sehemu ya kwanza maombi 1.kumuomba Mungu kujua neema uliyopewa kwa ajili ya watu wengine 2.kumuomba Mungu akufunulie na kukupa hekima juu ya hatua za kufuata (Efeso 1:18) 3.kukuwezesha kuipokea hiyo neema na majukumu 4.kukuwezesha kuatamia mpka makusudi yatimie
Asante sana Mwalimu na Mchungaji kwa somo hili, hakika lilikuwa kitendawili kikubwa sana kwangu. Mungu akubariki kwa kutupa uelewa mkubwa sana wa neno la Mungu 🙏
Napata maswali sana hivi hata mimi niliyeolewa sijaokoka nikaokoka hiyo ndoa inatambuliwa kweli huwa nauliza hivi ni wakwangu au ndo sipo majali sahihi swali lingine ni kwamba kwenye mazingira tuliyokutana ya dhambi hapo Mungu alitukutanisha kweli moyo wangu una maswali mengi Mungu anisamehe mana kuna muda naona haya nikifukuzwa kwa ajili ya kuokoka kosa halipo
Mungu wa mbingun aendelee kukupa afya na uzima ili uendelee kutufunza na kutuelimisha tunamshukuru Mungu kwa ajili yako umefanyika msaada sana kwa watu wengi
Mungu apewe sifa kwa kutupatia Mwalimu wa Neno Lake. Mungu aniwezeshe kuatamia Neema aliyoiweka juu yangu na kujua kila Neema na wakati wake. Najiombea kwa Mungu hivyo Katika Jina la Kristo Yesu. Amen
sehemu ya kwanza maombi
1.kumuomba Mungu kujua neema uliyopewa kwa ajili ya watu wengine
2.kumuomba Mungu akufunulie na kukupa hekima juu ya hatua za kufuata (Efeso 1:18)
3.kukuwezesha kuipokea hiyo neema na majukumu
4.kukuwezesha kuatamia mpka makusudi yatimie
Asante kwa huu ufupisho
Asante sana sana. Mungu abariki watumishi wake.nime Pata yote wa Sawa.
Thanks
Asante sana Mwalimu na Mchungaji kwa somo hili, hakika lilikuwa kitendawili kikubwa sana kwangu. Mungu akubariki kwa kutupa uelewa mkubwa sana wa neno la Mungu 🙏
Mungu wa ngu nakushukuru sana kwa ajili ya huyu mtumishi wako naomba umpe maisha marefu
Uwepowa mungu uzidi kwakokwa faidaya taifana Dunia kwa ujumla ubarikiwa sana mtumishi
Napata maswali sana hivi hata mimi niliyeolewa sijaokoka nikaokoka hiyo ndoa inatambuliwa kweli huwa nauliza hivi ni wakwangu au ndo sipo majali sahihi swali lingine ni kwamba kwenye mazingira tuliyokutana ya dhambi hapo Mungu alitukutanisha kweli moyo wangu una maswali mengi Mungu anisamehe mana kuna muda naona haya nikifukuzwa kwa ajili ya kuokoka kosa halipo
Mungu wa mbingun aendelee kukupa afya na uzima ili uendelee kutufunza na kutuelimisha tunamshukuru Mungu kwa ajili yako umefanyika msaada sana kwa watu wengi
Hallelujah mda wote nikimsikiliza naona nipo chuo cha neno la mungu
Amen, Barikiwa sana mwalimu Mungu wa Mbinguni azidi kukutunza uzidi kutufundisha neno lake🙏🏽
Asante sana Mwalimu Mwakasege kwa mafindisho haya mazuri na ya kujenga hasa kwetu ss wanawake..Barikiwa sana Bwana!
Amina amina Baba. Mungu wangu myweza wa yote anipe Salama yake na neema kubwa juu ya maisha yangu nipate kui tambua.
Mungu apewe sifa kwa kutupatia Mwalimu wa Neno Lake. Mungu aniwezeshe kuatamia Neema aliyoiweka juu yangu na kujua kila Neema na wakati wake. Najiombea kwa Mungu hivyo Katika Jina la Kristo Yesu. Amen
Eeh Mungu naomba unibariki kupitia mtumishi ,,,nisitoke bila kitu,,nivushe Ee Yesu
Amen Amen Mwalimu Neno limenivusha nilikuwa kwenye Hali ya kutaka kutindikiwa. Jina la Bwana lihimidiwe
Ba
Barikiwa Sana Baba, hakika neno lako linanijenga na kunihuisha upyaa Bwana aendelee kukutunza
Hallelujah thank you for the great word nakuomba mungu nami nijuwe neema niliyopewa na Mungu 🙏
Naomba kama una namba ya watumishi unitumie!!
Hongera kwa kazi nzuri ya kufundisha sauti ya MUNGU
Glory to God. Mungu akutunze baba. Tunajifunza
Neno linalodumu milele na milele 🙏🙏
So blessed with the word. May God continue using you man of God.
Neema ya mungu ikutunze Daima baba. ❤
Ee mwenyenz Mungu Naomba unikumbuke
najiungamanisha na madhabahu ya mana
YESU Wangu akutunze sana Baba angu wa kiroho 🙏
Mungu niwekee mlinzi kwenye macho yangu na kinywa changu niweze kuifurahia neema yako. Amen
Ubarikiwe mwl Zab 91:14-16
Am being blessed watching from Emirates
Amen Ubarikiwe kwa Kuzidishwa kwa Mema
Napenda mafundisho yako sana
Mungu azidi kukutunza Amen
Nice MLM mwakasege
Ubarikiwe sana mwalimu ❤️👏mwakasege
Barikiwa sana Baba yetu
Kwa Jina la Yesuuuuuu
Ameen nimebarikiwa sana
Halleluyah Halleluyah Halleluyah JEHOVAH SHALOM Waamuzi 6:20-24, JEHOVAH RAPHA ISAYA 57:18-21.Ufunuo 12:11.
Kumjua MUNGU Kuna raha zake jaman
Amen barikiwa sana mwalimu
Asante Mwalimu kwa somo
Mungu azidi kukutia nguvu, I love you
Nimebarikiwa leo
Mwalimu wangu Mwalimu
Lord have mercy on me
Jaman Kama Kuna muendelezo tuwekeen jaman somo limekatika wakati limekuwa tamu
somo zima liko youtubu angalia vizuri utaona
Ubarikiwe sana Baba 🤲🙏
Amen amen to ww amen 🙏🏻 et
Nakuelewa baba
Neema ya kitabu cha Ester sura 4 na ya 5+ Agness
God got this🥰🙋🙏👍
Chri
Edina paul
Amen baba
Amina !!!!Amina
Amina
Amina Baba
Amen
Ameeeeeeeen
📌✍
Asante mtumishi wa Mungu kwa somo zuri
Amina🙏🙏🙏
Amen
Ameeen 🙏🙏
Amen
Amen
Ameeen🙏🙏🙏