Mwl Christopher Mwakasege: Shiriki pamoja Nami kufanya Maombi ya Kuombea Tumbo la Uzazi La Mwanamke

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Maombi Haya ni Matokeo ya Kongamano la Wanawake Waombaji lililofanyika arusha tar 3 Mei 2022.
    • Mwl Christopher Mwakas...
    Ninachotamani ni kuona Mungu anakufungua wewe Pamoja na Uzao Wako.

Комментарии • 116

  • @lydiaemmanuel7893
    @lydiaemmanuel7893 2 года назад +10

    Namshukuru Mungu kupitia hili kongamano nilifunguliwa 🙏

  • @jacklinekayombo468
    @jacklinekayombo468 2 года назад +5

    Mungu akulinde mwl Christopher unanibariki sana naamini nitashuhudia yaliyo makuu juu ya tumbo langu la uzazi

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 2 года назад +2

    Aminaa napokea kufunguliwa kwa kizazi changu katika tumbo la uzazi kwa dam ya Yesu Kristo wa Nazareth, barikiwa sana mwalim Christopher

  • @happinessndumizi453
    @happinessndumizi453 2 года назад +2

    Operation aliyoifanya Mungu leo niseme tu sifa na utukufu ni wa kwake, Mtumishi Mwakasege Mungu aendelee kukutunza kwa ajili yetu🙏

  • @heavenlightkombe5730
    @heavenlightkombe5730 2 года назад +2

    Hii siku nilibarikiwa sana na kufunguliwa sintaa niisahau. Mungu awabariki wote waliokaa na kuandaa hii semina ya wanawake. Pia Mungu asimpungukie mtumishi wa Mungu pamoja na Familia yake. Mama na Mwalimu Mungu awabariki, Asanteni kwa SoMo nzuri. Hakika mlitupeleka hatua kumi mbele. Awape kibali Cha kuandaa semna nyingine. Mungu ayabariki matumbo ya wanawake. 🙏

  • @naomisteven2964
    @naomisteven2964 2 года назад +1

    Nimefatilia na kuelewa. Mungu akubariki mtumishi wa Mungu, nina hakika tumbo langu la uzazi limefunguliwa.

  • @hashamyusuphu1064
    @hashamyusuphu1064 2 года назад +1

    Eeemwenyezi mungu bariki tumbo lake la uzazi kipenzi changu Ireen chuba mponye mpunguzie adhabu na maumivu yanayo mkabili muda uhu mponye bwana yesu kristo aliye hai mponye mungu wangu

  • @JLTT
    @JLTT 8 месяцев назад

    Mimi pia nimefunguliwa . Tunamshukuru MUNGU Kwa uaminifu wake kwetu na Kwa watumishi wake hawa ( Baba na Mama Mwakasege ) na mana ministry Kwa ujumla . MUNGU awabariki sana 🙌 🙌 🙌

  • @DuniaBasinyizeGrace
    @DuniaBasinyizeGrace 2 месяца назад

    Asante kwa mapombe unayo tufanyizia

  • @WemaMgale
    @WemaMgale 3 месяца назад

    Asante yesu kwa kuniponya tumbo langu

  • @user-xp1bf2ul7p
    @user-xp1bf2ul7p 7 месяцев назад

    Amen amen balikiwa sana mtumishi

  • @edithmakundingarashi7559
    @edithmakundingarashi7559 2 года назад +2

    Mungu awabariki watumishi wa Mungu kwa huduma ya tarehe 03/05/2022. Ilikuwa ya baraka kwa wengi. Ninawaomba mtuwekee somo lote RUclips/Telegram. Wengi walifunguliwa na ninaamini wanaoendelea kusikiliza watafunguliwa. It is powerful.

  • @reilambepela1062
    @reilambepela1062 Год назад

    Mungu anijalie nijifungue salama

  • @neemajeremiah8669
    @neemajeremiah8669 2 года назад

    Asante Yesu kwa maombi haya yamejibu kilio changu cha mda mrefu. Barikiwa sana watumishi wa Mungu

  • @aureliekatempa9519
    @aureliekatempa9519 2 года назад +2

    Thank-you Lord Almighty for your healing in Jesus name.

  • @aureliekatempa9519
    @aureliekatempa9519 2 года назад +1

    Mungu apewe sifa

  • @pendoashery255
    @pendoashery255 2 года назад +1

    Asante yesu kwa zawadi ya mwalim huyu amekuwa baraka kwetu,ila nna swali ambolo huwa najiuli na majibu cjawah pata,swali n hv,kitovu cha mtoto kinatakiwa kutupwa wapi kwa mujubu wa. bibili?,nitashukru kama nitapata jibu asante

    • @prayerstv8416
      @prayerstv8416 2 года назад

      Kitovu cha mtoto kinaweza tupwa sehemu yoyote kama ila usisahau mtoto anapozaliwa ni lazima aombewe na kukata mawasiliano yote ya kipepo ya ukoo wa baba wa mtoto au Mama kwa damu ya Yesu

  • @lazaromichael8779
    @lazaromichael8779 2 года назад +3

    Amen

  • @obedyjonas4485
    @obedyjonas4485 2 года назад +1

    Mungu wa mbinguni asikie maombi ya watu wake kupitia Kristo Yesu.

  • @gadisaloni576
    @gadisaloni576 Год назад

    Mungu akuinue mtumishi tukapate kuliekewa neno lako katika kina la yesu amen

  • @evafidelis7447
    @evafidelis7447 2 года назад

    Mungu akubariki nilikua na vita kusikiliza maombi haya ila Mungu akiruhusu shetani anaaibika maan. Kila nikitaka kusikiliza!! yanatokea mapingamizi hata na kuandika sms hii nayo ni hivyo hivyo nataka ulimwengu ujue kazi ya Mungu aina mpinzani ni hivi Mungu amenifungua tumbo kupitia maombi haya ya tumbo la uzazi Leo nimefika kwenye hatma yangu Asante Yesu

  • @aikaalexander8460
    @aikaalexander8460 Год назад

    I pray for deliverance through this powerful prayers in the name of Jesus

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад +1

    Yesu naomba usinipite

  • @adolfridamulokozi9610
    @adolfridamulokozi9610 2 года назад +1

    Thank you so much! Mumy and Daddy for the blessings you offered to all of us, we are blessed!😍😍🤗

    • @adolfridamulokozi9610
      @adolfridamulokozi9610 2 года назад

      Good morning! Through this prayer got my delivarance, and I can testify the goodness of God in my life through myself and my only son I have, merciful Lord halleluyah!

  • @lenockakley1856
    @lenockakley1856 2 года назад

    Ameen namshukuru mungu sana kwa haya maombi mungu akubariki sana mwalimu mwakasege

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w 3 месяца назад

    Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen

  • @anjelaleonard4887
    @anjelaleonard4887 2 года назад +1

    AMEN TUNAOMBA SOMO LOTE WAPENDWA LA HII SEMINA

  • @magrathmichael7475
    @magrathmichael7475 2 года назад

    Asante yesu kwa kufunguliwa upya nitasafiri salama na kujifungua salama.

  • @esthermnzava8893
    @esthermnzava8893 2 года назад

    Bwana Yesu asifiwe, tunaomba somo zima tupate maarifa zaidi

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Год назад

    I received twins in jesus name amen thanks

  • @catherineshayo656
    @catherineshayo656 2 года назад

    Amen, baba tunaomba na dar es Salam pia maombi haya

  • @rowenalilie993
    @rowenalilie993 9 месяцев назад

    Thankyou Jesus

  • @tatubanadi4710
    @tatubanadi4710 2 года назад

    asante sana mama yangu.ndio naiona.Mungu akubariki sana.

  • @fortunatantwale7305
    @fortunatantwale7305 2 года назад

    Thank you Jesus ..I lift up your name my Jesus Christ..Ameen

  • @tusubilegemtafya5532
    @tusubilegemtafya5532 2 года назад

    Iwe ivo kwangu....amen

  • @ceciliamsesa179
    @ceciliamsesa179 2 года назад

    Napokea Kwa Damu ya Yesu , Amina

  • @rahelmkamburi188
    @rahelmkamburi188 Год назад

    Thankyou Lord God for your healing 🙌🙌

  • @angelaswila6632
    @angelaswila6632 2 года назад +1

    Mungu tunaomba fursa nyingine ya kongamano la wanawake.

  • @selinasamba2767
    @selinasamba2767 2 года назад +3

    Baba naomba maombi tangu nilipoota kuwa sitaolewa nakuzaa mpaka sasa wanaume wananikimbia na watoto sipati naomba maombi

    • @neymseluka2077
      @neymseluka2077 2 года назад

      Selina Samba @usiache kufuta kila taarifa uliyopewa damu ya YESU inene mema juu yako,yuko MUNGU awezae kutenda usikate tamaa kila saa ita damu ya YESU,na kumbukumbu zote zitafutika kwa nguvu za MUNGU usikubali kushindwa

    • @teresiasanga7539
      @teresiasanga7539 2 года назад

      Damu ya Yesu kristo ipite

  • @aureliekatempa9519
    @aureliekatempa9519 2 года назад +1

    Tunakushukuru Mungu muponyanji.

  • @elizabethngasa3106
    @elizabethngasa3106 2 года назад

    Mungu akubariki sana mwalimu

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Год назад

    Amen thanks jesus

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 2 года назад

    Tunaomba na somo mubarikiwe saana

  • @estermwakyeja3195
    @estermwakyeja3195 Год назад

    Eee mungu nifungue niwe wako

  • @johnjosephjoseph3579
    @johnjosephjoseph3579 2 года назад +1

    Mungu akubariki sana my Dady una fanya kazi nzuri ya mungu

    • @marytabu4904
      @marytabu4904 2 года назад

      Asante mtumishi kwa Neno la wakati katika maisha yangu. Na Asante kwa damu ya yesu. Uzidi kulindwa mwalimu

  • @CeciliaMaziku-bo2lo
    @CeciliaMaziku-bo2lo 5 месяцев назад

    Napokea kufunguliwa tumbo langu la uzazi na uzao wangu

  • @mweleurio7960
    @mweleurio7960 2 года назад

    AMEN. AHSANTE YESU KRISTO 🙏🏽

  • @mhinajohn8272
    @mhinajohn8272 2 года назад

    Ameen baba mungu akupe maixha marefu

  • @hosianalazaro1389
    @hosianalazaro1389 2 года назад

    Tunaombeni hili somo jamani...Mungu awabariki...natamani kuelewa habari za tumbo la mwanamke ......

  • @edakiputa1108
    @edakiputa1108 2 года назад

    Amina,asante Bwana Yesu.

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Uniponye tumbo langu Ee Yesu

  • @blessings1422
    @blessings1422 2 года назад

    MUNGU akubariki Baba.

  • @sarabedah4136
    @sarabedah4136 2 года назад

    Thank you Jesus, Amen, Amen and Amen🙏🏻

  • @user-Ndashuka001
    @user-Ndashuka001 11 месяцев назад

    AMEN AMEN AMEN

  • @happinesslema3135
    @happinesslema3135 2 года назад

    Mbarikiwe daima

  • @juliethmosha8252
    @juliethmosha8252 Год назад

    Nimefungukw in Jesus name

  • @feliciandangote3753
    @feliciandangote3753 2 года назад

    Ubarikiwe Baba🙏🙏

  • @paulinamkama7475
    @paulinamkama7475 2 года назад

    Asante Yesu..

  • @abdywealth7689
    @abdywealth7689 Год назад

    Napikeaa kwa imani kubwaa

  • @Unknow9473
    @Unknow9473 2 года назад

    Jana nilikuwa numwa tumbo nilivyosikiliza maombi tumbo lilipota na nikalala vizur
    Mungu mkuu sana

  • @mauwashomari8160
    @mauwashomari8160 2 года назад

    Ee YESU kupitia maombi aya usini pite mimi pamoja na familia yetu

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 2 года назад

    amen amen napokea kila kilichoombwa hapo ni changu

  • @rahelchilale1075
    @rahelchilale1075 2 года назад

    AMEN.GLORY TO GOD

  • @hamisbakari6406
    @hamisbakari6406 2 года назад

    Nashukuru nafunguliwa sasa

  • @happyallan508
    @happyallan508 2 года назад

    Amen asante Yesu

  • @lydiaelikana6347
    @lydiaelikana6347 2 года назад

    Glory to God 🙏🙏🙏

  • @happylesha3006
    @happylesha3006 2 года назад

    amen

  • @endtimes9850
    @endtimes9850 2 года назад

    Watu nawaambia hakuna mkamilifu, lakini nawaomba kina dada kina kaka, acheni kujiongezea urembo katika miili yenu. ASIJE MTU AKAKATALIWA KATIKA LANGO LA MBINGUNI SABABU YA HAYO.

  • @eliakimbetheliza7395
    @eliakimbetheliza7395 2 года назад

    ameni

  • @DuniaBasinyizeGrace
    @DuniaBasinyizeGrace 2 месяца назад

    4:37

  • @saumhamisi7320
    @saumhamisi7320 2 года назад

    Ameeeeen

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад

    asante Yesu

  • @irenedaffi7179
    @irenedaffi7179 2 года назад

    🙏🙏🙏ameeen

  • @holipajangala8926
    @holipajangala8926 2 года назад

    Powerful

  • @anneeklund8433
    @anneeklund8433 2 года назад

    Amen Amen 🙏

  • @rahelmkamburi188
    @rahelmkamburi188 Год назад

    Mtumishi nliota Niko na mkanda jeshi kwa tumbo upande wa kulia....baada ya muda tumbo likaanza kuuma huo upande tu...nahitaji maombi

  • @gillianlissa2403
    @gillianlissa2403 2 года назад

    Amen Amen,Thank you Jesus🙏🙏🙏

  • @ipajam9
    @ipajam9 2 года назад

    Amen, Amen and Amen.

  • @dorcaskahwarakaliza8190
    @dorcaskahwarakaliza8190 2 года назад

    Amen 🙏🏾

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 2 года назад +1

    Baba yangu ulie mbinguni usinipite nami na maombii haya nikumbuke .yamkini sistahili kwa makosa yangu .Nakuombaaa kupitia maombii ya mtumishii wako nikumbuke na kunirehe.ktk ya uovuu kumbukaa reehema nitakase tumbo langu la uzazi

  • @irenejoseph9208
    @irenejoseph9208 2 года назад

    Mwalim tunaomba somo lote kwa ujumla..........!!!!

  • @aureliekatempa9519
    @aureliekatempa9519 2 года назад +1

    Aksanti mokonzi Kwa kufunguwa tumbo lauzazi

  • @user-rt7yc1fy8y
    @user-rt7yc1fy8y 8 месяцев назад

    naomba unifungue tumbo lauzazi

  • @mteulemteule7148
    @mteulemteule7148 2 года назад

    🙏🙏🙏🙏🙏

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Naomba toba kwa ajili ya tumbo langu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад

    wale ambao mama zetu hawajielewi na hawaelewi chochote,jmn🤔

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Roho mtakatifu usinipite

  • @neemajeremiah8669
    @neemajeremiah8669 2 года назад

    Asante Yesu kwa maombi haya yamejibu kilio changu cha mda mrefu. Barikiwa sana watumishi wa Mungu

  • @mandelamtilwa2757
    @mandelamtilwa2757 2 года назад +1

    Amen

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel100 2 года назад

    Thank you Jesus

  • @lynetabithabinyinyi3445
    @lynetabithabinyinyi3445 2 года назад

    amen

  • @vemchannel2018
    @vemchannel2018 2 года назад

    Ameeen

  • @priscaibrahim4535
    @priscaibrahim4535 Месяц назад

    Amen

  • @angelicaonzah3725
    @angelicaonzah3725 2 года назад

    Amen.

  • @iluminatabalohho717
    @iluminatabalohho717 2 года назад

    Amen

  • @paulaminzi114
    @paulaminzi114 2 года назад

    Thank you Jesus

  • @mitchelnjeri7023
    @mitchelnjeri7023 2 года назад

    Amennnnnn

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Amen

  • @aidanongole9341
    @aidanongole9341 2 года назад

    AMEN

  • @Deedee88110
    @Deedee88110 2 года назад

    Amen