DALILI ZA KUKUJULISHA UNASHAMBULIWA KIROHO || PST. GEORGE MUKABWA || 15/06/2023
HTML-код
- Опубликовано: 14 июн 2023
- #Tanzania #jrctz #jrcchurch
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
#jrcchurch #Tanzania #jrctz
Gospel Teachings for soul winning Purpose.
#jrcchurch #Tanzania #jrctz#youngministersconeference2023#
Pastor George Mukabwa -Senior Pastor-Jesus Restoration Centre (JRC), Mwanza Tanzania.
For Offering you can send from any Network to M-Pesa Lipa Namba 5252176
#jrcchurch #Tanzania #jrctz #PastorGeorgeMukabwa Кино
Duuuuh huyu pastor ni kwere, nilikuwa simjui ila naona nimekuwa addicted na haya mahubiri, hata siwezi kulala bila kumaliza mahubiri🤔🔥🔥 Mungu ambariki sana
Same thing here he's a spiritual man
Since I heard this pastor teachings as I was scrolling you became my pastor online ,am blessed day by day ,may the Lord you
Same thing here he's a spiritual man
I thank God for connecting me with pastor George , mafundisho yako yananifhnza na kuniinua. Mungu akubariki sana
Ubarikiwe sana Mchungaji kwa kweli ya Mungu 🙏❤️
Thanks JESUS, nimebarikiwa hakika nitainuka niendelee na safari ya Imani.
Jamani hawa ndio watumishi wakweli wanatufundisha neno la kweli jinsi tunavyoshambuliwa kiroho... Asante baba nimepokea neno Amen
Asantee mtumishi wa Mungu neno limeliskia kwa wakati sahihi 2024🎉ubarikiwe sanaa
Mungu akulinde na kukuinua zaidi mtumishi
Hili somo ni langu asante Yesu kwa kibali umeruhusu nisikililize apa
Nimebarikiwa kuliko kawaida nahisi waumini wako wanafaidi Sana,
Endelea kutenda kazi ya Bwana vyema.
Baraka za Mungu zikufuate popote pale uendako mtumishi wa Mungu.
Pastor glory to this message,himenipa njia
Asante Bwana Yesu kristo Kwa kunirudisha Kwa njia kupitia mtumishi wako ni Mimi nikirudi nyuma sana lakini ukanikumbuka leo 😢😢thank You Lord 🙏🙏
Nashukuru kupatana na huyu mchungaji kwa kweli nabarikiwa Sana nipo kenya
Mungu azid kukutumia baba nabarikiwa nafunguliwa sanaa kupitia mafundisho yako Mungu akutunze. Sanaa
Hakika umenena vyema Mtumishi wa MUNGU, Ubarikiwe sana✍️🙏🙏
Mmmmmmh sasa najua Mungu ana WATUMISHI ALIOJISAZIA,,,, hata dunia ingechafukaje WEWE NI MMOJA YA WALIOSAZWA. BARIKIWA.
Ameen amina mungu akubariki sana mtumishi wa mungu, yote uliyohubiri mjungaji ni kama ni mimi ulinihubiria ubarikiwe sana kwa kunifungua amina ubarikiwe
Mafundisho mazuri ya kufungua mtu kwenye vifungo vya shetani Mungu akubariki sana Pst
Postar umejega Imani yangi God bless you
Mungu akubariki sana pastor .
Kabisa mtumishi WA mungu Mimi nimagojwa na hospitalini haionekani ugojwa chest pain
Ubarikiwe Sana mtumishi mungu amekutumia kwa ajili yangu dalili zote nimejifunza nimepitia nilikuwa karibu na kupotea hakika nimepata nguvu mpya
Wewe ni mwl mzuri sana wa Neno la Mungu uwa nafatiliaga na ku download mahubiri yako pst,yamenipa hatua kubwa.
UBARIKIWE SANA MTUMISHI WA MUNGU
Amen mtumish
Nmejifunza kitu Kikubwa sana.
Ila dalili ya 1 & ya 8 n Zahatari mno na Za kuziepuka kwa Kila namna MUNGU atusaidie.
Mtumishi ,this word has found me at the right time, kumbe nilikuwa nimevamiwa ,but after 3 days of fasting , I thank God almighty for this word .
Mchungji umenibariki sana
Amen
Ameen sana kweli mchungaji hayo ndo yanayonipata Asante kwa neno lako
Asant aposto kwa mafundisho mungu wetu akaubaliki
Thanks for the message May the LORD meet you to your point of need. And remain blessed
I use to ignore watching this video many times. I didn't know it has this wonderful message for me 😢😢😢. May the almighty God Bless you Man of God.
😊..
Mm😊 my
😮
Blessed mtumishi wa Mungu
This is me. So today fifteen April I just scrolled it so many times but I decided to listen
Ubalikiwe Sana mtumishi
I have been so blessed since I started listening to you pastor you are a blessing
Amen Mungu wangu kwa kunikutanisha na haya mafundisho ya leo,nimehisi upenyo wa roho mtakatifu ndani yangu.asante yesu.
Najifunza mengi sn kupitiai huyu Pastor.MunguAmtumze
Mungu akubariki saaana, kweli wewe ni mwalimu Mungu akutunze
🙏🙏🙏🙏🙏🙏 Asante sana mungu akubariki
Hii imenigusa sana Pastor @George Mukabwa 🎉Mungu abariki
Powerful revelation.. Hallelujah!
Hallelujah glory to God..🙏🙏🙏
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen 🇷🇼
Amina napokea baraka kwa jina na kwa Damu ya YESU KRISTO
Amen Amen Amen nimejifunza kwa huu ujumbe sitakubali tena kutolewa kwenye nafazi yangu💥💥🇰🇪🇰🇪roho ya uzito 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 in Jesus Name 👏👏👏
Annastisia
Yaaa,uyu ni mtumishi wa kitofauti,anatumikia kusudi la Mungu sirias.tunamuomba aje daa.
Haleluya JESUS Mungu Mukomboe watu wako
Everne moris mungu akupiganie sana Kwa kaz nzuri umenijenga sana nasomo hili barikiwe na mungu mtumishi wa kweli amena
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu.
Amenii Baba nmefunguliwa sana sana hili somo kunamahali nmetoka na Kuna mahali na kwenda Mungu wa mbinginii Akubariki Baba 🙏🙏🔥🔥
Am so glad man of God to hearing your teachings coz am gaining so many good spiritual things .ooh God thanks so.
Barikiwa mtumishi wa Mungu na Mungu wa mbinguni akuzidishe zaidi ili izidi kutuhudumia .... Amen
Ubarikiwe sana pastor
KABISA HUYU MTUMISHI JAMANI, MUNGU AMBARIKI,SANA YAANI NIMEPATA DELIVERENCE KWA KUSIKILIZA TU, MTUMISHI MUNGU AKUBARIKI SANA 🙏
0⁰😢😢
Ni kweli kabisa wewe uko natufunguwa vichwa mafundisho mazuri sana
Amen amen amen amen amen amen amen
Amen🙌
nashukuru Sana kwa mafundisho
Huyu ndie mchungaji ambae hana utapeli ndani yake ila anahubili akiongozwa na ROHO WA MUNGU. Naomba MUNGU azidi kumuinua na kumbariki in everything.
Ameen 🙏🏾🙏🏾
Very true anahubilii pure ijili. May aGod fight his battles.
❤❤❤
Me too l love his teachings..,
mungu ambariki
Mungu akubariki sana mchungaji yaan sijui kwann sukukufaham siku nyingi. Mafundisho yako ni mazuri sana unaongozwa na Roho Mtakatifu mchungaji. Mungu akuinue sana.
Amen nimebarikiwa sana
Amen baba angu 🙌 kuanzia sasa nimefunguliwa katika jina lipitalo majina yote Yesu kristo💪💪 nimepona na mashambulizi yote ya ibirisi niko huru 🙌🙌🙌🙌
Àmen
Amen & Amen. Ubarikiwe mtumishi.
Nashukuru MUNGU kwa kuniongoza moja Kwa moja Kwa mtumishi mukabwa Kwa sababu Leo nimefunguliwa naomba unisaidie na mengine yafunguliwe
Amen Mungu akubariki saana mtumishi uzidi kuwa baraka kwa watu wote
Amen, namshukuru mwenyezi Mungu Kwa kuniambatanisha pamoja na mutumishi wake ilikunieka kwenye njia sahihi ya neno la Bwana. Nabarikiwa kila wakati ninapo sikiza mafundisho ya kwako. Mungu akuzidishie afya na nguvu ya kuendelea kufanya Kazi yake Amen
Mungu akubariki. Sana mtumishi hakika unagusa Sana maisha Yangu Amin
Naomba tuongeee Mtumish ninashida
Amen man of I have learned many things from this teachings
Amina, nimepata kitu Mungu akutumie zaidi
Aminaa umenibariki San mtumishi wa mungu
Glory to the Lord. Thank you Jesus.
God bless you! You are a man of God!
Asante mungu kwakunifungua na kufatilia mahubil haya
Ameen mchungaji hilo neno ni lakwangu naamin litaniponya
Glory be to God
Mungu hakika uko upande wangu umenifungua kwelkwel adui jana nafasi yote kwangu 1:32:16
Man of God you been blessings to me, since i started following you on RUclips.
Amen mtumishi
Feeling blessed from Kenya
Hallelujah mtumishi wa mungu nimepata ufunuo kupitia hilo neno 🙏
Barikiwa mtumishi wa Mungu asante kwa somo hili
Ubalikiwesana nitaamkatenakiroho
Amen, ipo hatua ninasogea
@@BernadetterehemaaYYAA araYaaaeAaaayayaaA ayauaaayayayaYaaaaAyyaaaayayaaayyYAaaayaaayyaayaaayyaaayyaayyayyyayayaua
Asante yesu kwakumupa mutumishi wako neno sahiyii ,nimebali Kiwa .nakufunguliwa.
Nimebarikiwa sana
Nashukuru kwa ujumbe mzuri,mungu akubariki mtumishi wa mungu
MchungajiMungu akubariki,nimejifunza ambayo sijawai kuyasikia popote,Ubarikiwe sana,Maneno yako ni mazito!!
Amen,this message was for me surely, I,ve been under spiritual attack for long
Great teachings indeed..I am learning that Satan has tricks that even frustrations comes from the evil one.
Mungu abariki hii neno nimebarikiwa sana na Mungu akubariki Mchungaji.
God bless you pastor
Nimependa neno lako,niko sauda Arabia huku akuna kuenda kanisa so you are my father nitakuwa nakuzikiza online Amen
Pambana huko Mungu akutie nguvu
MUNGU awe pamoja naweee
N'a shukuru sana mutumishi kwamahana yote ulioya sema nimahisha yangu kbsa lakini sasa Imani ndafunguliwa nili hamka sa Saba ya usiku nikafikiya mayubiri iyi kweli rho aliniongoza
Mungu akurinde umeniponya Moyo furaha nikwangu amen
Amen and Amen, you don't know how much you have helped me. May the All knowing God richly shower you with His blessings. I believe that with a sincere heart, God has given me another chance to enjoy my freedom has a man and His servant in His presence and that I may also share in His blessings through offerings and testimonies. God bless you for inspiring my soul and restoring my stolen freedom of worshipping.
Mungu akupe neema yakuishi pasta
I am blessed 🙏
Ujumbe wa Mungu kwangu kupitia mtumishi wa Mungu huyu umeniweka huru.Asante sana Yesu Kristo uliye Bwana na mwokozi wangu. Hakika mwana akikuweka huru unakuwa huru kwelikweli.Amina
Baba, yote ume huburi ndo Hali nayoishi sasa. Mwenyezi Mungu akubariki saan kwa ili neno. Tuna wafwatilia from Norway. Nashukuru Mungu maana nime elewa sasa nini inayo nisumbua na hivi nitashinda maana nimepata strategy naamini nita shinda ktk yeye atutiaye Nguvu
Ninawochi kutoka saudia,,,pst maombi yako yamenifuza mengi,,,na nina imani nitajua kuomba na kusoma bibilia kutoka kwako,,,,,amen 🙏🙏
Umenibariki sana
Barikiwa sana mtumishi
Yaaan haya mahubiri nilikuwa sitaki kuyasikiliza,Kumbe ni ujumbe wangu kabisa 😢, Naomba nipiganie Mungu wangu
HIZI BATTLE NI WEWE MWENYEWE KUPIGANA!
Kaa kwenye nafasi yako, pigana kwenye hii vita: kwenye kila dalili amesema nini cha kufanya!
May God bless you Servant of God!
Mtumishi this point is straight to me ,that's what happens to me,you're atrue man of God
This massage is mine, all things you mentione man of,am there right now, God of mercy remember me, thank you man of God,am from Kenya
Hawa jamani ndio watumishi
Amen
Watumishi wa ukweri
Amen 🙏🙏
Kabisa sio wale wa pokea nyota
Pastor ubarikiwe sana MUNGU kukuongoza kuleta hili neno maana Dalila zote nane zimenigusa
Amen amen
Ubarikiwe sana mchungaji
Ninakufata kila wakati
Lakini nataka msaada
Wa neno la Mungu
Asante kwa huu ujumbe hakika umekuja kwa wakati kwangu Mungu anifunulie hili neno lifanye mabadiliko ndani yangu
Oooh my Lord my God you bless me pastor you teach me
Mungu akubariki na abariki kazi ya utume wako
Jamani mutumishi wamungu uko wapi nimependa mahubiri Yako ubarikiwe 🙏🙏🙏🙏🙏
Amen nimebarikiwa sana na MAFUNDISHO ya neno hili Bali naomba kitabu chako MCHUNGAJI.
Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wa Mungu, nimekuelewa, hili somo limekuwa mkuki kwangu, nami nitasimama tena ktk zamu yangu
Nimeinuliwa sana mungu akubariki.