SIRI ZA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO - Pastor Sunbella Kyando

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 дек 2020
  • Kila kitu kabla hakijafika kwenye ulimwengu wa mwili kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.Na pia vita yoyote ukitaka kuishinda lazima uanzie kupigana katika ulimwengu wa roho,ulimwengu wa mwili ni matokeo ya kile kinachotokea rohoni.Kuna siri za kuweza kuutawala huu ulimwengu(wa roho).Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando ambalo litabadilisha sana mtazamo wako na kukusaidia kushinda vita ulizonazo.
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our RUclips: ruclips.net/channel/UC67L...
    #Dodoma

Комментарии • 120

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 года назад +13

    Ww pastor ubarikiwe mm nimuislam bt umenifunza umenipa ujuzi jazzakallah khairan Allah akujaze nuru

  • @happinessakim2889
    @happinessakim2889 3 года назад +6

    Nifundishe kuvua samaki baba,,,Wala usinipe samaki ,,,,huu ndiyo urithi tosha kwang,,,,,,,🙏🙌🙌🙌

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 3 года назад +8

    Ameen.yani Roho mtakatifu ametumia lugha nyepesi kutufundisha hili somo ili tuelewe ulimwengu wa Roho vizuri bcause its important.Hallelujah Pastor be blesed.

  • @godwinsimba1603
    @godwinsimba1603 3 года назад +4

    Hakika Mungu anawatu hapa Duniani.
    Very powerful teachings

  • @dianamahundi4464
    @dianamahundi4464 6 месяцев назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Год назад +1

    😭😭kwa hakika hili neno ni langu kabisa juu nguvu za giza kiroho zinanisumbua sana.Natamani 🙏 nikutane na huyu mtumishi wa Mungu aniekee tuu mkono 🥹🥹

  • @fridaalexanda6170
    @fridaalexanda6170 3 года назад +4

    Ubarikiwe sana sana Mtumishi
    Heri tumbo la Mama yako aliekuzaa

  • @mhamdahmd7758
    @mhamdahmd7758 2 года назад +1

    AMEN Mutumishi ubarikiwe baba kwa marifa unayo nipa

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga9945 3 года назад +2

    Mungu Baba nakushukuru kwa neema kubwa kama iyi ya kusikiliza mafundisho haya

  • @dorothyshiyyo3370
    @dorothyshiyyo3370 Год назад +1

    Napenda sana vipindi vya neno la Mungu kupitia mtumishi wake.

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 3 года назад +2

    Asante Mungu kwa huduma hii imenilisha siku ya leo.
    Mtumishi Mungu akubariki

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 Год назад +1

    Ubarikiwe sana mtumushi kwa mafundisho yako mazuri

  • @nehemiahsima1389
    @nehemiahsima1389 7 месяцев назад +1

    Naendelea kubarikiwa kupitia Ministry na watumishi wako Baba....

  • @dorothyshiyyo3370
    @dorothyshiyyo3370 Год назад

    Mafundisho mazuri sana.Mungu aendelee kukupa neema ya kufundisha,Roho ya ufunuo zaidi hekima na maarifa yote. Mungu akubariki sana mchungaji. Nimejifunza sana kutoka kwako.

  • @margretmumbi43
    @margretmumbi43 3 года назад +2

    l am blessed Sana, God bless you pastor

  • @marckkish3304
    @marckkish3304 9 месяцев назад +1

    Following u Pastor

  • @anordlaurent8751
    @anordlaurent8751 3 года назад +2

    God is good somo jamani n nzuri sana

  • @irenemakokha2560
    @irenemakokha2560 3 года назад +5

    Thanks alot sir now l have understood kwamba kuna simba kwenye njia yangu ya ndoa

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 года назад +1

    Amen mtumishi

  • @greetysiame-vr7yg
    @greetysiame-vr7yg Год назад

    Ahsante yesu kwa kumtuma msaidizi uliyetuahidi

  • @demarianiccky5812
    @demarianiccky5812 2 года назад +1

    Injili ya baraka kweli ❤️

  • @rodageoffrey8556
    @rodageoffrey8556 2 года назад +2

    Nlchelewa wap kuijua hii account👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏😢😢😢

  • @amosenock5096
    @amosenock5096 2 года назад

    Kiukweli mafundisho yako yananibariki sana..barikiwa sana mtumishi wa MUNGU..by happygrolly Maige from kahama

  • @chinatanzania7133
    @chinatanzania7133 3 года назад +2

    Blessed teachings, Mungu azidi kukutumia Minister Sunbella Kyando

  • @mporanzikarasharira
    @mporanzikarasharira Год назад

    Nashukuru sana na neno mungu apewe sifa najegwa sana

  • @bishoperickgodfrey4290
    @bishoperickgodfrey4290 Год назад

    Mungu akubariki pastor good lesson

  • @winfridamahali6349
    @winfridamahali6349 Год назад

    Nabarikiwa sana mtumishi na mafundisho haya 🙏

  • @amosenock5096
    @amosenock5096 2 года назад +1

    I,m so blessed..daaaaah!GOD bless u pstr

  • @jerubetjoan20
    @jerubetjoan20 2 года назад +1

    May God bless you beyond your boundaries man of God

  • @prettybraids3079
    @prettybraids3079 2 года назад +1

    Asante kwa SoMo zuri ubarikiwe mtumishi wa Mungu🙏🙏

  • @onesmoemmanuel5821
    @onesmoemmanuel5821 Год назад

    Baba thanks

  • @raysjames1776
    @raysjames1776 День назад

    Kupitia kisa hiki Mungu ukanifungue nianze ujenzi kwenye eneo langu

  • @vivienshubi8746
    @vivienshubi8746 2 года назад

    Namshukuru Bwana Yesu kwa huu ufunuo. Bwana Yesu namuomba azidishe nguvu na mafunuo yake kwa Pastor Sunbella

  • @carenmsafiri8498
    @carenmsafiri8498 Год назад

    AMEN UBARIKIWE SANAA MTUMISHI

  • @jonaskilima1711
    @jonaskilima1711 3 года назад

    Safi sana, mtumishi...umeokoa wengi katika kipengele hiki.Mungu akubariki

  • @josphinejosphine8439
    @josphinejosphine8439 3 года назад +1

    I am bleased sana man of God

  • @jenifercynthiakazimoto5392
    @jenifercynthiakazimoto5392 2 года назад

    Nabarikiwa Sana namafundisho yako mtumishi wa Mungu!

  • @elizabethrabanus3990
    @elizabethrabanus3990 3 года назад

    Mtumishi wa Mungu Bwana akutumie vema!

  • @hildergardmehrab5857
    @hildergardmehrab5857 2 года назад

    God Bless You. Asante kwa ajili ya somo hili

  • @abigaelnyanchera7694
    @abigaelnyanchera7694 2 года назад +1

    O Lord ,God of mercy my strength restore my life to live in a spiritual world

  • @everlineeva594
    @everlineeva594 3 года назад

    Barikiwa sana mtumishi kwa mafundisho mema ,nabatikiwa nikiwa 973

  • @irenemwamfupe8994
    @irenemwamfupe8994 3 года назад

    Barikiwa kwa somo hili nimejifunza kitu hapa

  • @gomarakimwanzaro9903
    @gomarakimwanzaro9903 3 года назад

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako mtumishi

  • @ayoubmwaitebele9174
    @ayoubmwaitebele9174 2 года назад

    Ubarikiwe Sana Mtumishi

  • @magdalenamagdalena8263
    @magdalenamagdalena8263 Год назад

    Nimebarikiwa sana

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel100 2 года назад

    Well have got something there. MUNGU anisaidie nianzie rohoni kwanZa

  • @tevymgalla4360
    @tevymgalla4360 3 года назад +3

    Powerful🙏🙏

  • @simagalikani3850
    @simagalikani3850 Год назад

    Mungu akubariki

  • @user-ye3zx3sy8h
    @user-ye3zx3sy8h Год назад

    Powerful teachings

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga9945 3 года назад

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.

  • @happinessmtitu4485
    @happinessmtitu4485 3 года назад

    Asante pastor

  • @godlovewarwa
    @godlovewarwa 3 года назад

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @leahkalekwa7592
    @leahkalekwa7592 3 года назад +2

    Powerful 🙏🙏🙏

  • @onelovedjonlinetz5989
    @onelovedjonlinetz5989 Год назад

    Amen barkiwa. Sana

  • @marygrory8268
    @marygrory8268 Год назад

    May GOD bless you

  • @matabsjay0919
    @matabsjay0919 2 года назад

    Be blessed pastor 🙏

  • @agnesmbilo7270
    @agnesmbilo7270 2 года назад +1

    Huyo ni mimi kabisa baba. Ndoa.

  • @dionicyndelwa663
    @dionicyndelwa663 2 года назад

    Amina Sana mtumishi

  • @rwesimbibicharles8994
    @rwesimbibicharles8994 2 года назад

    Mungu apewe sifa kwa ukweli huu🙏🙏

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 2 года назад +1

    Amen

  • @amosjblack9614
    @amosjblack9614 3 года назад

    Mafundisho mazuri sana mtumishi wa Mungu

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga9945 3 года назад +1

    Amen amen hallelujah

  • @kakadkarima2448
    @kakadkarima2448 3 года назад

    Jumatano ya tarehe ngapi mtumishi.

  • @vumiliamaturo9991
    @vumiliamaturo9991 3 года назад +3

    I'm so blessed with this lesson God bless you pastor

  • @philipojangama
    @philipojangama 3 года назад +1

    Ameen

  • @naomifavor2887
    @naomifavor2887 3 года назад +1

    Sauti iko chini Sana sikupati

  • @meylcebenjamin2429
    @meylcebenjamin2429 2 года назад

    Blessings to you

  • @winnerjudith2007
    @winnerjudith2007 3 года назад

    naomba uje mbeya pia pastor

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga9945 3 года назад

    Very powerful

  • @danielzablon8388
    @danielzablon8388 2 года назад

    Nimejifunza mengi kuhusu Somo Hili.

  • @reginakirway3626
    @reginakirway3626 2 года назад

    Lakini waimbaji wa sanbela mnaharibu sana pambio zakuabudu yani mpaka basii yani pambio inaimbwa na mwimbishaji mpka mwisho yani waumini hawapati ladha ya pambio kabisaa maana inaimbwa kwa kupindishwa pindisbwa mpka basi. Lakini mahubiri yanabariki mpka mipaka ya 🇹🇿 🥰🥰.

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +1

    Hallelujah 🙏😍

  • @tatukadope7213
    @tatukadope7213 2 года назад

    Tangia nianze kusiliza mafundisho yako kwel kabisa kunavitu ndo nimegundua Sasa mungu azid kukutumia

  • @meshackmanofgod8151
    @meshackmanofgod8151 2 года назад

    Tokea nimeanza kukufuatilia ktk you tuble MUNGU amekua akinifungua sana namboyangu yanaendasana kiukweli unaneema kubwasana baba atakae kuelewe atafanikiwasana

  • @pstboragilbertmunganga9945
    @pstboragilbertmunganga9945 3 года назад

    Bwana tusaidiye

  • @danstonecool1734
    @danstonecool1734 2 года назад

    tuned

  • @chedielnyirenda9664
    @chedielnyirenda9664 2 года назад

    Msaada mtupu!

  • @jeanrenengbebou7989
    @jeanrenengbebou7989 2 года назад

    82 Hakuna kitu kinachoweza kutufanya tukatae Ujumbe huu. Wala jela wala mateso kwa sababu Ujumbe huu wa Mwana-Kondoo ni kitu kikubwa zaidi ambacho Mungu ametupa hapa duniani na ni kupitia kwake tutamwona Mungu. Yeye ni nira na mzigo kwa wana wa giza, lakini yeye ni umande mtamu na furaha kwa wana wa nuru.

  • @abigaelnyanchera7694
    @abigaelnyanchera7694 2 года назад

    Ameeen

  • @estherfaidamalkia4021
    @estherfaidamalkia4021 3 года назад

    Shalom

  • @babalao910
    @babalao910 2 года назад

    My loard

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 3 года назад +2

    Cz nafunga naswali bt nilikua sijui mda maalum wakupigana bt saa hii nimejua mda kamili

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 года назад

      Maarifa na neno la Mungu pia ni muhimu sana!na mamlaka uliyonayo ktk ulimwengu wa Roho ktk jina la Yesu Kristo hakuna kitakushinda

  • @loveandnature2821
    @loveandnature2821 2 года назад

    ASANTE YESU

  • @veronicanyalinga2845
    @veronicanyalinga2845 2 года назад

    👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻

  • @mariakingu1221
    @mariakingu1221 Год назад

    🙏🙏🙏

  • @julietmateru5789
    @julietmateru5789 2 года назад

    I connect to collect

  • @prosmacharius7074
    @prosmacharius7074 11 месяцев назад

    Chanell gani IPO huduma katika tv

  • @aidanongole9341
    @aidanongole9341 2 года назад

    amen

  • @aquilineanthony1115
    @aquilineanthony1115 3 года назад +1

    PASTOR UBARIKIWE SANA HAKIKA NIMEGUNDUA KITU KUNA ENEO NINA CHALLENGE YAANI HATA SIOMBAGI. NITAOMBA VITU VINGI SANA ILA ENEO LILE SIKUMBUKI KABISA.

  • @derrickboaz5099
    @derrickboaz5099 3 года назад +1

    Pastor Sunbella Kyando.

  • @bensonmenyi9158
    @bensonmenyi9158 2 года назад

    Powerful sermon

  • @evainnocent9520
    @evainnocent9520 3 года назад

    Mwendelezo Wa hili somo tunaomba .

  • @julianalawrence5327
    @julianalawrence5327 2 года назад

    Nataman siku moja ni kasali hapo

  • @lydiawasai9439
    @lydiawasai9439 2 года назад

    "Bwana wajua hitaji la moyo wangu" hahaha.. halleluJah

    • @lydiawasai9439
      @lydiawasai9439 2 года назад

      That statement has made me happy. Thanks so much mchungaji b blessed

  • @evainnocent9520
    @evainnocent9520 3 года назад

    Au nalipataje???

  • @linetayuma202
    @linetayuma202 2 года назад

    Amen🙏🏻🙏🏻🤲🤲👏

  • @marthaselemani173
    @marthaselemani173 2 года назад

    Mtumish mtu anajuaje unapotaka kwenda mahar kufundisha? Tunapitwa

  • @rachelbahahazo6362
    @rachelbahahazo6362 3 года назад

    Yupo dodoma sehemu gani? Uyu Pastor pls

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  3 года назад +1

      DODOMA tuna ibada kila siku ya Jumatano kuanzia saa kumi na moja jioni pale ukumbi wa Dear Mama, Area C njia panda ya kuelekea Arusha.Karibu sana.

  • @mbubatv
    @mbubatv 3 года назад

    sasa mtumishi kunakitu ambacho huwa nakusikia mara kwa mara hivi mtu anaruhusiwa kuwa kwenye mahusio wakati bado hajaolewa/kuoa ....?
    huo sio uzizi ?
    nacho jua uchumba
    mwisho ndoa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 года назад +1

      Tatizo sio mahusiano!
      Tatizo mahusiano yenu mnayaendeshaje?
      Haujaambiwa kuwa unapokuwa kwenye mahusiano ndo ufanye uzinzi!

  • @jeanrenengbebou7989
    @jeanrenengbebou7989 2 года назад

    14 Na wewe, tangu wakati uliposikia jina Kacou Philippe duniani, ingawa hukuniamini, ujue kuwa uko chini ya hukumu ya Mungu na ikiwa hutatii yote niliyoamuru kutoka kwa Mungu hadi binadamu, jua kwamba dhambi zako zitakuwa juu yako mpaka utakapokufa. Huwezi kujua kwamba kitu ni kibaya na nenda kafanye hivyo. Hii sio sababu ya kifo cha Bwana Yesu Kristo msalabani. Na ikiwa hukuwa unajua, sasa unajua leo.