4 -KUONDOA MAZUIO YA KIROHO YANAYOKWAMISA KIPATO CHAKO || Mwl Christopher Mwakasege || Mwanaza 2023
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Semina Ya Neno La Mungu || Mwanaza || DAY 4 || TAREHE 16/9/2023
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
PIA UNAWEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Thank brother Christopher Mwakasege ..I first heard of you during the Unga-limited meetings in the 1990s..nikiwa nasty macIlboru...japo niliokoa baadaye in 1992...glory to God .Nawapenda bure Wewe na Mke wako...May the Lord continue to humble you and increase your ministrations.
Mungu azidi kukuinua zaidi katika ya kutuimarisha kiimani na kumjua Mungu zaidi Amina.
Ameen
Mungu akujalie uishi miaka mingi mtumishi ili tuendelee kupata hekima ya neno lake
Asante mungu kwa nilinda
Asante baba ubarikiwe
Asante Baba kwa mafundisho yako, Eeeh Mungu unioendolee kila zuio la kiroho limalofanya nisikue kiimani ,uniondolee na zuio la kiroho limalofanya nisiinuke kiuchumi
Ahsante YESU kwajili ya Mtumishi wako huyuu
Mungu akubariki sana napokea mafundisho yako kwa imani Mungu anisaidie nitembee sawa sawa na mafundisho ya bwana.
Mungu nikumbuke katika maisha yangu na ndoa yangu,,niuone ukuu wako na nguvu zako YESU
Asante Bwana Yesu nimepokea neno lako limekuwa nuru ndani yangu.unirehemu na kuniosha kwa damu yako unipe mbengu ya uaminifu nfani yangu.❤❤😭😭😭hakika unatupenda sana Yesu. Utukufufu ni wako.
Ee,Mungu unirehem mahali ambapo sikuwa mwaminifu
Amina baba yangu nashukuru sana Mungu Kwa somo hili jamani kweli hatumjui Mungu baba Mungu akubariki akupe maisha marefu utufundishe zaidi
Ubarikiwe baba nimefungiliwa
Amina mtumishi kwa neno la hekima
Ee Mungu naomba unipe nguvu ya kuwa mwaminifu
Amin
Amina mtumishi wa Mungu
Asante Baba kwa somo Ubarikiwe
Mungu wa mbinguni awabariki sana
Mungu wangu na Baba yangu naomba umtoe mume wangu Edwin kwenye kesi inayokabili onekana maishani mwake katika nyakati hizi anazopita nakusihi ee Baba.
Aleluya, nami namuomba Mungu akawe hakimu juu ya yote anayopitia Somo wangu..na akaibariki Familia yake na uwezo ukawe juu yao...ameen.
Barikiwa!
Mungu wangu anitoshe kwenye bifungo byakijamaa Nina nitesa baba mushungaji mungu aniweke guru Mimi Niko kongo goma baba
😂😂😂😂😂 natamani kukuona Mwalim ukiwa unadaka wanaodondoka kwenye huduma ya Ben na mkanda wako wa ushemas h🥰🥰🥰🤣✊✊💪
Amen
Nisaidie eee YESU KRISTO
Nimepata kitu kipya kikubwa mno ubarikiwe mwalimu
Asante mtumishi neno lako lonanguvu umenitoa mbali
Ahsate kwa neno lako Mungu wa mbinguni naomba neema yako linitoe katika maangamivu.Amen
Baba Mwakasege Mungu akubariki sana
Ubalikiwe mwalimu🙏🙏🙏
Napokea kwa jina la Yesu kristo anazaret
Ninaomba Baba uirehemu ndoa yetu, ondoa zuio la baraka katika Maisha ya ndoa yetu na watoto wetu. Usinipite Bwana nakuomba.
Najifunza mengi Sanaa mwalimu
Ubarikiwe mwalimu
Amen, ubarikiwe Mwl somo zuri limenivusha 💪🙏
🙏🙏🙏
Mungu nahitaji nione muujiza wako tarehe 25 mwezi huu
Asante Mungu Kwa yote Unayo nionyesha na mengi unayo niepusha🙏 Imani yangu ni kufika Kanani....🤲🤲
Mungu apewe sifa.
Wow
MUNGU asantee kwa neema hii..nakuinua wewe
Barikiwa sanaa❤❤❤
🙏🏾🙏🏾🙏🏾✝️
Kindly put download access🙏🙏
Amen ❤
❤amen
Ameni
Masomo sijawai yasikia mwalimu
Amina
Amee
Piter magudi amezulum pesa zangu nyingi nakunfanya kuwa nyuma kiuchumi mungu shugulika name pesa zangu zirud mungu wewe muweza
Naomba muweka tuweke kudownload jamani vile naupenda kusikiliza muda wote
VIGEZO VINAVYOTUMIKA KUPIMA MTU NI MTOTO AU MTU MZIMA KIROHO/ KUPIMA UKOMAVU KIROHO
1. Usemavyo
2. Ufahamu wako
3. Unafikiri nini?
Amina.sifa na utukufu nivyako Mungu amina
.?
Mj.m
jmk.mk.m,
Ahsante YESU kwajili ya Mtumishi wako huyuu
Amina
Amen🙏🙏
AMEN
Unanibariki sana mwalimu
Amina
Amina
Amen
Mungu wa mbinguni awabariki sana
Amen