc5fh3q
    @user-sz6qc5fh3q 3 месяца назад +2

    Amen baba Mungu atusaidie tutengeneze njia zetu

  • @emmanuellamushagalusa9744
    @emmanuellamushagalusa9744 6 месяцев назад +5

    Mungu akubariki na atujalie neema tuelewe haya maneno na tuyashike maagizo ya Mungu ,Na zaidi ya yote tuishi ndani ya utakaso 🙏🙏🙏

  • @hidayangoda4724
    @hidayangoda4724 2 месяца назад +1

    Amen Rabi nami kwa imani nashika pindo la taliti yako leo🙏🙏

  • @lasonmushani5765
    @lasonmushani5765 Месяц назад +1

    Good evening Rabi I tell you your message is beyond powerful. But I want to bring request to you please may you repeat same message use English so that many people understand this message. For example I am living in Zambia many Zambian they don't understand Swahili. I personally speak Swahili because I stayed in Tanzania three years but the lest of Zambian they don't. On behalf of Zambian I plead with you find any means so that other none Swahili speaking countries may get this powerful message. Rev. Lason Mushani Zambia

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 3 месяца назад +2

    Hii Elimu ni ya kweli kabisa

  • @sentestivinchoir4001
    @sentestivinchoir4001 5 месяцев назад +2

    Ubarikiwe sana mchungaji,mimi hapa marekani nina kufwatiliya miya kwa miya.neno unalo lihubiri lina nitiya nguvu.ila kuna sehemu ambayo umetwambiya kama unapo lihubiri neno la Mungu uwa unatumiya simu,tena umesema huna aja ya kununuwa biblia kumbuka kwamba izo bibilia za kwenye simu ipo siku zitafutwa.niafazali kuambiya watu wawe na vitabu aina ya bibilia ndani ya nyumba zao.asanteni sana mutumishi wa Mungu

  • @MargaretMwangende-rg8xr
    @MargaretMwangende-rg8xr Месяц назад +1

    Kweli ni complicated lakini Roho Mtakatifu atatuelrwesha

  • @upendosahala8663
    @upendosahala8663 4 месяца назад +1

    Mungu akubariki sana mtumishi, naomba maombi kwa ajili ya ayfa yangu iiimarike nina maumivu ya mgongo Bwana yesu anifungue na Kila kifungo kiniachie nikutumikie kwa uaminifu

  • @user-zd2kg6cc8g
    @user-zd2kg6cc8g Месяц назад +1

    Mungu akubariki Rabih

  • @meshackjoel4715
    @meshackjoel4715 5 месяцев назад +1

    Shaloom Aleichem, Nimekuelewa Mungu atusaidie kuingia katika mbingu zake

  • @MethodAlphan
    @MethodAlphan Месяц назад +1

    Mungu akuinue🙏

  • @MachoziRebeka-ln1qs
    @MachoziRebeka-ln1qs 3 месяца назад +1

    Amen amen amen

  • @user-gh1hh1gr5p
    @user-gh1hh1gr5p 3 месяца назад +1

    Aksate Sana mtumishi wa mungu

  • @MachoziRebeka-ln1qs
    @MachoziRebeka-ln1qs 3 месяца назад +1

    Baba endelea kutufungua ability mungu akubariki

  • @AlexKampate-od2km
    @AlexKampate-od2km 5 месяцев назад +1

    Shalom!! Naomba namba ya simu ya Rabbi naumwa nahitaji maombi,piano Kanisa like wapi?

  • @okokaashery6286
    @okokaashery6286 5 месяцев назад +1

    Amen Mtumishi,Kwa mafunuo ya Hekima ya Kimbingu,Nimebarikiwa sana sana

  • @user-ts5ce9ps7q
    @user-ts5ce9ps7q 5 месяцев назад +1

    Shalom Israel

  • @erickdamiankakuru
    @erickdamiankakuru 5 месяцев назад +1

    Amen 🙏🙏🙏🙏 kubwa najisikia kupokea muujiza wangu

  • @ferixsikota3898
    @ferixsikota3898 4 месяца назад +1

    Thank you so much for beautiful message

  • @japhetmasai9954
    @japhetmasai9954 3 месяца назад +1

    Thanks so much and God bless you amen 🙏

  • @lawmarcusmwakagenda355
    @lawmarcusmwakagenda355 5 месяцев назад +1

    Naiona neema ya Mungu juu yangu kupata nafasi ya kusikia Neno la uzima hili

  • @helenatarimo3643
    @helenatarimo3643 5 месяцев назад +1

    Barikiwa mtu wa Mungu Mungu kwa ujumbe mkuu namna hii.na atuongezee imani

  • @juliethsanga6151
    @juliethsanga6151 5 месяцев назад +1

    Rabby Bwana Yesu asifiwe naomba saa Rabby Tuombee mimi na mume wangu kisukari kipone na kidonda kikauke katika jina kuu laYesu. Rabby Mtumishi wawa Mungu Abisolom niko kibaha na mume wangu Apolo India hospital

    • @beatricenangale5439
      @beatricenangale5439 2 месяца назад

      Wenye kisukari vyenye vidonda miguuni tumetangaziwa wawasiliane na Hospital ya kariuki kuna tiba itatolewa

  • @Gaynor1234
    @Gaynor1234 5 месяцев назад +1

    Amen, Amen.

  • @akothchristine4752
    @akothchristine4752 3 месяца назад +1

    Amiina

  • @lindakapongo8421
    @lindakapongo8421 5 месяцев назад +1

    asante nimekuèlewa mnoooooooo

  • @bernadetteshukuru9154
    @bernadetteshukuru9154 5 месяцев назад +1

    Amen amen amen ameneeeeeee

  • @IdahNambelasiwala-qs3su
    @IdahNambelasiwala-qs3su 5 месяцев назад +1

    Amen 🙏🙏

  • @user-ez7lk3it5s
    @user-ez7lk3it5s 5 месяцев назад +1

    Amina.baba

  • @clementinemukosa8307
    @clementinemukosa8307 5 месяцев назад +1

    Nitakuonaje kusudi nami nilishike lile talit? Pia nashukuru kwa ujumbe wa neno la MUNGU

  • @user-vd1ik2gn2j
    @user-vd1ik2gn2j 6 месяцев назад +2

    Amina mtumishi

  • @salahsadi3908
    @salahsadi3908 5 месяцев назад +1

    Amina sana mtumishi

  • @AmosJeremiah-dj2jm
    @AmosJeremiah-dj2jm 5 месяцев назад +1

    Ameen barikiwa pastor

  • @RusiLumona
    @RusiLumona 5 месяцев назад +1

    Amen 🙏

  • @baldwinkachenje2057
    @baldwinkachenje2057 5 месяцев назад +1

    Go deeper Man of God, nimebarikiwa saana

  • @JaneKalisya-uv3iv
    @JaneKalisya-uv3iv 5 месяцев назад +1

    Ameen 😢

  • @johnnguttu9516
    @johnnguttu9516 6 месяцев назад +2

    AMEN, AMEN. Asante Kwa kutuombea Rabbi na Kwa kutufundisha maana ya Tallit. Barikiwa Sana Mtumishi wa MUNGU

  • @Chrizabizzy1
    @Chrizabizzy1 5 месяцев назад

    Mahubiri mnayo sema yataendelea mbona hamweki jamani watu tunafatilia neno la Mungu na tuna kiu nalo.🥹🥹🥹

  • @bahomehussein8289
    @bahomehussein8289 5 месяцев назад +1

    NASHUKURU KWA MAFUNDISHO YA NENO LA UZIMA NIMEFURAHI SANA TENA SANA NIPATE KUYASIKIA YA JUMAPILI 3/12/2023

  • @livebeyond8213
    @livebeyond8213 5 месяцев назад +1

    Nabarikiwa sana baba kwa mafundisho haya!
    🙏🙏🙏

  • @charlesmnuo3292
    @charlesmnuo3292 6 месяцев назад +1

    Mungu yupamoja nawe bishop

  • @BerthaEzekiel-ss2dq
    @BerthaEzekiel-ss2dq 6 месяцев назад +1

    iiiiiiihii amén Mamani kuokoka raha

  • @CaptainLufumbe
    @CaptainLufumbe 5 месяцев назад +1

    AMINA KUBWA SANA

  • @BerthaEzekiel-ss2dq
    @BerthaEzekiel-ss2dq 6 месяцев назад +1

    Amina mtu wa YEHOVA

  • @AlexKampate-od2km
    @AlexKampate-od2km 5 месяцев назад +1

    Shalom!! Nina shida ya kumwona Rabbi,nifanyeje kuweza kumwona.Naomba Namba zake za simu,na Kanisa Lake like wapi?

    • @user-ts5ce9ps7q
      @user-ts5ce9ps7q 5 месяцев назад

      Shalom maipenfa israel. Naiombea baraka

  • @jacobmahona187
    @jacobmahona187 6 месяцев назад +2

    Nimekupata Vizuri kutoka kakola kahama, na nyakagwe

  • @dennismbote4771
    @dennismbote4771 6 месяцев назад +2

    Kofia hiyo inamaana gani??,mana kwa Bwana wetu Yesu Kristo sikuiona hiyo kofia.Naomba ufafanuzi mtumishi

    • @johnnguttu9516
      @johnnguttu9516 5 месяцев назад

      Hiyo kofia Wayahudi wote wanavaa vikimaanisha ipo siku wataingia katika Vita vya mwisho vya vya MWENYEZI MUNGU. (Ufunuo 16:16) fuatilia Mafundisho mengi hapo RUclips utapata jibu lake... Hasa sikiliza mahubiri ya rabbi tofauti tofauti juu ya siku za mwisho utapata majibu ya hiyo kofia

    • @chrisogonivulstan414
      @chrisogonivulstan414 5 месяцев назад

      Kila unachovaa ww Yesu alivaa

    • @CKASS-mi9xc
      @CKASS-mi9xc 5 месяцев назад

      Musifatane nabo aba. Ni batu ya ba cabbale juif. IKO secte mubaya

    • @Chrizabizzy1
      @Chrizabizzy1 5 месяцев назад

      Yesu yup wa kwenye video?

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 4 месяца назад

      Alimuona Yesu wa kwenye video yule siyo Yesu lile ni igizo

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 5 месяцев назад +1

    Talit umenipa mafunuo haya matakatifu Barikiwa Mtumishi

  • @kathyndwash9103
    @kathyndwash9103 5 месяцев назад

    Mafundisho mema lakni nguo iliyo ndani Ina pyramid 😢 maanake noni

  • @ttv9049
    @ttv9049 5 месяцев назад +1

    Ameni

  • @MethodAlphan
    @MethodAlphan Месяц назад +1

    Amen

  • @user-sz6qc5fh3q
    @user-sz6qc5fh3q 3 месяца назад +1

    Amina baba Mungu atupe kutengeneza

  • @user-hg1qd2hw8j
    @user-hg1qd2hw8j 5 месяцев назад

    Amen