FAIDA ZA KUPOKEA UPAKO WA MFALME NA KUHANI MKUU MELKIZEKI WAKATI WA KUSHIRIKI MEZA YA BWANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • KONGAMANO LA 12

Комментарии • 90

  • @TimothEmanuely
    @TimothEmanuely Год назад +6

    Asante MUNGU kwa Mtumishi wako amekuwa baraka Sana katika maisha yetu hakika tunapata nguvu Sana ya kuwa karibu na MUNGU wetu AMINA

  • @KandidoLuvanga
    @KandidoLuvanga 12 дней назад

    Asante mwalimu mungu azido kukubariki na kukulinda uzidikutupa nuru ulimwenguni hapa

  • @agripinarajab6994
    @agripinarajab6994 3 года назад +1

    Amina mwl,Mungu akubariki akuongezee mafuta ya ualimu,

  • @PsilaoKamwana
    @PsilaoKamwana 3 года назад +2

    Asante MUNGU kwa kutupa zawadi ya mtumishi

  • @johannesemmanuel843
    @johannesemmanuel843 2 года назад +1

    Namshukuru mungu anaekuwezesha kuinenena siri ya ufalme wa mungu zidi kubarikiwa sana baba

  • @yahayatemu1003
    @yahayatemu1003 3 года назад +1

    Ameniii, ubarikiwe mtumishi wa Mungu, asante kwa kutuelimisha.

  • @sinyoritasamwel6392
    @sinyoritasamwel6392 3 года назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi unanipa nguvu pale nipoyasikia mafundisho yako mungu akupe maisha marefu amen

  • @GODisable7573
    @GODisable7573 4 года назад +5

    Amen 🙏🏾 zidi kubarikiwa Mwalimu na huduma nzima ya Mana Ministry

  • @irynaedward649
    @irynaedward649 3 года назад +1

    Nampenda Sana huyu Mtumishi Wa Mungu aliye hai,Mungu akutunze mpaka mwisho wa uhai wako baba( wewe na familia yako

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 4 года назад +4

    We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen

  • @magdalenamsuta7336
    @magdalenamsuta7336 3 года назад +1

    Asante sana

  • @clemensiameshack7480
    @clemensiameshack7480 3 года назад +1

    Umefanyika baraka kwangu,Mungu akubariki kwa huduma yako nzuri

  • @nururaphael9913
    @nururaphael9913 3 года назад +1

    Najiungamanisha na madhabahu hii amen

  • @ElizaNywage-zx9wx
    @ElizaNywage-zx9wx Год назад

    Ubalikiwe sna mtumish mungu akulind na aendelee kukup mafunuo mapy

  • @elizabethjuma2837
    @elizabethjuma2837 4 года назад +1

    Nimebarikiwa sana kwa haya mafundisho. Ubarikiwe sana Mwalimu 🙏🙏

  • @leilaomary3574
    @leilaomary3574 2 года назад +1

    Yesu wewe ni mwema our hearts are filled with endless praise.

  • @monicambetwa2620
    @monicambetwa2620 4 года назад +2

    Barikiwa sana sana mtumishi Wa Baba

  • @jescarwegoshola7231
    @jescarwegoshola7231 4 года назад +12

    Eeeee Mungu mwenyezi naomba uzidi kumpa nguvu na Afya Mwl huyu na hekima yake nabusara na maarifa vizidi,Pamoja na Familia yake na Watenda kazi pamoja na yeye🙏

  • @janekajuna9611
    @janekajuna9611 4 года назад +1

    Ubarikiwe mtumish wa Mungu

  • @UpendoLusamba
    @UpendoLusamba Год назад

    Mungu akutunzee mwl!!

  • @shabanmohamed1545
    @shabanmohamed1545 3 года назад +2

    Mungu akupe uzima milele baba .

  • @beyondscapes7847
    @beyondscapes7847 Год назад

    Shalom. Hiyo Heading inabidi isomeke kuhani mkuu *MELKIZEDEKI* kwa ufasaha zaidi. Ahsante.🙏🙏

  • @happinessakim2679
    @happinessakim2679 2 года назад +3

    Be Blessed Daddy 🙏🙏🙏

  • @elizabethjuma2837
    @elizabethjuma2837 4 года назад +1

    Nai enjoy mafundisho yako sana nikiwa apa Saudi Arabia

  • @anselemvangishauri9338
    @anselemvangishauri9338 2 года назад +1

    Amen

  • @mujwahuzikyabwishukuru2917
    @mujwahuzikyabwishukuru2917 2 года назад +1

    Mwalimu (Teacher)

  • @happydorcasmollelmollel6114
    @happydorcasmollelmollel6114 3 года назад +1

    Kweli ww ni mwalimu, barikiwa sana.

  • @mesereswai3927
    @mesereswai3927 3 года назад +1

    Mesere,swai

  • @mujwahuzikyabwishukuru2917
    @mujwahuzikyabwishukuru2917 2 года назад +1

    MWALIMU (TEACHER)

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 4 года назад +1

    Amen napokea kwa jina la yes kiristo

  • @justinamanimushengezi9492
    @justinamanimushengezi9492 3 года назад +1

    BWANA akubariki Babaya'ngu 🙏

  • @shigongorevocatus8574
    @shigongorevocatus8574 3 года назад +1

    Barikiwa

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije Год назад

    Nuru ya mungu ikuongoze mtumishi !!?

  • @williamjoram9775
    @williamjoram9775 2 года назад +2

    Ninashukuru kwa mafundisho

  • @ngoromaernest8514
    @ngoromaernest8514 3 года назад +1

    Ubarikiwe mtumixh

  • @raphaelkiza
    @raphaelkiza 4 года назад +2

    Sifa kwa Mungu kwa mafuta mabichi juu ya mtumishi wako Mwakasege👏👏👏💪

  • @samwelmwaijumba6018
    @samwelmwaijumba6018 4 года назад +8

    Amen Glory to God....

  • @lucyodiwa5331
    @lucyodiwa5331 4 года назад +2

    Tangu nianze kufuatilia Masomo yako mwalimu maisha yangu yamebadilika kabisa. Nilianza na somo la uponyaji kwa moyo uliopondeka na nikapona kabisa roho, mwili, na mifupa. Lol! Mwanzoni sikutakaga kabisa kusikia masomo yako na sikuwahi kufika kwenye seminar zako. Lakini sasa ni mfuatiliaji makini kwasababu nimedhihirisha kuwa Wewe hakika ni mtumishi wa Mungu aliyehai

  • @nelliemuganda4113
    @nelliemuganda4113 4 года назад +3

    Bwana Yesu asifiwe sana

  • @sarahfaida4122
    @sarahfaida4122 4 года назад +2

    Glory to God, Mungu na azidi kukuvika ujasiri na nguvu na mafuta mapya kila siku!

  • @jeandelmasaby1982
    @jeandelmasaby1982 3 года назад +1

    29 Mnapoambiwa kuwa, "Ikiwa shule ya uchungaji ni ya shetani, basi mtu anawezaje kuwa mchungaji, mtume, na kadhalika ...?" " Mtasema kuwa ni nabii mjumbe tu anaye teuwa na kuweka wakfu huduma za wakati wake. Kuhani hajawahi teuwa kuhani mwingine. Na makuhani hawawezi kuwekwa wakfu na kuhani mwingine kwa kuwekewa mikono kama inavyoonekana makanisani. Ni nabii mjumbe ambaye huteua watumishi wa Mungu wa wakati wake. Hii ndiyo njia ambayo Mungu ameweka. Ni Musa ndiye aliye teuwa ukuhani kulingana na Mambo ya Walawi 8 bila shule ya uchungaji. Na ikiwa wewe ni mtumishi wa kweli wa Mungu, utakuja kwa Musa kama Yethro, kuhani wa Midiani. Ilikuwa ni Yohana mbatizaji aliye teuwa Apolo bila shule ya uchungaji. Ilikuwa Paul ambaye aliye teuwa Tito, Timotheo ... bila shule ya kichungaji na leo, ni Kacou Philippe ambaye aliye ni teuwa bila shule ya uchungaji kwa sababu kama nabii, aliona zawadi hiyo ndani yangu. [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »]. Nanyi enyi Wakatoliki, Waprotestanti, Wainjili na Wabranhamisti, mkilipa zaka kwa mtume, mwinjilisti au mchungaji na yeye hajalipa zaka ya zaka kwa kuhani mkuu ambaye ni nabii mjumbe wa wakati wake, kuna kiunga kilichokosekana, kwa hivyo ni mbaya, ni kashfa. Kwa sababu kupitia nabii mjumbe gani Mungu alikufanya uwe mtume, mwinjilisti au mchungaji? [Ndr: linasema: "Amina! »].
    30 Wanadamu lazima wajue kwamba, kulingana na Yohana 9: 5 na Yohana 6: 28-29, wakati unamkataa nabii aliye hai wa wakati wako, Yesu Kristo unayemwabudu siyo mwingine ila shetani. Makanisa ya Kikatoliki, ya Kiprotestanti, ya Kiinjili na ya Kibranhamisti pamoja na misioni na huduma zinamwabudu shetani kwa jina la Bwana Yesu Kristo. Ulimwengu lazima ujue kuwa funguo za Ufalme huwa duniani daima na mtu ambaye ni taa iwakoyo na nuru ya ulimwengu. Humuwezi kufanya kazi ya Mungu isipokuwa mnaamini na kuwa mnenaji wa yule aliyetumwa na Mungu. Hata kama unyofu wako unazidi ule wa Kornelio, Mungu hatakufanya chochote isipokuwa kukuongoza kwa yule ambaye ana funguo za Ufalme duniani kwa wakati wako. Funguo za Ufalme zimepita kutoka kwa Yohana Mbatizaji kwenda kwa Yesu Kristo, kutoka kwa Yesu Kristo kwenda kwa Petro, kutoka kwa Petro kwenda kwa Paulo na kisha kwa Ireneo, mtakatifu Martin wa Tours, Colomban, Martin Luther, John Wesley, William Branham , kwa Kacou Philippe leo na zitakuwa na mtu mwingine siku moja wakati Kacou Philippe hatakuwepo duniani tena! [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »]. Wakati Israeli iliomba mfalme kwa Mungu, Mungu aliwapa mfalme, lakini funguo za ufalme zilibaki kwa Samweli nabii aliye hai. Funguo za Ufalme wa Mbingu huwa na nabii aliye hai duniani. Na itakuwa hivyo daima hadi mwisho wa wakati. [Ndr: Kusanyiko linasema: "Amina! »].
    #Prophetkacouphilippe

  • @AngelMngete
    @AngelMngete Месяц назад

    Ameni🙏🙏

  • @victoriskiwango6770
    @victoriskiwango6770 2 года назад +2

    Glory to God

  • @amanikutuba2555
    @amanikutuba2555 4 года назад +1

    Napokea kwa jina kuu la yesu

  • @asifiwegodfreymunisi4573
    @asifiwegodfreymunisi4573 3 года назад +1

    Napokea kutoka kwa ROHO MTAKATIFU KUPITIA CHRISTOPHER MWAKASEGE

  • @pendojemsy1532
    @pendojemsy1532 4 года назад +2

    Asante.

  • @tinielmnzava9665
    @tinielmnzava9665 4 года назад +3

    Ameen

  • @happykizito4916
    @happykizito4916 3 года назад +1

    Ninakushukuru MUNGU kwa ajili ya mwalimu upako wa kifalme ufurike azidi ndani yako na family Amen

  • @DottoModest
    @DottoModest Год назад

    😊

  • @lynelee5846
    @lynelee5846 4 года назад +13

    Huu ulikuwa upako wa kipekee.. nilipokea ujazo mpya hapa Qatar 🥰

  • @rosemosses7155
    @rosemosses7155 3 года назад +2

    Ameeeeen and Ameeeeen

  • @mwalimunanabiinelsonmwakik5542
    @mwalimunanabiinelsonmwakik5542 4 года назад +2

    Barikiwa mnomno baba yetu

    • @rostertweve9437
      @rostertweve9437 3 года назад

      Mungu akutunze kwa utumishi huu tunabarikiwa na kupata ufahamu juu ya elimu ya ki Mungu.

  • @SERGESENGI-me2iq
    @SERGESENGI-me2iq 11 месяцев назад

    Tumeshukuru kwa mafundisho

  • @peninahnyabonyi9331
    @peninahnyabonyi9331 4 года назад +2

    Ameeen

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 4 года назад +4

    Endelea kumpa MAISHA marefu,na kumwongezea HEKIMA NA BUSARA TOKA KWAKO EE BABA WA MBINGUNI

  • @samops1074
    @samops1074 4 года назад +2

    Injili Ya Kweli

  • @theresialubida161
    @theresialubida161 Год назад +1

    Glory to God 🙏🙏🙏🙏

  • @davisfungo4481
    @davisfungo4481 4 года назад +1

    AMEN

  • @tuzompwaga9947
    @tuzompwaga9947 4 года назад +1

    Dady

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije Год назад

    Hekima na maarifa zikuzunguke mtumishi !!?

  • @josephmolle
    @josephmolle 4 года назад +4

    A men

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 4 года назад +2

    We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 2 года назад +1

    Amen

  • @frankmtei3017
    @frankmtei3017 4 года назад +2

    Ameen

  • @nashonmwazarubi9895
    @nashonmwazarubi9895 4 года назад +1

    Amina sana

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 4 года назад +1

    Endelea kumpa MAISHA marefu,na kumwongezea HEKIMA NA BUSARA TOKA KWAKO EE BABA WA MBINGUNI

  • @yukundamushi7048
    @yukundamushi7048 4 года назад +1

    We baba was Mbinguni tunashukuru kwa kutupa huyu Mwl anayetulisha Neno LA Maarifa na kujua namna yakukuishi na kujua kanuni za kuishi Ameen

  • @sweetsalia548
    @sweetsalia548 4 года назад +3

    Amen

  • @johndenis8768
    @johndenis8768 4 года назад +4

    Amen

  • @catherinegewe4183
    @catherinegewe4183 4 года назад +2

    Amen

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 4 года назад +2

    Amen

  • @elizabethjuma2837
    @elizabethjuma2837 4 года назад +1

    Amen

  • @annawambura2889
    @annawambura2889 4 года назад +1

    Amen

  • @helenkimaro8251
    @helenkimaro8251 4 года назад +1

    Amen