GHARAMA YA KUTUNZA NENO LA MUNGU - PASTOR SUNBELLA KYANDO
HTML-код
- Опубликовано: 23 май 2022
- Neno la Mungu siku zote linapokuja kwako huwa liko kinyume kabisa na mazingira yanayokuzunguka, lakini pia huwa kinyume kabisa na uwezo ulionao. Mungu haangalii uwezo ulionao nje bali uwezo aliouweka ndani yako. Siku zote kutunza Neno ambalo Mungu ameliweka ndani yako huwa kuna gharama, kuna muda huwa sio njia rahisi kabisa na inaumiza lakini mwisho wake ni mkuu sana. Huyu mwanamke aliingia kwenye gharama ya kutoa chakula cha mwisho alichokuwa nacho ndani na kumpa kwanza Eliya, usidhani kuwa alikuwa anatoa akiwa anafurahia, inaumiza lakini kupitia hapo aliingia kwenye muujiza mkubwa na umasikini na njaa vikaondoka kwake kabisa.
Kwa yule ambaye unapitia hali hii Mungu akutie nguvu, safari hii usiishie njiani maana kuna Utukufu mkubwa mbele yako.
#PastorSunbella#Gharama#KutunzaNenoLaMungu
Thank you my God bless you 🙏🙏🙏 napokea mujiza wangu Leo🎚️🎚️
kutoka drc ni mebarikiwa sn muchungaji mungu akubariki sn
Umenifungua macho mungu amesema na mimi kwa mara nyingine.munguanisaidie nitii sauti yake.
It's Holly spirit anointed message thank you pastor
I really appreciate you daddy 🤝🤝🤝🤝🤝🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina
Mungu akubalik wewe mchungaj na akuinue zaid kiiman
Amen pastor. Be bleseng ❤Jesus
Mungu atukuzwe katika hili ni fumbo kubwa mno na gumu ila asante hata kwa hatua barikiwa saaana Pastor
Katk vitu nimepata neema ni pamoja na hili mungu amenidirect kwa mtumishi sahihi kabisa ninaiman ipo saa machozi yangu yatafutwa nitacheka
Baba ,, YESU aliyekupa ufunuo huu Akuinue Sana Baba Yangu
Pasta sunbella kiando hibada yajumapili
Amen napokea katika jina la Yesu Kristo alie hai
Tunahitaji kupokea zaidi kutoka kwako
Ameniiii
Mungu Baba asante kuunganisha nilichonacho na ufalme wako Mungu Baba mbingu zinaniangalia nami nabarikiwa. Asante Askofu hili neno ni langu mimi Mungu amekutumia unifikishie. Barikiwa sana.
.
God bless you poster for the powerful words of God.
Amen
Ameen
Merci
Aminaa
Amen amen amen amen amen amen amen. Asante kwa ujumbe huuu.
😭😭Amen pastor mungu akubariki
Amen 😢😢😢❤❤❤❤
Amiina ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Be blessed man of God
Amina...asante mtumishi wa Mungu
Amina. Mtumishi nimejifunza kitu barikiwa Sana
Amen mtumishi barikiwa sana
Amina BAba hayo yote ni kwa ajili yangu.
Asante Sana somo zuri mno. Mbona siku hizi mchungaji ufundushi?
Good bless you postar
Oooooo yes
Wise! Ameeeen 🙏
Amen 🙏🙏
Amen ❤️❤️
Ameen Baba 🙏
Amen 😢
Be blessed
Thanks Daddy 😭😭😭😭😭😭🙌🙌🙌🙌
Amina mtumishi wa Mungu
Daima kila ninapo fatilia mahubiri yako mtumishi unaongea na mimi hapo ni mimi kabisa Mungu anisaidie.
🙌
Ameeeen🙏
Ameeen hallelujah
A
Amen🙏🙏🙏
Kabisa
AMINA
Hii clip ina nguvu ya Mungu ajabu Nashangaa
Amina mpakwa mafuta
☝️🙏🙏🙏🙏👏
Deus te abençoe pastor
Nataka unibaliki nishinde uteuzi na uchaguzi ktk chama cha mapinduzi.wilaya kibaha vijijini
Hah hapana, hayo mafundisho si ya kweli
Amen
Amen 🙏🙏
Ameen
Amina
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
somo zuri sana ubarikiwe
Amina kubwa sana nakuombea ushindi Kila siku