4 -KUONDOA MAZUIO YA KIROHO YANAYOKWAMISA KIPATO CHAKO || Mwl Christopher Mwakasege || Mwanaza 2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Semina Ya Neno La Mungu || Mwanaza || DAY 4 || TAREHE 16/9/2023
    .................................................................................................................
    Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
    M-PESA 0754 211 633
    TIGO-PESA 0715 511 633
    AIRTEL MONEY 0682 657 080
    HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
    PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
    CRDB BANK
    ACC: 01J2032214400
    JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Комментарии • 65

  • @nangela04
    @nangela04 3 месяца назад +2

    Thank brother Christopher Mwakasege ..I first heard of you during the Unga-limited meetings in the 1990s..nikiwa nasty macIlboru...japo niliokoa baadaye in 1992...glory to God .Nawapenda bure Wewe na Mke wako...May the Lord continue to humble you and increase your ministrations.

  • @DatiusLeonidas
    @DatiusLeonidas Месяц назад +1

    Mungu azidi kukuinua zaidi katika ya kutuimarisha kiimani na kumjua Mungu zaidi Amina.

  • @beatricesalvatory1100
    @beatricesalvatory1100 16 дней назад +1

    Ameen

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 3 месяца назад +3

    Mungu akujalie uishi miaka mingi mtumishi ili tuendelee kupata hekima ya neno lake

  • @beatricesalvatory1100
    @beatricesalvatory1100 16 дней назад

    Asante mungu kwa nilinda

  • @NahimanaChristine-mv9qo
    @NahimanaChristine-mv9qo 21 день назад

    Asante baba ubarikiwe

  • @sophiachriford3134
    @sophiachriford3134 Месяц назад

    Asante Baba kwa mafundisho yako, Eeeh Mungu unioendolee kila zuio la kiroho limalofanya nisikue kiimani ,uniondolee na zuio la kiroho limalofanya nisiinuke kiuchumi

  • @JoycejumaMkwaju
    @JoycejumaMkwaju 2 месяца назад

    Ahsante YESU kwajili ya Mtumishi wako huyuu

  • @rosemkuye
    @rosemkuye Месяц назад

    Mungu akubariki sana napokea mafundisho yako kwa imani Mungu anisaidie nitembee sawa sawa na mafundisho ya bwana.

  • @JoycejumaMkwaju
    @JoycejumaMkwaju 2 месяца назад

    Mungu nikumbuke katika maisha yangu na ndoa yangu,,niuone ukuu wako na nguvu zako YESU

  • @narggdhdv765
    @narggdhdv765 Год назад +2

    Asante Bwana Yesu nimepokea neno lako limekuwa nuru ndani yangu.unirehemu na kuniosha kwa damu yako unipe mbengu ya uaminifu nfani yangu.❤❤😭😭😭hakika unatupenda sana Yesu. Utukufufu ni wako.

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 3 месяца назад +1

    Ee,Mungu unirehem mahali ambapo sikuwa mwaminifu

  • @bahatimyegeta1289
    @bahatimyegeta1289 3 месяца назад

    Amina baba yangu nashukuru sana Mungu Kwa somo hili jamani kweli hatumjui Mungu baba Mungu akubariki akupe maisha marefu utufundishe zaidi

  • @HappinessMsham
    @HappinessMsham Месяц назад

    Ubarikiwe baba nimefungiliwa

  • @yusuphluyungu8142
    @yusuphluyungu8142 3 месяца назад

    Amina mtumishi kwa neno la hekima

  • @JosephMallya-re1vk
    @JosephMallya-re1vk 3 месяца назад

    Ee Mungu naomba unipe nguvu ya kuwa mwaminifu

  • @EliasMugabe
    @EliasMugabe 2 месяца назад

    Amin

  • @MgeniNyela
    @MgeniNyela 3 месяца назад

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @Frank-gm7ds
    @Frank-gm7ds 3 месяца назад

    Asante Baba kwa somo Ubarikiwe

  • @JumaMundo-b7g
    @JumaMundo-b7g Год назад +3

    Mungu wa mbinguni awabariki sana

  • @sekelaisrael7675
    @sekelaisrael7675 Год назад +1

    Mungu wangu na Baba yangu naomba umtoe mume wangu Edwin kwenye kesi inayokabili onekana maishani mwake katika nyakati hizi anazopita nakusihi ee Baba.

    • @edwiniluther3263
      @edwiniluther3263 11 месяцев назад

      Aleluya, nami namuomba Mungu akawe hakimu juu ya yote anayopitia Somo wangu..na akaibariki Familia yake na uwezo ukawe juu yao...ameen.
      Barikiwa!

    • @LuandaBushashire
      @LuandaBushashire 3 месяца назад

      Mungu wangu anitoshe kwenye bifungo byakijamaa Nina nitesa baba mushungaji mungu aniweke guru Mimi Niko kongo goma baba

  • @anuarymyekakimolo4785
    @anuarymyekakimolo4785 Месяц назад

    😂😂😂😂😂 natamani kukuona Mwalim ukiwa unadaka wanaodondoka kwenye huduma ya Ben na mkanda wako wa ushemas h🥰🥰🥰🤣✊✊💪

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 Год назад +1

    Amen

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 5 месяцев назад

    Nisaidie eee YESU KRISTO

  • @anethisraely5439
    @anethisraely5439 3 месяца назад

    Nimepata kitu kipya kikubwa mno ubarikiwe mwalimu

  • @MagrethMadila
    @MagrethMadila Год назад

    Asante mtumishi neno lako lonanguvu umenitoa mbali

  • @zimanigervas7281
    @zimanigervas7281 8 месяцев назад

    Ahsate kwa neno lako Mungu wa mbinguni naomba neema yako linitoe katika maangamivu.Amen
    Baba Mwakasege Mungu akubariki sana

  • @AgnesMgina-ud6ho
    @AgnesMgina-ud6ho 11 месяцев назад

    Ubalikiwe mwalimu🙏🙏🙏

  • @SharifaOm
    @SharifaOm Год назад

    Napokea kwa jina la Yesu kristo anazaret

  • @sekelaisrael7675
    @sekelaisrael7675 Год назад +4

    Ninaomba Baba uirehemu ndoa yetu, ondoa zuio la baraka katika Maisha ya ndoa yetu na watoto wetu. Usinipite Bwana nakuomba.

  • @WilliamuMathayo
    @WilliamuMathayo 8 месяцев назад

    Najifunza mengi Sanaa mwalimu

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 Год назад

    Ubarikiwe mwalimu

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Год назад

    Amen, ubarikiwe Mwl somo zuri limenivusha 💪🙏

  • @wendebange8580
    @wendebange8580 Год назад +2

    🙏🙏🙏

  • @jmathube8153
    @jmathube8153 11 месяцев назад

    Mungu nahitaji nione muujiza wako tarehe 25 mwezi huu

  • @hildahilda7890
    @hildahilda7890 Год назад

    Asante Mungu Kwa yote Unayo nionyesha na mengi unayo niepusha🙏 Imani yangu ni kufika Kanani....🤲🤲

  • @joselynmegabe7805
    @joselynmegabe7805 Год назад

    Mungu apewe sifa.

  • @FelistaMasawe-lq2xc
    @FelistaMasawe-lq2xc 11 месяцев назад +1

    Wow

  • @ElizabethLyandala-s4f
    @ElizabethLyandala-s4f 11 месяцев назад

    MUNGU asantee kwa neema hii..nakuinua wewe

  • @ArumeruMlili
    @ArumeruMlili 9 месяцев назад

    Barikiwa sanaa❤❤❤

  • @noelfaithful
    @noelfaithful Год назад +1

    🙏🏾🙏🏾🙏🏾✝️

  • @neywilly9817
    @neywilly9817 Год назад +1

    Kindly put download access🙏🙏

  • @odethierpaschal99
    @odethierpaschal99 Год назад

    Amen ❤

  • @MerryManyanga
    @MerryManyanga Год назад

    ❤amen

  • @deborakalinga8544
    @deborakalinga8544 Год назад

    Ameni

  • @SianaNimo
    @SianaNimo Год назад

    Masomo sijawai yasikia mwalimu

  • @thomasgervas5883
    @thomasgervas5883 Год назад

    Amina

  • @asianamlay8248
    @asianamlay8248 Год назад

    Amee

  • @MagrethMadila
    @MagrethMadila Год назад

    Piter magudi amezulum pesa zangu nyingi nakunfanya kuwa nyuma kiuchumi mungu shugulika name pesa zangu zirud mungu wewe muweza

  • @evelinelema4563
    @evelinelema4563 Год назад

    Naomba muweka tuweke kudownload jamani vile naupenda kusikiliza muda wote

  • @WafuasiWaYesuKristo
    @WafuasiWaYesuKristo 3 месяца назад

    VIGEZO VINAVYOTUMIKA KUPIMA MTU NI MTOTO AU MTU MZIMA KIROHO/ KUPIMA UKOMAVU KIROHO
    1. Usemavyo
    2. Ufahamu wako
    3. Unafikiri nini?

  • @RosePatrick-vh2or
    @RosePatrick-vh2or 4 месяца назад

    Amina.sifa na utukufu nivyako Mungu amina

  • @monyaichimoshi5285
    @monyaichimoshi5285 4 месяца назад

    .?
    Mj.m
    jmk.mk.m,

  • @JoycejumaMkwaju
    @JoycejumaMkwaju 2 месяца назад

    Ahsante YESU kwajili ya Mtumishi wako huyuu

  • @agnesbaluwa3938
    @agnesbaluwa3938 2 месяца назад

    Amina

  • @SillahjrMolam
    @SillahjrMolam 2 месяца назад

    Amen🙏🙏

  • @alex_vincent
    @alex_vincent Год назад +1

    AMEN

  • @WilliamuMathayo
    @WilliamuMathayo 8 месяцев назад

    Unanibariki sana mwalimu

  • @RoseNamdulaKomba
    @RoseNamdulaKomba 3 месяца назад

    Amina

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n 4 месяца назад

    Amina

  • @jenelithangemalila5160
    @jenelithangemalila5160 3 месяца назад

    Amen

  • @JumaMundo-b7g
    @JumaMundo-b7g Год назад +3

    Mungu wa mbinguni awabariki sana

  • @nazalenamgeni3588
    @nazalenamgeni3588 11 месяцев назад

    Amen