TIZAMA MATENDO MAKUU YA MUNGU, BAADA YA MAOMBI YALIYOONGOZWA NA MWL MWAKASEGE, HAKIKA MUNGU AKAJIBU.
HTML-код
- Опубликовано: 5 сен 2024
- SEMINA YA MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE ARUSHA JANUARY 2020, BAADA YA MAOMBI MUNGU AKAJIBU NA WATU WAKASHUHUDIA JINSI MUNGU ALIVYOFANYA.
Mungu anatenda miujiza mingi sana tatizo watu wengi hawampendi Mungu wanapenda miujiza tu hakika ipo siku utakuja kujuwa jinsi ulivyo poteza muda wako ktk Dunia hii ya dhambi ,okoka Leo ni muda sahihi
Wokovu ni kila kitu patia yesu maisha yako
Amen na asante Yesu kwa uponyaji. Asante kwasababu ya Watumishi wa Mungu; nina mengi ya kumshukuru Mungu pia kwa ajili yao. Nimekuwa nikishika tumbo langu la uzazi kwa ajili yangu na wote wenye uhitaji wa watoto. Kwa zaidi ya miaka 10 na mimi nikapata mtoto wa kiume mwaka jana 2019 baada ya kukosa mtoto kwa miaka 19 tangu nilipopata binti yangu wa kwanza mwaka 2000. Sikupata matibabu yoyote ya kitaalamu hivyo namuinua Kristu kwa ushindi huu na namkabidhi mtoto wangu wa miujiza kwa Bwana siku zote za maisha yake.
Na amini kupitia ushuhuda wako kakaangu na wifi yangu wenye miaka sita kwenye ndoa nawo watapata mtoto. Amina
Jamani mi pia namuomba sana Mungu kupitia ushuhuda wako naamini atanijibu yale nayomuomba kwa wakati wake
Kupitia ushuuda wako mpendwa.mungu fanye kitu kwangu
O9
Ame rakin sija kufaam
Wewe ni Bwana uniponyayeeee Wewe ni Bwana mponyaji....hulituma neno lako nipone....Wewe ni Yesu mponyaji....
JEHOVA SHALOM asante kwa uponyaji nilikuwa naumwa kifua namshukuru Mungu baada ya maombi niliona kifua kimefunguka
Sifa na utukufu ni kwa MUNGU
Amen glory to God
Wewe ndiye Mungu wangu Aldonai bila wewe mimi siwezi . Yehova Yire
Amen
Amen Amen
Naitwa Magreth, Napenda Kumshukuru Mungu kwa uponyaji wake kwa kupitia maombi haya. Nimepona kifua kabisa nilikua nasumbuliwa Sana Hadi kuinama inanipa shida Sana. Ni Neema iliyoje na Mimi namuaibisha Shetani kwa kushuhudia leo. Hakika nimeziona nguvu za Mungu , Mungu akutunze mtumishi Glory be to God.
Hallelujah
Namshukuru mungu Kwa navyo nitendea na sema Asante🙏🎊
Bwana Yesu asantee kwa Neema hii ya uhai... naomba gusa Tumbo langubla uzazi fungua tumbo langu baba neema yako inibebe nipate kupokea uzao mwaka huu🙏
Natangaza gonjwa la ukimwi kuniachia leo na kuwa huru kwa jina yesu kristo mnadhalet Alie hai amen utukufu kwa bwanaaa🙏🙏🙏🙏
Ameeeeen, Mungu wetu ni mwenye nguvu, upendo na huruma, Hakuna linalomshinda na kamwe halitokuwepo.
Ubarikiwe sana ndugu yangu na Mungu anakupenda na lilo unalohitaji akutendee maishani mwako na mwilini basi limejibiwa katika jina la Yesu kristo.
Be blessed 😊
Amen
Namshukuru mungu miguu yangu ilikuwa na maumivu kwenye viganja vya miguu baada ya ushiliki maombi haya nikasikia sauti kitu kimetoka sisikii Tena be maumivu
Barikiwa sana
Mtoa ushuhuda unapoandika Mungu uanze kwa herufi kubwa maana mungu ya herufi ndogo kama hiyo hapo niliyoandika nyuma kidogo haimaanishi Mungu aliye hai.
Ubarikiwe sana
Samahn huyu.mchungaji yupo mkoa gani
Glory to GOD
Mungu azidi kutungusa kwa kila mwenye hitaji lake na mimi atanifikia siku yangu ,"Tumtumainie yeye wakati wote"
Namshukuru mungu wangu kwakunirudisha kazini
Namshuru mungu kwakunipa ujauzito namuomba mungu wangu aniondolee maumivu
@@fatumaasumani7930 umebarikiwa Mungu ni mkuu sana , Hongera sana .
Mungu anaenda kukutendea makuu zaidi ya hayo, Hujaona kitu bado.
Glory to God , You’re blessed in the name of Jesus
Heshima sifa na utukufu ni kwa Bwana YESU, Aleluya
Mungu Ninakushukuru Kwakuwa Umeniponya nilikua dhaifu, Sasa Umeniweka Huru Mungu nakushukuru Sana Asante Yesu Kristo Amen,Mtumishi wa Bwana Mwalimu Mwakasege Mungu akubariki Sana .Amen
Ni Maombi yangu Mungu wa mbinguni awatunze (Mwl. Mwakasege na Mama) kwaajili ya utumishi wake kwa watu wake.
Amina!.
Nampenda sana mwalim mwakasege
Haleluya haleluya. Mungu wa uweza unaweza. Barikiwa sana watumishi wa Mungu aliye hai
Bwana Yesu asifiwe wapendwa samahan Ntaipataje hyo nyimbo ya kuabudu🙏 amen
Nadhani ipo youtube
Mnafeli wapi mnaoenda kwa waganga ? Mganga ameumbwa na Mungu he anaweza kumzidi nguvu aliyemuumba haiwezekani
Amina nabarikiwa sana na Mungu aendelee kuwabariki sana 👏👏👏👏👏
Nani kama wewe Mungu wangu,karibu nami Leo kwangu nakukaribisha uingie na ukae kwangu
Amina nimepokea na kupona kwa jina la YESU KRISTO WA NAZARETI ALIYE HAI.
Kupitia maombi haya mwanangu akapone ugonjwa ambao unajirudiarudia kwake kwa jina la yesu naomba nakuamin Amina🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu akamguse mtoto wako, Akamponye, Akamlinde na mtoto akue katika njia zinazompendeza katika Jina la Yesu kristo, Mbarikiwe sana 😊
Ninakupenda sana Mtumishi wa Mungu Mwakasege always hata watu waseme walitafutwa kukutanishwa na wewe wapone Wewe unasema wamekutanishwa na YESU aponyae.
Aminaa yaan hapo tuu
Ur prayers is powerful I was feeling bad from my body, feeling exhausted but now am okay may God bless you
Amen 🙏🙏Hakika Mungu ni mwenza wa yote kwake hakuna linaloshidikana
Wewe ni Yesu uniponyae
Asante Yesu Kwa kuniponya
Namshukur Mungu nimesiliza maombi haya na niliungana nanyie katika madhabahu hiyo na nimepona sikio langu na sehem ya mbavu nlikuwa nikikaa naumia ila baada ya haya maombi nasmhukur Mungu..asante Mungu
Sifa, Heshima na utukufu ni kwa Mungu. Wewe ni Bwana utuponyaye..ahsante Yesu
Amen! Jina la bwana Yesu kristo libarikiwe milele na milele🙌
Amina
najiunganisha na ibada hii mungu naomba usikie itaji langu
Sikia haja za moyo wangu Bwana Yesu uniponye na kunifanyia wepesi
Amen Amen nasisi nafamilia yangu tunapokea haja ya moyo yetu kwa jina la Yesu wanadharethi Amen.
Jina la MUNGU NI KUBWA
MUNGU akubariki mwalimu
AMEN AMEN AMEN. Ahsante YESU Kwa kuniponya
Ee MUNGU wangu nionye kweli katika maisha yangu unisamehe makosa yangu unikinge na mambo mabaya ya ulimwengu mimi na uzao wangu utufungulie marango ya mafanikio kwa jina la yesu kwa damu ya yesu AMENI
Nimeponywa na tumbo Mara moja alipokuwa akiomba!!jina la Yesu liinuliwe.
Mungu wetu ni mponyaji mkuu.
Ameen
Naomba niweze pata namba ya mtumish tafadhal
Mungu mponyaji yuko nami leo
KWANINI UNARUDI NYUMA ILI UFE?
Bwana Yesu apewe sifa mtu upendwaye na Mungu! Mungu ametupa neema ya uzima, nami ndani yangu nawiwa kukuletea neno la Mungu la lenye kuponya. Hasa wewe ambaye umekwisha kuijua neema na kipawa cha Mungu, lakini bado unavutwa na kuvutika kurudi nyuma ukidhani huko kuna usalama kuliko kwa Mungu, eti kwasababu kwa shetani utapata hirizi ya kuvaa, eti kwasababu utachanjwa chale na kuwekewa dawa, eti kwasababu utanyweshwa dawa za kujikinga, eti mganga atazindika nyumba yako, naomba nikwambie kitu mpendwa, shetani amekuwa akikuwinda sana wakati Mungu amekufunika na ulinzi wake, mara tu utakapotoka mikononi mwa Mungu,shetani atakugawanya vipande vipande, na Mungu anachukia kurudi nyuma, hebu msikie mwenyewe! “Ikiwa mtabaki katika nchi hii, ndipo nitawajenga, wala sitawabomoa, nami nitawapanda, wala sitawang'oa; kwa maana nayajutia mabaya niliyowatenda” Yeremia 42:10. Endelea kumsikiliza, “Haya ndiyo yatakayowapata watu wote waelekezao nyuso zao kwenda Misri, na kukaa huko; watakufa kwa upanga, na kwa njaa, na kwa tauni; hakuna mtu awaye yote miongoni mwao atakayesalia, au kuokoka katika mabaya nitakayoyaleta juu yao” Yeremia 42:17. Mpendwa kaa kwa Yesu kuna usalama wa kutosha, huko misri/duniani/kwa shetani UTAKUFA!!! Katika Mithali 1:32 imendikwa “Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.” Kurudi nyuma au kumwacha Yesu ni ndani ya maamuzi yako, lakini kutakuua, be sure! Yesu akagongelea msumari huu hapa katika Mathayo 12:45, msikie “Mara(pepo) huenda, akachukua pamoja naye pepo wengine saba walio waovu kuliko yeye mwenyewe, nao huingia na kukaa humo; na mtu(aliyerudi nyuma/mwacha Yesu) yule hali yake ya mwisho huwa mbaya kuliko ya kwanza. Ndivyo itakavyokuwa kwa kizazi hiki kilicho kibaya.” Uko tayari kupata shida yote hiyo? Sema hapana, maana Mungu baba yetu anatupenda na wala hataki tupotee, kaa ndani ya Yesu uwe salama na ufanikiwe! YESU NI MWOKOZI WA ULIMWENGU NJOO KWAKE LEO! Uwe na siku njema katika jina la Yesu Kristo.
Kwa msaada zaidi piga: 0756-292-211 au 0711271110 Mwalimu kelvin Nathaniel Lwiva
Mhhhhhh
Nabarikiwa na maombi haya, eeeh MUNGU Usinipite Mimi NDUGU na JAMAA ZANGU, AMEN
Amina napokea uponyaji kwa jina la yesu
Amen amen Mungu ni mwaminifu sanaaa,,, tunashukuru kwa maombi
Ameeeen
Asante Yesu Kristo Kwa kuniponyaa
Mungu akafungue mbingu ktk shighuli zetu atulinde dhidi ya maadui
Amina sifa enzi na utukufu ni kwa Mungu wa mbinguni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo
Ameni kubwa hata mimi ataniponya
Mungu wangu uliye hai, ahsante kwa uponyaji wa mtoto wangu huko aliko shuleni, wewe ni Mungu mwenye upendo. oooh ahsante Yesu
Mungu wetu ni mkuu sana na mwaminifu mwenye kusikia na kutenda kama unavyohitaji, Mtoto abarikiwe,Malaika wa bwana wamlinde na kusimama nae popote akanyagapo.
Amebarikiwa katika jina la Yesu Kristo 🙌🏿
Asante Yesu usiku nilikuwa najisia vibay sn..nikafuatilia haya maombi hakika MUNGU mkuu. niko vizuri sn
Ameniponya Yesu asante Adonai
Yesu alivyo mzuri hivi jamani, kwann wengine wanajidanganya kwenda kwa waganga, sifa zote hizi ni zako Baba yetu uliyejuu
Namshukulu Mungu kwa uponyaji nilioupokea hasante Bwana Yesu wew ni Mungu uniponyae
Acha tu I wish tumtegemee Mungu wote. Ulimwengu ungekuwa shwari.
Naitwa Rehema nimepokea uponyaji nilikuwa nasikia maumiv chini ya tumbo, nina ujauzito wa miezi 9 naamin nitajifungua salama , namtoa mtoto huyu sadaka ya dhabihu na nadhiri yangu kwa Bwana ikiwa atanifanikisha kulipwa mafao, kupata mahitaji yangu na ya mtoto Amen.
Kweli Mungu ni Mungu heshima na tukufu ni kwenye yeye atendaye hata yote❤
Bwana yesu asifiwe nilikuwa naumwa mguu ulipokuwa unaomba uvimbe umepona.
Nakushukuru Mtumishi kwa ajili ya maombi haya nilikuwa na naumwa. Nikasikiliza maombi haya kwa imani nikapokea uponyaji. Na atukuzwe Mungu Mungu wa mbinguni aendelee kukutunza na kukulinda🙏
Asante Mungu kupitia mtumishi wako
Mungu uponyae Asante kwa uponyaji wako juu ya maisha yangu Asante Jeova nisii Ubarikiwe Mwalim Mwakasege and Diana Mwakasege
Asante yesu wangu kwa kuniponya miguu yangu imepona sasa
Mungu ni mwema
Mungu ni mwemaa
Ubarikiwe baba Leo naweza kuwa naheshima kwa ajili yako baba Umetulea vizuri
Baba Christopher namama yangu Diana nawapenda sanaaa, Mungu waIbrahimu awatimizie ahadi zake kwenu, awatunze naRoho Mtakatifu asiwaondolee Bali awajaze daima ili muendelee kutumika, Mbarikiwe mpaka mshangae pamoja nafamiliya yenuu
Asante Mungu kwa utukufu wako
Ashukuriwe sana Mungu kwa kurupa mtumishi mwekasege nabarikiwa sana
Neno lako ni Kweli na amina MUNGU mwenye NGUVU
Utukufu kwa Mungu aliye hai kwa uponyaji
TZ mupo na NEEMA ya pekee kua na wqtumishi kama MWAKASEGE na DiaNa naomba Mungu awanyanyue zaidi ili waendelee kuwa msaada kwa watu wengi
Mungu wangu naomb hitaji langu haja ya moyo wangu baba ,naomb nkuone leo kuptia maomb haya naamin namm bwana Mungu nakuomba Mungu
Bwana yesu naomba mpinye mwanangu kila homa iliyopo ndani yake itoweke kwa jina la yesu
Asante Yesu kwa kuniponya ni mzima tena Asante yesu kwa kunikomboa amen
Nimepona kwa jina la Yesu
Amen am blessed our God never changes more grace
Amina
Mungu baba asante kwaajili ya mtumishi wako Christoph a mwakasege ,naomba unikutanishe nae itaji langu walijua bwana
Mungu atukuzwe milele na milele
Asante yesu kwa kuniponya
Asante sana barikiwa sana mwl
Asante Yesu umanaweza kutumia watu wako waliotayari kusaidia wanadamu wakujue. Maisaidie mtumishi wako kuijua kweli yote. Neno lako kupitia yy limeniponya. Asante Mungu
Hakika mungu yupo na anajibu Kila mmoja kwa wakati wake.
Namushu mungu mwenyew nguvu kwa kunitia nguvu
Shalom
Nimesikiliza hii semina leo tar 24/10/2021 akati anaomba nimeshika tumbo Mana lilikua linasumbua anasema upande wa kushoto af kweli maumivu yakaongezeka upande huo huo kama vile anaonyeshwa yani na ni semina ya mwaka jana hii 🙏
ila namshukuru Mungu niko sawa ni hewa chafu tuu inatoka tumboni kwa sasa
Maombi huambatana na imani nimejifunza hili leo
Mungu akubariki mtumishi🙏🙏
Namshukuru mungu Kwa yote anayonitendea ameni
Shalom mtumishi wa MUNGU, kweli mom wangu umependeza, KRISTO AZIDI kuwainua
Haleluya. Utukufu kwa Mungu
Asante MUNGU kwA ajili bus uponyaji wangu. Uhimidiwe Bwana
Namshukuru mungu ni mwema Kila siku🙏
Amina kubwa mtumishi
Asante Yesu kwakua umenionekania, hakika nimepokea in Jesus name.
Nawapenda Sana hawa watumishi wa Bwana Christopher Mwakasege na mkewe Diana kwa kweli maombi yenu huwa na barikiwa Sana
Bwana ndiye mponyaji,yesu ni maji yatuliza kiu yangu.
Tenda muujiza mungu wangu nenda mbele yangu yesu nipiganie nipe kushinda katika jina la yesu nivushe ng'ambo mungu wangu nishike mkono yesu
Wewe Ni Mungu uponyae naomba uniponye Mungu wangu matatizo yote yanayo nisumbua AMINA
Ahsante mtumishi me nlikuwa nahs roho za mauti lakini saiv nahisi kufungiliwa ubarikiwe sanaa
Tunakukumbuka sana Paul mwangusi
Kupitia shuhuda huu..nins Imani ndugu yangu aliye potea 2015 atarejea 😭😭😭😭🇰🇪🇰🇪
Ameeen amen
Amen and To God be the glory .
Mungu ni mwenye upendo, huruma na ni mlinzi wetu basi ndugu yetu atapatikana haijalishi ni kwa muda gani lakini atarudi katika jina la Yesu kristo.
@@gooddeeds162 AMINA😩😩😩💔
Nilikuwa napata maumivu ya vidonda vya tumbo na choo kama Cha mbuzi baada ya haya maombi namshukuru MUNGU wa mbinguni amenitetea na kuniweka huru nimeiona Nuru ya Bwana Kwa wazi ni muda wa mwaka sasa ninaumwa sana sifa utukufu na heshima na za kwake Bwana Yesu na MUNGU wangu Alie juu Yesu ni mzuri ninalia Kwa furaha asante Kwa Baraka watumishi wa MUNGU
Ktk watumishi wanaotumiwa na Mungu huyu ni no 1 hana mbwembe Mungu anafanyaga mwenyewe live namkubali,Mungu bariki hii huduma idumu
Amen maombi mazuri sana Mungu azidi kukuinua Mtumishi Mwalimu kirstofa
Mungu ni mzuriii mno
Jina la Yesu liinuliwe Sana.
Mungu aliyejibu kwahawa wapendwa wetu naamini atajibu na kwangu
Nashukuru Mungu kwa mtumishi huyu baba nimepata uponyaji 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Napokea nguvu ya uzima na familiar yangu ,barikiwa watumishi wa mungu
Bwana yesu ponya familia yangu ,ulinz wako ukatawale kwenye ndoa yangu ,. Ukaniepushe na kila baya lililo mbele yangu
Nimekumis mwalim BABA, Karibu njombe mkoani
mungu amenionekania jamn
kwa muda mchache
Mungu wa mbinguni azid kuwa neemesha mzid kuwa wazima mzid kutubeba katik maombi mbarikiwe sana
Asantee bwanA yesu kwa kuniponya
Mungu Asante kwa uponyaji wako,ninakurudishia sifa na utukufu unastahili baba
Mungu akubariki baba upo msaada MKUBWA kwa taïfa la Mungu,laiti ungeli fika inchini mwetu DRC naomba tupate kibali machoni mwa Bwana ukanyage inchini mwetu