FAIDA ZA IMANI UNAYOITUMIA KATIKA KUTOA SADAKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 ноя 2020
  • HAFLA MAALUM YA SHUKRANI, UPENDO MEDIA DAR ES SALAAM

Комментарии • 157

  • @patrickedson50
    @patrickedson50 3 года назад +26

    Faida ya 6. Mungu nakuomba umbariki zaidi Mtumishi wako Mwl. C Mwakasege. Amen

  • @jacklinemwita4173
    @jacklinemwita4173 3 года назад +22

    Barikiwa sana Mtumishi ni kweli.
    Hata mimi nilishawahi kumtolea Mungu siku moja nilikuwa naenda kanisani nikajisikia nitoe hela zote nilizo kuwanazo. Sikubaki hata na nauli ila Muda wa kuombea sadaka niliona. Mkonge uliokauka unatoka unatembea harafu kikaona mtende umesitawi na pembeni yake vipo vidogo viwili na chini yake yale majani alikuwa yamesitawi sana. Yaani tangia siku hiyo sijawahi kukoswa hela na maisha yangu yalipanda

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 3 года назад +9

    Aminaa Mungu wa mbinguni akubariki sana mwalim Christopher Mwakasege pamoja na family yako 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @livetlivet391
    @livetlivet391 3 года назад +6

    Eeeh Mungu nataka nikujue zaidi,nikupendeze,nikuguse,niguse Moyo wa Mungu,nipe kutoa kunakokupendeza🙏🙏🙏

  • @nabiiesterdonald4205
    @nabiiesterdonald4205 3 года назад +5

    Ubarikiwe sana mtu wa Mungu ww na family yako na huduma ya ufalne wa Mungu aliye hai iwe na ulinzi siku zite za maisha ya huduma yako

  • @elizabethjuma2837
    @elizabethjuma2837 3 года назад +36

    Kupitia kwa mafundisho yako. Niliomba mniombee mamangu alikua akisumbuliwa n magoti. Alikua hawezi ata kutembea. Akaenda hospital akaambiwa ana shida ya moyo n Figo. Mwalimu Mwakasege alisema tuweke mikono kichwan kumuombea yule mgonjwa uko nae. Nikafanya ivo. Kwa sasa mama anatembea vizur sana. Japo bado hajapona kabisa, lakini nina iman atapona kabisa maana Mungu wetu n mkuu🙏🙏

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 3 года назад +3

    Amen nimebarikiwa sana, nimekosa usingizi ikiwa bado ni usiku wa manane hspa Ujerumani so nikajikuta niko nawatch hapa na baraka hizi za kujua haya

  • @cantcan1644
    @cantcan1644 3 года назад +5

    Nawapenda sana nyie watumishi wa mungu wa Izrael,,,,,Napenda sana maubiri yenu Namwomba mungu asinipite Asipite watoto wangu ,,eeeh mungu Nazidi kukuomba unipe mwalim wa neno lako kwenye uzao wa tumbo langu,,,Amen

  • @jamesmawenya480
    @jamesmawenya480 3 года назад +6

    Mungu azidi kukufunika na kukulinda mwalimu Christopher mwakasege

  • @olenjolai8095
    @olenjolai8095 3 года назад +11

    Ahsante Bwana Yesu kwa Kuipenda Upendo Media

  • @gabriellyadam9415
    @gabriellyadam9415 2 года назад +2

    mimi ushuhuda wangu Namshukuru Mungu amenipa kukuombea mwalim.nisipoomba kwa ajili yako na huduma ya mana kuna kitu namis ndani yangu na ninajua kabisa.so furaha yangu kukuombea mtumishi wa Mungu.Na ninabarikiwa na mengi mno kupitia huduma hii hapatoshi kuyataja hapa.Mungu awabariki sana mno.

  • @ikupamwaisoba4118
    @ikupamwaisoba4118 3 года назад +5

    Amina baba na mama Mungu azidi kuwainua viwango vingine visivyosemeka.

  • @happinesstemu5414
    @happinesstemu5414 3 года назад +2

    Asante Yesu Kulisikia neno hili. Nisaidie Yesu kulitendea kazi. Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu.

    • @tulymlomo8706
      @tulymlomo8706 3 года назад

      Haya mafundisho mwalim yanarushwa sangapi naomba kujua

  • @vanessazbliss
    @vanessazbliss 3 года назад +10

    Hahaha I love the love between mama na baba mchungaji and I'm blessed by the word today.

  • @norahndesanjomwanga8662
    @norahndesanjomwanga8662 3 года назад +4

    Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu

  • @waelmsangi5503
    @waelmsangi5503 3 года назад +4

    Mungu aendelee kukuinua Mtumishi wa Mungu. Tunapona kupitia mafundisho yako

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 3 года назад +4

    4.Mungu atakubariki zaidi 2Kor ......

  • @livetlivet391
    @livetlivet391 3 года назад +4

    Oooooooh thanks God Kuna nyumba nimepanda mbegu Mana niliiombea haina mtoto🙌🙌🙌

  • @DeborahJustine-cq8hd
    @DeborahJustine-cq8hd Месяц назад

    Ameni , Mtumishi wa Yesu akubariki.

  • @maikomahanji9411
    @maikomahanji9411 2 года назад +1

    Wapendwa katika bwana mimi naomb mniombee nimekuwa mkame sana sana sisikii kuomba kabisa haya kusoma neno la mungu sielewi kitu naomba maombi mungu anisaidie nitoka huko kwenye ukame huu sipendi mimi jamani natamani sana kuomba Kwa kumanisha sitaki kuigiza. Na linguine naomba maombi ninauvimbi kwenye kizaza Dr amesema eti ni mkubwa sm 8 naomba maombi mungu anisaidie nipone mimi

  • @sireddy2012
    @sireddy2012 3 года назад +4

    Mungu akubariki mtumishi

  • @neysmgeda411
    @neysmgeda411 3 года назад +3

    Barikiwa mtumishi hill LA Dstv tunaomba kwakweli tunaomba saaana nasi pia

  • @janemalongo5417
    @janemalongo5417 3 года назад

    Imani na Upendo vinaenda sambamba, utahubirije pasipo pelekwa? Maneno haya yamenibariki kwa jina la Yesu.Amina

  • @peterjohn2099
    @peterjohn2099 3 года назад +3

    Amen mtumishi wa bwana ubarikiwe sana

  • @Nicaonlinetv7324
    @Nicaonlinetv7324 3 года назад +10

    Baba Mwakasege tutakuchangia wala usikate tamaa tuombee moyo wa utoaji na huruma. Mimi sijawahi kutoa fungu la kumi lakini nimeahidi kwa Mungu nitakuwa natoa kwako ila cjui lini nitaanza. Mafundisho yako ni mazuri sana.Tuliokuwa wavivu kwenda kanisani na wale tuliokatishwa tamaa na wachungaji feki wafanyabiashara na wachumia tumbo ambao wanakatisha tamaa kondoo, sasa tunapata neno la Mungu lenye kiwango kupitia vyombo vya habari na sadaka tunatuma kwa hiyo tunashkuru Mungu ametugusa kwa namna nyingine.Sasa tunapata neno tukiwa kitandani kwa muda wowote You tube,Facebook, tv na redio.

    • @joycenganyule3231
      @joycenganyule3231 3 года назад +1

      Umenifarahisha haaa haaa eti hujui utaanza lini kutoa fungu la kumi

    • @davidbahati3748
      @davidbahati3748 2 года назад

      Usiseme utamchangia Mwakasege sema utamtolea Mungu sadaka, na ukiona unasema hujui utaanza Lin kutoa ujue bado neno halijakugusa vzur

  • @furbenj7405
    @furbenj7405 Год назад

    Haleluya nawapa Hongera sana Wazazi wangu Watumishi Wa Mungu hadi sasa watuwengi tumefunguliwa sana nakubarikiwa Mungu azidi kuwapaka mafuta nakuwainua viwango vya juu pamoja na baraka tele za Mungu ziwafuate msipungukiwe kabisa

  • @tullyibrahim8098
    @tullyibrahim8098 3 года назад +5

    Mungu nizidishie moyo wa kupenda

  • @MrSeniorprince35
    @MrSeniorprince35 3 года назад +10

    Ahsamte sana Mtumishi. Am Your Number One fun watching from kenya.

  • @hellendeus7809
    @hellendeus7809 3 года назад +3

    Barikiwa sana mwalimu

  • @benjaminpatrick6364
    @benjaminpatrick6364 3 года назад +1

    Amen baba mtumishiii Mungu akubarikii mnoooo

  • @user-vv2xw6zu6k
    @user-vv2xw6zu6k 4 месяца назад

    Amina mtumishi naomba mungu na mm anime Imani kubwa ya kumjua zadi ye ye🙏🙏🙏

  • @vascosanga7615
    @vascosanga7615 3 года назад +5

    Ameni.... From Mafinga

  • @naserianmichael2411
    @naserianmichael2411 3 года назад +3

    I love you guys Mungu azidi kuwatunza.

  • @albinamarcel3117
    @albinamarcel3117 3 года назад +4

    Amen Mwl Mwakasege, nashkuru sana na Mungu akubariki pamoja na familia yako

  • @EnestFSoka
    @EnestFSoka 2 года назад

    Ninaponywa kila iitwapo leo kwa huduma yao mwalinu. Ubarikiwe ktka jina la Kristo Yesu.
    Ingependeza wachungaji kusimama kwa heshima ya Krisko aliye ndani yako wakati wote umwombapo Mungu.. Amen

  • @neymermponde7810
    @neymermponde7810 3 года назад +2

    Amen barikiwa baba

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 2 года назад

    Asante Mungu Baba kunifundisha naomba Roho Mtakatifu anisaidie kutiii. Mbarikiwe watu wa Mungu kwa huduma hii njema. 1WAKORINTHO 15:57-58.

  • @doreenmasumai9661
    @doreenmasumai9661 3 года назад +4

    Nimefunguka sana na nitatii zaidi kwa upande wa utoaji hasa kusindikiza neno la Mungu.niliahidi mtumishi ulivyokuja mbeya mwezi uliopita kuchagia seminar mwakani mbeya.nitatimiza

  • @issayalewapi1834
    @issayalewapi1834 3 года назад

    Amina sn watumishi wa Mungu.
    Tunafaidi sana kupitia mafundisho yenu

  • @lukembilinyi3039
    @lukembilinyi3039 2 года назад

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa MUNGU maana maneno yako yanaonyesha jinsi gani ulivyo muweka MUNGU moyoni mwako. Ubarikiwe

  • @rizikipyuzza3411
    @rizikipyuzza3411 3 года назад +3

    Barikiwa Mwalimu

  • @jimmymberesero7350
    @jimmymberesero7350 3 года назад +5

    AMEEN from Mtwara

  • @floranyefwe3464
    @floranyefwe3464 3 года назад +3

    Mama sauti ako huwa unanipa nguvu ya kusonga mbele nakupenda Sanaa na ninakuombea piaaa

  • @nururaphael9913
    @nururaphael9913 3 года назад +1

    Amen najuingamanisha na neno hili

  • @neemamcharo3797
    @neemamcharo3797 3 года назад +3

    God bless Upendo media

  • @furbenj7405
    @furbenj7405 Год назад

    Haleluya nawapa Hongera sana Wazazi wangu Kwajalein mnatusaidia sana

  • @johnmasanjakengele1588
    @johnmasanjakengele1588 3 года назад +2

    Asante Mungu kwa ujumbe hi

  • @merymrema420
    @merymrema420 3 года назад +5

    Nakushukru MUNGU Kwa upendo wako kutupa mwalimu naomba uzidi kumpa afya njema yeye na family yake

  • @paulotanaki958
    @paulotanaki958 3 года назад +2

    Barikiwa sanaa Mwl

  • @angelakalambo2188
    @angelakalambo2188 3 года назад

    Ameen baba Mungu awabariki mnoo .ss wa dstv watukumbuke na Mungu awatie nguvu

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 3 года назад +3

    3.Imani unayoitumia Ktk kutoa sadaka inakupa sauti

  • @michaelmalisa494
    @michaelmalisa494 3 года назад +1

    Barikiwa mtumish

  • @mchungajijesse4593
    @mchungajijesse4593 3 года назад +2

    Amen mama na baba Mwakasege

  • @kijiwenikijiweni9118
    @kijiwenikijiweni9118 Год назад

    Asanteee mutimishi.wa Mungu hakika umenena Ameeeen Ameeeni

  • @jovitusregnald1326
    @jovitusregnald1326 3 года назад +2

    Amen. From Dodoma Tanzania

  • @emanuelmaleshi6849
    @emanuelmaleshi6849 6 месяцев назад

    Amina mtumish wa munguu

  • @user-my6rm4gr5i
    @user-my6rm4gr5i 8 месяцев назад +1

    Mungu kwa kupitia mtumishi wako nipe na Mimi nikutumikie kwa nguvu zako

  • @justicemollel4928
    @justicemollel4928 8 месяцев назад

    Ahimidiwe Mungu na kutukuzwa sana milele yote kwa ajili ya upendo media

  • @dinakyoma5977
    @dinakyoma5977 3 года назад

    Asante kwa ombi la DSTV kweli tunakosa hii Neema . Naamini mtatukumbuka. Ubarikiwe Elisha wa kizazi hiki

  • @dainakinyamagoha4815
    @dainakinyamagoha4815 Год назад

    Mungu awabarik

  • @LusekeloSamwely-xl6nm
    @LusekeloSamwely-xl6nm 11 месяцев назад

    Amenị barikiwa

  • @catherineminja5481
    @catherineminja5481 3 года назад +2

    Jaman mm mwakasege ananibariki saana nataman nwe muhubiri kama yeye Mungu nisaidie

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije Год назад

    Amen !! ....amen !!?....Kenya....watamu.

  • @deborahdelly4532
    @deborahdelly4532 3 года назад

    Mungu azidi kuwapa mafunuo zaidi nabarikiwa sana nanyi mbarikiwe mno

  • @happymatola980
    @happymatola980 Год назад

    Mungu akubariki sana baba yetu,mwalimu wetu.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 2 года назад

    Amina.Mungu anisaidie,peke yangu siwezi.

  • @DeborahJustine-cq8hd
    @DeborahJustine-cq8hd Месяц назад

    Utukufu kwa Yesu.

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 Год назад +1

    Nafarijika kwa kuwezeshwa kuishi ndani ya " UWEPO WA MUNGU " kila wakati nasikia hali ya kutokutoka nje ya nguvu ambayo imejidhihirisha kila wakati. Nikitoka nje tu, napata taarifa ndani yangu , na jinsi ya kutawa hali kwa wepesi mkubwa sana Jinsi ya kufanya kwa hali iliyo njema , na kupata furaha , nimevuka. Papo hapo napata hali ya kumweleza mtu mwingine katika hali yenye nguvu ya aina isiyoelezeka. HAKIKA YESU AMETUSHINDIA. HUCHOKI KWA YOTE UFANYAYO. ( EKA NNU DENNY NDUMM8 Y3SU. ) 🙏

  • @ndeshukurwakaaya4385
    @ndeshukurwakaaya4385 2 года назад

    🙏 salama rohoni ni salama rohoni mwangu IT IS INDEED . WELL IN MY SOUL. ASANTE YESU. 🙏

  • @bishoptvalbert4112
    @bishoptvalbert4112 3 года назад +3

    Salama moyoni mwangu

  • @albertsalota5951
    @albertsalota5951 3 года назад

    Barikiwe baba mtumishi wa mungu

  • @obadiafredy4499
    @obadiafredy4499 3 года назад +4

    Glory to God 🙌

  • @marymrema6067
    @marymrema6067 3 года назад

    Mungu alietufilia pale msalaban azid kukulinda mwalimu...

  • @erickchuma821
    @erickchuma821 3 года назад +1

    Napokea kwa jina la YESU

  • @godfreymsembe169
    @godfreymsembe169 2 года назад

    Nashukuru sana Mwalimu umenisaidia

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 3 года назад +2

    Love you dady n mom very much.

  • @mrslucasndoka2920
    @mrslucasndoka2920 3 года назад +1

    Asante Yesu kwa mafundisho haya, Mungu azidi kukulinda na kukubarki Mtumishi🙏🙏🙏

  • @luganomwaigomole8849
    @luganomwaigomole8849 3 года назад +2

    Amen baba

  • @dasoemillian1680
    @dasoemillian1680 3 года назад +3

    Salama rohoni mwangu

  • @catrachannel7935
    @catrachannel7935 3 года назад +4

    Glory to God.

  • @TrynesDastanNyamaNyama
    @TrynesDastanNyamaNyama 9 месяцев назад

    Amen Amen

  • @mariapaul1703
    @mariapaul1703 3 года назад +4

    Amén Amen 🙏🏾

  • @deborambogoso195
    @deborambogoso195 3 года назад

    Amen mtumishi .Barikiwa

  • @catherinekashenge3704
    @catherinekashenge3704 3 года назад

    Asante Muumba kwa ajili ya mtumishi wako

  • @Reginajohnson19884
    @Reginajohnson19884 Год назад

    Good respect

  • @beatricemayengo8631
    @beatricemayengo8631 Год назад

    Mungu azidi kukubariki hakika mafundisho yako ni mazuri.

  • @johnstonkayila5775
    @johnstonkayila5775 3 года назад +2

    Amen from Dar city

  • @lynelee5846
    @lynelee5846 3 года назад +14

    Jamani mnai deslike haya masomo MPONE KWA JINA LA YESU;

    • @joneyhenryk3003
      @joneyhenryk3003 3 года назад +1

      Hawajui maana ya like na dislike wasamehee

    • @lynelee5846
      @lynelee5846 3 года назад

      @@joneyhenryk3003 haapo umemaliza dadangu

  • @edinahmaganga2722
    @edinahmaganga2722 3 года назад

    Baba na Mama ninawapenda sana Mungu azidi kuwatunza milele

  • @anjelasaid6098
    @anjelasaid6098 3 года назад +1

    Always blessed dady

  • @merymrema420
    @merymrema420 3 года назад +2

    Ameni

  • @godlistengipson7268
    @godlistengipson7268 2 года назад

    Aminaaa

  • @francismfinanga2588
    @francismfinanga2588 3 года назад +2

    Thank you Jesus Amen

  • @barakamapasa2947
    @barakamapasa2947 2 года назад

    Hakika Neema ya Mungu isikupungukie Mwal. C Mwakasege.

  • @joycebuberwa7982
    @joycebuberwa7982 Год назад

    Amina

  • @judygathoni5861
    @judygathoni5861 3 года назад +2

    From Qatar tuko

    • @jamesmawenya480
      @jamesmawenya480 3 года назад

      Mungu akubaliki sana Mtumishi mwalimu wake Christopher mwakasege . Azidi kukutunza na kukulinda.. Mungu azidi kukutumia kulijenga kanisa zaidi na zaidi

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 3 года назад +4

    2.upako ulio juu yao utakuja na juu yako pia Neh 2:8

  • @happydorcasmollelmollel6114
    @happydorcasmollelmollel6114 Год назад

    Amen

  • @gideons5265
    @gideons5265 3 года назад

    Nenda Kakae...
    Nimeipenda

  • @dorothymoshy1920
    @dorothymoshy1920 3 года назад +1

    Ameeen