Pt1_USHUHUDA WA KUSHANGAZA WA NABII MKE WA CONGO MARIAM KINYAMARURA ALIYEISHI MIAKA 24 BILA KULA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 21 май 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.13322701
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Комментарии • 51

  • @AfirenAfiren
    @AfirenAfiren 26 дней назад +11

    Haki si siku moja Mungu nione pia kwenye haja za moyo wangu, barikiwa promover kwa shuuda hizi

  • @langistany6811
    @langistany6811 25 дней назад +5

    Maarufu sana hapa kwetu huo Nabii wa kike, Na sisi tulikua tuna mwita NABII MARIAMU WA ABELA. Huo mama alitumia na Mungu kwa viwango vikubwa sana.

  • @user-fu6fx8if6w
    @user-fu6fx8if6w 26 дней назад +7

    promover mbarikiwe sana ,God can do what no man can do,his ways are far above our ways.🙏❤️

  • @user-xl1gm8rh8s
    @user-xl1gm8rh8s 25 дней назад +3

    Ushuuda ni mazuri promover endeleeni kushuudia pamoja na mzee ana mengi zaidi ya mtumishi wa Mungu amin

  • @fitinamarando
    @fitinamarando 26 дней назад +3

    PROMOVER TV mbarikiwe sana wana wa Mungu kwa kazi nzuri mnayofanya.

  • @fredmariita8930
    @fredmariita8930 21 день назад

    Asante Sana promoter munanitia moyo siku sote🙏🙏🙏 MUNGU pia mm naomba siku moja anitokee anieke kua njia saii

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 26 дней назад +3

    Mungu alimpa mwili,mfanano na maisha wanaoishi watakatifu Mbinguni ,

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 25 дней назад +3

    Safi sana huu ndo unabii wa MUNGU AAA HATA KEO WATU WA HIVO WAPO WANAJULISHWA KILA KITU ILA HUYO ALIKUWA NABII MKUBWA SANA NA KUJUA JINA LA MTU NI KWELI NA KUJULISHWA HABARI BADO WZPO MANABI WA HI ILA NI KAZI SANA LAZIMA UWE MTULIVU SANA AAAA NIMEIPENDA SANA HII NA KWELI MAMBO YA MUNGU WENGI HUTUPENDI TWAIPENDA DUNIA

  • @annkim2690
    @annkim2690 25 дней назад +2

    10 years mpaka wa leo bado amesimama lakini Inchi ya Congo Mungu aliipendelea Sana sijui ni vile ilikua ikutwe na vita

  • @bbnthia2055
    @bbnthia2055 25 дней назад +1

    Promover, Audax unachukuwa mda mrefu Sana wa kuongea. Ningependa uanzie Habari Moja kwa moja. Ubarikiwe

  • @user-kj7kz7sl9j
    @user-kj7kz7sl9j 25 дней назад +3

    Mungu ni Mungu wa yale yasiyowezekana na yasiyofikirika kwa akili za mwanadamu.aliweza kuumba hashindwi na lolote.

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 25 дней назад +5

    Hata Moses Magembe hanyowagi nywele alimwomba Mungu kwa maana aliona zinamsumbua na Mungu akampa sawa na haja ya moyo wake.

  • @user-qp5jh6qy3p
    @user-qp5jh6qy3p 23 дня назад +1

    Amen Watumishi wa Mungu.tuko pamoja

  • @user-qp5jh6qy3p
    @user-qp5jh6qy3p 23 дня назад +1

    Glory glory glory hallelujah

  • @zawadiEsther-gt2iw
    @zawadiEsther-gt2iw 26 дней назад +6

    Baba Askofu Moses Kulola Alimuongeleya uyu Nabii Miriam

  • @marthaumazi2197
    @marthaumazi2197 25 дней назад +1

    Promover Mungu awabariki sana kwa huduma zenu.

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431 25 дней назад +1

    Amina!

  • @jastinewilliam4475
    @jastinewilliam4475 16 дней назад

    Amina najifunza

  • @julianawanjala6495
    @julianawanjala6495 25 дней назад +1

    Mubarikiwe sanaa Promover TV

  • @utakatifunahaki5095
    @utakatifunahaki5095 26 дней назад +4

    Promover si mtoa shuhuda hivyo atoaye shuhuda ndio unaweza kumuuliza vema upate usahihi. wao promover ni chombo cha Habari cha wote na mtoa shuhuda ndiye anajua yote, si promover

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 22 дня назад +1

    Iyo ushuuda nikweli kabisa baba yangu aliwahi kunisumulia kabla ajafa alimuona uyo Mariamu walutabula kabela congo karibu na baraka.

  • @dativajoachimwai1194
    @dativajoachimwai1194 24 дня назад +1

    Mungu akili zake si kama zetu. sisi tungesema asimfunge kwenda choo instead angemponya ili aweze kujipeleka haja. lkn mambo yaMungu ndo ivo

  • @AnnaNgobola-pm7fz
    @AnnaNgobola-pm7fz 25 дней назад +2

    Umenikumbusha kuhusu huyo mariamu nllimsikia tanngu miaka ya 1970 kupitia moses kulola

  • @BYAMUNGUGERLASMASHAURI
    @BYAMUNGUGERLASMASHAURI 23 дня назад

    Mimi nahitaji hicho kitabu. Naishi DRCONGO , butembo. Naomba musomapo ujumbe huu, nipeni jibu

  • @ElizabethMuia-ro9yh
    @ElizabethMuia-ro9yh 23 дня назад

    Huyo mariam nikisikiza ushuda vile mzee anaelesa nikama EZEKIEL WA KENYA 🇰🇪

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 23 дня назад

      Ezekiel alihubir lini mapenz ya Mungu haki uko kusema mipango ya kando ilazwe wodi number 8 ndio pendo la Yesu 🤔

  • @user-yt2bi7ts5k
    @user-yt2bi7ts5k 26 дней назад

    Kitabu hicho tunakipataje na sisi

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 25 дней назад +1

    Kwa nini muhusika asitoe ushuhuda yeye mwenyewe???

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 25 дней назад

    Yaani hicho kitabu napataje

  • @Blessedboi8019
    @Blessedboi8019 26 дней назад +2

    Hata mwezi mmoja tu bila kula, mtu anaaga, iweje mtu akae miaka 24 bila kula na awe hai? Promover mumeanza kujinajisi wenyewe. This is fake testimony

    • @mobilebeats3086
      @mobilebeats3086 26 дней назад

      Mbona musa alifunga siku arobaini bila kula chochote kwani alikufa sabu yakutokula ndugu usipende kuhukumu Muulize Mungu ndiyo uongee acha maneno Roho wa Mungu yupo Muulize ila sio unachafua channel unazani kwa Comment yako inaweza fanya kazi ya Mungu isiaminike kwenye hii channel kwaiyo acha maneno kama unaona wamekosea promover watafute DM

    • @nunyabizactually6928
      @nunyabizactually6928 26 дней назад +1

      Nakuonea huruma sana,you're too carnal minded😂

    • @zawadiEsther-gt2iw
      @zawadiEsther-gt2iw 26 дней назад +1

      It is not fake ni kweli. Uyo Alikuwa amechanguliwa na Mungu. Na Moses kulola alienda Congo kumuona uyu nabii. Kuna hata namwengine mama Zawadi naye Mungu kamufanya mambo kama hayo yeye haiti choo

    • @janethmwihumbo1289
      @janethmwihumbo1289 26 дней назад +2

      Mungu ni Mungu tu akili zake hazina mpaka,na hazichunguziki ,Mungu hufanya atakavyo ndugu,

    • @myself4128
      @myself4128 26 дней назад

      wat does a miracle mean to you?do u know the power of God?Have u experienced the presence of God in your life?before u type some nonsense Just reserve some Respect,some people have Encountered the divine so dont just comment prematurely!ur so dumb! There is a man in india he hasnt eaten for 72 years&they brought him to the UK for Research activities&he stayed watched live on cctv for 3 months without food or water,&he was very active

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431 25 дней назад

    Amina!

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431 25 дней назад

    Amina!

  • @linetmusee6431
    @linetmusee6431 25 дней назад

    Amina!