MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE: KIBIBLIA TUMBO LA UZAZI LA MWANAMKE NI NINI? [1]

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 дек 2024

Комментарии • 46

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 2 года назад +6

    Asante bwana yesu kwa ujumbeee huuu Asante pia kwajili ya mtumishi wako. Mlinde na mfunikee kwa bawa zako.badotunajaaa tunahitajikula kupitia kinywaa chake.

  • @joyceyohana8800
    @joyceyohana8800 Год назад +1

    Mafundisho Haya yamenifungua sanaaa Mungu akubariki sanaaa mtumishi Wa Mungu

  • @hosianalazaro1389
    @hosianalazaro1389 2 года назад +2

    asante Mwalimu kwa neno zuri mno ..sasa ni mepata picha kwa nini unakuta mtoto anashida mama akiombewa tumbo la uzazi mtoto anafunguka ... kwa kweli Damu ya Yesu itutakase matumbo ya uzazi ...

  • @vickydan2869
    @vickydan2869 2 года назад +2

    Mungu akubariki sana mwalimu Amina

  • @marytabu4904
    @marytabu4904 2 года назад +2

    Amina. Natuzwa sana na haya mafundisho yako mwalimu. Yanafika kwangu kwa wakati. Neema ya Mungu izidi kwako mtumishi.

  • @evamwinga921
    @evamwinga921 2 года назад +2

    Mungu akubariki Mwl Mwakasege kwa mafundisho.

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 2 года назад +1

    Nashukuru Sana mwalimu wa kiroho.jambo jipya uliloniongezea.ni kuombea choo na bafu.(lango la uchafu).Aleluya!

  • @jacklinekayombo468
    @jacklinekayombo468 2 года назад +1

    Namshukuru Mungu sana kwa kukutumia ili tupone Asante baba

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 2 года назад +2

    Thankyou thankyou so much asanteni saaana tunashukiru mno kwa somo hili

    • @juliethernest4550
      @juliethernest4550 2 года назад

      Somo Hili limenigusa Sana natamani kuuliza maswali mengi sana

  • @magdalenajohn6564
    @magdalenajohn6564 2 года назад +4

    Somo ni zuri sana. Swali langu hapo mwl umesema kama Mungu a anataka Jeremia aje wewe ukataka mariam aje utaleta confusion. Sasa naomba unisaidie.kama Mungu kanipa watoto wa kike sasa nikatamani anipe wakiume nafanyaje?natamani kujua sana

    • @jescaedwardkurumela4333
      @jescaedwardkurumela4333 2 года назад +5

      Nilinavyo elewa mie: baada ya Kuomba uitaji wako, omba shauri la Bwana litawale na litimie juu uzao wako haijalishi wewe wataka jinsia gani ya mtoto

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 2 года назад

      Nafikiri hapo labda lango lako nikwajili watoto wakike tu

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Год назад

      Simple
      Unarudi kwake unamuomba akupe wa kiume tu

    • @happyodran4347
      @happyodran4347 Месяц назад

      Jesca is more correct, apendavyo Mungu

  • @MaryEsya
    @MaryEsya Год назад

    God bless you man of God

  • @ministerHappyAllan
    @ministerHappyAllan 2 года назад +1

    Powerful
    Thank you Jesus kwa maarifa na ufunuo huu

  • @joycejacob9615
    @joycejacob9615 2 года назад

    Ameeen ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Yes hapa nasikia vizuri sasa

  • @danielkivuyo2052
    @danielkivuyo2052 2 года назад

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад +2

    Kwa kweli hata mimi siombeagi choo

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад

    aisee kuna mila ngumu humu duniani,uzini na maiti?🤔,looh shetani muongo jmn!
    asante Yesu.

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 2 года назад +1

    🙏Man of God

  • @juliethernest4550
    @juliethernest4550 2 года назад

    Asante Yesu

  • @gloria5990
    @gloria5990 2 года назад

    AMEN!!!!!! Hallelujah!!

  • @agnesnyakota2937
    @agnesnyakota2937 2 года назад

    Agness,amen,

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад +1

    Tumbo la uzazi la Mwanamke ni lango la kiroho!!!

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад

    asante Yesu

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Haleluya

  • @cartasmaganga8099
    @cartasmaganga8099 2 года назад

    Asante Yesu kwa somo hili hakika neno limeponya mapito yangu🙏🙏😭.. Nitasema na tumbo langu this time🙏🙏🙏

  • @pendompingwa3395
    @pendompingwa3395 2 года назад

    Amen🙏

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Amen Amen Amen

  • @agnesnyakota2937
    @agnesnyakota2937 2 года назад

    Agness.6days ago. Amen

  • @joycesamweli1219
    @joycesamweli1219 2 года назад

    Utajuaje Sasa mwalimu Mimi nina watoto watatu wa kiume lakini niliomba mtoto wa kike utajuaje sasa

  • @mwalimunanabiinelsonmwakik5542
    @mwalimunanabiinelsonmwakik5542 2 года назад

    Amen

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    1Korintho 5:7

  • @magdalenajohn6564
    @magdalenajohn6564 2 года назад

    Mwl Mwakasege tusaidie hapo .nitajuaje kama Mungu anamtaka jeremiah wakati mimi na muomba mariam?natamani kujua kwani wengi wetu kama tuna watoto wa kiume tunaomba wa kike .kama ni wakike tunaomba tupate wakiume. Hapo inakuwaje Mwakasege?nahitaji kujua ili tusilete huo mkanganyiko.

    • @jescaemmanuel100
      @jescaemmanuel100 2 года назад +2

      Ukiwa unaomba usiombe mapenzi yako,,,tamka mapenz ya Mungu yatimizwe sawa sawa na kusudi lake KWAKO,,, kwasabbu yeye anajua kipi kikufaacho my dear. MKABIDHI BWANA MOYO WAKO NA MAWAZO YAKO TAYATHIBITIKA 🧎🧘🙏

  • @upendoeliudi5196
    @upendoeliudi5196 2 года назад

    Ameeen barikiwa sana kwa maarifa haya

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Amen Amen

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Amen

  • @neemamachangemachange8874
    @neemamachangemachange8874 2 года назад

    Amen

  • @petterjosephat5686
    @petterjosephat5686 2 года назад

    Amen