Maombi yangu ni Mungu amuweke mwakasege miaka mingi sana kuna ambao tunakua kiroho na pia tunapata kiu zaidi ya kuutafuta uso wa Mungu tukimskiliza. Huyu baba Mungu amemchukua level zingne za kiroho. Yesu akupe miaka mingu MWALIMU
Ninapopita ktka magumu, nikiisilikiiliza mafundisho ya mtumishi ya mwakasege napata nguvu mpya,🙏Mungu akutunze na afiche uhai wako ndani ya Damu ya YESU 🙏🙏
Barikiwa sana baba, hili somo lilinitoa mahali,niliomba miez sita bila majibu lakini siku niliposikia somo hili niliingia kwenye mfungo kumwuliza Mungu kulikoni na akanijibu siku ya tatu, akanipa sababu za maombi kukataliwa niliamka nikamshukuru Mungu na nikauona mkono wake siku ya Tano,. Baba Mungu akuweke
Ameen...Ahsante Mungu kwa ajili ya utumish huu, na neno hili. Utupe neema baba ya kutokutazama matatizo yetu na ugumu wa maisha, bali utupe neema ya kuyaelewa na kuatamia maono uliyoyaachilia juu yetu. Uchungu, tabu, udhalimu, magumu yasitufanye tushindwe kuomba sawasawa na mapenzi na kulitimiza kusudi lako. Katika maisha yako ufalme wako uje.
Somo zuri sana. Mungu anabaki kua Mungu nyakati zote. Hata kama hajanijibu vile nilivyo tamani, bado anabaki kua Mungu mwema. Somo hili limenibariki sana sana sana.
Somo hili hakika limenilenga mimi na maisha Yale ninayoishi, nateseka ktk ndoa hii, ni naomba Mungu ambadilishe mume wangu, awe mtu wa kumcha Mungu, as he kutumia miadarati, lakini sijajibiwa na Mungu baba yangu, nitamrudia na kilio na unyenyekevu, nimuulize kwani I hajanijibu maombi yangu na Sasa ni km miaka mitano hivi ya mateso ndani ya ndoa yangu. Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa neno hili, nimejifundisha mengi, barikiwa Sana. Amina... 🙏
Asante mungu kwa kumtumia mtumishi wako maana nilipata hili neno nikiwa katka mazo magumu muno nami naomba unijibu maombi yangu juu yayale yote niliyoomba naamini kupitia neno lako takatifu napokea kwa jina la yesu kristo ameni mbalikiwe watumishi🙏🙏🙏🙏
Nakupenda Baba Mtumishi wa Mungu kila siku nakuombea Bwana akutie nguvu huduma hii bado tunaihitaji Sana na Kuna siku nimekuona katika ndoto ukiwa katika mto flani unabatiza nami nilikuwako huko
Somo hili nimelifikia kupitia mtandao na limenipa moyo Sana kua Kuna siku MUNGU atanijipu maombi yangu na kunifungulia milango hili niwatimizie mama pajoma na Babu wangu ndoto yangu itimie katika jina la mungu wangu amen
Ninamtukuza Mungu kwa ajili yako my Spiritual Father through you my eyes open and thirsty of seeking God increase in me Glory be to God. Mungu akutunze baba na azidi kukuimarisha.Amen
Neno la Mungu linaishi. Hili neno limenifungulia moyo wangu. Nimejua Kati ya kuomba na kulalamika. Mungu akubariki sana mtumishi. Nitaandika njozi🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Hili somo kila nikilisikiliza napata kitu kipya. Mungu anabakia kua Mungu hata kama hajajibu vile nilivyo tarajia. Yeye anampango mzuri sana na sisi wanadamu.
Ee,Mungu umtazame huyu mtumishi wako ukamtendee mema sana sku zote za maisha yake utukufu wako ukawe pamoja nae nyakati zote, nampenda sana mtumishi wako huyu, Ee Bwana Mungu muumba mbingu na nchi wewe ulie alfa na omega axante kwa chombo chako hiki ❤
Maombi yangu ni Mungu amuweke mwakasege miaka mingi sana kuna ambao tunakua kiroho na pia tunapata kiu zaidi ya kuutafuta uso wa Mungu tukimskiliza. Huyu baba Mungu amemchukua level zingne za kiroho. Yesu akupe miaka mingu MWALIMU
Manukwa kweli na kubadilika ama kukua ti mdomoni
AMEN
Ameniiii aleluya
Ninapopita ktka magumu, nikiisilikiiliza mafundisho ya mtumishi ya mwakasege napata nguvu mpya,🙏Mungu akutunze na afiche uhai wako ndani ya Damu ya YESU 🙏🙏
Mungu akupe mengine ya zaidi mwalimu
Barikiwa sana baba, hili somo lilinitoa mahali,niliomba miez sita bila majibu lakini siku niliposikia somo hili niliingia kwenye mfungo kumwuliza Mungu kulikoni na akanijibu siku ya tatu, akanipa sababu za maombi kukataliwa niliamka nikamshukuru Mungu na nikauona mkono wake siku ya Tano,. Baba Mungu akuweke
Mungu akubariki sana Baba Kwa kusikiliza na kuitii sauti ya Mungu, Barikiwa milele
Ameen...Ahsante Mungu kwa ajili ya utumish huu, na neno hili. Utupe neema baba ya kutokutazama matatizo yetu na ugumu wa maisha, bali utupe neema ya kuyaelewa na kuatamia maono uliyoyaachilia juu yetu. Uchungu, tabu, udhalimu, magumu yasitufanye tushindwe kuomba sawasawa na mapenzi na kulitimiza kusudi lako. Katika maisha yako ufalme wako uje.
AMINA MUNGU ALIYEIANZISHA SAFARI YA MAISHA YETU ATUTETEE KWA DAMU YAKE YESU KRISTO TUNAMWAMINI ATATENDA TUSIKATE TAMAA
Somo zuri sana. Mungu anabaki kua Mungu nyakati zote. Hata kama hajanijibu vile nilivyo tamani, bado anabaki kua Mungu mwema. Somo hili limenibariki sana sana sana.
Somo hili hakika limenilenga mimi na maisha Yale ninayoishi, nateseka ktk ndoa hii, ni naomba Mungu ambadilishe mume wangu, awe mtu wa kumcha Mungu, as he kutumia miadarati, lakini sijajibiwa na Mungu baba yangu, nitamrudia na kilio na unyenyekevu, nimuulize kwani I hajanijibu maombi yangu na Sasa ni km miaka mitano hivi ya mateso ndani ya ndoa yangu. Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa neno hili, nimejifundisha mengi, barikiwa Sana. Amina... 🙏
Usijali Mungu ni mwema atakutendea
Akika mungu atakusaidia usikate tamaa kuomb
Ww miaka mitano unateseka tu! Hii n mpya
Amen.
Amen, nimebarikiwa Sana mtumishi Mungu akubariki sana nilikata tamaa ili kwa neno hili naamini Mungu atafanya kitu juu yangu na familia yangu
Asante Mungu kwa somo hili kubwa sana kwenye maisha yangu. Limekuja kwa wakati sahihi sana . Asante Yesu wangu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Amina mtumushi ,najiambatanisha na madhabahu hii Mimi na familia yangu ,naomba Mungu anijibu sawa na haja za moyo wangu! Amen.
Barikiwa sana baba,,,,Unatufundisha Mengi 🙏🏿Mungu wetu anajibu❤️
Asnte sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili nimepata kitu kikubwa sana Yesu akubaliki sana
Asante Roho Mtakatifu kwa kuachilia somo hili .Mungu .Mungu awabariki watumishi wake
Asante mungu kwa kumtumia mtumishi wako maana nilipata hili neno nikiwa katka mazo magumu muno nami naomba unijibu maombi yangu juu yayale yote niliyoomba naamini kupitia neno lako takatifu napokea kwa jina la yesu kristo ameni mbalikiwe watumishi🙏🙏🙏🙏
Somo limekuja wakati sahihi kwangu, Barikiwa sana mwalimu
Balikiwa kwa somo zuli
Bwana Yesu Asifiwe Nashukulu kwa hili Somo Nimemuomba Mungu kwa Mda Mlefu ila ajanijibu Natumia Somo hili Kumuuliza tena Mungu Wangu Nina imani Naye
Ameni Mtumishi,Mwenyenzi Mungu akubariki sana
Asante mwalimu wangu Mungu naomba nisaidie njozi niliyo iyota mara kwa itimie aminaa 🙏🏿 🙏🏿🙏🏿
Mungu mtie Ng v mtumishi aendelee kutufundisha tusaidie kuelewa mungu nisaidie nijue kupambanua njozi au maono
Mungu akupe maisha malefu mwalimu 🙏🙏🙏❤️
Nakupenda Baba Mtumishi wa Mungu kila siku nakuombea Bwana akutie nguvu huduma hii bado tunaihitaji Sana na Kuna siku nimekuona katika ndoto ukiwa katika mto flani unabatiza nami nilikuwako huko
Asante mtumishi wa mungu kwa Somo.sifa na utukufu Ni kwa mungu aliye juu.amina.
Asante Mtumish wa MUNGU kwa kutufundisha kutokata tamaaa. Tuendelee kumuomba Mungu.
Barikiwa Mwl ,,Somo zuri sana sana.
Amen,Mungu akubariki sana.naendelea kujifunza mtumishi.
Ameeen baba Neema ya Mungu iendelee kuongezeka juu yako Mara dufu
God bless you 🙏🏽 From 🇷🇼Rwanda
Baba Mungu akubariki sana, umenigusa yaani naona Mungu kanyamaza lkn Asante kwa somo niendelee kuomba
Ameen ubarikiwe mwalimu wa neno la Mungu
Hallelujah Hallelujah sifa kwa Bwana azidi kukupa maono Mtumishi wa Mungu aliye hai.
Hallelujah
ubarikiwe mtumishi wa mungu namungu akupe maisha marefu
Nabarikiwa sana na mafundisho yako yananipandisha viwango vingine . Nipo songea natamani Sana nipate mafundisho yako yenye mlolongo kamili.
Amen mtumishi mimi nayitwa judi naomba uniombe mimi na mtoto wangu maisha yetu magu sana kuna wakati mimi nakatatama ya maisha naomba utuombe
Haleluya haleluya! Groly to god groly jina la bwana libarikiwe mno. Na mungu akupe maisha maisha marefu na yenye heri pamoja na uzao wa nyumba yako
Barikiwa mwalim
Asante mtumishi wa Mungu hili neno limekuja wakati sahii kwangu Ee Mungu usinyamaze nikuombapo 🙏🙏🙏
Somo hili nimelifikia kupitia mtandao na limenipa moyo Sana kua Kuna siku MUNGU atanijipu maombi yangu na kunifungulia milango hili niwatimizie mama pajoma na Babu wangu ndoto yangu itimie katika jina la mungu wangu amen
Ninamtukuza Mungu kwa ajili yako my Spiritual Father through you my eyes open and thirsty of seeking God increase in me Glory be to God. Mungu akutunze baba na azidi kukuimarisha.Amen
Ahsante Baba na Mama Mwakasege na team nzima ya mana ministry
Amen my Father nitazidi kumkumbusha Mungu
Amen,nashukru saaana kwa SoMo hili
Bwana Yesu asifiwe wapendwa nauliza ratiba ya semia mwenzi huu anaye jua anisaidie asante
Amen🙏👏🏻👏🏻👏🏻barikiwa sana mutumishi , hakika nimebarikiwa sana hakika bwana unaweza na ninaamini utajibu sawasawa na mapenzi yako 🙏🙏
Nashukuru kwaneno ilii linanifaya nipigeatuwa nimuhulizemungu kwanini aujibu amen ubarikiwe ddy
Neno la Mungu linaishi. Hili neno limenifungulia moyo wangu. Nimejua Kati ya kuomba na kulalamika.
Mungu akubariki sana mtumishi. Nitaandika njozi🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ameeeeen mtumushi hili somo lako limekuwa dawa kwangu Mungu kajibu mpaka NASHANGAA kwakwwli ubarikiwe Sana sana mwalinu Mwakasege🙏🙏🙏
Haleluya mtumishi
Mungu akutunze
Tunapata ufahamu
Mungu aendelee kukuzidishia baraka mwalimu.
Amen... Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu
Asante kwa mafundisho mazuri baba
Mungu akupe maono zaidi ya mafundisho yako zaidi somo hili na lile la kuombea lango au mzaliwa wa kwanza
Ubarikiwe baba tunajvunia kua nawewe katka nchi yetu ya Tanzania
It worth listening and listening and listening again 🙏🙏 Mungu akubariki Baba 🙏🙏
Mungu akubariki mtumishi asante kwa mafundisho yako mazuri yananivusha sana
😍
Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mafundisho Yako🙏
Mweee Mungu huyu ni waajabu, Mungu akuongezee miaka mingi uishi mtumishi, barikiwa sana baba.
Ubalikiwe na mungu akuzishie. Kipawa chako
For the first time kusikia hii massage nimekua nikisema kama nina uwezo wa kuuliza mungu maswali nigeweza
Ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU umetutia moyo na kutokukata tamaa naomba MUNGU ajibu maombi yangu Amina
Amen, somo hili n nzuri, nataman nipate mwenderezo wake nlimalize lote
Asante sana Kwa somo hili
Ameen Asante sana mwalimu Mungu akulinde na kukufunika pia
Ubarikiwe sanna mcungaji nimejifunza kitu❤
Mungu akutunze daima baba
Barikiwa baba yangu Mungu anamakusudi kukuketa kwetu
Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika nilivurugika mno ila kwa neno hili ninaona nuru tena
Asante Mungu kwa kunikutanisha na hili neno maana ni leo tu ndo nilikuwa najiuliza mimi kama mimi 🙏🙏🙏be blessed mtumishi wa Mungu
Asanre sana Mwalimu Mwakasege kwa kweli neno hili kwangu linanihusu kabisa Eee Mungu wangu nakuomba usinyamaze nikuombapo ombi langu
Asante mungu Kwa kunikutanisha na Somo hili..
Mungu akulinde, nakupenda sana ww na familia Yako.
Mungu naomba usinyamaze..naomba ujibu maombi yangu usinyamaze Baba
Amen Mungu nisaidie nitimize lile kusudi uliloniletea duniani nisiishie njiani
AMEEEN 🙏🙏🙏🙏🙏
Barikiwa
Amen
Hakika Mungu anipe nami majibu ya maisha yangu,Asantee Mwl.sitanyamaza kumwomba Anitendee
Mungu akubarikii Sana Mwalimu Nimebarikiwa sana na hili somo Amen.
Mungu aku barika baba
Ameni mtumishi wa Mungu neno hili limenijia mda muafaka kwangu 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.
Amina kubwa,
Mungu akubariki sana na awainue wahubiri wa kweli ya neno la Mungu
Amen, nimebarikiwa sana.
Mungu akubariki na kukupa maisha marefu tufundishwe na Roho wa Mungu kupitia wewe.
Asante Mungu kwsbb kuna ombi nimeomba muda mrefu sijajibiwa ....nitangangana sasa nijibiwe
Mwakasege Mungu akutunze vyema hakika tunabarikiwa
Amina mungu anikuze nipate jua
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Nimeguswa sana na hili somo naomba muendelezo wake ili niweze kumaliza na kujifunza zaidi
Ahsante 🙏🏾🙏🏾
Mungu akupe maisha malefu huku ukituombea injili msingi wake usiharibike leo walakesho mpaka Yesu mnazareti anarudi. Amen
Mungu naomba ujibu haja ya moyo wangu kwa wepes amen
Asante Mungu Mm Naomba Ufunue Njozi Zangu
Hili somo kila nikilisikiliza napata kitu kipya. Mungu anabakia kua Mungu hata kama hajajibu vile nilivyo tarajia. Yeye anampango mzuri sana na sisi wanadamu.
Inafundisha sana Mungu aendelee kukupa maisha marefu
Asante kwa neno la MUNGU mtumishi wa MUNGU heshima utukufu na mrudishia MUNGU kwaajili ya utumishi huu Amina
Nabarikiwa na mafundisho yako, barikiwa Sana Baba
mmmh mungu amtunze mwakasege❤
Asante Sana kwa somo kwani tumefunguliwa MUNGU akubariki Sana mwalim
Ee,Mungu umtazame huyu mtumishi wako ukamtendee mema sana sku zote za maisha yake utukufu wako ukawe pamoja nae nyakati zote, nampenda sana mtumishi wako huyu, Ee Bwana Mungu muumba mbingu na nchi wewe ulie alfa na omega axante kwa chombo chako hiki ❤
Amen!
Mungu apewe sifa,
Asante mtumishi wa Mungu
Napenda Sana babangu na Mwalimu wangu. Hanaga mapicha picha ya miujiza. Nabarikiwa sana sana kumsikiliza.
Amina nitaendelea kuomba mpaka pale Mungu wangu atakojibu, sitanyamaza.
Zawadi ya mungu kwenye maisha yetu mungu aongeze miaka elfu juu yako
Asante Yesu nimesikia sauti ya Mungu....naomba niandike njozi hii....
U
Mungu akutunze mwalimu
mungu akuzidishe kilasiku
Mtumishi. Mungu Mimi huwa nabarikiwa Sana na mahibiri yako mungu akutumie kama apendavyo yeye
Amina Baba Mungu aendelee kuwatunza na kuwapa kibali
Amen mwalimu nalichukua hili ni langu na nitaleta majibu