Yesu tusaidie,mambo mazito,magumu haya! mama angu anasema,ye alikuwa haamini haya mambo eti akatupa kitovu chooni! 😢ila hakuomba! ndoto za chooni zimenitesa,kila nikiomba sipati upenyo,nimekuja kupata ufahamu nikiwa naomba, aisee Roho Mtakatifu mwaminifu... ila nashukuru Mungu,maombi ya kwenye semina ya Dodoma yalikata zile ndoto mpk Leo! glory be to God
Aminaa barikiwa sana mwalim Christopher mwakasege Mungu akutunze siku zote za maisha yako ninaachilia damu ya Yesu juu yako na family yako ikanene mema siku zote
Amen amen Baba yangu wakati mama ana ujauzito alimlazimisha atoe mimba yangu akakataa ikawa ndo chanzo cha Wao kuachana mpaka sahivi Binafsi nawaza inakuwaje na mpaka sasa mimi simpendi Baba nafanyaje
MUNGU AZIDI kukutunza BABA uwe na maisha marefu dunian Mungu akuepushe na magonjwa na uzee wa kulala kitandani vixazi vizidi kumjua Mungu kupitia pitia wewe
MUNGU atusaidie mambo haya in magumu wengine vituvu vyetu vilichanganywa na mbolea ya ng'ombe vikawekwa kwenye mgomba na huo mgomba kila ikikomaa ndizi ni ya kupikia pombe tu.Mungu uturehemu
umeelewa alichoongea mwalimu!? kuna mahali kasema kuna watt wa kike wanakabidhiwa kwa mfalme,wakuwa mabikra,mpk mfalme achague binti hapo wengine wanakuwa huru kuendelea.... ndo nikakumbuka Swaziland! hiyo ya miungu kwenye makabila Tz mmh sijasikia kuna mila ila sio km hii aliyosema mwalim ya kukabidhi watt wote wa kike kwenye eneo
WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO. 1 Wakorintho 11:13
😢shetani atakutafutia mtu wa kuzaa na wewe ili aifuatilie ile mbegu!🤔 atakuletea mwanaume ambae sio wa Mungu ili uzae cha kwake!🙌🙌 asante Yesu nimefahamu haya sijaingia huko,sijazaa! aisee asante Yesu kwa kunifungua!
Ni kweli kabisa maana hata Mimi niliambiwa Nina uvimbe mkubwa sana na damu inanitokaga nyingi sanaaa tena mpaka sasa tumbo linanisumbua kupita kiasi!! Mvurugo tu!! Nikafanyiwa operation na wakakuta kitu kingine na wala sio uvimbe!!
Hapo kwa pombe na wachagga sasa🤭🤭 Sasa kwanini Sikujua haya mapema? Lord Jesus have mercy on us. Sasa waliozaliwa Europe na hutupwa kwenye pipa la taka, inafanyika nini? Na mbona hawana mashida kama zetu?
wana shida sana tu,ila zimetofautiana! lkn pia kumbuka,hapa wanaoteseka sana ni wale walioamua kuokoka means unaenda kinyume na mungu wa asili,familia na unajua wazungu wengi bado ndo maana huoni shida kwa kiasi kikubwa
ndio umejua sasa , omba sana toba , nimerudia hii kuisikiliza mara zaidi ya 4 na kila nikisikiliza napata jambo jipya yaan nimeamini kwel yaan tunaangamia sana kwa kukosa maarifa kama haya dah hivi pata picha yule aliyekosa maarifa kama haya anaangaika miaka zaidi ya mitatu hajua chanzo cha tatizo lake kumbe shida iko either ktk tumbo la uzazi au ardhi ya asili uliyozaliwa
Ubarikiwe mwalimu Kwa somo zuri... hakika umenifungua... namshukuru Mungu kwaajili yako.Mungu azidi kukuweka
Yesu tusaidie,mambo mazito,magumu haya!
mama angu anasema,ye alikuwa haamini haya mambo eti akatupa kitovu chooni! 😢ila hakuomba! ndoto za chooni zimenitesa,kila nikiomba sipati upenyo,nimekuja kupata ufahamu nikiwa naomba, aisee Roho Mtakatifu mwaminifu...
ila nashukuru Mungu,maombi ya kwenye semina ya Dodoma yalikata zile ndoto mpk Leo!
glory be to God
Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina 👏
AMINA AMINA
Mwalimu!Mwalimu!Mwalimu!Mungu akutunze.
bsr,mwalimu natamani sana kuku ona ile uwezo siyakuwanao nakufatakasana unanijengasana kiroho Mungu akulinde ktk duniahi.
yaani ukiokoka,kuoa,kuolewa,kuzaa ni zaidi ya vita kuu ya dunia🙌Yesu tusaidie
Hakika umesema kweli,Ni Vita kuu ya kwanza ya Dunia
Asante Mungu kwaajili yako mtumishi Christopher Mwakasege nabarikiwi sana
Atukuzwe Jehova kwa uaminifu wake.. powerful revelation ever mwakani nitarudi na ushuhuda mkuu hapa kwa utukufu wa Bwana
Asante Sana baba kwa neno nzur mungu aendere kukutumia
Thanks man of God, glory to jesus
Thank you Dad,,,kuna mahali umenivusha 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🌷🌷🌷🥰🥰🥰 Mungu akuweke kwaajili ya UTUKUFU wake
Mungu akubariki na aendelee kukutunza na kukufunulia zaidi na zaidi
Mungu azidi kukubariki mwalimu,nimejifunza mengi kupitia mafundisho yako
Asante Mwl kwa mafundisho ya baraka
Ishi sanaaaa Babaa Mungu akulinde daima 🙏🙏
Aminaa barikiwa sana mwalim Christopher mwakasege Mungu akutunze siku zote za maisha yako ninaachilia damu ya Yesu juu yako na family yako ikanene mema siku zote
Umekua baraka sana
Amen amen Baba yangu wakati mama ana ujauzito alimlazimisha atoe mimba yangu akakataa ikawa ndo chanzo cha Wao kuachana mpaka sahivi
Binafsi nawaza inakuwaje na mpaka sasa mimi simpendi Baba nafanyaje
MUNGU AZIDI kukutunza BABA uwe na maisha marefu dunian Mungu akuepushe na magonjwa na uzee wa kulala kitandani vixazi vizidi kumjua Mungu kupitia pitia wewe
Amen. Mungu nisaidie kuyajuwawa mafumbo yako.
Amen thanksJesus so powerful thanks
Mungu tusaidie sisi wanawake
Safi sana.
asante Yesu kwa mafunuo haya
mbariki mtumishi wako,muinue tena na tena
Amina Mungu na Atusaidie.
Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina Amina 👏 ♥️
Tunamshukuru Yesu kwa ajili yako kutufundisha mafunuo haya makubwa.Roho Mt azidi kukufunulia wamama wengi wanateseka
Mtumishi leo ndo nimesikiliza tangu utuambie kwa group jamani...
Mungu atuhurumie saana
Ameen mungu tusaidie
Sifa zikurudie Bwana kwa kutufunulia Siri hii....wish wamama wote wasikilize...Bwana akutazame mwalimu
Kweli ukiokoka kuzaa jamani ni vita kuliko vita kuu ya dunia Ee Mungu usiwe kwetu kama kijito kidanganyacho fanya jambo la uponyaji
Mungu kumbuka tumbo la mke wangu
Mungu akayasikie maombi yako, kwa Jina la Yesu.
Amen Mungu awatendee sawasawa na hitaji lenu
@ezekiel kitutu nimekaa for 14 yrs na Mungu amemtenda kama unaweza tuwasiliane.
Eeeh Mungu 😭😭😭 niseme tu kumbuka tumbo langu la uzaz kupitia mtumishi wa Mungu huyu 😭😭😭
Nimeogopa sana eeh Mungu turehemu
ni kumshukuru Mungu kuna namna ya kutoka sio kuogopa!
kuna kipande cha maombi cha hili somo
Ameeen
Amen 🙌❤❤
❤
Ameen
MUNGU atusaidie mambo haya in magumu wengine vituvu vyetu vilichanganywa na mbolea ya ng'ombe vikawekwa kwenye mgomba na huo mgomba kila ikikomaa ndizi ni ya kupikia pombe tu.Mungu uturehemu
Yaani najisachi kuanzia ndoa mpaka watoto asee sioni km kuna mahali nimeokoka Mungu nimemkosea sana sijui hata hatma yangu
Mungu, likumbuke tumbo langu litunze kusudi lako juu ya uzao wangu
aisee
ndo maana tunateseka,tumepewa majina hayaeleweki yanatusumbua!
wazazi wanataja tu majina kwa kujitakia ata hawaombi!
M delivered
Hallelujah
aiseee😢
mambo ya mswati,Swaziland!
Mungu waKumbuke ile nchi, wakujue waache kukabidhi watt kwa ile miungu ya mfalme
Siyo kule kwa mswati tu hata Tanzania wana miungu kibao.,kila kabila na miungu yake.
umeelewa alichoongea mwalimu!?
kuna mahali kasema kuna watt wa kike wanakabidhiwa kwa mfalme,wakuwa mabikra,mpk mfalme achague binti hapo wengine wanakuwa huru kuendelea....
ndo nikakumbuka Swaziland!
hiyo ya miungu kwenye makabila Tz mmh sijasikia
kuna mila ila sio km hii aliyosema mwalim ya kukabidhi watt wote wa kike kwenye eneo
@@christinewomanoffaith5479 👍
Ee Mungu nahitaji mguso wako kwenye tumbo langu
Kwa Damu ya Yesu
😅😅😂😂... Mwalimu na yy kumbe anajua chakula... 😅😅🤣🤣🤣
Link ipi jamani?
WAAMBIE HAO WANAWAKE WANAONIABUDU NA KUNIFUATA MIMI YESU, WAACHE KUVAA NYELE BANDIA,KUCHA BANDIA, KOPE BANDIA NA VITU VYOTE AMBAVYO VINAPINGANA NA ASILI YA KUUMBWA KWAO, NA WANAPOKUA KANISANI KATIKA IBADA WAFUNIKE VICHWA VYAO.
1 Wakorintho 11:13
aisee huu uvimbe unaondoka nilijua tu kuna namna!
eti umri unaenda zaa tu! hakuna cha umri hapa ni shetani tu!😂
asante Yesu kwa huu ufunuo!
😢shetani atakutafutia mtu wa kuzaa na wewe ili aifuatilie ile mbegu!🤔
atakuletea mwanaume ambae sio wa Mungu ili uzae cha kwake!🙌🙌
asante Yesu nimefahamu haya sijaingia huko,sijazaa!
aisee asante Yesu kwa kunifungua!
Hapa Sasa inabidi kuwanyima hawa kina bibi vitovu
❤️🙏🏾🙏🏾🙏🏾🇨🇩🇸🇪
Amen Amen
Ni kweli kabisa maana hata Mimi niliambiwa Nina uvimbe mkubwa sana na damu inanitokaga nyingi sanaaa tena mpaka sasa tumbo linanisumbua kupita kiasi!! Mvurugo tu!! Nikafanyiwa operation na wakakuta kitu kingine na wala sio uvimbe!!
duh
omba Mungu tu,kipo kile kipande cha maombi ya hili somo ,cheki
@@christinewomanoffaith5479 Amen
Hapo kwa pombe na wachagga sasa🤭🤭
Sasa kwanini Sikujua haya mapema? Lord Jesus have mercy on us. Sasa waliozaliwa Europe na hutupwa kwenye pipa la taka, inafanyika nini? Na mbona hawana mashida kama zetu?
wana shida sana tu,ila zimetofautiana!
lkn pia kumbuka,hapa wanaoteseka sana ni wale walioamua kuokoka means unaenda kinyume na mungu wa asili,familia
na unajua wazungu wengi bado ndo maana huoni shida kwa kiasi kikubwa
😂wachaga,wahehe,wahaya,wanyakyusa pombee na wao
ndio umejua sasa , omba sana toba , nimerudia hii kuisikiliza mara zaidi ya 4 na kila nikisikiliza napata jambo jipya yaan nimeamini kwel yaan tunaangamia sana kwa kukosa maarifa kama haya dah hivi pata picha yule aliyekosa maarifa kama haya anaangaika miaka zaidi ya mitatu hajua chanzo cha tatizo lake kumbe shida iko either ktk tumbo la uzazi au ardhi ya asili uliyozaliwa
Isaya 49:1-3
Tuliokwisha kuwapa watoto tunajuaje
Uadui
Amen
Barikiwaa teacher wanguu
AMINAA MTUMISHI
Amen
Amen