TUKIO LA KUTISHA LINAKUJA-UMEJIANDAA?-PR. MMBAGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 251

  • @judithsichone7047
    @judithsichone7047 26 дней назад +1

    Hasante sana past unanibariki sana kilanikiangalia mahubiri yako namshukuru mungu amekuwa mwema maishani mwangu anaendelea kunilinda nitamtumikia

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj 10 месяцев назад +1

    Barikiwa sana mtumishi Mungu ananifundisha kupitia ww

  • @mandagohuja6729
    @mandagohuja6729 Год назад +75

    MUNGU akubariki pastor, huwezi kujua tu, lakini ukweli ni kwamba umekuwa mbaraka kwangu Sana, I was not an Adventist but today am an Adventist sehemu kubwa ni kupitia mahubiri yako nikajikuta nautambua ukweli na kuacha njia nilizokuwa nazo

  • @josphat1780
    @josphat1780 Год назад +1

    Mungu azidi kuwabariki ni JOSPHAT KARITHI nko Kenya.

  • @jacklinennko8517
    @jacklinennko8517 Год назад +23

    Mimi sio msabato ila nimejifunza vitu vingi Sana katika mafundisho yako na nakupenda maana ni kama huna dhehebu na hutetei dhehebu wala din ila unaisema kweli ya Mungu .ubarikiwe sana

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Год назад +2

      🙏

    • @simonlomayani5743
      @simonlomayani5743 Год назад +4

      Ni kweli kabisa ata Mimi sio msabato lakin anibarikigi sana sana huyu atetei siku wala dhehebu anamhubiri YESU KRISTO

    • @maryjosephat2885
      @maryjosephat2885 Год назад

      ​@@MahubiriPrMmbaga msaada tafadhar wa mawasiliano na mchungaji nina shida

    • @luckymsomba4818
      @luckymsomba4818 Год назад

      tunasikiliza neno la Mungu sio dhehebu

    • @DAVIDMAGHANGA
      @DAVIDMAGHANGA 10 месяцев назад +1

      Hakuna msabato Kwa ufalme wa MUNGU ila kuna Wana wa MUNGU alie hai

  • @upendobaina2171
    @upendobaina2171 10 месяцев назад +2

    Hakuna mch anayenibariki na kuniweka karibu na MUNGU kama wewe.MUNGU akutie nguvu.amen.

  • @bluelionboyhistory6591
    @bluelionboyhistory6591 Год назад +2

    Sasa Moyo wangu unafuraha na shauku kubwa maana naona kabisa Bwana yuko karibu kurejea; Wapenzi tufanye kazi upesi kelele inagonga tuwe tayari kumpokea Amina

  • @MerryMbwambo-x1w
    @MerryMbwambo-x1w Год назад +1

    Barikiwa sana pastor wangu songa. Mbele Taji zakungoja Amen 🙏

  • @franciskaranja4015
    @franciskaranja4015 Год назад +6

    Mchungaji mungu akubaliki umekua ukinxaidia xana since Covid19 iaze umkua baraka kwangu xana,,,,,napenda mahumbiri TV kuliko vyote mtadaoni,,,

  • @n.dvillagirl3272
    @n.dvillagirl3272 Год назад +6

    Paster Mungu wako anashangaza leo nime barikiwa kimiujiza wala sijaamini kama nikweli 🙏❤️❤️❤️

  • @lucywensilaus6264
    @lucywensilaus6264 Год назад +3

    Nimebalikiwa sana na mahubili mtumishi

  • @hedijohn-nb9nq
    @hedijohn-nb9nq Год назад +8

    Mchungaji mmbaga mungu akutie nguvu zaidi na zaidi na akuzdishie miaka mingi

  • @vincentchotta-pd1zw
    @vincentchotta-pd1zw Год назад +14

    Mungu akutie nguvu mchungaji, na tunabarikiwa kupitia wewe. Natumaini kuwa siku moja tutashiriki katika ufalme wa Mungu.

    • @annaabraham8647
      @annaabraham8647 Год назад

      Assnte kwq ujumbe mzuri. Tujiandae twende na yesu.

  • @AgripinaTarimo-rd6tq
    @AgripinaTarimo-rd6tq Год назад +2

    Mungu atukuzwe kwa hekima aliyoweka ndani yako. Ujumbe mzuri sana ,mungu tusaidie kuifikilia toba na kumpendeza.

  • @yunesondicho4498
    @yunesondicho4498 Год назад +5

    Hii Mahuburi ni kama ni ya kwangu. Barikiwa sana pastor Mungu akuvunulie sana

  • @jaredmongeri645
    @jaredmongeri645 Год назад

    Nimebarikiwa na kubadirishwa sana kupitia kwa huduma yako.Mungu wa neema akubariki sana. Naskia wito kufanya kazi ya mungu. Niombee niweze nipate nguvu na ujasiri ninaohitaji.

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 Год назад +1

    Ni kweli kabisa, Kuna Maja ga yanakuja makubwa sana hapa Tanzania na Duniani Kwa ujumla. Kwa sbb nimeiona wachungaji kama watatu wa kilokole wakiyatabiri haya haya ambayo na wewe unayasema. Mungu akubariki pastor Mbaga pamoja na Familia Yako. Naomba Kila unapoomba nami unioombee. Asante.

    • @sperusmoraa488
      @sperusmoraa488 Год назад

      Great pastor be blessed with your family

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba Год назад +9

    Ameen Mtumish nakuelewa mno
    Eee Mungu nimedhamiria kukutumikia ,Nipe Nguvu ya kusoma Neno lako,Nipe Nguvu yakuomba

  • @eliyachacha2
    @eliyachacha2 Год назад +1

    Mwenyezi Mungu atubariki sote

  • @VickyNombo
    @VickyNombo 23 дня назад

    Mungu alibariki pastor

  • @mpokimwakaje8178
    @mpokimwakaje8178 Год назад

    Mungu akabaliki kuigeuza mioyo ya wasabato wamjue Mungu wawaloke.

  • @stevemugingi-sv8rg
    @stevemugingi-sv8rg Год назад +1

    Mungu akutumikishe hadi mbinguni,upate taji isiyo haribika,kweli kwa nyakati izi neema ya yesu kristu itufunike sote na atuondoleye yeriko ambayo Ime asirisha maisha yetu kwa Jina la yesu.

  • @josekibuthu622
    @josekibuthu622 Год назад +7

    Mimi ninechoka na Sunday worshipers nawa join very soon

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 Год назад +4

    🤣🤣🤣🤣🤣 wacha tu nicheke aki mimi nilipewa mfuta na kitambaaaa lakini nimetezeka maisha yangu yote hata family yangu ikapoteza vitu vyote but since i started following pastor David Mmbaga na pastor Mohamed Mgase i have see the hand of GOD. My prayer today is GOD to deliver people from that churches Amen God for being there for and you're my fighter

  • @yusuphshimei
    @yusuphshimei Год назад

    Mungu akubariki sana pastor mbaga unafanya roho yangu inenepe kila siku ufahamu wangu unazidi kuongezeka siku hadi siku

  • @amonsekajingo6996
    @amonsekajingo6996 Год назад

    This is a great message Pr MbagaI wish every individual christian would get and understand it well. God bless u. It is very timely! God
    help us all!

  • @neemapaul7873
    @neemapaul7873 Год назад

    Amen Mungu aendelee kukutumia kulihubir neno lake

  • @SatoMisungi
    @SatoMisungi 7 месяцев назад

    Mungu akubariki Pastor utumike mpaka uzeeni

  • @lorainnelarryson3626
    @lorainnelarryson3626 Год назад +3

    Asante kwa mahubiri mazuri, Mungu aendelee kutupa roho wake Mtakatifu atuongoze.

  • @ClovisKalimurhima
    @ClovisKalimurhima 5 месяцев назад

    Mungu akuzidishiye mara elfu posto

  • @ValentinKanyumba-hd8pd
    @ValentinKanyumba-hd8pd Год назад

    Asante postor Mimi nimeberikiwa Sana Mungu akanibariki Sana

  • @fatema6865
    @fatema6865 Год назад

    Barikiwa zaid pastor nakuelewa sana

  • @sophiasamiji932
    @sophiasamiji932 Год назад +2

    Nafurahia mahubiri Yako nabarikiwa Mungu akizidishie baraka na akupatie haja za moyo wako

  • @salomevestinamichael1458
    @salomevestinamichael1458 Год назад

    Amina Pr tunatamani kwenda nyumbani,usemeni ukweli Yesu anakuja tena.Nabarikiwa sana

  • @MussaCharles-k7n
    @MussaCharles-k7n Год назад

    Ubarikiwe sana mchungaji napenda sana mafundisho yako

  • @geophreykikoti192-sb5be
    @geophreykikoti192-sb5be 9 месяцев назад

    Pastor Ubarikiwe Umenikumbusha habari za yule Jamaa alikuja kutapeli akidai wewe na Baba yake mdogo

  • @TheodensiaThadeo
    @TheodensiaThadeo Год назад

    Barikiwa pasta,masomo yako yananibariki sana

  • @margretmwita8745
    @margretmwita8745 Год назад

    Mungu wambinguni akupaliki KAZI zuri🙏🙏🙏

  • @gustavenintunze6466
    @gustavenintunze6466 Год назад +1

    Asante Mungu kwa neno lako, E Mungu bariki wengi waelewe maneno haya matamu na ya ukweli

  • @ChristiankabingwaGarda-ie9bw
    @ChristiankabingwaGarda-ie9bw Год назад

    Mungu akubariki daima muchungaji unibariki sana

  • @laliaelulu1815
    @laliaelulu1815 Год назад

    Tunazidi kupata ujasiri wa kukimbia nguvu za miungu ya kigeni kupitia wew baba 😢 Asante sana Nakupata vizur Kutoka Canada,

  • @wiza2309
    @wiza2309 Год назад

    Barikiwa sana Mtumishibwa Mungu

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 Год назад +1

    Amina pr nabarikiwa sana

  • @gideonivutha-bc1oz
    @gideonivutha-bc1oz Год назад

    Niwachache wakuhubiri siku za mwisho ...mchungaji GOD BLESS YOU

  • @danielmwita1989
    @danielmwita1989 Год назад +1

    Ubarikiwe sana pr

  • @neserianpaul
    @neserianpaul Год назад

    Asante Kwa mafundisho ya moto sana umenifumbua mengi

  • @justerkamala3933
    @justerkamala3933 Год назад

    Amina mtumishi ubarikiwe sanaa

  • @saimonmossi4515
    @saimonmossi4515 Год назад

    Mungu azidi kukutumia pastor, lakini sisi tunaousikiliza huu ujumbe roho wa BWANA atusaidie tuutumie kukua kiroho na kuwa wakristo kwelikweli.Barikiwa sana.

  • @hildansombo1437
    @hildansombo1437 Год назад

    Ninabarikiwa saana kila ninapolisikiliza neno la Mungu aliloweka ndani yako na unalihubiri kupitia kinywa chako ni la uwazi na ukweli mtupu Mungu na atusaidie tulisikie, tulielewe na tutakasike tukaufikie mwisho mwema. Naamini toba ni mlango mwema Ameen

  • @damariskimaiga364
    @damariskimaiga364 Год назад +3

    May God bless you pastor. You don't know, you are My mentor powerful message Damaris kimaiga from Kenya.

  • @hellenbarnaba9069
    @hellenbarnaba9069 Год назад +2

    Amina 🙏 Mungu atukuzwe Sana kwa maonyo makuu ya siku za mwisho. Ubarikiwe Sana mtumishi wa Mungu.

  • @ombenimgonja4318
    @ombenimgonja4318 Год назад

    Mungu asifiwe nabarikiwa sana nakilahubiri lako

  • @neemabisendo5392
    @neemabisendo5392 Год назад +5

    Natak jambo moja tu maishani mwangu, Nikuone ufalme wa mbinguni ... Ee mwenyezimungu nisaidie🙏😔

    • @hellenfifi8952
      @hellenfifi8952 Год назад

      Mpendwa hata mimi natamani sana tukaze mwendo na Mungu atusaidie

  • @EmmanuelLuba-z4b
    @EmmanuelLuba-z4b Месяц назад

    Nabarikiwa na mahubiri haya

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo3637 Год назад

    Mungu atukuzwe kwa kukutumia kutuambia mengi ,nakua kiroho Kila siku

  • @harerimanaleonce8153
    @harerimanaleonce8153 Год назад

    Mungu Apewe sifa kwa kutuma kwa sisi mhubili na mahubili kama haa ufunuo wa ajabu

  • @felixshikiro7065
    @felixshikiro7065 Год назад

    Muchungaji Mungu akubariki

  • @marysteven3543
    @marysteven3543 Год назад +1

    Mungu akubariki sana pasita 🙏,, kiukweli unanibariki sana

  • @baricklutandula9776
    @baricklutandula9776 Год назад

    Asante sana Mungu kwa neno hili, ni kwa neema tu tunayapata haya maneno, eee Mungu mjalie pastor aendelee kutuelekeza, amen🙏

  • @paschalymlangale8964
    @paschalymlangale8964 Год назад

    Mungu aturehemu. Amina

  • @louiskas-su3iu
    @louiskas-su3iu Год назад

    Asante mungu kwa neno lako,pasta mungu akuzidishie kwa kazi unalotenda

  • @jakee2041
    @jakee2041 Год назад

    AMEEEN. AMEEEN. POWERFUL SERMON. GLORY BE TO GOD. CONGRATULATIONS PR. MMBAGA. GOD BLESS YOU.

  • @GermaineKahambu-r8d
    @GermaineKahambu-r8d Год назад

    Aksante mtumishi

  • @pendomollel-oy7gm
    @pendomollel-oy7gm Год назад

    Mungu aendelee kukufunika pr uzidi kutufunulia na kutuimarisha

  • @judithmakoye6592
    @judithmakoye6592 Год назад

    Barikiwa Pastor Mmbaga

  • @julietnelima3253
    @julietnelima3253 Год назад

    Amen pastor 🙏🙏 mahubiri yako hunipa moyo wa kuyaskiza kila wakati..yana mafunzo mazuri sana sana ubarikiwe

  • @christophaelia7174
    @christophaelia7174 Год назад

    Mtumishi ubarikiwe sana

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Год назад

    Pastor @mbaga Mungu azidi kukubariki hakika umebariki watu wengi

  • @joycemugaka3039
    @joycemugaka3039 Год назад +1

    Mungiu akubariki Sana mjungaji maa unatisaidia kujiandaaa vyema ,na kila nikiingia Kwa UTB Kwa somo la ko cha Kwanza mungu Anjali letea funzo mpya ndio chakula changu cha roho nashukuru saana umeokoa maisha yangu nimekua jaziliKwa upande wamungu bila hofu

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Год назад

      Amen

    • @denonode6546
      @denonode6546 Год назад +1

      Ansate pastor tangu nilipokufahamu umejifusha mengi Sana umenisaidia katika kiroho Mungu akubariki na hii SoMo nzuri ya leo , nkuomba uzidi kuniombea .

  • @funakoshtadash6163
    @funakoshtadash6163 Год назад

    Ubarikiwe sana mtu wa Mungu aliye hai

  • @marynanok7720
    @marynanok7720 Год назад

    Amen 🙏🙏🙏 mtumishi wa Mungu nimebarikiwa na your preaches

  • @godlovemapunda774
    @godlovemapunda774 Год назад

    Hata me nisha pewa mafuta na maji Mungu anisaidie izo roho zishindwe ktk jna la Yesu Amen

  • @upendotv2776
    @upendotv2776 Год назад

    Amina PR Mungu kubariki na azidi kukupa nguvu na azidi kukutumia kwa mapenzi yake

    • @nafikaahadi
      @nafikaahadi Год назад

      Ameeeeeeen n Ameeeeen Pastor,Roho Mtakatifu azidi kukulinda na kukutia nguvu

  • @emmanueltwahirwa2712
    @emmanueltwahirwa2712 Год назад +1

    Jambo pasta Mbaga, n’a hitaji uniweke katika maombi. Kila niki fwata mahubiri, n’a hisi kama Mungu ana niongelesha kitu fulani.
    Mungu azidi ku ku Linda n’a ku kubariki ku pindukiya🙏

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Год назад

      Mungu akutendee

    • @evelinedayday4000
      @evelinedayday4000 Год назад

      Pastor mbaga mi naomba number yako maana niko na shida kubwa sana ya maombi sikuizi nashindwa kabisa kuomba kwaajiri ya familia yangu naomba nisaidie number yako au namna ya kukupata kama uko dar salamu nije kuonana na wewe please Pastor naomba🙏

  • @TuliaIpopo
    @TuliaIpopo Год назад

    Ameen pastor

  • @Hemeddymeddy
    @Hemeddymeddy Год назад +1

    Shukran sana mtumishi wa Allah kwa ujumbe mzuri kwangu mimi ni furaha kubwa la ujio huo

  • @byusaajumapili6750
    @byusaajumapili6750 Год назад

    Ubarikiwe mchugaaji kwa neno hili umenitiya nguvu Mungu hakubariki zahidi Na zahidi

  • @peterdavid20149
    @peterdavid20149 Год назад

    Tangu tangazo la Mungu la kuangamiza miungu ya misri, ukiangalia historia misri haikusimama imara tena na ndio kilichosababisha watu waanze kuondoka kuelekea kusini na magharibi mwa bara la Africa. Wabantu walielekea magharibi na wakushi na wanilotic wakaelekea pembe na kusini, umoja wao ulikufa, nchi mama ya kemet misri ya sasa ikaporwa na wageni toka kaskazini hadi leo wakakuta magofu,maiti zilizokaushwa na mapiramidi mirefu. Miungu zaidi ya 24 ya kemet misri ilibaki ukiwa hata sasa. Pastor Mungu akubariki sana

  • @apostlezizi
    @apostlezizi Год назад

    Nakuelewa sana pastor,barikiwa mno

  • @asiri-romy-simba3671
    @asiri-romy-simba3671 Год назад

    Mbaga wangu🙏

  • @harerimanaleonce8153
    @harerimanaleonce8153 Год назад

    Mungu Aendeleye kukujaza hekima pastor niko Burundi (mkowa wa kati mwa inchi ya burundi) nakufuata sana

    • @amonmnzava6522
      @amonmnzava6522 Год назад

      Amina Mungu akubariki sana umenibariki sana naona ushindi

  • @elishanyamsha8085
    @elishanyamsha8085 Год назад

    Amina, pr very powerful massage

  • @Vincentsudi77
    @Vincentsudi77 Год назад

    Ahsante mtumishi wa BWANA kwa ujumbe bora wa MUNGU nahiwehivyo.🙏🙏🙏

  • @zawadiamuli4186
    @zawadiamuli4186 Год назад

    Mungu akubariki pastor pia nilitamani sana kupata musaada wakoroho kwako ila nawezaje kuku ona? Hata kwasimu

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 Год назад

    Amen amen 🙏 be blessed pst mahubiri tv my bst tv

  • @josephkirimi5453
    @josephkirimi5453 Год назад +1

    Nashindwa mapasta wanao omba bila kuinua mikono iliyotakata wanalielewa neno la Mungu aje. Maana biblia inaeleza vizuri katika 1 Timothy 2:8.

  • @perisbosibori8524
    @perisbosibori8524 Год назад +7

    Thank you LORD because we're more than conquerors even though in a world which is surely in great turmoil. GOD bless you so much and give you long life Pastor Mmbaga for the work well done.

  • @UserUser-gq1ir
    @UserUser-gq1ir Год назад +1

    Mungu atusaidie sana kutambua nyakati tulizo nazo

    • @Reginajohnson19884
      @Reginajohnson19884 Год назад

      Mtakatifu za mwisho zimeshapit ni mda wa mnyakuo umefika, na watu wako so busy na dunia

  • @harrisonodiwa7248
    @harrisonodiwa7248 Год назад +1

    Nimebarikiwa na baadhi ya mahubiri yameguza maisha yangu hasa unyonge wa maombi.

  • @vickyayo8712
    @vickyayo8712 Год назад

    Asante YESU,kwa kutupatia mtu huyu

  • @AdolpheBIRAGI
    @AdolpheBIRAGI Год назад

    God bless you Pastor

  • @alicemwaka3762
    @alicemwaka3762 Год назад

    Emeeeeen Asante sana mchungaji Mungu wa Mbingini

  • @kabembokijigo6454
    @kabembokijigo6454 Год назад

    Amina na barikiwa mchungaji

  • @zanashtv5479
    @zanashtv5479 Год назад

    Mungu ni mwema...Amiina🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @margretmwita8745
    @margretmwita8745 Год назад

    Naomba utie wajane moyo pastor

  • @williammusambai3702
    @williammusambai3702 Год назад

    Mchungaji unanena ukweli mjungu,Yesu wa Tongereni ni county jirani ya Bungoma na kakamega.Mungu akusitishie heri zake.

  • @emmanuelrubete9008
    @emmanuelrubete9008 Год назад

    Asante pr mbaga

  • @cyrusmagata7148
    @cyrusmagata7148 Год назад

    Mungu akubariki

  • @plastidiacasmiry2234
    @plastidiacasmiry2234 Год назад +1

    AMINA

  • @gaselochaula2692
    @gaselochaula2692 Год назад

    Mungu akubariki pastor tunabarikiwa