Good evening Rabi I tell you your message is beyond powerful. But I want to bring request to you please may you repeat same message use English so that many people understand this message. For example I am living in Zambia many Zambian they don't understand Swahili. I personally speak Swahili because I stayed in Tanzania three years but the lest of Zambian they don't. On behalf of Zambian I plead with you find any means so that other none Swahili speaking countries may get this powerful message. Rev. Lason Mushani Zambia
Ubarikiwe sana mchungaji,mimi hapa marekani nina kufwatiliya miya kwa miya.neno unalo lihubiri lina nitiya nguvu.ila kuna sehemu ambayo umetwambiya kama unapo lihubiri neno la Mungu uwa unatumiya simu,tena umesema huna aja ya kununuwa biblia kumbuka kwamba izo bibilia za kwenye simu ipo siku zitafutwa.niafazali kuambiya watu wawe na vitabu aina ya bibilia ndani ya nyumba zao.asanteni sana mutumishi wa Mungu
Mungu akubariki sana mtumishi, naomba maombi kwa ajili ya ayfa yangu iiimarike nina maumivu ya mgongo Bwana yesu anifungue na Kila kifungo kiniachie nikutumikie kwa uaminifu
Rabby Bwana Yesu asifiwe naomba saa Rabby Tuombee mimi na mume wangu kisukari kipone na kidonda kikauke katika jina kuu laYesu. Rabby Mtumishi wawa Mungu Abisolom niko kibaha na mume wangu Apolo India hospital
Hiyo kofia Wayahudi wote wanavaa vikimaanisha ipo siku wataingia katika Vita vya mwisho vya vya MWENYEZI MUNGU. (Ufunuo 16:16) fuatilia Mafundisho mengi hapo RUclips utapata jibu lake... Hasa sikiliza mahubiri ya rabbi tofauti tofauti juu ya siku za mwisho utapata majibu ya hiyo kofia
Ujumbe mzuri nimebarikiwa
Amen
Amen! Tunajifunza sana
Amina baba Mungu atupe kutengeneza
Amen baba Mungu atusaidie tutengeneze njia zetu
Mungu akubariki na atujalie neema tuelewe haya maneno na tuyashike maagizo ya Mungu ,Na zaidi ya yote tuishi ndani ya utakaso 🙏🙏🙏
Amina
Amen Rabi nami kwa imani nashika pindo la taliti yako leo🙏🙏
Good evening Rabi I tell you your message is beyond powerful. But I want to bring request to you please may you repeat same message use English so that many people understand this message. For example I am living in Zambia many Zambian they don't understand Swahili. I personally speak Swahili because I stayed in Tanzania three years but the lest of Zambian they don't. On behalf of Zambian I plead with you find any means so that other none Swahili speaking countries may get this powerful message. Rev. Lason Mushani Zambia
Hii Elimu ni ya kweli kabisa
Ubarikiwe sana mchungaji,mimi hapa marekani nina kufwatiliya miya kwa miya.neno unalo lihubiri lina nitiya nguvu.ila kuna sehemu ambayo umetwambiya kama unapo lihubiri neno la Mungu uwa unatumiya simu,tena umesema huna aja ya kununuwa biblia kumbuka kwamba izo bibilia za kwenye simu ipo siku zitafutwa.niafazali kuambiya watu wawe na vitabu aina ya bibilia ndani ya nyumba zao.asanteni sana mutumishi wa Mungu
Kweli ni complicated lakini Roho Mtakatifu atatuelrwesha
Mungu akubariki sana mtumishi, naomba maombi kwa ajili ya ayfa yangu iiimarike nina maumivu ya mgongo Bwana yesu anifungue na Kila kifungo kiniachie nikutumikie kwa uaminifu
Mungu akubariki Rabih
Shaloom Aleichem, Nimekuelewa Mungu atusaidie kuingia katika mbingu zake
Mungu akuinue🙏
Amen amen amen
Aksate Sana mtumishi wa mungu
Baba endelea kutufungua ability mungu akubariki
Shalom!! Naomba namba ya simu ya Rabbi naumwa nahitaji maombi,piano Kanisa like wapi?
Amen Mtumishi,Kwa mafunuo ya Hekima ya Kimbingu,Nimebarikiwa sana sana
Shalom Israel
Amen 🙏🙏🙏🙏 kubwa najisikia kupokea muujiza wangu
Thank you so much for beautiful message
Thanks so much and God bless you amen 🙏
Naiona neema ya Mungu juu yangu kupata nafasi ya kusikia Neno la uzima hili
Barikiwa mtu wa Mungu Mungu kwa ujumbe mkuu namna hii.na atuongezee imani
Rabby Bwana Yesu asifiwe naomba saa Rabby Tuombee mimi na mume wangu kisukari kipone na kidonda kikauke katika jina kuu laYesu. Rabby Mtumishi wawa Mungu Abisolom niko kibaha na mume wangu Apolo India hospital
Wenye kisukari vyenye vidonda miguuni tumetangaziwa wawasiliane na Hospital ya kariuki kuna tiba itatolewa
Amen, Amen.
Amiina
asante nimekuèlewa mnoooooooo
Amen amen amen ameneeeeeee
Amen 🙏🙏
Amina.baba
Nitakuonaje kusudi nami nilishike lile talit? Pia nashukuru kwa ujumbe wa neno la MUNGU
Amina mtumishi
Amina sana mtumishi
Ameen barikiwa pastor
Amen 🙏
Go deeper Man of God, nimebarikiwa saana
Ameen 😢
AMEN, AMEN. Asante Kwa kutuombea Rabbi na Kwa kutufundisha maana ya Tallit. Barikiwa Sana Mtumishi wa MUNGU
Mahubiri mnayo sema yataendelea mbona hamweki jamani watu tunafatilia neno la Mungu na tuna kiu nalo.🥹🥹🥹
NASHUKURU KWA MAFUNDISHO YA NENO LA UZIMA NIMEFURAHI SANA TENA SANA NIPATE KUYASIKIA YA JUMAPILI 3/12/2023
Nabarikiwa sana baba kwa mafundisho haya!
🙏🙏🙏
Mungu yupamoja nawe bishop
iiiiiiihii amén Mamani kuokoka raha
AMINA KUBWA SANA
Amina mtu wa YEHOVA
Shalom!! Nina shida ya kumwona Rabbi,nifanyeje kuweza kumwona.Naomba Namba zake za simu,na Kanisa Lake like wapi?
Shalom maipenfa israel. Naiombea baraka
Nimekupata Vizuri kutoka kakola kahama, na nyakagwe
Tunampata mwalimu kahama
Kofia hiyo inamaana gani??,mana kwa Bwana wetu Yesu Kristo sikuiona hiyo kofia.Naomba ufafanuzi mtumishi
Hiyo kofia Wayahudi wote wanavaa vikimaanisha ipo siku wataingia katika Vita vya mwisho vya vya MWENYEZI MUNGU. (Ufunuo 16:16) fuatilia Mafundisho mengi hapo RUclips utapata jibu lake... Hasa sikiliza mahubiri ya rabbi tofauti tofauti juu ya siku za mwisho utapata majibu ya hiyo kofia
Kila unachovaa ww Yesu alivaa
Musifatane nabo aba. Ni batu ya ba cabbale juif. IKO secte mubaya
Yesu yup wa kwenye video?
Alimuona Yesu wa kwenye video yule siyo Yesu lile ni igizo
Talit umenipa mafunuo haya matakatifu Barikiwa Mtumishi
Mafundisho mema lakni nguo iliyo ndani Ina pyramid 😢 maanake noni
Hiyo ni bendera ya Israeli
Hata wewe pia una vidole tano kwa kila mkono
Ameni
Amen
Amina baba Mungu atupe kutengeneza
Amen