UPANDE WA MUNGU AU WA SHETANI!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 130

  • @mtumishiraymond2001
    @mtumishiraymond2001 Год назад +18

    Mungu akubariki Mtumishi David kwa mahubiri mazuri hakika Mungu anakutumia vyema nakukubali sana, Tumpeni Bwana Yesu utukufu na sifa!!

  • @wilfridamanono2667
    @wilfridamanono2667 11 месяцев назад +4

    Mungu atukuzwe, i listened your sermon and helped me sana. I was sick when I followed your prays through RUclips channel, i got cured. God to be given glory for using you pastor.

  • @ghatichacha837
    @ghatichacha837 Год назад +15

    Amen, kila ninapokusikiliza ninapiga hatua moja mbele. Mungu Akubariki Sana.
    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇨🇳🇨🇳🇨🇳🇨🇳

    • @samwelmwirigikenda6688
      @samwelmwirigikenda6688 Год назад +1

      Mchungaji Mungu azidi ku kubariki kwa kazi ya injiri unayo ifanya. Umekuwa wa msaada katika maisha yangu ya kiroho. Niko Kenya mjini NAKURU

    • @NaomyOtundo
      @NaomyOtundo День назад

      Me too,nilidhalia namjua Yesu adi siku nilianza kuskiza mahubiri yake

  • @user-bl8lk7hy1s
    @user-bl8lk7hy1s 5 месяцев назад +2

    Mchungaji ubarikiwe sana hakika nimeona mungu akinitendea mambo makubwa mungu azindi kufunulia wewe mambo mapya

  • @bossladyjv3828
    @bossladyjv3828 Год назад +5

    Everline
    Olphah
    Edwin
    Tabitha
    Christine
    Christopher
    Trecy
    Tupokee wokovu mwenyezi Mungu awe mkombozi wa maisha yetu
    Kusizia wakati wa maombi na wakati wa kusoma Biblia iise katika jina la Yesu Kristo Amina

    • @agustinomangi1796
      @agustinomangi1796 Год назад

      Pastor Mungu akubariki sana. Huwa ninapokusikiliza napata kitu kipya nisichokijua.

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 Год назад +4

    Jambo moja la ajabu na baya Sana Ni huu wote Ni waumini mpo kanisani ila mkitoka ibadani kila mmoja na njia yake Ile salaam ya upendo haipo Tena yaan hawajuani kabisa,haya kaja mgeni kanisani anataka kumpokea YESU watashangilia kinafiki ngoja ibada imalize hata wakumuuliza Yule mgeni unaishi wapi karibu Sana hakuna hata wa kumtia moyo aupende wokovu hayupo kila mtu na lake hii NI mbaya Sana

  • @sarahmwakisu2702
    @sarahmwakisu2702 Год назад +6

    Amina! Sifa na utukufu ni kwa BWANA. YESU kwa ajili ya karama aliyoiweka ndani yako MUNGU akubariki. Niko mjini Mbeya ninajengeka sana kiroho kwenye masomo yako ya youtube hata ya miaka mingi iliyopita kwangu ni mapya kila siku. Asante. By. Dominick Maluli.

  • @mbaabu-mk
    @mbaabu-mk 13 дней назад

    Barikiwa sana mchungaji..mm ni mkenya upande wa meru Umekuwa wa msaada sana kwangu haswa upande wa maombi ya imani..

  • @user-yz1nh8gc9d
    @user-yz1nh8gc9d 11 месяцев назад

    Ubarikiwe mchungaji kwa mafundisho...namuona Mungu kupitia haya mahubiri.....

  • @ezekieljuma308
    @ezekieljuma308 Год назад

    Nabarikiwa san Mungu na atusaidie tusiwe n hofu ya kumtangaza Mungu

  • @Mapenzi2635
    @Mapenzi2635 5 месяцев назад

    Nakushukuru sana Mungu kwa kumtuma Mch . Mmbaga

  • @eliaskahindi7995
    @eliaskahindi7995 Год назад +4

    Mimi nikijana msabato kutoka Kenya, nakufuatilia sana, Mungu akubariki kwa kutufunza neno la Mungu....natoka Kenya, in Coast region, mahali kunaitwa Malindi

  • @WilheliminaMatekere-rc5gy
    @WilheliminaMatekere-rc5gy Год назад

    Mungu akubariki sana Mchungaji maana huwa unanibariki sana kwa Mahubiri yako

  • @deohcivilian
    @deohcivilian Год назад +4

    👏👏👏 Ubarikiwe mchungaji

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 Год назад +9

    Amina, be blessed pastor

  • @nadinekatungu6987
    @nadinekatungu6987 Год назад +1

    Asante kwa mafundisho mungu akubariki sana solo limetujenga

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 Год назад +4

    Amen nimebarikiwa sana, ubarikiwe sana Mchungaji

  • @SAMWELMERIDA-jf8sg
    @SAMWELMERIDA-jf8sg Год назад +1

    Amina nimebarikiwa sana natamani Mungu anisaidie kuhubiri nakuongoa roho Mungu anisaidie sana majirani niwatagamzie wote Mungu nisaidie nipe nguvu

  • @JaneKyusa-xy9xz
    @JaneKyusa-xy9xz Год назад

    Mungu akubariki mtumishi nabarikiwa sana

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj Год назад +1

    Amina mtumishi

  • @lornaareba3286
    @lornaareba3286 5 месяцев назад

    Pastor Mungu akubariki natazama kutoka kenya. Majina ya ndugu zangu. Elikana, Peter, Phillip, kefha nd Lewis. Pombe imewatawala

  • @izackngido
    @izackngido Год назад +2

    Daaah aminaa sana

  • @upendoloondokalembekela7748
    @upendoloondokalembekela7748 Год назад

    Ubarikiwe sana pastor mmbaga

  • @Shirimaneema
    @Shirimaneema Год назад

    Amina Pr. Mungu azidi kukutumia.

  • @janewaititu8051
    @janewaititu8051 Год назад +1

    Asifiwe Yesu mchungaji,nahitaji tuombee Ndugu zangu wokovu na mume wangu na pia watoto wangu wasimame imara kwa imani..asante

  • @user-ii2li2mp8p
    @user-ii2li2mp8p Год назад

    Amina mtumishi mungu aendelee kukutumia

  • @eustina0
    @eustina0 Год назад +2

    Barikiwa pr Mungu azidi kukutia nguvu na uzima ufanye kazi yake 🙏🙏🙏🙏

  • @mlishohadija6923
    @mlishohadija6923 5 месяцев назад

    Ubarikiwe sana Mchungaji

  • @user-ue7wo8th7d
    @user-ue7wo8th7d Год назад +1

    BWANA YESU Asifigwe kwakuli Nana balikiwa namafundiso BWANA YESU Akutia Nguvu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪👏

  • @hapysonrithe3842
    @hapysonrithe3842 Год назад +2

    Mchungaji barikiwa sana Mungu akuongoze katka kutangaza kaz yake

  • @hellenokere
    @hellenokere Год назад +2

    Nabarikiwa xna kutoka kenya bt naomba mtumishi tomba kutoka kwako nnetoa mimba mbili na nmelala n wanaume zaidi y thirty nko n watoto nanne n sahii cna doa nmekata tama y maisha

    • @onesmoelias2285
      @onesmoelias2285 Год назад +1

      Mtazame yesu krsto yeye ndo anatoa faraja yesu hakukata tamaa alivumilia had mwsho ili mm na wewe tuokolewe so be tolerance

    • @hellenokere
      @hellenokere Год назад

      @@onesmoelias2285 amina

  • @froline5209
    @froline5209 Год назад +1

    Mungu atukuzwe milele na milele Amina mchungaji barikiwa sana.

  • @piucmadaraka1597
    @piucmadaraka1597 Год назад +1

    Amina

  • @abdonmtamalo8469
    @abdonmtamalo8469 Год назад +2

    Barikiwa pastor mbaga naomba uniombee ili niweze kushinda dhambi

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  Год назад

      Amini kuwa wewe ni mshindi kabla hujaona kwa macho! 1 Yohana 5:4 Kwa maana kila kitu kilichozaliwa na Mungu huushinda ulimwengu; na huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, hiyo imani yetu.

    • @abdonmtamalo8469
      @abdonmtamalo8469 Год назад

      @@MahubiriPrMmbaga asante mtumishi wa Mungu

  • @PendoOscar
    @PendoOscar 10 месяцев назад

    Mungu atukuzwe kwa mambo yake mema ❤ubarikiwe mchungaji

  • @adamkisapi9381
    @adamkisapi9381 Год назад +1

    Asante Yesu umpe afya neema na amani maana amejitoa kwako
    Kutulisha neno lako na tunaokolewa.

    • @denonode6546
      @denonode6546 Год назад

      Amen pastor mafundisho yango Yana nipa moyo nafuraha na amani

  • @limbeguga4853
    @limbeguga4853 Год назад +2

    Ubarikiwe pastor kwa somo NZUR, nimebarikiwa Sana

  • @lydiamapenzi2152
    @lydiamapenzi2152 Год назад +4

    Amen mchungaji kwa SoMo zuri tunafukuliwa tukiwa hku saudi Arabia

  • @eliebigirimana6881
    @eliebigirimana6881 Год назад +1

    Nashukuru Saana mchungaji kwa huduma zako mimi ni msabato toka Kongo mjini Goma uniombeye kwakuwa mimi sija komala kiroho kwa kweli mimi ni mvuguvugu,kinyume na ile uombeye wazazi wangu kwa magonjwa inayo wasumbuwa,mmoja anasumbuliwa n'a pepo wachafu, Mwengine ni mshipa,piya utaombeya inshi yetu ya Congo inayo pitiya vita watu wanakufa Saana apa kongo.

  • @eduardobabou3022
    @eduardobabou3022 Год назад

    Neema limeshuka Amina ♥️♥️♥️♥️

  • @lizzylucy4479
    @lizzylucy4479 Год назад

    May God bless you pastor na azidi KUKUPA hekima kwa neno Lake toka nianze kufuatilia mafundisho yako hujipata sifai macho pa BWANA sometimes nikama Mungu hunituma hapa kunirudi

  • @isakabuswelu3792
    @isakabuswelu3792 Год назад +1

    Mungu azid kukutumia pr kama apendavyo yeye maan unanibariki sana

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp 5 месяцев назад

    Yeri
    Kithi
    Ngari
    Steve
    Peter
    Na watoto wangu

  • @luciapunte7504
    @luciapunte7504 Год назад +1

    Asant mtumishi wa mungu kwa mahubiri

  • @elienew3788
    @elienew3788 Год назад +1

    Niko na kaka Babake Eddie ametekwa na ulevi

  • @phelixokwany5462
    @phelixokwany5462 Год назад +1

    Mwenyezi Mungu azidi kukutumia kadri ya mapenzi yake. Nakupata nikiwa Somali

  • @magrethmvwango2682
    @magrethmvwango2682 Год назад

    Ameni kwaimani namkomboa Amani laston amludie mungu mfungue Emanueli mnyogele amludie mungu 🙏

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 7 месяцев назад

    Shalom, there is also an offering on the altar, there is also an offering of gratitude for recovery, if he prays for him, there is an offering on the altar

  • @pendosengerema
    @pendosengerema Год назад

    Pastor somo hili limegusa sana family yangu hawajamwamini Mungu mpaka sasa waombee natamani sana waokolewe kama sisi

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Год назад +1

    Amen.ubarikiwe pastor Mbaga

  • @petermathias8097
    @petermathias8097 Год назад

    Pastor Mungu akubariki sana kwa maafundisho hayo bwana yesu anavyokutumia Mungu na azindi kukutumia

  • @jamesmedard5538
    @jamesmedard5538 Год назад +1

    Barikiwa sana Pastor kwa somo hili

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Год назад

    Tuombee Mimi na watoto wangu n'a wajukuu wawili pastor Mungu atubariki sote tufanye kazi ya Mungu

  • @hapysonrithe3842
    @hapysonrithe3842 Год назад +2

    Amen

  • @daudibomani1940
    @daudibomani1940 Год назад

    Fundisha somo la Kuhusu MUNGU Mmoja mwenye nafsi TATU

  • @joicejo3899
    @joicejo3899 Год назад +1

    Mungu akubariki sana nakufwatilia kutoka saudi Arabia

  • @estachkm824
    @estachkm824 Год назад

    naitwa Estch Kweli , Amen napenda sana kukusikiliza na mafindisho yako yamenibadilisha maisha yangu ningependa siku moja niwasiliane nawe niko Dallas Texas

  • @user-zm8cu6ow2q
    @user-zm8cu6ow2q Месяц назад

    My brother Benson ,Lucy

  • @Neemakilimba
    @Neemakilimba Год назад

    Ni kweli kabisa Mtumishi wa Mungu Leo hii Mungu anatafuta Mashahid wake ,Mungu atusaidie

  • @neemashabani5860
    @neemashabani5860 Год назад

    MIUNGU waokowe ndugu zangu MOGAYA Kegori Keganyero kegori

  • @cristinekenya1050
    @cristinekenya1050 Год назад +1

    Barikiwa sana pastor nafuatilia kutoka Lebanon

  • @philipomasanja2373
    @philipomasanja2373 Год назад +1

    hirisomo kiraarie mpokea YESU apereke habari njema MUNGU atusaidiesana

  • @unylis-tv6905
    @unylis-tv6905 Год назад +1

    Pastor naomba kuongeya nawewe kuhusu uinjilisti ni hubiri neno LA Mungu.

  • @lilianeliuze3437
    @lilianeliuze3437 Год назад

    Nabarikiwa sana na mahubir Pastor,Bwana azid kukutumia

  • @musarichard3173
    @musarichard3173 Год назад +4

    Pastor Mmbaga mkasa wa kuandika sms na kuituma nimewahi jaribu mwezi wa 12 mwaka jana. Cha kushangaza hapa Chingola Zambia nilipoenda mwezi January mwaka huu watu sita walinipgia simu na kati ya hao watu wanne wamebatizwa na hao wengine ni kwasababu sjui lugha vizuri ya kiwemba. Hakika ninabarikiwa sana na mahubiri haya

  • @gaselochaula2692
    @gaselochaula2692 Год назад

    Amina, mtumishi wa MUNGU tunabarikiwa sana

  • @user-zm8cu6ow2q
    @user-zm8cu6ow2q Месяц назад

    Amen 🙏

  • @ryoaishodo309
    @ryoaishodo309 Год назад +2

    Blandina Gillian salma sato villa issaka Emma masato seiji Gatie Goldina komora henry Eunice takeru himiko sachiko
    Masashi megumi shigemi betty sato victor

  • @lilianlima8609
    @lilianlima8609 Год назад

    Bwana akubariki, tunabarikiwa mno 🙏🙏🙏to God be the glory

  • @bossladyjv3828
    @bossladyjv3828 Год назад

    Mwenyezi Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu

  • @joemosemediaproductions9667
    @joemosemediaproductions9667 Год назад +1

    Napenda mahubiri yako sana inanijenga kiroho

  • @ndamotz3027
    @ndamotz3027 Год назад +1

    Mungu anibariki kwa kuangalia

  • @saumukarisa9873
    @saumukarisa9873 Год назад +1

    Ombea ndugu zangu waachane na roho ya ulevi wa kila aina

  • @josephinelusambo4593
    @josephinelusambo4593 Год назад

    umbarikiwe

  • @jerushakerubo1149
    @jerushakerubo1149 Год назад +1

    pastor barikiwa sana,napenda sana kuskza uchumbe wako kutoka Lebanon.But naomba umwombee dadangu mgonjwa sana ako na thyroid anaenda operation plz!

  • @elienew3788
    @elienew3788 Год назад

    Mungu wetu atupenda nabarikiwa kwa neno laMungu

  • @K9-academy
    @K9-academy Год назад

    I wish to be among of your students katika unabii balikiwa mchungaji

  • @jacklinejerr2447
    @jacklinejerr2447 Год назад

    Nimepokea 🙏

  • @hortensiaprotas9226
    @hortensiaprotas9226 11 месяцев назад

    Naomba yamba Yako much.

  • @RebbecaAkinyi
    @RebbecaAkinyi 11 месяцев назад

    May God biess you❤❤

  • @joemosemediaproductions9667
    @joemosemediaproductions9667 Год назад +1

    Nakuskiza kutoka kenya nakuru mahubìri haya yanaponya nafsi ya watu wengi nikiwa mmoja wao

  • @ryoaishodo309
    @ryoaishodo309 Год назад +1

    Hajime hiroshi Elius Rolf marianna victor hawa niwalevi mchungaji naomba uwaombee Amen

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 Год назад +1

    Amen and Amen

  • @hirokay9374
    @hirokay9374 Год назад

    Rolf Hajime Hiroshi komora Henry sato villa issaka

  • @masaulemrema4437
    @masaulemrema4437 Год назад +2

    Mchungaji nimelifurahia SoMo lako
    Je hata kwenye utube ukibagua mubiri ni vibaya??

  • @siuhitv2012
    @siuhitv2012 Год назад

    Juma shabani

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Год назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️

  • @joemosemediaproductions9667
    @joemosemediaproductions9667 Год назад +1

    Mchungaji hapo kwa kuhisi kuubiri injili au kufundisha wengine ukweli wa maandiko niko naye ila hiyo uoga uliosema ndio bado inanisumbua lakini bado nina imani na msukumo wakupambana nao hivyo basi unacho sema kipo kwa wengi umenipa nguvu tena ya kuendelea

  • @atanas53
    @atanas53 Год назад +1

    Pastor unashangaa kanisani kuna siti za watu flani, KUNA SADAKA YA KUMUONA MUNGU AKIWA AMEKAA KWENYE KITI CHA ENZI. HA HA HAAA, MUNGU ATUSAIDIE KWAKWELI.

  • @user-hp7my3jt4t
    @user-hp7my3jt4t 2 месяца назад

    Mtumishi umenifungua kupitia kwa maubiri yako eeemen

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 Год назад +1

    yapo sana Mch. unakaa kulingana na dau lako, hata ukikuta kiti kipo wazi kama unajijua wewe sio VIP huwezi kaa, na wengine kumwona hadi 100,000, na bado, mch akihubiri unaenda kumtunza pale madhabahuni, na wananote ile mbaya

  • @elviesmoranga9497
    @elviesmoranga9497 Год назад

    Ameen for the enlightenment

  • @elviesmoranga9497
    @elviesmoranga9497 Год назад +1

    Kulipia pesa wanasema n kujiunganisha madhabahu

  • @tabitharobonyo6442
    @tabitharobonyo6442 10 месяцев назад

    Walter Agao God to free him he is addicted to alcohol , tobacco and miraa

  • @mush337
    @mush337 Год назад +2

    Niko na swali mtumishi wa mungu,je pastor anafaa kutoa sadaka na kusaidia masikini?Nikitoa milioni tano ama hata hamsini kama sadaka kwako,je unafaa kutoa hio sadaka pia,na ukitoa unatoa Kwa pastor mwingine?

  • @laridistrict4710
    @laridistrict4710 Год назад +1

    PUT THIS LESSON TO BE DOWNLOADABLE FOR EASIER SHARING WITH THOSE WITHOUT SMART PHONES

  • @laridistrict4710
    @laridistrict4710 Год назад

    i cannot get the download icon like in the other lessons

  • @jerushakerubo1149
    @jerushakerubo1149 Год назад +1

    majina yake n phanis nyamusi

  • @maryaugustor6983
    @maryaugustor6983 7 месяцев назад

    Sasa naomba uniambie sadaka ya madhabahu ni nini 18:36

  • @meskammalemo
    @meskammalemo 4 дня назад

    Natafuta namba yake mtumishi ya whatsapp