sehemu ya kwanza maombi 1.kumuomba Mungu kujua neema uliyopewa kwa ajili ya watu wengine 2.kumuomba Mungu akufunulie na kukupa hekima juu ya hatua za kufuata (Efeso 1:18) 3.kukuwezesha kuipokea hiyo neema na majukumu 4.kukuwezesha kuatamia mpka makusudi yatimie
Asante sana Mwalimu na Mchungaji kwa somo hili, hakika lilikuwa kitendawili kikubwa sana kwangu. Mungu akubariki kwa kutupa uelewa mkubwa sana wa neno la Mungu 🙏
Mungu wa mbingun aendelee kukupa afya na uzima ili uendelee kutufunza na kutuelimisha tunamshukuru Mungu kwa ajili yako umefanyika msaada sana kwa watu wengi
Mungu apewe sifa kwa kutupatia Mwalimu wa Neno Lake. Mungu aniwezeshe kuatamia Neema aliyoiweka juu yangu na kujua kila Neema na wakati wake. Najiombea kwa Mungu hivyo Katika Jina la Kristo Yesu. Amen
sehemu ya kwanza maombi
1.kumuomba Mungu kujua neema uliyopewa kwa ajili ya watu wengine
2.kumuomba Mungu akufunulie na kukupa hekima juu ya hatua za kufuata (Efeso 1:18)
3.kukuwezesha kuipokea hiyo neema na majukumu
4.kukuwezesha kuatamia mpka makusudi yatimie
Asante kwa huu ufupisho
Asante sana sana. Mungu abariki watumishi wake.nime Pata yote wa Sawa.
Thanks
Uwepowa mungu uzidi kwakokwa faidaya taifana Dunia kwa ujumla ubarikiwa sana mtumishi
Asante sana Mwalimu na Mchungaji kwa somo hili, hakika lilikuwa kitendawili kikubwa sana kwangu. Mungu akubariki kwa kutupa uelewa mkubwa sana wa neno la Mungu 🙏
Mungu wa ngu nakushukuru sana kwa ajili ya huyu mtumishi wako naomba umpe maisha marefu
Neema ya mungu ikutunze Daima baba. ❤
Mungu wa mbingun aendelee kukupa afya na uzima ili uendelee kutufunza na kutuelimisha tunamshukuru Mungu kwa ajili yako umefanyika msaada sana kwa watu wengi
Ubarikiwe mwl Zab 91:14-16
Neno linalodumu milele na milele 🙏🙏
Amen Amen Mwalimu Neno limenivusha nilikuwa kwenye Hali ya kutaka kutindikiwa. Jina la Bwana lihimidiwe
Ba
Barikiwa Sana Baba, hakika neno lako linanijenga na kunihuisha upyaa Bwana aendelee kukutunza
Asante sana Mwalimu Mwakasege kwa mafindisho haya mazuri na ya kujenga hasa kwetu ss wanawake..Barikiwa sana Bwana!
Hallelujah mda wote nikimsikiliza naona nipo chuo cha neno la mungu
Amen, Barikiwa sana mwalimu Mungu wa Mbinguni azidi kukutunza uzidi kutufundisha neno lake🙏🏽
Napenda mafundisho yako sana
Halleluyah Halleluyah Halleluyah JEHOVAH SHALOM Waamuzi 6:20-24, JEHOVAH RAPHA ISAYA 57:18-21.Ufunuo 12:11.
Hongera kwa kazi nzuri ya kufundisha sauti ya MUNGU
Mungu apewe sifa kwa kutupatia Mwalimu wa Neno Lake. Mungu aniwezeshe kuatamia Neema aliyoiweka juu yangu na kujua kila Neema na wakati wake. Najiombea kwa Mungu hivyo Katika Jina la Kristo Yesu. Amen
Amina amina Baba. Mungu wangu myweza wa yote anipe Salama yake na neema kubwa juu ya maisha yangu nipate kui tambua.
Eeh Mungu naomba unibariki kupitia mtumishi ,,,nisitoke bila kitu,,nivushe Ee Yesu
Hallelujah thank you for the great word nakuomba mungu nami nijuwe neema niliyopewa na Mungu 🙏
Naomba kama una namba ya watumishi unitumie!!
Am being blessed watching from Emirates
YESU Wangu akutunze sana Baba angu wa kiroho 🙏
So blessed with the word. May God continue using you man of God.
Glory to God. Mungu akutunze baba. Tunajifunza
Ee mwenyenz Mungu Naomba unikumbuke
Amen
Lord have mercy on me
Amen Ubarikiwe kwa Kuzidishwa kwa Mema
Kwa Jina la Yesuuuuuu
Mungu niwekee mlinzi kwenye macho yangu na kinywa changu niweze kuifurahia neema yako. Amen
Ubarikiwe sana mwalimu ❤️👏mwakasege
Asante mtumishi wa Mungu kwa somo zuri
najiungamanisha na madhabahu ya mana
Mungu azidi kukutunza Amen
Ubarikiwe sana Baba 🤲🙏
Amen amen to ww amen 🙏🏻 et
Barikiwa sana Baba yetu
Ameen nimebarikiwa sana
Kumjua MUNGU Kuna raha zake jaman
Amen barikiwa sana mwalimu
Nice MLM mwakasege
Edina paul
Mwalimu wangu Mwalimu
God got this🥰🙋🙏👍
Nimebarikiwa leo
Jaman Kama Kuna muendelezo tuwekeen jaman somo limekatika wakati limekuwa tamu
somo zima liko youtubu angalia vizuri utaona
Nakuelewa baba
Amina !!!!Amina
Neema ya kitabu cha Ester sura 4 na ya 5+ Agness
Amen baba
Amina Baba
Amina🙏🙏🙏
Ameeeeeeeen
Chri
Amina
📌✍
Amen
Asante Mwalimu kwa somo
Mungu azidi kukutia nguvu, I love you
Ameeen 🙏🙏
Ameeen🙏🙏🙏
Amen
Amen