MWL: CHRISTOPHER MWAKASEGE: KIBIBLIA TUMBO LA UZAZI LA MWANAMKE NI NINI? [2]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • KONGAMANO LA WANAWAKE WAOMBAJI ARUSHA [TAREHE 3 MEI 2022]

Комментарии • 80

  • @victoriaharrison124
    @victoriaharrison124 2 года назад +3

    Ubarikiwe mwalimu Kwa somo zuri... hakika umenifungua... namshukuru Mungu kwaajili yako.Mungu azidi kukuweka

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад +19

    Yesu tusaidie,mambo mazito,magumu haya!
    mama angu anasema,ye alikuwa haamini haya mambo eti akatupa kitovu chooni! 😢ila hakuomba! ndoto za chooni zimenitesa,kila nikiomba sipati upenyo,nimekuja kupata ufahamu nikiwa naomba, aisee Roho Mtakatifu mwaminifu...
    ila nashukuru Mungu,maombi ya kwenye semina ya Dodoma yalikata zile ndoto mpk Leo!
    glory be to God

  • @neemamahimbo4711
    @neemamahimbo4711 2 года назад +2

    Mwalimu!Mwalimu!Mwalimu!Mungu akutunze.

  • @MumbereJean-fq7gk
    @MumbereJean-fq7gk Год назад

    bsr,mwalimu natamani sana kuku ona ile uwezo siyakuwanao nakufatakasana unanijengasana kiroho Mungu akulinde ktk duniahi.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад +7

    yaani ukiokoka,kuoa,kuolewa,kuzaa ni zaidi ya vita kuu ya dunia🙌Yesu tusaidie

    • @marrynaftali7969
      @marrynaftali7969 2 года назад +1

      Hakika umesema kweli,Ni Vita kuu ya kwanza ya Dunia

  • @jacklinekayombo468
    @jacklinekayombo468 2 года назад +4

    Asante Mungu kwaajili yako mtumishi Christopher Mwakasege nabarikiwi sana

  • @desciplemercygk9833
    @desciplemercygk9833 6 месяцев назад

    Atukuzwe Jehova kwa uaminifu wake.. powerful revelation ever mwakani nitarudi na ushuhuda mkuu hapa kwa utukufu wa Bwana

  • @OscaGidion
    @OscaGidion 9 месяцев назад

    Asante Sana baba kwa neno nzur mungu aendere kukutumia

  • @MaryEsya
    @MaryEsya Год назад

    Thanks man of God, glory to jesus

  • @jescaemmanuel100
    @jescaemmanuel100 2 года назад +6

    Thank you Dad,,,kuna mahali umenivusha 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🌷🌷🌷🥰🥰🥰 Mungu akuweke kwaajili ya UTUKUFU wake

  • @pascalkabombe1194
    @pascalkabombe1194 2 года назад +2

    Mungu akubariki na aendelee kukutunza na kukufunulia zaidi na zaidi

  • @catherinepaul3427
    @catherinepaul3427 2 года назад +1

    Mungu azidi kukubariki mwalimu,nimejifunza mengi kupitia mafundisho yako

  • @lilianwilfred3271
    @lilianwilfred3271 2 года назад

    Asante Mwl kwa mafundisho ya baraka

  • @agnessshahanga8738
    @agnessshahanga8738 2 года назад +1

    Ishi sanaaaa Babaa Mungu akulinde daima 🙏🙏

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 2 года назад +1

    Aminaa barikiwa sana mwalim Christopher mwakasege Mungu akutunze siku zote za maisha yako ninaachilia damu ya Yesu juu yako na family yako ikanene mema siku zote

  • @RosePatrick-vh2or
    @RosePatrick-vh2or 6 месяцев назад

    Umekua baraka sana

  • @AnethBalele-ko8ug
    @AnethBalele-ko8ug Год назад

    Amen amen Baba yangu wakati mama ana ujauzito alimlazimisha atoe mimba yangu akakataa ikawa ndo chanzo cha Wao kuachana mpaka sahivi
    Binafsi nawaza inakuwaje na mpaka sasa mimi simpendi Baba nafanyaje

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 2 года назад

    MUNGU AZIDI kukutunza BABA uwe na maisha marefu dunian Mungu akuepushe na magonjwa na uzee wa kulala kitandani vixazi vizidi kumjua Mungu kupitia pitia wewe

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 2 года назад +1

    Amen. Mungu nisaidie kuyajuwawa mafumbo yako.

  • @allthingdranabeauty
    @allthingdranabeauty Год назад

    Amen thanksJesus so powerful thanks

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад +2

    Mungu tusaidie sisi wanawake

  • @azadimuumba4840
    @azadimuumba4840 Год назад

    Safi sana.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад +1

    asante Yesu kwa mafunuo haya
    mbariki mtumishi wako,muinue tena na tena

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 2 года назад +1

    Amina Mungu na Atusaidie.

  • @safibendera8917
    @safibendera8917 2 года назад +1

    Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina 👏 ♥️

  • @mariamaroda320
    @mariamaroda320 2 года назад +1

    Tunamshukuru Yesu kwa ajili yako kutufundisha mafunuo haya makubwa.Roho Mt azidi kukufunulia wamama wengi wanateseka

    • @lydiavegula7641
      @lydiavegula7641 2 года назад +1

      Mtumishi leo ndo nimesikiliza tangu utuambie kwa group jamani...

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 2 года назад +1

    Mungu atuhurumie saana

  • @lovedleonard8398
    @lovedleonard8398 2 года назад +1

    Ameen mungu tusaidie

  • @lydiavegula7641
    @lydiavegula7641 2 года назад +2

    Sifa zikurudie Bwana kwa kutufunulia Siri hii....wish wamama wote wasikilize...Bwana akutazame mwalimu

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 2 года назад +2

    Kweli ukiokoka kuzaa jamani ni vita kuliko vita kuu ya dunia Ee Mungu usiwe kwetu kama kijito kidanganyacho fanya jambo la uponyaji

  • @ezekielikitutu9858
    @ezekielikitutu9858 2 года назад +4

    Mungu kumbuka tumbo la mke wangu

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 2 года назад

      Mungu akayasikie maombi yako, kwa Jina la Yesu.

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 2 года назад

      Amen Mungu awatendee sawasawa na hitaji lenu

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 2 года назад

      @ezekiel kitutu nimekaa for 14 yrs na Mungu amemtenda kama unaweza tuwasiliane.

  • @anithanjole3655
    @anithanjole3655 2 года назад

    Eeeh Mungu 😭😭😭 niseme tu kumbuka tumbo langu la uzaz kupitia mtumishi wa Mungu huyu 😭😭😭

  • @deoruge
    @deoruge 2 года назад +1

    Nimeogopa sana eeh Mungu turehemu

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 2 года назад

      ni kumshukuru Mungu kuna namna ya kutoka sio kuogopa!
      kuna kipande cha maombi cha hili somo

  • @rowenalilie993
    @rowenalilie993 11 месяцев назад

    Ameeen

  • @tinasteve5181
    @tinasteve5181 2 года назад +2

    Amen 🙌❤❤

  • @RosePatrick-vh2or
    @RosePatrick-vh2or 6 месяцев назад

  • @rowenalilie993
    @rowenalilie993 11 месяцев назад

    Ameen

  • @sofiamtenga6105
    @sofiamtenga6105 2 года назад

    MUNGU atusaidie mambo haya in magumu wengine vituvu vyetu vilichanganywa na mbolea ya ng'ombe vikawekwa kwenye mgomba na huo mgomba kila ikikomaa ndizi ni ya kupikia pombe tu.Mungu uturehemu

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu2974 2 года назад

    Yaani najisachi kuanzia ndoa mpaka watoto asee sioni km kuna mahali nimeokoka Mungu nimemkosea sana sijui hata hatma yangu

  • @joyceallan2758
    @joyceallan2758 2 года назад

    Mungu, likumbuke tumbo langu litunze kusudi lako juu ya uzao wangu

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад +3

    aisee
    ndo maana tunateseka,tumepewa majina hayaeleweki yanatusumbua!
    wazazi wanataja tu majina kwa kujitakia ata hawaombi!

  • @ninamellau774
    @ninamellau774 2 года назад

    M delivered

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад +1

    Hallelujah

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад +1

    aiseee😢
    mambo ya mswati,Swaziland!
    Mungu waKumbuke ile nchi, wakujue waache kukabidhi watt kwa ile miungu ya mfalme

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 2 года назад +1

      Siyo kule kwa mswati tu hata Tanzania wana miungu kibao.,kila kabila na miungu yake.

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 2 года назад +1

      umeelewa alichoongea mwalimu!?
      kuna mahali kasema kuna watt wa kike wanakabidhiwa kwa mfalme,wakuwa mabikra,mpk mfalme achague binti hapo wengine wanakuwa huru kuendelea....
      ndo nikakumbuka Swaziland!
      hiyo ya miungu kwenye makabila Tz mmh sijasikia
      kuna mila ila sio km hii aliyosema mwalim ya kukabidhi watt wote wa kike kwenye eneo

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 2 года назад +1

      @@christinewomanoffaith5479 👍

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад +1

    Ee Mungu nahitaji mguso wako kwenye tumbo langu

  • @joyceallan2758
    @joyceallan2758 2 года назад

    Kwa Damu ya Yesu

  • @davoo2555
    @davoo2555 2 года назад

    😅😅😂😂... Mwalimu na yy kumbe anajua chakula... 😅😅🤣🤣🤣

  • @josephinemacha7112
    @josephinemacha7112 2 года назад

    Link ipi jamani?

  • @endtimes9850
    @endtimes9850 2 года назад

    WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO.
    1 Wakorintho 11:13

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад +2

    aisee huu uvimbe unaondoka nilijua tu kuna namna!
    eti umri unaenda zaa tu! hakuna cha umri hapa ni shetani tu!😂
    asante Yesu kwa huu ufunuo!

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад +1

    😢shetani atakutafutia mtu wa kuzaa na wewe ili aifuatilie ile mbegu!🤔
    atakuletea mwanaume ambae sio wa Mungu ili uzae cha kwake!🙌🙌
    asante Yesu nimefahamu haya sijaingia huko,sijazaa!
    aisee asante Yesu kwa kunifungua!

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 2 года назад +1

    Hapa Sasa inabidi kuwanyima hawa kina bibi vitovu

  • @dorcaskahwarakaliza8190
    @dorcaskahwarakaliza8190 2 года назад

    ❤️🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇨🇩🇸🇪

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Amen Amen

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад +1

    Ni kweli kabisa maana hata Mimi niliambiwa Nina uvimbe mkubwa sana na damu inanitokaga nyingi sanaaa tena mpaka sasa tumbo linanisumbua kupita kiasi!! Mvurugo tu!! Nikafanyiwa operation na wakakuta kitu kingine na wala sio uvimbe!!

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 года назад +2

    Hapo kwa pombe na wachagga sasa🤭🤭
    Sasa kwanini Sikujua haya mapema? Lord Jesus have mercy on us. Sasa waliozaliwa Europe na hutupwa kwenye pipa la taka, inafanyika nini? Na mbona hawana mashida kama zetu?

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 2 года назад +2

      wana shida sana tu,ila zimetofautiana!
      lkn pia kumbuka,hapa wanaoteseka sana ni wale walioamua kuokoka means unaenda kinyume na mungu wa asili,familia
      na unajua wazungu wengi bado ndo maana huoni shida kwa kiasi kikubwa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 2 года назад +1

      😂wachaga,wahehe,wahaya,wanyakyusa pombee na wao

    • @joanesjonathan4285
      @joanesjonathan4285 5 месяцев назад

      ndio umejua sasa , omba sana toba , nimerudia hii kuisikiliza mara zaidi ya 4 na kila nikisikiliza napata jambo jipya yaan nimeamini kwel yaan tunaangamia sana kwa kukosa maarifa kama haya dah hivi pata picha yule aliyekosa maarifa kama haya anaangaika miaka zaidi ya mitatu hajua chanzo cha tatizo lake kumbe shida iko either ktk tumbo la uzazi au ardhi ya asili uliyozaliwa

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Isaya 49:1-3

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 2 года назад

    Tuliokwisha kuwapa watoto tunajuaje

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Uadui

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад +2

    Amen

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Amen

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Amen