MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: KIBIBLIA MWANAMKE NI NANI. [ 1 ]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • SEMINA YA WANAWAKE DAR ES SALAAM 2017

Комментарии • 263

  • @sarahfaida5648
    @sarahfaida5648 Год назад +12

    Hakika Mungu akutunze kwa ajili ya Nchi yangu na kwaajili yangu Baba Christopher wewe umefanyika taa ya Nchi yangu Tanzania, Hekima yako yapita viwango, naomba uniombee mwanao Sarah Faida usinisahau uingiapo kwa maombi Baba. 🤲🙏

  • @RosemaryMinja
    @RosemaryMinja Месяц назад +1

    Mwalim mungu ampe maisha marefu sana nimsaada mkubwa kwa taifa letu na dunia kwa ujumla

  • @lucialaurian7338
    @lucialaurian7338 2 года назад +63

    Hekima zako za Kimbingu ni NURU ni ombi langu kwa Mungu anijalie mke mwema na kusudio langu kupitia kwa Mungu ni kuijenga familia yangu yote katika misingi mitakatifu sana ya kiroho na kusudio langu ni kukiona kizazi changu kikiurithi ufalme wa Mungu, Mungu naomba utujalie HATMA iliyo njema maishani mwetu. Amen!

  • @njeyaduniatv
    @njeyaduniatv Год назад +5

    GENEOUS, MWAKASEGE KANIFUNZA KITU KIKUBWA SANA

  • @lovenessandrew9121
    @lovenessandrew9121 2 года назад +17

    Nimekua mlimani Leo ni siku ya pili,dhamira yangu ni kuomba toba Kwa ajili yangu kama Mama,binti na mke,lakini sikua najua kifungu chochote cha kusimamia toba yangu zaidi ya Ezra 8:21...Leo kukutana na hili somo naamini liliandaliwa Kwa ajili yangu....holy spirit connect,thank you Jesus for your mercy and Grace!

  • @mohoniajoseph9067
    @mohoniajoseph9067 2 года назад +8

    Asante sana Mwl. kwa kurejesha tena hili somo. Kuna siku nililitafuta hapa RUclips ila sikuliona. Asante sana, somo hili linanibariki sana

  • @julianadavid2658
    @julianadavid2658 9 месяцев назад +1

    Naomba Mungu anijaalie mwanaume niliyempata tuweze kufikia lengo letu la kufunga ndoa ...na Mungu azidi kuzidishia baraka katika familia yetu tumjuwe zaidi🙏🙏🙏🙏

  • @pendolangu739
    @pendolangu739 2 года назад +13

    Amen,kila siku nafarijika ninaposikia neno la Mungu kwa kutumia kinywa chako
    Mungu azidi kukubariki

  • @edithadaniel5751
    @edithadaniel5751 2 года назад +4

    MUNGU akupe afyaa bora ..Ili uweze kutupatia ujumbe kupitiaa wee. .amen amen ❤️🙏

    • @dreambig6093
      @dreambig6093 2 года назад +2

      Ni Mungu na sio mungu ndugu.

    • @edithadaniel5751
      @edithadaniel5751 2 года назад

      @@dreambig6093 ooh thanks alot it was typing error nimerekebishaa be be blessed 🙏❤️💙

  • @janejacob1402
    @janejacob1402 Год назад +1

    Ee MUNGU wangu nakuomba unibari mimi na uzao wangu amen

  • @tiffanymo9453
    @tiffanymo9453 16 дней назад

    God bless you pastor 🙏 .I have learned a huge lesson.Thank you.🙏🙏🙏

  • @carolinejulius7977
    @carolinejulius7977 2 года назад +4

    Mungu anisadie kupata mme sahihi na nikawe mke mwema kama biblia inavyonitaka kuwa

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 2 года назад +13

    Aasnte kwa neno. Mungu ana makusudi na maisha yetu wote Mungu tupe neema ya kukufahamu ili ututumie kwa kadri ya makusudi yako. Makusudi yako yaonekane kuanzia familua hadi Taifa na ulimwenguni pote jina lako litukuzwe na wake kwa waume na vizazi vyao. HALELUYA 🙏

  • @nasrasewando7152
    @nasrasewando7152 2 года назад +4

    Hallelujah hallelujah hallelujah Asante Yesu coz ni somo nililokuwa narihitaji sna

  • @ernestinayoeza8100
    @ernestinayoeza8100 2 года назад +1

    Umenifundisha. Kitu ambacho nillkuwa sikijui asante Sana nimeipata mwanga mkubwa sana

  • @AgnesMichael-kw1ry
    @AgnesMichael-kw1ry 8 месяцев назад +1

    Mchungaj mungu akubaliki Santa naomba uniombee maisha yangu no magum Sana naitwa renad thomas

  • @glorianamatemu6856
    @glorianamatemu6856 Год назад

    Ee mungu naomba utusaide tujue uumbaji wako na kusudi kwa wanawake na wanaume ili tusikinzane bali tuishi katika umoja kama kristo alivyo kusudia . Amen❤

  • @ramadhanitchakubuta9842
    @ramadhanitchakubuta9842 2 года назад +1

    Mzee Mungu akubariki wewe ni mwalimu kabisa ubarikiwe

  • @ErnestSaileni
    @ErnestSaileni 5 месяцев назад

    MUNGU akibariki mtumishi, najua MUNGU anakitumia kwa viwango vya juu sana....

  • @DonatienDunia
    @DonatienDunia Год назад

    Kwakweli umeliongeza ujuzi katika hihi somo, Mwenyezi mungu atubariki pamojo naweye, Donatien DRC goma.

  • @queeneva3709
    @queeneva3709 2 года назад +3

    Amina nimebarikiwa kujua nafasi ya mwanamke na nipo kujifinza zaidi nafasi amvayo Mungu ameweka kwa mwanamke. Amina mbarikiwe nyote Mwalimu mtumishi wa Mungu Mama na wanakamati wote Mungu aendelee kuwarumia katika viwango vya juu kwa utukufu wa jina lake.

  • @dorcasEmanuel-m7l
    @dorcasEmanuel-m7l 3 месяца назад

    Nimaombi yangu Mungu akutunze asante Mungu kwa ajili ya zawadi ya Mwakasege

  • @janemwakalebela4017
    @janemwakalebela4017 2 года назад +1

    Mungu afanye uwe mwalimu wangu na mungu akuongeze miaka zaid

  • @ireneizael614
    @ireneizael614 2 года назад +1

    Mwalimu nashukuru kwa mafundisho yako naposikia mafundisho yako nafarijika Sana ubarikiwe

  • @winammbuka
    @winammbuka 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana, haya mahubiri yananigusa na kunijenga na kunibariki pia " mwanamke tunaye muona kwa macho ni tofauti na yule aliyeumbwa na Mungu"

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 года назад +1

    Mungu huweka nadhiri za wateule wake toka tumboni mwa mama zao.

  • @sarahlyimotv1380
    @sarahlyimotv1380 2 года назад +2

    Asante sana Mwl. Mwakasege kwa kurudisha hili somo tena. Kati ya masomo ambayo nilikua najikuta nasikiliza tena na tena na tena bila kuchoka 🙏🙏

  • @africane9252
    @africane9252 2 года назад +3

    Naomba Mungu anipe mkee mwema

  • @japhetnyuma9561
    @japhetnyuma9561 11 месяцев назад

    Mtumishi wa Mungu ubarikiwe sana tunakupenda sana maana umefanyika baraka kwetu Mungu akubariki pia akupe maisha marefu Baba hekima yako ni kubwa mno ili somo limenibariki sana

  • @RosemaryMbise
    @RosemaryMbise Год назад

    Amen mtumishi wa Bwana Mungu aendelee kukutumia kulisha kondoo zake

  • @LiciaKiwale
    @LiciaKiwale 10 месяцев назад

    Ee Mungu ninakushukuru kwa ajili mtumishi wako naomba unipe neema ya kusikiliza na kuyafanyia kazi mafundisho yako kupitia mwalimu

  • @angelapius3757
    @angelapius3757 2 года назад

    Ubarikiwe Mwalimu Mwakasege,, Hakika kila atakayesikia. Somo hili kuna vitu atajifunza. Mungu akupe Maisha marefu ili umtumikie zaidi na zaid

  • @joshwapetro1307
    @joshwapetro1307 2 года назад +2

    Mungu akubariki sana mtumishi..Huwa nafarijika sana kusikiliza mahubiri yako, Mung akulinde

  • @neemalazaro8315
    @neemalazaro8315 2 года назад

    Amina mtumishi Mungu ,na Mungu was mbinguni azidi kukutunza ila aebdelee kukutumia amina

  • @cloudiamartha5880
    @cloudiamartha5880 2 года назад

    Amina Amina baba Mungu anisaidie nijijue mimi kama mwanamke ni nani na nibebe uhalisia wangu wa mwanamkee nisimame na familia yangu atakayonipa Mw Mungu kama mwanamke.

  • @godfreymaleshi9124
    @godfreymaleshi9124 6 месяцев назад

    Nabarikiwa sana na mafunzo yako mwalimu. Mungu wa mbiguni azidi kukutunza.

  • @rechomethod8288
    @rechomethod8288 2 года назад +2

    Mungu azidi kukutumia, zaidi sana,akupe.maisha🙏🙏🙏👏👏
    Marefu,

  • @RhoidaMwalwayo
    @RhoidaMwalwayo 9 месяцев назад

    Asante mwl kwa somo zuri naomba mungu anipe mme mwema

  • @magrethmazuri
    @magrethmazuri 6 месяцев назад

    Mungu akubariki sana kwa somo hili limenifungua sehemu kubwa sana🙏🙏🙏

  • @salahpeter5702
    @salahpeter5702 2 года назад +2

    Yesu nipe ufahamu wa kusimama kama mwanamke

  • @EgidiNgasoma
    @EgidiNgasoma 2 месяца назад

    Nime kuelewa sana mtumishi yerusalemu ya ufunuo nii familia

  • @clevinakwigizile1457
    @clevinakwigizile1457 2 года назад

    Ni masomo ya kujenga sana. Mungu azidi kukibariki kipawa chake ndani yako Mwalimu.

  • @GladLapya
    @GladLapya Год назад

    Naomba Mungu anipe mume bora atakaye dumisha amani katika familia yetu

  • @elyseebembeleza1439
    @elyseebembeleza1439 2 года назад

    Shukrani kwa mafundisho mimi nipo. Congo Mungu. Akubriki

  • @enockbrown7384
    @enockbrown7384 2 года назад

    Asante sana mwalimu , nimeelewa hili fundisho kuhusu Mwanamke

  • @ahmedaeed6690
    @ahmedaeed6690 2 года назад

    Mungu naomba unijaliye kujuwa nilivyo na kutambua neno na kunipatie mume mwema mwenye kumjuwa mungu ilituliee watt wetu hekima Amen

  • @fridajamson1068
    @fridajamson1068 7 месяцев назад

    Baba,, hakika UMENENA ...naomba uniweke katika maomb yako kama mwanao

  • @annambezi6226
    @annambezi6226 2 года назад +1

    Nimejifunza kitu kikubwa sana hapa hakika. Mwalimu MUNGU wa Mbinguni akubariki sana

  • @waelmsangi5503
    @waelmsangi5503 2 года назад

    Amen Mtumishi. Ninabarikiwa sana na mafundisho yako. Ninaweka familia yangu mikononi mwa Mungu. Mungu aendelee kuwa mwalimu katika maisha yetu yote.

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 2 года назад +1

    Mungu aendelee kuwa nanyi ee watumishi wake!♥️

  • @atukuzwefelix755
    @atukuzwefelix755 2 года назад +1

    Am blessed much Barikiwa teacher wangu

  • @lovergar3833
    @lovergar3833 2 года назад +1

    Asante sana mtumishi Mungu azidi kukubali san

  • @nicklasndabiyeho6650
    @nicklasndabiyeho6650 2 года назад +3

    Mwanzo sura ya 1 ni uumbaji wa rohoni na mwanzo 2 ni madhihirisho ya kilichoumbwa sura wa 1, ( kuletwa ktk uhalisia wa kimwili),

  • @merryadam-re3tg
    @merryadam-re3tg Год назад

    Mungu ayabariki maombi haya, yakawe baraka kwangu🙏

  • @heritierba9868
    @heritierba9868 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana, fundisho nzuri sana

  • @reginaldipeter2272
    @reginaldipeter2272 2 года назад +3

    Asante sana MWALIMU kwa mafundisho Haya MUNGU anisaidie kuyaishi mafundisho Haya IN JESUS NAME (Zaburi 32:8, Isaya 55:6-11)

  • @falijiubamba4155
    @falijiubamba4155 2 года назад +3

    Ameen, ubarikiwe Sana Kwa ujumbe mtumishi

  • @AgnesBihongola
    @AgnesBihongola 5 месяцев назад

    Ishi miaka mungu kwa ajiri ya kabisa ubarikiwe sana

  • @ireneneypantaleo2602
    @ireneneypantaleo2602 2 года назад

    Nimejifunza kitu
    Asante Mwalimu 👏🏾, Sifa na utukufu ni kwa Bwana Yesu.

  • @BeatriceMathew-qy5lw
    @BeatriceMathew-qy5lw 6 месяцев назад

    Kupitia mtumishi wa mungu tumbo langu likawe la watoto wenye baraka

  • @SteveMangana
    @SteveMangana 2 года назад +6

    Mwanamke ni Kanisa kibiblia

  • @ngwalumusobi4431
    @ngwalumusobi4431 2 года назад

    Mungu aendelee. Kukutumia zaidi na zaidi amen

  • @mjumbewaaganoduniani
    @mjumbewaaganoduniani Год назад

    Mwanamke ni msaidizi sio kiongozi na kuongozwa na mwanamke ni sawa na kuongozwa na shetani. Mimi ni mjumbe wa agano duniani.

    • @AbigaeliphiliphoChacha
      @AbigaeliphiliphoChacha 8 месяцев назад

      Unakoseaaa sana brooo

    • @marymgore6714
      @marymgore6714 Месяц назад

      Kamsome Debora alieongoza taifa la Israel akiwa kama mwamuzi,hivyo mwanamke bado anaweza kuongoza ikiwa tu atatambua nafasi yake

  • @wandoamwambu8198
    @wandoamwambu8198 2 года назад +5

    Amen, asante Mtumishi kwa ujumbe huu.

  • @ErnestSaileni
    @ErnestSaileni 5 месяцев назад

    Mimi ninamchumba tayari hata ivyo namuomba sana MUNGU anisaidie niweze kuwa nae kama ni kweli ni sahihi kwangu na ni mpango wa MUNGU...

  • @muchokinancy8375
    @muchokinancy8375 2 года назад +4

    Amen ..Amen...,painful truth very unfortunate to men who don't understand the values in a woman.

  • @musakasingo594
    @musakasingo594 2 года назад

    Mungu anafanya Mambo ambayo mwanadamu hajui kabisaaaaa.

  • @hashimjuma2854
    @hashimjuma2854 Год назад

    Mungu akubariki sana kuna kitu nimepata

  • @EbetesonMahendeka
    @EbetesonMahendeka 5 месяцев назад

    Eeeeh Bwana nakuomba unikumbuke kila hitaji la moyo wangu kwako

  • @happinessmghase6167
    @happinessmghase6167 2 года назад

    Amen mwalimu Asant sana kwa mafunzo yako Mungu akubariki sanaa

  • @rachelpeter87
    @rachelpeter87 2 года назад +1

    Asante mtumishi wa Mungu kwa ufunuo huu

  • @salahpeter5702
    @salahpeter5702 2 года назад

    Asante yesu ninaamini utaniponya Mimi pamoja na Uzao. Wangu

  • @RaphaelMagukulu
    @RaphaelMagukulu 9 месяцев назад

    Baba mungu akuzidishie maishamarefu

  • @pendoshaban1010
    @pendoshaban1010 2 года назад

    Mwenyezi mungu akuwe barikiwa sana baba

  • @mmkwenihira7826
    @mmkwenihira7826 2 года назад +8

    Hallelujah 🧎‍♀️🙌🙌
    Be blessed more Man of GOD .

  • @noelalutengano4297
    @noelalutengano4297 2 года назад

    Barikiwa sana Mtumishi wa Mungu...

  • @EvelmMollel
    @EvelmMollel 5 месяцев назад

    Ameeen
    Nimebarikiwa sanah

  • @JeremiahMwangungulu
    @JeremiahMwangungulu Год назад +2

    Ubarikiwe mtumishi

  • @joycelukumay4957
    @joycelukumay4957 2 года назад +1

    Asante Mtumishi 👏👏👏

  • @georgeatanas9642
    @georgeatanas9642 2 года назад

    Maisha bila Mungu na heshima kwa watu ni batili mtupu

  • @margretokuku8220
    @margretokuku8220 Год назад

    Barikiwa. Mtu. Wa. Mungu

  • @salahpeter5702
    @salahpeter5702 2 года назад

    Gusa Tumbo langu gusa mtoto wangu nifungue bwana yesu

  • @danielkivuyo2052
    @danielkivuyo2052 2 года назад

    Mungu akutunze mtumishi wa Mungu

  • @lightnessjoseph2630
    @lightnessjoseph2630 Год назад

    Mungu akubariki baba yetu

  • @loveekileo9304
    @loveekileo9304 2 года назад +10

    May God keep you daddy!! We love and pray for you 😍

    • @adolfinanjau2420
      @adolfinanjau2420 2 года назад +1

      Asante kwa mafundisho mazuri. Mungu akubariki

  • @Dmsiris5
    @Dmsiris5 2 года назад +16

    God Bless You Pastor👏🏾

  • @naghenjamsuya4582
    @naghenjamsuya4582 2 года назад

    Mungu azidi kukuinua Mtumishi

  • @mwanwaamtumishi.jinalabwan1521
    @mwanwaamtumishi.jinalabwan1521 2 года назад +1

    Amen. Mwalimu nimeelewa kabisa utofauti wa mwanamke wa kibiblia.

  • @LinusMallya
    @LinusMallya 11 месяцев назад

    Baba Mungu akutunze sana

  • @greenermichael2057
    @greenermichael2057 Год назад

    Mungu atembee na wewe baba

  • @nolasticamjewa1919
    @nolasticamjewa1919 2 года назад

    Ni mwalimu kweli kweli!!

  • @ChristowajaKituli
    @ChristowajaKituli 8 месяцев назад

    Mungu akubariki sana.

  • @EmmanuelLaiza-s3y
    @EmmanuelLaiza-s3y 3 месяца назад

    asante kwa mahubiri mtumishi

  • @apolinabahati2168
    @apolinabahati2168 2 года назад

    Mungu akubariki sana mwalimu 🙏🙏

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 2 года назад

    Hili neno kibiblia linanipa ukakasi sana

  • @herriethabdallah598
    @herriethabdallah598 2 года назад

    Mungu akubariki mno mtumishi

  • @TEDDYmichael-z8f
    @TEDDYmichael-z8f 5 месяцев назад

    Ubarikiwe baba🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @krishanmgalla7496
    @krishanmgalla7496 2 года назад

    Amina mtumishi kwa somo zuri

  • @mrwandamrwanda3751
    @mrwandamrwanda3751 2 года назад +2

    Asante Mwl mwakasege

  • @rosefares110
    @rosefares110 2 года назад

    Amen yesu azidi kukutumia mwakasege