SOMO MUNGU ASIPOKUJIBU MAOMBI YAKO MUULIZE NI KWA NINI 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024

Комментарии • 469

  • @clarambasha938
    @clarambasha938 2 года назад +93

    Maombi yangu ni Mungu amuweke mwakasege miaka mingi sana kuna ambao tunakua kiroho na pia tunapata kiu zaidi ya kuutafuta uso wa Mungu tukimskiliza. Huyu baba Mungu amemchukua level zingne za kiroho. Yesu akupe miaka mingu MWALIMU

    • @goated3801
      @goated3801 2 года назад

      Manukwa kweli na kubadilika ama kukua ti mdomoni

    • @pikipiki_market
      @pikipiki_market Год назад +2

      AMEN

    • @salvatoryherman65
      @salvatoryherman65 Год назад +1

      Ameniiii aleluya

    • @happyngonde2923
      @happyngonde2923 9 месяцев назад +1

      Ninapopita ktka magumu, nikiisilikiiliza mafundisho ya mtumishi ya mwakasege napata nguvu mpya,🙏Mungu akutunze na afiche uhai wako ndani ya Damu ya YESU 🙏🙏

    • @mukambambale-df8hw
      @mukambambale-df8hw 8 месяцев назад +1

      Mungu akupe mengine ya zaidi mwalimu

  • @VeryniceMosha-n7q
    @VeryniceMosha-n7q 2 месяца назад +3

    Barikiwa sana baba, hili somo lilinitoa mahali,niliomba miez sita bila majibu lakini siku niliposikia somo hili niliingia kwenye mfungo kumwuliza Mungu kulikoni na akanijibu siku ya tatu, akanipa sababu za maombi kukataliwa niliamka nikamshukuru Mungu na nikauona mkono wake siku ya Tano,. Baba Mungu akuweke

  • @rugetakimath7428
    @rugetakimath7428 Год назад +5

    Mungu akubariki sana Baba Kwa kusikiliza na kuitii sauti ya Mungu, Barikiwa milele

  • @mwanaidimwanga21
    @mwanaidimwanga21 3 года назад +21

    Ameen...Ahsante Mungu kwa ajili ya utumish huu, na neno hili. Utupe neema baba ya kutokutazama matatizo yetu na ugumu wa maisha, bali utupe neema ya kuyaelewa na kuatamia maono uliyoyaachilia juu yetu. Uchungu, tabu, udhalimu, magumu yasitufanye tushindwe kuomba sawasawa na mapenzi na kulitimiza kusudi lako. Katika maisha yako ufalme wako uje.

    • @neemaenock6358
      @neemaenock6358 3 года назад +2

      AMINA MUNGU ALIYEIANZISHA SAFARI YA MAISHA YETU ATUTETEE KWA DAMU YAKE YESU KRISTO TUNAMWAMINI ATATENDA TUSIKATE TAMAA

  • @magrethrupiah5057
    @magrethrupiah5057 3 года назад +6

    Somo zuri sana. Mungu anabaki kua Mungu nyakati zote. Hata kama hajanijibu vile nilivyo tamani, bado anabaki kua Mungu mwema. Somo hili limenibariki sana sana sana.

  • @betyanyas8780
    @betyanyas8780 3 года назад +21

    Somo hili hakika limenilenga mimi na maisha Yale ninayoishi, nateseka ktk ndoa hii, ni naomba Mungu ambadilishe mume wangu, awe mtu wa kumcha Mungu, as he kutumia miadarati, lakini sijajibiwa na Mungu baba yangu, nitamrudia na kilio na unyenyekevu, nimuulize kwani I hajanijibu maombi yangu na Sasa ni km miaka mitano hivi ya mateso ndani ya ndoa yangu. Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa neno hili, nimejifundisha mengi, barikiwa Sana. Amina... 🙏

  • @getrudemalisa4350
    @getrudemalisa4350 2 года назад +5

    Amen, nimebarikiwa Sana mtumishi Mungu akubariki sana nilikata tamaa ili kwa neno hili naamini Mungu atafanya kitu juu yangu na familia yangu

  • @marianajohn5415
    @marianajohn5415 3 года назад +4

    Asante Mungu kwa somo hili kubwa sana kwenye maisha yangu. Limekuja kwa wakati sahihi sana . Asante Yesu wangu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @joycelanda8987
    @joycelanda8987 3 года назад +8

    Amina mtumushi ,najiambatanisha na madhabahu hii Mimi na familia yangu ,naomba Mungu anijibu sawa na haja za moyo wangu! Amen.

  • @marianajulius5926
    @marianajulius5926 2 года назад +3

    Barikiwa sana baba,,,,Unatufundisha Mengi 🙏🏿Mungu wetu anajibu❤️

  • @rebeccabraison8357
    @rebeccabraison8357 Год назад +2

    Asnte sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili nimepata kitu kikubwa sana Yesu akubaliki sana

  • @atbakpblessedfml2642
    @atbakpblessedfml2642 3 года назад +4

    Asante Roho Mtakatifu kwa kuachilia somo hili .Mungu .Mungu awabariki watumishi wake

  • @lilianmkelewele7489
    @lilianmkelewele7489 3 года назад +2

    Asante mungu kwa kumtumia mtumishi wako maana nilipata hili neno nikiwa katka mazo magumu muno nami naomba unijibu maombi yangu juu yayale yote niliyoomba naamini kupitia neno lako takatifu napokea kwa jina la yesu kristo ameni mbalikiwe watumishi🙏🙏🙏🙏

  • @heriethmoses7082
    @heriethmoses7082 3 года назад +28

    Somo limekuja wakati sahihi kwangu, Barikiwa sana mwalimu

  • @jacksonjohn8497
    @jacksonjohn8497 2 года назад +1

    Bwana Yesu Asifiwe Nashukulu kwa hili Somo Nimemuomba Mungu kwa Mda Mlefu ila ajanijibu Natumia Somo hili Kumuuliza tena Mungu Wangu Nina imani Naye

  • @DsmAccounts1
    @DsmAccounts1 6 месяцев назад

    Ameni Mtumishi,Mwenyenzi Mungu akubariki sana

  • @TulasupaSanga
    @TulasupaSanga 8 месяцев назад

    Asante mwalimu wangu Mungu naomba nisaidie njozi niliyo iyota mara kwa itimie aminaa 🙏🏿 🙏🏿🙏🏿

  • @betreaceparali9725
    @betreaceparali9725 Год назад +1

    Mungu mtie Ng v mtumishi aendelee kutufundisha tusaidie kuelewa mungu nisaidie nijue kupambanua njozi au maono

  • @ruthuthomas2357
    @ruthuthomas2357 3 года назад +9

    Mungu akupe maisha malefu mwalimu 🙏🙏🙏❤️

  • @geendaki7678
    @geendaki7678 3 года назад +1

    Nakupenda Baba Mtumishi wa Mungu kila siku nakuombea Bwana akutie nguvu huduma hii bado tunaihitaji Sana na Kuna siku nimekuona katika ndoto ukiwa katika mto flani unabatiza nami nilikuwako huko

  • @helenakulliani1670
    @helenakulliani1670 3 года назад +1

    Asante mtumishi wa mungu kwa Somo.sifa na utukufu Ni kwa mungu aliye juu.amina.

  • @doricejoel6185
    @doricejoel6185 2 года назад +1

    Asante Mtumish wa MUNGU kwa kutufundisha kutokata tamaaa. Tuendelee kumuomba Mungu.

  • @lazaroulomi1854
    @lazaroulomi1854 3 года назад +1

    Barikiwa Mwl ,,Somo zuri sana sana.

  • @atuganilemwakyusa1701
    @atuganilemwakyusa1701 3 года назад +1

    Amen,Mungu akubariki sana.naendelea kujifunza mtumishi.

  • @mwldanielelibariki4524
    @mwldanielelibariki4524 3 года назад +5

    Ameeen baba Neema ya Mungu iendelee kuongezeka juu yako Mara dufu

  • @mellissauwase5514
    @mellissauwase5514 2 года назад +8

    God bless you 🙏🏽 From 🇷🇼Rwanda

  • @kwangukazungu8299
    @kwangukazungu8299 3 года назад +3

    Baba Mungu akubariki sana, umenigusa yaani naona Mungu kanyamaza lkn Asante kwa somo niendelee kuomba

  • @FulliJohnPaul
    @FulliJohnPaul 4 месяца назад

    Ameen ubarikiwe mwalimu wa neno la Mungu

  • @judithngasa1370
    @judithngasa1370 3 года назад +2

    Hallelujah Hallelujah sifa kwa Bwana azidi kukupa maono Mtumishi wa Mungu aliye hai.

  • @tumainsteven
    @tumainsteven 4 месяца назад

    ubarikiwe mtumishi wa mungu namungu akupe maisha marefu

  • @rahmabisi5558
    @rahmabisi5558 3 года назад

    Nabarikiwa sana na mafundisho yako yananipandisha viwango vingine . Nipo songea natamani Sana nipate mafundisho yako yenye mlolongo kamili.

  • @jackimulisamulisa6896
    @jackimulisamulisa6896 2 года назад +1

    Amen mtumishi mimi nayitwa judi naomba uniombe mimi na mtoto wangu maisha yetu magu sana kuna wakati mimi nakatatama ya maisha naomba utuombe

  • @lilianmyinga4578
    @lilianmyinga4578 3 года назад +6

    Haleluya haleluya! Groly to god groly jina la bwana libarikiwe mno. Na mungu akupe maisha maisha marefu na yenye heri pamoja na uzao wa nyumba yako

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 3 года назад +2

    Asante mtumishi wa Mungu hili neno limekuja wakati sahii kwangu Ee Mungu usinyamaze nikuombapo 🙏🙏🙏

  • @dalmasnyaribo7543
    @dalmasnyaribo7543 3 года назад +1

    Somo hili nimelifikia kupitia mtandao na limenipa moyo Sana kua Kuna siku MUNGU atanijipu maombi yangu na kunifungulia milango hili niwatimizie mama pajoma na Babu wangu ndoto yangu itimie katika jina la mungu wangu amen

  • @lameckdaudi1925
    @lameckdaudi1925 Год назад

    Ninamtukuza Mungu kwa ajili yako my Spiritual Father through you my eyes open and thirsty of seeking God increase in me Glory be to God. Mungu akutunze baba na azidi kukuimarisha.Amen

  • @nemaodhiambo7274
    @nemaodhiambo7274 3 года назад +4

    Ahsante Baba na Mama Mwakasege na team nzima ya mana ministry

  • @furbenj7405
    @furbenj7405 2 года назад +1

    Amen my Father nitazidi kumkumbusha Mungu

  • @rovicsimon1981
    @rovicsimon1981 2 года назад +1

    Amen,nashukru saaana kwa SoMo hili

  • @AmaniDavid-ju7mb
    @AmaniDavid-ju7mb Год назад

    Bwana Yesu asifiwe wapendwa nauliza ratiba ya semia mwenzi huu anaye jua anisaidie asante

  • @qndassuofficially913
    @qndassuofficially913 3 года назад +1

    Amen🙏👏🏻👏🏻👏🏻barikiwa sana mutumishi , hakika nimebarikiwa sana hakika bwana unaweza na ninaamini utajibu sawasawa na mapenzi yako 🙏🙏

  • @leamukamusoni6239
    @leamukamusoni6239 2 года назад +1

    Nashukuru kwaneno ilii linanifaya nipigeatuwa nimuhulizemungu kwanini aujibu amen ubarikiwe ddy

  • @upendoamani8164
    @upendoamani8164 2 года назад +5

    Neno la Mungu linaishi. Hili neno limenifungulia moyo wangu. Nimejua Kati ya kuomba na kulalamika.
    Mungu akubariki sana mtumishi. Nitaandika njozi🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @sarahmarishay6938
    @sarahmarishay6938 3 года назад +1

    Ameeeeen mtumushi hili somo lako limekuwa dawa kwangu Mungu kajibu mpaka NASHANGAA kwakwwli ubarikiwe Sana sana mwalinu Mwakasege🙏🙏🙏

  • @upendotemba4061
    @upendotemba4061 3 года назад +1

    Haleluya mtumishi
    Mungu akutunze
    Tunapata ufahamu

  • @LilianRunigangwe-dk5cf
    @LilianRunigangwe-dk5cf Год назад

    Mungu aendelee kukuzidishia baraka mwalimu.

  • @neemamunisi2053
    @neemamunisi2053 3 года назад +1

    Amen... Barikiwa Sana Mtumishi wa Mungu

  • @anethlinus9071
    @anethlinus9071 2 года назад

    Asante kwa mafundisho mazuri baba

  • @lucymkisi18
    @lucymkisi18 2 года назад

    Mungu akupe maono zaidi ya mafundisho yako zaidi somo hili na lile la kuombea lango au mzaliwa wa kwanza

  • @thomaskibada7056
    @thomaskibada7056 3 года назад +6

    Ubarikiwe baba tunajvunia kua nawewe katka nchi yetu ya Tanzania

  • @sarahlyimotv1380
    @sarahlyimotv1380 3 года назад +17

    It worth listening and listening and listening again 🙏🙏 Mungu akubariki Baba 🙏🙏

  • @InesYohana
    @InesYohana 4 месяца назад

    Barikiwa mtumishi wa mungu kwa mafundisho Yako🙏

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 6 месяцев назад

    Mweee Mungu huyu ni waajabu, Mungu akuongezee miaka mingi uishi mtumishi, barikiwa sana baba.

  • @diwenagoodiani8087
    @diwenagoodiani8087 2 года назад

    Ubalikiwe na mungu akuzishie. Kipawa chako

  • @atuhaireakla3972
    @atuhaireakla3972 3 года назад +1

    For the first time kusikia hii massage nimekua nikisema kama nina uwezo wa kuuliza mungu maswali nigeweza

  • @TimothEmanuely
    @TimothEmanuely Год назад

    Ubarikiwe Sana Mtumishi wa MUNGU umetutia moyo na kutokukata tamaa naomba MUNGU ajibu maombi yangu Amina

  • @wemarobert7140
    @wemarobert7140 3 года назад

    Amen, somo hili n nzuri, nataman nipate mwenderezo wake nlimalize lote

  • @maikojohn-xr5cg
    @maikojohn-xr5cg 20 дней назад

    Asante sana Kwa somo hili

  • @rodawlson8040
    @rodawlson8040 3 года назад +1

    Ameen Asante sana mwalimu Mungu akulinde na kukufunika pia

  • @bakunduwukizebenithe7888
    @bakunduwukizebenithe7888 Год назад

    Ubarikiwe sanna mcungaji nimejifunza kitu❤

  • @rosedaniel1981
    @rosedaniel1981 Год назад

    Mungu akutunze daima baba

  • @maryjonathan6618
    @maryjonathan6618 Год назад

    Barikiwa baba yangu Mungu anamakusudi kukuketa kwetu

  • @tulalumbashaibu8970
    @tulalumbashaibu8970 3 года назад +3

    Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika nilivurugika mno ila kwa neno hili ninaona nuru tena

  • @peacebukambu2603
    @peacebukambu2603 3 года назад +4

    Asante Mungu kwa kunikutanisha na hili neno maana ni leo tu ndo nilikuwa najiuliza mimi kama mimi 🙏🙏🙏be blessed mtumishi wa Mungu

  • @josephmbogo4439
    @josephmbogo4439 3 года назад +6

    Asanre sana Mwalimu Mwakasege kwa kweli neno hili kwangu linanihusu kabisa Eee Mungu wangu nakuomba usinyamaze nikuombapo ombi langu

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 2 года назад

    Asante mungu Kwa kunikutanisha na Somo hili..

  • @marthashalua930
    @marthashalua930 Год назад

    Mungu akulinde, nakupenda sana ww na familia Yako.

  • @mackrinapeter4417
    @mackrinapeter4417 3 года назад +3

    Mungu naomba usinyamaze..naomba ujibu maombi yangu usinyamaze Baba

  • @monicapaul7863
    @monicapaul7863 3 года назад +18

    Amen Mungu nisaidie nitimize lile kusudi uliloniletea duniani nisiishie njiani

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад

    Hakika Mungu anipe nami majibu ya maisha yangu,Asantee Mwl.sitanyamaza kumwomba Anitendee

  • @samwelkowero1188
    @samwelkowero1188 3 года назад

    Mungu akubarikii Sana Mwalimu Nimebarikiwa sana na hili somo Amen.

  • @chrispinnamelushi9170
    @chrispinnamelushi9170 2 года назад

    Mungu aku barika baba

  • @seebs1156
    @seebs1156 3 года назад +1

    Ameni mtumishi wa Mungu neno hili limenijia mda muafaka kwangu 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @eduulowassa4347
    @eduulowassa4347 2 года назад

    Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu.

  • @MAKOYEMNYET
    @MAKOYEMNYET Год назад +1

    Amina kubwa,

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 Год назад

    Mungu akubariki sana na awainue wahubiri wa kweli ya neno la Mungu

  • @haroldmartin4612
    @haroldmartin4612 3 года назад +1

    Amen, nimebarikiwa sana.
    Mungu akubariki na kukupa maisha marefu tufundishwe na Roho wa Mungu kupitia wewe.

  • @joshuajoel6376
    @joshuajoel6376 2 года назад

    Asante Mungu kwsbb kuna ombi nimeomba muda mrefu sijajibiwa ....nitangangana sasa nijibiwe

  • @paskazimakigo-bc7ju
    @paskazimakigo-bc7ju 7 месяцев назад

    Mwakasege Mungu akutunze vyema hakika tunabarikiwa

  • @neemayohana6274
    @neemayohana6274 Год назад

    Amina mungu anikuze nipate jua

  • @benjaminjonathanbuchafwe9040
    @benjaminjonathanbuchafwe9040 3 года назад

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
    Nimeguswa sana na hili somo naomba muendelezo wake ili niweze kumaliza na kujifunza zaidi
    Ahsante 🙏🏾🙏🏾

    • @ezraisrael6984
      @ezraisrael6984 3 года назад

      Mungu akupe maisha malefu huku ukituombea injili msingi wake usiharibike leo walakesho mpaka Yesu mnazareti anarudi. Amen

  • @jameskenya2852
    @jameskenya2852 2 года назад

    Mungu naomba ujibu haja ya moyo wangu kwa wepes amen

  • @reymasenya6450
    @reymasenya6450 3 года назад +2

    Asante Mungu Mm Naomba Ufunue Njozi Zangu

  • @magrethrupiah5057
    @magrethrupiah5057 Год назад +1

    Hili somo kila nikilisikiliza napata kitu kipya. Mungu anabakia kua Mungu hata kama hajajibu vile nilivyo tarajia. Yeye anampango mzuri sana na sisi wanadamu.

  • @yusuphmwaigomole3104
    @yusuphmwaigomole3104 3 года назад +1

    Inafundisha sana Mungu aendelee kukupa maisha marefu

  • @roidaalphonceyou2227
    @roidaalphonceyou2227 3 года назад

    Asante kwa neno la MUNGU mtumishi wa MUNGU heshima utukufu na mrudishia MUNGU kwaajili ya utumishi huu Amina

  • @lutiak7618
    @lutiak7618 3 года назад

    Nabarikiwa na mafundisho yako, barikiwa Sana Baba

  • @stewartmsamila5691
    @stewartmsamila5691 Год назад

    mmmh mungu amtunze mwakasege❤

  • @emmanuelmollel7027
    @emmanuelmollel7027 Год назад

    Asante Sana kwa somo kwani tumefunguliwa MUNGU akubariki Sana mwalim

  • @smartmwakipesile3842
    @smartmwakipesile3842 4 месяца назад

    Ee,Mungu umtazame huyu mtumishi wako ukamtendee mema sana sku zote za maisha yake utukufu wako ukawe pamoja nae nyakati zote, nampenda sana mtumishi wako huyu, Ee Bwana Mungu muumba mbingu na nchi wewe ulie alfa na omega axante kwa chombo chako hiki ❤

  • @catrachannel7935
    @catrachannel7935 3 года назад +1

    Amen!
    Mungu apewe sifa,
    Asante mtumishi wa Mungu

  • @mariagorethvicentnyerere1183
    @mariagorethvicentnyerere1183 2 года назад

    Napenda Sana babangu na Mwalimu wangu. Hanaga mapicha picha ya miujiza. Nabarikiwa sana sana kumsikiliza.

  • @rachelmshana6555
    @rachelmshana6555 2 года назад

    Amina nitaendelea kuomba mpaka pale Mungu wangu atakojibu, sitanyamaza.

  • @MarthaJoseph-j3c
    @MarthaJoseph-j3c 7 месяцев назад

    Zawadi ya mungu kwenye maisha yetu mungu aongeze miaka elfu juu yako

  • @lucykasitila6962
    @lucykasitila6962 3 года назад +1

    Asante Yesu nimesikia sauti ya Mungu....naomba niandike njozi hii....

  • @mapiganodellemasobeji2595
    @mapiganodellemasobeji2595 Год назад

    Mungu akutunze mwalimu

  • @zawadijohnathan5036
    @zawadijohnathan5036 2 года назад

    mungu akuzidishe kilasiku

  • @bellimarwa5454
    @bellimarwa5454 3 года назад +1

    Mtumishi. Mungu Mimi huwa nabarikiwa Sana na mahibiri yako mungu akutumie kama apendavyo yeye

  • @rahelsamson7692
    @rahelsamson7692 3 года назад +1

    Amina Baba Mungu aendelee kuwatunza na kuwapa kibali

  • @fridandenga7719
    @fridandenga7719 6 месяцев назад

    Amen mwalimu nalichukua hili ni langu na nitaleta majibu