ONDOA MSONGO (STRESS) KWENYE NDOA…

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025

Комментарии • 89

  • @LillianYatundu-yh2cn
    @LillianYatundu-yh2cn Год назад +2

    Sijaoleka but niko sure nikioleka ndoa yangu itasimama,, na shukuru Mungu nimepatana na Somo la uyu pastor b4 nioleke🙏🙏pst barikiwa sana.

  • @OtachiSammy
    @OtachiSammy Год назад +1

    Good sermon..kwa hakika pastor umenijenga sana kwa Imani yangu

  • @bedamnamalalikonda1124
    @bedamnamalalikonda1124 Год назад

    Asante kwa somo zuri na linaloeleweka mchungaji Mbaga, umeweka bayana mambo ya pande zote mbili, kama kila mmoja atachukua jukumu lake misongo ndani ya ndoa itapungua.Mungu akuongezee hekima na busara, Amen.

  • @deotilabikombe1087
    @deotilabikombe1087 Год назад

    Amen Pastor, nimependa sana haya mahubiri. Yamenigusa sana

  • @louiskas-su3iu
    @louiskas-su3iu Год назад +2

    Asante pasta kwa somo nzuri,mungu akubari kwa kazi analo lifanya 🙏🙏

  • @SAMWELMWIKA.-xl9eu
    @SAMWELMWIKA.-xl9eu Год назад

    Barikiwa mchungaji umenibariki na mimi, nina ndoa ya miaka sita naelekea saba umenipa nguvu mpya. Mungu akubariki sana sana.

  • @shashiromarceline
    @shashiromarceline Год назад

    . Mungu akubariki mwalimu muchungajji uishi namungu
    Akubariki saaaaaaaaana mungu
    Akueneze ulimwenguni pote hatamwisho. Waulimwengu.

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 Год назад +1

    Amen Amen powerful teachings barikiwa pastor

  • @kananisarafe8582
    @kananisarafe8582 Год назад +1

    Asante sana Pr kwa sharing hii,ninukweli mtupu. Mimi ni namiaka 43 naowa ndio ndio maana nimesema umesema ukweli. Mungu akubariki

  • @agnesnyakundi5983
    @agnesnyakundi5983 Год назад

    Asante sana mtumishi kwa mafundisho mazuri haya,mungu ndiye msaada wa karibu sana katika ndoa,Ee mungu mwenyezi nisaidie nikutambue siku zote katika ndoa yangu

    • @nokwiamos2355
      @nokwiamos2355 Год назад

      Pastor ni NOKWI AMOS CHACHA, nashukuru Kwa mahubiri hata ya ndoa ,tuombee ili tupate wake wema na busara ( hekima) njema ya kuwatunza kutoka Kwa Mungu.Barikiwa.

  • @bahatikashindi7040
    @bahatikashindi7040 Год назад

    Mungu akubariki sana pastor 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽amen

  • @upendotv2776
    @upendotv2776 Год назад +1

    Amina PR Mungu kubariki kwa somo hili

  • @neza5980
    @neza5980 Год назад

    Thanks for the power full message

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 Год назад

    Mchungaji MUNGU atumie zaidi AMEN

  • @rosedickson1442
    @rosedickson1442 Год назад

    Thanks PR for the sermon be blessed

  • @labannyamari162
    @labannyamari162 Год назад

    Asante kwa mafundisho mazuri. Nashukuru sana.

  • @zlpporahgechemba3111
    @zlpporahgechemba3111 Год назад

    Amen barikiwa pastor

  • @musamaghati7733
    @musamaghati7733 Год назад

    Barikiwa pastor

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад +5

    Mchungaji ndo leo nakusikiza ,umenitolea streets zote MUNGU akubariki, 🙏

  • @priscawilliam1983
    @priscawilliam1983 Год назад +1

    Naomba nambayako umenipaafya kiasi ila Nina maumivu Sana

  • @filimonmboya3693
    @filimonmboya3693 Год назад +2

    Congratulations pastor

  • @aminakhalid300
    @aminakhalid300 Год назад

    Tafuta msaada, msaada gani? Pastor anasema JIONGEZE, Mtumishi wa Mungu huyu mahubiri yake haya yako so clear,

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Год назад

    Amina mtu wa Mungu,umenipa furaha,

  • @knowledgetv5594
    @knowledgetv5594 Год назад +3

    Tanzania ikipata watumishi wa namna hii wakufundisha na kuondoa ujinga kwa jamii, Tanzania tutafika mbali mbali mno. Najivunia Pastor Mmbaga japo mimi ni sio Msabato!

  • @awezayesu1779
    @awezayesu1779 Год назад

    😂😂😂😂uyu pastor amesomea shule wapi ya kusoma akili za watu jaman 😂😂😂😂?

  • @JemimahJoseph-fu8kd
    @JemimahJoseph-fu8kd Год назад

    Aminaa mchungjiii kwaa somo zuriii,

  • @merrysauli9151
    @merrysauli9151 Год назад

    Amina sana mtumishi wa Mungu

  • @isayaanthon7063
    @isayaanthon7063 Год назад

    Somo zuri, japo nadhani linaleta maana endapo litafundishwa kwa pande mbili zikiwa mahali tofauti. Yaani Mke aone mume anamletea korosho kwa utashi wake ila si kwa sababu alifundishwa. Kadhalika kwa wanawake.

  • @julitharevelian-vc5rd
    @julitharevelian-vc5rd Год назад

    Amina mtumishi wa Mungu unanibatiki sana.

  • @eustina0
    @eustina0 Год назад +3

    Mungu atuhurumie kwa haya ndoa za siku hizi ni ndoana pr 😭😭😭😭😭

  • @ModesterShokolo-mr6km
    @ModesterShokolo-mr6km Год назад

    Mungu asimamie kaz iendelee

  • @bibleministry7175
    @bibleministry7175 Год назад +1

    Kuna wanawake wengine hapa kenya hawakupigi kwa mto, ila aweza kukukata kwa upanga

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад

    Asante saana,Sasa Tumejua Ndoa ni Kujitoa

  • @ramadhan646
    @ramadhan646 Год назад +1

    Amina Mtumishi wa MUNGU nimejifunza,sio upendo pekee unaondesha ndoa.Niko Kenya kupokea mahubiri, tubarikiwe

  • @wesleynimzihirwa5676
    @wesleynimzihirwa5676 Год назад

    Amina pastor

  • @gaselochaula2692
    @gaselochaula2692 Год назад

    Amina Ni SOMO zuri

  • @heliethjustine3917
    @heliethjustine3917 Год назад +1

    Waiting

  • @onesmoelias2285
    @onesmoelias2285 Год назад

    Nakupata Sana pasta nmePata kitu kipya hata mm nakalbia kufnga ndoa mwez wa 6 Asante mungu nimwema

  • @OkindaErick-fd4wq
    @OkindaErick-fd4wq Год назад

    Amen mchungali

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Год назад

    Kabisaa mchungaji

  • @zeliageorge3311
    @zeliageorge3311 Год назад

    Kwa kweli kuzima data ni dawa nzuri.

  • @stejasatv7349
    @stejasatv7349 Год назад +2

    Wariosomea Sheria nikweli

  • @rizikilaunda961
    @rizikilaunda961 Год назад +1

    Amen 🙏🏾 Amen!!!

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 Год назад

    PASTOR MMBAGA HILI SOMO AKILI YAKO SIKU HIYO ILIKUWA IKO JUU SANA MNO USIMWACHE MUNGU ATAKUPA VITU VINGI SANA BARIKIWA MTUMISHI HAPO BAADAE UWE PRESIDENT WETU UNION

    • @dorcusmusombi3646
      @dorcusmusombi3646 Год назад

      Akiwa president Nani atatulisha neno ? KAZI itakuwa mingi

    • @brunomirambi8792
      @brunomirambi8792 Год назад

      @@dorcusmusombi3646 NIMEKUELEWA BARIKIWA SANA DORCAS TUMUOMBEE MCHUNGAJI WETU HAZINA YETU HIYO

  • @christinapeter7131
    @christinapeter7131 Год назад

    Ila Mtumishi mambo hayo yanataka Roho Mtakatifu kuyamuda. Vinginevyo huwezi. Ila nashukuru sina stress

  • @elizabethgurti4157
    @elizabethgurti4157 Год назад +1

    Nimejifunza kitu

  • @sarahemukule
    @sarahemukule Год назад

    Amen 🙏🙏

  • @christinaisanguisangu2974
    @christinaisanguisangu2974 Год назад

    Sasa pastor hapo kwenye kutii unatii inakuwaje upande wakuabudu km hutaki kuabudu anachokiamini napo ni kosa

  • @dorcasrhobi8211
    @dorcasrhobi8211 Год назад

    Amen

  • @florashirima1224
    @florashirima1224 Год назад

    Amine

  • @kituxnatadeo1924
    @kituxnatadeo1924 Год назад

    Bwana nyie mlio tuedia afu mnaongea mambo haya husiani mnatuchanganya

  • @upendotv2776
    @upendotv2776 Год назад

    Aminaa

  • @jescaodingo9564
    @jescaodingo9564 Год назад +1

    🤚🤚

  • @adarashidi8178
    @adarashidi8178 Год назад +1

    Shalom

  • @feiJe-l1y
    @feiJe-l1y Год назад

    🙏🙏🤝

  • @ndetitave466
    @ndetitave466 Год назад +1

    Amina

  • @jescaodingo9564
    @jescaodingo9564 Год назад

    Ameeeeeeeen Ameeeeeeeen

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад

    Waandishi Wa Biblia Wakorofi naanza kuelewa kwa nini Wazungu hawasali

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад +1

    Sasa Biblia zimehamia kwenye Tablet??Watumishi mnatupoteza

    • @eunicekakaaq8428
      @eunicekakaaq8428 Год назад

      Ameeeeeen

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Год назад +3

      Pole saana! Zilianza kwa ku kariri kichwani,waka anza kutumia mawe,kisha ngozi za wanyama,baadae majni na magome ya miti! Karatasi ni maendeleo ya kutoka kwenye magome ya miti! Biblia ya kwanza kuchapwa kwenye karatasi ilikuwa 1445!! KWA HIYO KITAKATIFU SIO KARATASI,NI NENO!

    • @backlinemgongolwa568
      @backlinemgongolwa568 Год назад

      @@MahubiriPrMmbaga hata hvo Kuna ubaya Gani biblia kua kwenye tablet

    • @backlinemgongolwa568
      @backlinemgongolwa568 Год назад

      Kuna ubaya Gani biblia kua kwenye tablet

    • @ev.misalabacharles634
      @ev.misalabacharles634 Год назад

      Hawa ndo wanajua 666 ni sim za mkononi na tablets😁, na kwamba siku moja hetani atakuja kuzifuta biblia zote za kwenye sim dah,

  • @NONGANONGAboy
    @NONGANONGAboy Год назад

    Amen

  • @bitelaswai3089
    @bitelaswai3089 Год назад

    Amina

  • @maombijeanne7767
    @maombijeanne7767 Год назад

    Amen 🙏🙏