SOMO MUNGU ASIPOKUJIBU MAOMBI YAKO MUULIZE NI KWA NINI 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 483

  • @clarambasha938
    @clarambasha938 3 года назад +103

    Maombi yangu ni Mungu amuweke mwakasege miaka mingi sana kuna ambao tunakua kiroho na pia tunapata kiu zaidi ya kuutafuta uso wa Mungu tukimskiliza. Huyu baba Mungu amemchukua level zingne za kiroho. Yesu akupe miaka mingu MWALIMU

    • @goated3801
      @goated3801 2 года назад

      Manukwa kweli na kubadilika ama kukua ti mdomoni

    • @pikipiki_market
      @pikipiki_market Год назад +2

      AMEN

    • @salvatoryherman65
      @salvatoryherman65 Год назад +1

      Ameniiii aleluya

    • @happyngonde2923
      @happyngonde2923 Год назад +2

      Ninapopita ktka magumu, nikiisilikiiliza mafundisho ya mtumishi ya mwakasege napata nguvu mpya,🙏Mungu akutunze na afiche uhai wako ndani ya Damu ya YESU 🙏🙏

    • @mukambambale-df8hw
      @mukambambale-df8hw Год назад +1

      Mungu akupe mengine ya zaidi mwalimu

  • @NeemaMbinga
    @NeemaMbinga 2 месяца назад +3

    Asante baba nilipo sikiliza somo hili Mungu amenijibu nmepata kazi thnx God hakika ukuu ni mkubwa sana ❤❤

  • @VeryniceMosha-n7q
    @VeryniceMosha-n7q 6 месяцев назад +4

    Barikiwa sana baba, hili somo lilinitoa mahali,niliomba miez sita bila majibu lakini siku niliposikia somo hili niliingia kwenye mfungo kumwuliza Mungu kulikoni na akanijibu siku ya tatu, akanipa sababu za maombi kukataliwa niliamka nikamshukuru Mungu na nikauona mkono wake siku ya Tano,. Baba Mungu akuweke

  • @betyanyas8780
    @betyanyas8780 3 года назад +24

    Somo hili hakika limenilenga mimi na maisha Yale ninayoishi, nateseka ktk ndoa hii, ni naomba Mungu ambadilishe mume wangu, awe mtu wa kumcha Mungu, as he kutumia miadarati, lakini sijajibiwa na Mungu baba yangu, nitamrudia na kilio na unyenyekevu, nimuulize kwani I hajanijibu maombi yangu na Sasa ni km miaka mitano hivi ya mateso ndani ya ndoa yangu. Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa neno hili, nimejifundisha mengi, barikiwa Sana. Amina... 🙏

  • @rugetakimath7428
    @rugetakimath7428 Год назад +6

    Mungu akubariki sana Baba Kwa kusikiliza na kuitii sauti ya Mungu, Barikiwa milele

  • @getrudemalisa4350
    @getrudemalisa4350 3 года назад +5

    Amen, nimebarikiwa Sana mtumishi Mungu akubariki sana nilikata tamaa ili kwa neno hili naamini Mungu atafanya kitu juu yangu na familia yangu

  • @rebeccabraison8357
    @rebeccabraison8357 Год назад +3

    Asnte sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili nimepata kitu kikubwa sana Yesu akubaliki sana

  • @magrethrupiah5057
    @magrethrupiah5057 3 года назад +7

    Somo zuri sana. Mungu anabaki kua Mungu nyakati zote. Hata kama hajanijibu vile nilivyo tamani, bado anabaki kua Mungu mwema. Somo hili limenibariki sana sana sana.

  • @mwanaidimwanga21
    @mwanaidimwanga21 3 года назад +22

    Ameen...Ahsante Mungu kwa ajili ya utumish huu, na neno hili. Utupe neema baba ya kutokutazama matatizo yetu na ugumu wa maisha, bali utupe neema ya kuyaelewa na kuatamia maono uliyoyaachilia juu yetu. Uchungu, tabu, udhalimu, magumu yasitufanye tushindwe kuomba sawasawa na mapenzi na kulitimiza kusudi lako. Katika maisha yako ufalme wako uje.

    • @neemaenock6358
      @neemaenock6358 3 года назад +2

      AMINA MUNGU ALIYEIANZISHA SAFARI YA MAISHA YETU ATUTETEE KWA DAMU YAKE YESU KRISTO TUNAMWAMINI ATATENDA TUSIKATE TAMAA

  • @joycelanda8987
    @joycelanda8987 3 года назад +9

    Amina mtumushi ,najiambatanisha na madhabahu hii Mimi na familia yangu ,naomba Mungu anijibu sawa na haja za moyo wangu! Amen.

  • @geendaki7678
    @geendaki7678 3 года назад +2

    Nakupenda Baba Mtumishi wa Mungu kila siku nakuombea Bwana akutie nguvu huduma hii bado tunaihitaji Sana na Kuna siku nimekuona katika ndoto ukiwa katika mto flani unabatiza nami nilikuwako huko

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 10 месяцев назад +1

    Mweee Mungu huyu ni waajabu, Mungu akuongezee miaka mingi uishi mtumishi, barikiwa sana baba.

  • @lilianmkelewele7489
    @lilianmkelewele7489 3 года назад +2

    Asante mungu kwa kumtumia mtumishi wako maana nilipata hili neno nikiwa katka mazo magumu muno nami naomba unijibu maombi yangu juu yayale yote niliyoomba naamini kupitia neno lako takatifu napokea kwa jina la yesu kristo ameni mbalikiwe watumishi🙏🙏🙏🙏

  • @heriethmoses7082
    @heriethmoses7082 3 года назад +31

    Somo limekuja wakati sahihi kwangu, Barikiwa sana mwalimu

  • @colethachaula592
    @colethachaula592 2 года назад +6

    Hii ni kweli hata Mimi limenitokea kwenye maisha yangu, nina mdogo wangu anaumwa ninaomba mungu kupitia somo Hilo mungu amfungue apone ninaamini mungu anakwenda kunijibu Sasa.

  • @jacksonjohn8497
    @jacksonjohn8497 2 года назад +1

    Bwana Yesu Asifiwe Nashukulu kwa hili Somo Nimemuomba Mungu kwa Mda Mlefu ila ajanijibu Natumia Somo hili Kumuuliza tena Mungu Wangu Nina imani Naye

  • @marianajulius5926
    @marianajulius5926 3 года назад +3

    Barikiwa sana baba,,,,Unatufundisha Mengi 🙏🏿Mungu wetu anajibu❤️

  • @betreaceparali9725
    @betreaceparali9725 2 года назад +1

    Mungu mtie Ng v mtumishi aendelee kutufundisha tusaidie kuelewa mungu nisaidie nijue kupambanua njozi au maono

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 3 года назад +4

    Asante Mungu kwa somo hili kubwa sana kwenye maisha yangu. Limekuja kwa wakati sahihi sana . Asante Yesu wangu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @atbakpblessedfml2642
    @atbakpblessedfml2642 3 года назад +4

    Asante Roho Mtakatifu kwa kuachilia somo hili .Mungu .Mungu awabariki watumishi wake

  • @jackimulisamulisa6896
    @jackimulisamulisa6896 3 года назад +1

    Amen mtumishi mimi nayitwa judi naomba uniombe mimi na mtoto wangu maisha yetu magu sana kuna wakati mimi nakatatama ya maisha naomba utuombe

  • @user-paschalrebeca3
    @user-paschalrebeca3 25 дней назад

    UBARIKIWE SANA BABA, Leo nimejifunzaa kitu kipya. MUNGU AENDELEE KUKUPA MAARIFA ZAIDI KWA AJILI YA TAIFA LETU🙇🙇🙇🙇

  • @lilianmyinga4578
    @lilianmyinga4578 3 года назад +6

    Haleluya haleluya! Groly to god groly jina la bwana libarikiwe mno. Na mungu akupe maisha maisha marefu na yenye heri pamoja na uzao wa nyumba yako

  • @magrethrupiah5057
    @magrethrupiah5057 Год назад +1

    Hili somo kila nikilisikiliza napata kitu kipya. Mungu anabakia kua Mungu hata kama hajajibu vile nilivyo tarajia. Yeye anampango mzuri sana na sisi wanadamu.

  • @atuhaireakla3972
    @atuhaireakla3972 3 года назад +1

    For the first time kusikia hii massage nimekua nikisema kama nina uwezo wa kuuliza mungu maswali nigeweza

  • @dalmasnyaribo7543
    @dalmasnyaribo7543 3 года назад +1

    Somo hili nimelifikia kupitia mtandao na limenipa moyo Sana kua Kuna siku MUNGU atanijipu maombi yangu na kunifungulia milango hili niwatimizie mama pajoma na Babu wangu ndoto yangu itimie katika jina la mungu wangu amen

  • @lazaroulomi1854
    @lazaroulomi1854 3 года назад +1

    Barikiwa Mwl ,,Somo zuri sana sana.

  • @kwangukazungu8299
    @kwangukazungu8299 3 года назад +3

    Baba Mungu akubariki sana, umenigusa yaani naona Mungu kanyamaza lkn Asante kwa somo niendelee kuomba

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 3 года назад +4

    Ahsante Baba na Mama Mwakasege na team nzima ya mana ministry

  • @rahmabisi5558
    @rahmabisi5558 3 года назад

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako yananipandisha viwango vingine . Nipo songea natamani Sana nipate mafundisho yako yenye mlolongo kamili.

  • @enriqueganywamulume3681
    @enriqueganywamulume3681 3 года назад +2

    Tuna shukuru Mungu kwa maano hii ya kurusha tena solo ili , tume barikiwa tena tume pata kitu tena , ilpendeze Mungu kumu discute tena na tena na ku mbariki mtumishi wake. Kama kuna kipindi cha kufata tafazali mwalimu ita tu saidiya

  • @judithngasa1370
    @judithngasa1370 3 года назад +2

    Hallelujah Hallelujah sifa kwa Bwana azidi kukupa maono Mtumishi wa Mungu aliye hai.

  • @doricejoel6185
    @doricejoel6185 3 года назад +1

    Asante Mtumish wa MUNGU kwa kutufundisha kutokata tamaaa. Tuendelee kumuomba Mungu.

  • @mwldanielelibariki4524
    @mwldanielelibariki4524 3 года назад +5

    Ameeen baba Neema ya Mungu iendelee kuongezeka juu yako Mara dufu

  • @mackrinapeter4417
    @mackrinapeter4417 3 года назад +5

    Mungu naomba usinyamaze..naomba ujibu maombi yangu usinyamaze Baba

  • @upendoamani8164
    @upendoamani8164 3 года назад +5

    Neno la Mungu linaishi. Hili neno limenifungulia moyo wangu. Nimejua Kati ya kuomba na kulalamika.
    Mungu akubariki sana mtumishi. Nitaandika njozi🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 года назад +3

    Asante mtumishi wa Mungu hili neno limekuja wakati sahii kwangu Ee Mungu usinyamaze nikuombapo 🙏🙏🙏

  • @sarahmarishay6938
    @sarahmarishay6938 3 года назад +1

    Ameeeeen mtumushi hili somo lako limekuwa dawa kwangu Mungu kajibu mpaka NASHANGAA kwakwwli ubarikiwe Sana sana mwalinu Mwakasege🙏🙏🙏

  • @TulasupaSanga
    @TulasupaSanga Год назад

    Asante mwalimu wangu Mungu naomba nisaidie njozi niliyo iyota mara kwa itimie aminaa 🙏🏿 🙏🏿🙏🏿

  • @thomaskibada7056
    @thomaskibada7056 3 года назад +6

    Ubarikiwe baba tunajvunia kua nawewe katka nchi yetu ya Tanzania

  • @mellissauwase5514
    @mellissauwase5514 2 года назад +8

    God bless you 🙏🏽 From 🇷🇼Rwanda

  • @TimothEmanuely
    @TimothEmanuely Год назад

    Ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU umetutia moyo na kutokukata tamaa naomba MUNGU ajibu maombi yangu Amina

  • @joshuakapungu938
    @joshuakapungu938 3 года назад +2

    Ee Mwenyezi Mungu hili somo nimelipata leo ila litanifungulia yote ninayoomba kila siku na Mungu atanyamaza tena sasa ni zamu yangu kujibiwa maombi yangu baba

  • @qndassuofficially913
    @qndassuofficially913 3 года назад +1

    Amen🙏👏🏻👏🏻👏🏻barikiwa sana mutumishi , hakika nimebarikiwa sana hakika bwana unaweza na ninaamini utajibu sawasawa na mapenzi yako 🙏🙏

  • @AmaniDavid-ju7mb
    @AmaniDavid-ju7mb Год назад

    Bwana Yesu asifiwe wapendwa nauliza ratiba ya semia mwenzi huu anaye jua anisaidie asante

  • @helenakulliani1670
    @helenakulliani1670 3 года назад +1

    Asante mtumishi wa mungu kwa Somo.sifa na utukufu Ni kwa mungu aliye juu.amina.

  • @alainmizo4694
    @alainmizo4694 2 года назад

    Jambo hili limekuwa moja kati ya ombi langu la evey day kana kwamba Mungu anipe kipawa chako mzazi wangu wa kiroho.nakufua toka D.R.Congo tume barikiwa saaaaaaaaaaaana kupitiya mafundisho yako babangu.naami kupitiya haya ninayo yapokea kutoka kwako...Mungu atanipa majibu kwa swali yangu.Mungu akubariki sana baba na piya abariki watakatifu wote kwa jumla

  • @ruthuthomas2357
    @ruthuthomas2357 3 года назад +9

    Mungu akupe maisha malefu mwalimu 🙏🙏🙏❤️

  • @leamukamusoni6239
    @leamukamusoni6239 3 года назад +1

    Nashukuru kwaneno ilii linanifaya nipigeatuwa nimuhulizemungu kwanini aujibu amen ubarikiwe ddy

  • @lucymkisi18
    @lucymkisi18 2 года назад

    Mungu akupe maono zaidi ya mafundisho yako zaidi somo hili na lile la kuombea lango au mzaliwa wa kwanza

  • @atuganilemwakyusa1701
    @atuganilemwakyusa1701 3 года назад +1

    Amen,Mungu akubariki sana.naendelea kujifunza mtumishi.

  • @josephmbogo4439
    @josephmbogo4439 3 года назад +6

    Asanre sana Mwalimu Mwakasege kwa kweli neno hili kwangu linanihusu kabisa Eee Mungu wangu nakuomba usinyamaze nikuombapo ombi langu

  • @mariagorethvicentnyerere1183
    @mariagorethvicentnyerere1183 2 года назад

    Napenda Sana babangu na Mwalimu wangu. Hanaga mapicha picha ya miujiza. Nabarikiwa sana sana kumsikiliza.

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 8 месяцев назад

    Ee,Mungu umtazame huyu mtumishi wako ukamtendee mema sana sku zote za maisha yake utukufu wako ukawe pamoja nae nyakati zote, nampenda sana mtumishi wako huyu, Ee Bwana Mungu muumba mbingu na nchi wewe ulie alfa na omega axante kwa chombo chako hiki ❤

  • @benjaminjonathanbuchafwe9040
    @benjaminjonathanbuchafwe9040 3 года назад

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
    Nimeguswa sana na hili somo naomba muendelezo wake ili niweze kumaliza na kujifunza zaidi
    Ahsante 🙏🏾🙏🏾

    • @ezraisrael6984
      @ezraisrael6984 3 года назад

      Mungu akupe maisha malefu huku ukituombea injili msingi wake usiharibike leo walakesho mpaka Yesu mnazareti anarudi. Amen

  • @monicapaul7863
    @monicapaul7863 3 года назад +18

    Amen Mungu nisaidie nitimize lile kusudi uliloniletea duniani nisiishie njiani

  • @lameckdaudi1925
    @lameckdaudi1925 2 года назад

    Ninamtukuza Mungu kwa ajili yako my Spiritual Father through you my eyes open and thirsty of seeking God increase in me Glory be to God. Mungu akutunze baba na azidi kukuimarisha.Amen

  • @wemarobert7140
    @wemarobert7140 3 года назад

    Amen, somo hili n nzuri, nataman nipate mwenderezo wake nlimalize lote

  • @LSA-23
    @LSA-23 3 года назад +4

    Mtumishi kuna mahubiri fulani niliwahi kiwa nayo nikayapoteza..yanahusu maombi ya kuzunguka kama babeli na kumwaga damu ya Yesu iliyotoka sehemu zote za mwili wake.
    Nayahitaji sana mtumishi.naomba nielekezwe mahali hata kama ni CD ninunue

  • @peacebukambu2603
    @peacebukambu2603 3 года назад +4

    Asante Mungu kwa kunikutanisha na hili neno maana ni leo tu ndo nilikuwa najiuliza mimi kama mimi 🙏🙏🙏be blessed mtumishi wa Mungu

  • @jameskenya2852
    @jameskenya2852 2 года назад

    Mungu naomba ujibu haja ya moyo wangu kwa wepes amen

  • @tulalumbashaibu8970
    @tulalumbashaibu8970 3 года назад +3

    Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika nilivurugika mno ila kwa neno hili ninaona nuru tena

  • @rovicsimon1981
    @rovicsimon1981 2 года назад +1

    Amen,nashukru saaana kwa SoMo hili

  • @upendotemba4061
    @upendotemba4061 3 года назад +1

    Haleluya mtumishi
    Mungu akutunze
    Tunapata ufahamu

  • @furbenj7405
    @furbenj7405 2 года назад +1

    Amen my Father nitazidi kumkumbusha Mungu

  • @siscahadassah4233
    @siscahadassah4233 3 года назад +2

    Somo hili limenifungua sana macho,nimegundua nilikuwa siombi ila nalalamika..naomba msaada kama tutaweza kulipata hili somo lote

  • @jessy2404
    @jessy2404 2 года назад +2

    Mungu nikumbuke mali niko maisha sirahisi emungu pigana na madui zangu na wale wanao nipiga vita🙏

  • @roidaalphonceyou2227
    @roidaalphonceyou2227 3 года назад

    Asante kwa neno la MUNGU mtumishi wa MUNGU heshima utukufu na mrudishia MUNGU kwaajili ya utumishi huu Amina

  • @sammywanje2686
    @sammywanje2686 3 года назад +2

    Kweli somo hili limenigusa sana,, ee MUNGU nihurumie na unisikie ombi langu,, mtumishi wa MUNGU asante kwa fundisho hili, nimelipokea kwa imani,,, BWANA YESU ASIFIWE

  • @haroldmartin4612
    @haroldmartin4612 3 года назад +1

    Amen, nimebarikiwa sana.
    Mungu akubariki na kukupa maisha marefu tufundishwe na Roho wa Mungu kupitia wewe.

  • @neemamunisi2053
    @neemamunisi2053 3 года назад +1

    Amen... Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu

  • @sarahfaida5648
    @sarahfaida5648 Год назад

    Natamani kusudi la Mungu ndani yangu pia litimie, mimi ni je ni nani wa leo? Viwango vingine vya Mungu viingie ndani yangu nijitambue zaidi maana nilivyo leo naona bado kuna kitu sijafikia kusudi lake .. Amina

  • @sabratally7688
    @sabratally7688 Год назад +2

    Kunajambo lilikuwa likinitesa niliomba niliomba sana Lkn ckujibiwa nilipata wazo kumuuliza mungu nashukur alinijibu na kitabu Cha wathesolanike 5-10-17 nikapata nguvu yakusonga mbele japo nilikuwa nimechoka sana

  • @DsmAccounts1
    @DsmAccounts1 10 месяцев назад

    Ameni Mtumishi,Mwenyenzi Mungu akubariki sana

  • @tumainsteven
    @tumainsteven 8 месяцев назад

    ubarikiwe mtumishi wa mungu namungu akupe maisha marefu

  • @dionestermwinuka7520
    @dionestermwinuka7520 3 года назад

    Wakati ninaopitia ni mgumu sana mungu nijibu na mim kama ulimjibu habakuki najua sistahili nisamehe bwana ninahaja nawe tena asante mtumishi na mim

  • @bellimarwa5454
    @bellimarwa5454 3 года назад +1

    Mtumishi. Mungu Mimi huwa nabarikiwa Sana na mahibiri yako mungu akutumie kama apendavyo yeye

  • @fridandenga7719
    @fridandenga7719 9 месяцев назад

    Amen mwalimu nalichukua hili ni langu na nitaleta majibu

  • @shakiralasway8821
    @shakiralasway8821 3 года назад

    Ubarikiwe sana baba,maana umetulisha chakula charohoni nimebarikiwa sana nanimepata ujasiri mkubwa nanimejifunza kusema namungu,AMEN....

  • @fransiscahmkindi6663
    @fransiscahmkindi6663 3 года назад +1

    AMEEEN AND AMEEN NAPOKEA KWA JINA LA YESU KRISTO WA NAZARETH ALIE HAI HALLELUJAH🙏🙏👏👏

  • @marthashalua930
    @marthashalua930 Год назад

    Mungu akulinde, nakupenda sana ww na familia Yako.

  • @tumainsteven
    @tumainsteven Месяц назад

    mungu akupe maisha maref baba ili uendelee kumtumikia mungu

  • @emmanuelmollel7027
    @emmanuelmollel7027 2 года назад

    Asante Sana kwa somo kwani tumefunguliwa MUNGU akubariki Sana mwalim

  • @seebs1156
    @seebs1156 3 года назад +1

    Ameni mtumishi wa Mungu neno hili limenijia mda muafaka kwangu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @samwelkowero1188
    @samwelkowero1188 3 года назад

    Mungu akubarikii Sana Mwalimu Nimebarikiwa sana na hili somo Amen.

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 2 года назад

    Asante Mungu nimeimarika ,nimejifunza, zaidi nimepata amani, utulivu. Mungu endelea kunifundisha kujua sababu na kusudi la maisha yangu, na mtoto wangu lakini zidi kuniunganisha na ndugu zangu , jamaa, na wanaonizunguka popote nilipo niweze kuishi sawa na mapenzi yako. 🙏

  • @maryjonathan6618
    @maryjonathan6618 2 года назад

    Barikiwa baba yangu Mungu anamakusudi kukuketa kwetu

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад

    Hakika Mungu anipe nami majibu ya maisha yangu,Asantee Mwl.sitanyamaza kumwomba Anitendee

  • @neemamalembo8569
    @neemamalembo8569 2 года назад

    Mwal ahsnte kwa somo hili ee Mungu usiruhu aibu fedhea uchungu juu yangu

  • @julietkimigho8500
    @julietkimigho8500 Год назад +2

    Amen poster be blessed in the name of Jesus christ

  • @godenakulwa4843
    @godenakulwa4843 3 года назад

    Mungu ninakushukuru kwa kunikutanisha na mtumishi wako Leo naamin mawazo mabaya ,kukataa tamaa kuvunjika moyo kwenye maisha yangu kwenye biashara yangu itaondoka kwa jina la yesu

  • @InesYohana
    @InesYohana 8 месяцев назад

    Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mafundisho Yako🙏

  • @lutiak7618
    @lutiak7618 3 года назад

    Nabarikiwa na mafundisho yako, barikiwa Sana Baba

  • @Jameskuresoi6865
    @Jameskuresoi6865 2 года назад

    nakushukuru mungu kwa mafundisho mazuri kupitia mtumishi wako..naomba umzidishie mengi ili tupate kujifunza kupitia yeye.

  • @victoriamahenge9001
    @victoriamahenge9001 3 года назад +1

    Asnte kwa somo zuri baba yangu nimeelewa nakupata nikiwa mby ubarikiwe

  • @MarthaJoseph-j3c
    @MarthaJoseph-j3c 11 месяцев назад

    Zawadi ya mungu kwenye maisha yetu mungu aongeze miaka elfu juu yako

  • @LilianRunigangwe-dk5cf
    @LilianRunigangwe-dk5cf Год назад

    Mungu aendelee kukuzidishia baraka mwalimu.

  • @johnson1042
    @johnson1042 3 года назад +1

    Ubarikiwe sana mtu wa Mungu pamoja na wote wanawo saport kazi yako

  • @lucykasitila6962
    @lucykasitila6962 3 года назад +1

    Asante Yesu nimesikia sauti ya Mungu....naomba niandike njozi hii....

  • @michaelkakuja893
    @michaelkakuja893 3 года назад +3

    Amen. Nimekuota umeniombea kisha ukanikumbatia madhabahuni ukanitenga mahali pa peke angu katika hiyo hiyo madhabahu ukanishika kichwani ukasema nitulie mahali hapo ukawageukia waumini wako ukawaambia hilo ni jambo la kawaida. Sielewi njozi hii ina maana gani Mtumishi wa Mungu. Any way Mungu awabariki na kuwalindeni watumishi wote wa Mungu in Jesus Christ's name. Amen. Asante.

    • @ruthkilasi3735
      @ruthkilasi3735 3 года назад

      Neno hili si bure! Bwana jidhihirishe kwangu Sasa.Haijarishi shetani anajiinua kiasi gani kupitia maajenti wake lkn bado ninalotumainiaana wewe waishi na neno lako laishi.Amen

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 года назад

      Mimi nimemuota pia natamani kumtumia meseji yy binafsi