SIRI ZA KUUTAWALA ULIMWENGU WA ROHO - Pastor Sunbella Kyando
HTML-код
- Опубликовано: 16 дек 2020
- Kila kitu kabla hakijafika kwenye ulimwengu wa mwili kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.Na pia vita yoyote ukitaka kuishinda lazima uanzie kupigana katika ulimwengu wa roho,ulimwengu wa mwili ni matokeo ya kile kinachotokea rohoni.Kuna siri za kuweza kuutawala huu ulimwengu(wa roho).Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando ambalo litabadilisha sana mtazamo wako na kukusaidia kushinda vita ulizonazo.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RUclips: ruclips.net/channel/UC67L...
#Dodoma
Ww pastor ubarikiwe mm nimuislam bt umenifunza umenipa ujuzi jazzakallah khairan Allah akujaze nuru
Nifundishe kuvua samaki baba,,,Wala usinipe samaki ,,,,huu ndiyo urithi tosha kwang,,,,,,,🙏🙌🙌🙌
Ameen.yani Roho mtakatifu ametumia lugha nyepesi kutufundisha hili somo ili tuelewe ulimwengu wa Roho vizuri bcause its important.Hallelujah Pastor be blesed.
Hakika Mungu anawatu hapa Duniani.
Very powerful teachings
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
😭😭kwa hakika hili neno ni langu kabisa juu nguvu za giza kiroho zinanisumbua sana.Natamani 🙏 nikutane na huyu mtumishi wa Mungu aniekee tuu mkono 🥹🥹
Ubarikiwe sana sana Mtumishi
Heri tumbo la Mama yako aliekuzaa
AMEN Mutumishi ubarikiwe baba kwa marifa unayo nipa
Mungu Baba nakushukuru kwa neema kubwa kama iyi ya kusikiliza mafundisho haya
Napenda sana vipindi vya neno la Mungu kupitia mtumishi wake.
Asante Mungu kwa huduma hii imenilisha siku ya leo.
Mtumishi Mungu akubariki
Ubarikiwe sana mtumushi kwa mafundisho yako mazuri
Naendelea kubarikiwa kupitia Ministry na watumishi wako Baba....
Mafundisho mazuri sana.Mungu aendelee kukupa neema ya kufundisha,Roho ya ufunuo zaidi hekima na maarifa yote. Mungu akubariki sana mchungaji. Nimejifunza sana kutoka kwako.
l am blessed Sana, God bless you pastor
Following u Pastor
God is good somo jamani n nzuri sana
Thanks alot sir now l have understood kwamba kuna simba kwenye njia yangu ya ndoa
Amen mtumishi
Ahsante yesu kwa kumtuma msaidizi uliyetuahidi
Injili ya baraka kweli ❤️
Nlchelewa wap kuijua hii account👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏😢😢😢
Kiukweli mafundisho yako yananibariki sana..barikiwa sana mtumishi wa MUNGU..by happygrolly Maige from kahama
Blessed teachings, Mungu azidi kukutumia Minister Sunbella Kyando
Nashukuru sana na neno mungu apewe sifa najegwa sana
Mungu akubariki pastor good lesson
Nabarikiwa sana mtumishi na mafundisho haya 🙏
I,m so blessed..daaaaah!GOD bless u pstr
May God bless you beyond your boundaries man of God
Asante kwa SoMo zuri ubarikiwe mtumishi wa Mungu🙏🙏
Baba thanks
Kupitia kisa hiki Mungu ukanifungue nianze ujenzi kwenye eneo langu
Namshukuru Bwana Yesu kwa huu ufunuo. Bwana Yesu namuomba azidishe nguvu na mafunuo yake kwa Pastor Sunbella
AMEN UBARIKIWE SANAA MTUMISHI
Safi sana, mtumishi...umeokoa wengi katika kipengele hiki.Mungu akubariki
I am bleased sana man of God
Nabarikiwa Sana namafundisho yako mtumishi wa Mungu!
Mtumishi wa Mungu Bwana akutumie vema!
God Bless You. Asante kwa ajili ya somo hili
O Lord ,God of mercy my strength restore my life to live in a spiritual world
Barikiwa sana mtumishi kwa mafundisho mema ,nabatikiwa nikiwa 973
Barikiwa kwa somo hili nimejifunza kitu hapa
Nabarikiwa sana na mafundisho yako mtumishi
Ubarikiwe Sana Mtumishi
Nimebarikiwa sana
Well have got something there. MUNGU anisaidie nianzie rohoni kwanZa
Powerful🙏🙏
Mungu akubariki
Powerful teachings
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.
Asante pastor
Ubarikiwe sana mtumishi
Powerful 🙏🙏🙏
Amen barkiwa. Sana
May GOD bless you
Be blessed pastor 🙏
Huyo ni mimi kabisa baba. Ndoa.
Amina Sana mtumishi
Mungu apewe sifa kwa ukweli huu🙏🙏
Amen
Mafundisho mazuri sana mtumishi wa Mungu
Amen amen hallelujah
Jumatano ya tarehe ngapi mtumishi.
I'm so blessed with this lesson God bless you pastor
Ameen
Sauti iko chini Sana sikupati
Blessings to you
naomba uje mbeya pia pastor
Very powerful
Nimejifunza mengi kuhusu Somo Hili.
Lakini waimbaji wa sanbela mnaharibu sana pambio zakuabudu yani mpaka basii yani pambio inaimbwa na mwimbishaji mpka mwisho yani waumini hawapati ladha ya pambio kabisaa maana inaimbwa kwa kupindishwa pindisbwa mpka basi. Lakini mahubiri yanabariki mpka mipaka ya 🇹🇿 🥰🥰.
Hallelujah 🙏😍
Tangia nianze kusiliza mafundisho yako kwel kabisa kunavitu ndo nimegundua Sasa mungu azid kukutumia
Tokea nimeanza kukufuatilia ktk you tuble MUNGU amekua akinifungua sana namboyangu yanaendasana kiukweli unaneema kubwasana baba atakae kuelewe atafanikiwasana
Bwana tusaidiye
tuned
Msaada mtupu!
82 Hakuna kitu kinachoweza kutufanya tukatae Ujumbe huu. Wala jela wala mateso kwa sababu Ujumbe huu wa Mwana-Kondoo ni kitu kikubwa zaidi ambacho Mungu ametupa hapa duniani na ni kupitia kwake tutamwona Mungu. Yeye ni nira na mzigo kwa wana wa giza, lakini yeye ni umande mtamu na furaha kwa wana wa nuru.
Ameeen
Shalom
My loard
Cz nafunga naswali bt nilikua sijui mda maalum wakupigana bt saa hii nimejua mda kamili
Maarifa na neno la Mungu pia ni muhimu sana!na mamlaka uliyonayo ktk ulimwengu wa Roho ktk jina la Yesu Kristo hakuna kitakushinda
ASANTE YESU
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
🙏🙏🙏
I connect to collect
Chanell gani IPO huduma katika tv
amen
PASTOR UBARIKIWE SANA HAKIKA NIMEGUNDUA KITU KUNA ENEO NINA CHALLENGE YAANI HATA SIOMBAGI. NITAOMBA VITU VINGI SANA ILA ENEO LILE SIKUMBUKI KABISA.
Pastor Sunbella Kyando.
Powerful sermon
Mwendelezo Wa hili somo tunaomba .
Mwendelezo wa Somo hili itafanyika jumatano ijayo Dodoma
Asant nalisubir Kwa hamu sana.
Nataman siku moja ni kasali hapo
"Bwana wajua hitaji la moyo wangu" hahaha.. halleluJah
That statement has made me happy. Thanks so much mchungaji b blessed
Au nalipataje???
Amen🙏🏻🙏🏻🤲🤲👏
Mtumish mtu anajuaje unapotaka kwenda mahar kufundisha? Tunapitwa
Yupo dodoma sehemu gani? Uyu Pastor pls
DODOMA tuna ibada kila siku ya Jumatano kuanzia saa kumi na moja jioni pale ukumbi wa Dear Mama, Area C njia panda ya kuelekea Arusha.Karibu sana.
sasa mtumishi kunakitu ambacho huwa nakusikia mara kwa mara hivi mtu anaruhusiwa kuwa kwenye mahusio wakati bado hajaolewa/kuoa ....?
huo sio uzizi ?
nacho jua uchumba
mwisho ndoa
Tatizo sio mahusiano!
Tatizo mahusiano yenu mnayaendeshaje?
Haujaambiwa kuwa unapokuwa kwenye mahusiano ndo ufanye uzinzi!
14 Na wewe, tangu wakati uliposikia jina Kacou Philippe duniani, ingawa hukuniamini, ujue kuwa uko chini ya hukumu ya Mungu na ikiwa hutatii yote niliyoamuru kutoka kwa Mungu hadi binadamu, jua kwamba dhambi zako zitakuwa juu yako mpaka utakapokufa. Huwezi kujua kwamba kitu ni kibaya na nenda kafanye hivyo. Hii sio sababu ya kifo cha Bwana Yesu Kristo msalabani. Na ikiwa hukuwa unajua, sasa unajua leo.