KWANINI WENGI WANASHINDWA KATIKA MAISHA? - PR. DAVID MMBAGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 86

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 10 месяцев назад +6

    Asante Mungu nimezidi kujengeka kiroho huyu Mungu kwangu ni rafiki yangu amenitendea mengi na namuomba anipe Hekima yakumtumikia bila kuchoka

  • @MARIE-iy4bx
    @MARIE-iy4bx Год назад +5

    Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb 8 месяцев назад +3

    Amen Kwa hakika mungu Ni mzuri Na pia nimwamnifu kila nikisikiza mahubiri haya Kuna kitu kipaya najifunza hakika mungu wa mbinguni akubariki pastor Na pia akuongezee miaka mengi

  • @elifurahamnkeni2759
    @elifurahamnkeni2759 Год назад +3

    Amina mtumishi ubarikiwe Sana Naomba uniombee Nina shida nyingi. Ningekuwa na Namba yako ya simu tungeongea ila kwa imani nitapona

    • @prosmacharius7074
      @prosmacharius7074 Год назад

      Asema mpe mda mwingi Yesu utapata kila ukitakacho kiurahisi.tuanze wote Leo ndugu tuone maajabu

  • @prosmacharius7074
    @prosmacharius7074 Год назад +3

    Naanza leo kukupa mda wangu Yesu.mambo yangu yamegoma sababu nimeyapa mda Sana kuliko wewe

  • @paschal04tv84
    @paschal04tv84 Год назад +4

    Amen nabarikiwa sana Mungu akubariki pastor.

  • @mariamagdalenamwamyalla4849
    @mariamagdalenamwamyalla4849 Год назад +2

    Martha musafiri pastor mungu akubariki sana unatusaidia tulio weng na mungu akubariki sana🙏

  • @damaricemkanyika8293
    @damaricemkanyika8293 Год назад +3

    Amen , mafundisho yako posta mbaga mungu akubariki sana nko kenya taita.

  • @joyikaya7429
    @joyikaya7429 4 месяца назад +2

    Amina. ZIDI KUBARIKIWA PASTOR.

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 Год назад +7

    Amen,kweli bila Mungu tunafanya kazi bure

  • @JudyMihila-eo1lg
    @JudyMihila-eo1lg Год назад +2

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU

  • @elizabethmakaranga218
    @elizabethmakaranga218 Год назад +2

    Mungu akubariki kwa mafundisho unayotufundsha stayblessed mch Mmbaga

  • @selfaakinyi2986
    @selfaakinyi2986 Год назад +7

    This sermon is a blessing, i have a lecture who told us at his home their is not television or radio no phone to the kids, he give the books to read if tired they out to play,

  • @yobike9680
    @yobike9680 11 месяцев назад +1

    Asanti sana nyumbani wa mungu kwa kusikiliza Nasumbili yako mimi niliona hapohapo mgojwa ulionisumbua sana mpaka nikama moyo .
    asifiwe mungu na mungu akupariki sana

  • @user-js1bh4rc1y
    @user-js1bh4rc1y 11 месяцев назад +2

    Mungu akubariki pasta tunatosheka n'a mahubiri

  • @kilungumsabaha3891
    @kilungumsabaha3891 Год назад +4

    Ameeen Pastor Nabarikiwa sana na Mahubiri haya nakupata vizuri kutoka Muscat 🙏🙏

  • @eunicemathias8574
    @eunicemathias8574 Год назад +2

    Amina mchungaji mbaga ùbarikiwe naomba roho mtakatjfu anisaidie kumjua mungu alivyo nilidhani najua kumbe sijui chochote

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 Год назад +2

    Amen Amen 🙏🏻

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Год назад +4

    Vile Bwana apendavyo akutumie fanya kwa nguvu zako zote mpaka mwisho Bwana ameweka mafundisho makubwa juu yako nguvu zote wekeza Na Bwana Akusaidie sana kwa mfaano wa paulo

  • @marthajepkogei5845
    @marthajepkogei5845 Год назад +2

    Kweli mungu ni mwema Kila saa,na wakati wake ni sasa.Amina pastor.barikiwa sana 🙏🙏🙏🙏

  • @shijantumba3164
    @shijantumba3164 Год назад +7

    kuna kitabu kinaitwa THE MONEY CODE, aisee kinaelezea njia zilizowafanya wayahudi kufanikiwa katika biashara

  • @maorinebarongo7789
    @maorinebarongo7789 Год назад +1

    Amen

  • @mwendapolesdachurch
    @mwendapolesdachurch Год назад +2

    Amina.

  • @AtimGrace-yk8sn
    @AtimGrace-yk8sn 17 дней назад

    Akika nabarikiwa sana na ingili hii nikiwa Nairobi mutumishi wa mungu mungu azidi kukuinwa

  • @PeterCharles-yc7tn
    @PeterCharles-yc7tn 2 месяца назад

    Mchungaji nimiaka miwili imepita tangu ufundishe somo hili lakin nimepata kibali kwa bwana biashara yangu imekua sana asante mungu

  • @halimaelizabethamuli254
    @halimaelizabethamuli254 Год назад +2

    Hivi mie nashukuru Mungu sana kwa kunikutanisha na mafundisho ya pst Mmbaga, kwani nilikua kwenye giza sana 🙏🙏🙏🙏

  • @user-um1iw8rf1x
    @user-um1iw8rf1x 26 дней назад

    Naitaji maombe pastor🙏🙏naumwa🙏

  • @ngolorose
    @ngolorose Год назад +2

    Amina 🙏🙏

  • @DanielLuhunga-iy4hl
    @DanielLuhunga-iy4hl 2 месяца назад

    Barikiwa San pastor

  • @Petro757
    @Petro757 Год назад +1

    Ubarikiwe mtumishi wa Bwana

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 Год назад +1

    Fundisho nzuri asante kwa kunielimisha umenisaidia sana barikiwa mtumishi wa Mungu

  • @aggywilson6984
    @aggywilson6984 Год назад

    Ameen mafundisho yananifungulia mengi 😭ubarikiwe sana pastor🙏🙏🙏

  • @JuliethyManyama
    @JuliethyManyama 2 месяца назад

    Amina

  • @marthadaniel4904
    @marthadaniel4904 Год назад +1

    Amen, nabarikiwe san 🙏🏾

  • @froline5209
    @froline5209 Год назад +2

    Your teachings pastor inspire me so much be blessed

  • @crealmarwa
    @crealmarwa Год назад +2

    Graciàs🙌

  • @juliuswambua5168
    @juliuswambua5168 Год назад +1

    Amen -Thanks be to God

  • @leilahjaye6413
    @leilahjaye6413 Год назад

    Amen
    Nimejifundisha mengi,
    Asante pastor

  • @robertjisandu56
    @robertjisandu56 Год назад

    Nimebarikiwa na somo hili. Barikiwa pastor

  • @robenragira1018
    @robenragira1018 Год назад

    Ahsante sana mtumishi wa bwana Mungu awabaliki sana

    • @sabinamrema5493
      @sabinamrema5493 Год назад

      Ameen Pastor nimepata moyo wakumjua huyu Mungu.

  • @BonfaceChacha-md2ux
    @BonfaceChacha-md2ux 9 месяцев назад +2

    Mchungaji niombee nipate utakaso wa roho mtakatifu pamoja nipate cheo cha kuwa mibaraka kwa ndugu zangu ...pia niweze kupata kazi mji wa Nairobi ..sema neno pastor nipate mbaraka wa ibrahimu

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Год назад +1

    Amen 🙏🙏🙏

  • @callenonderi1708
    @callenonderi1708 Год назад

    Amen nabarikiwa nikiwa labanon

  • @JahlayzahEbrahimovc
    @JahlayzahEbrahimovc 4 месяца назад +1

    Uzidi kubarikiwa mola

  • @adarashidi8178
    @adarashidi8178 Год назад +1

    Nikweli kabisa

  • @peterdavid20149
    @peterdavid20149 Месяц назад

    Kila kitu tunachofanya ni cha kiroho kweli kabisa. Kuna kipindi nilitafuna kwa mambo ya hovyo kabisa pesa ya ujenzi ili tutoke kwenye nyumba ya kupanga. Nikahisi hii si jambo la kawaida ilihitaji Mungu anisaidie. Nilipoomba nijenge, haraka Mungu alijibu ndani ya mwaka tu tulihamia. Baada ya mwaka Mungu alinioneshea, akaja mtu wa nyumbani akatamka tu akasema sikutegemea kama huyu jamaa atafikia hatua hii. Na akaropoka tena kwa rafiki yangu akasema huyu jamaa simwelewi mwelewi ile nguvu kapata wapi. Rafiki akamwuliza nguvu gani? Akajibu kwa ufupi tu yule mke wake huenda ni mchawi ndiye anayemsaidia.......

  • @revocatNgendakumana-xv5um
    @revocatNgendakumana-xv5um Год назад

    Thank u

  • @jerlaskambale5458
    @jerlaskambale5458 Год назад +1

    ASante kwa mahu

  • @upendotv2776
    @upendotv2776 Год назад +2

    Niukweli kbisa ukipumzka unpta nguvu

  • @beathapontian2187
    @beathapontian2187 Год назад

    Mungu aendele kuku tunza 🙏🙏

  • @glorialaizer9450
    @glorialaizer9450 Год назад +1

    Masaaa 6 yanatosha kulala

  • @rahimajuma5306
    @rahimajuma5306 Год назад

    Ameen

  • @PamelaMonyangi
    @PamelaMonyangi 6 месяцев назад +1

    ninajekwa naomba maombi

  • @chagamammbaga3457
    @chagamammbaga3457 Год назад

    only point is to belive in GOD

  • @abilityemmanuel3000
    @abilityemmanuel3000 Год назад

    Pastor David mbaga,, samahan siku ukipata muda utuewekee sawa hali hii ya waadventsta kusherekea mwaka mpya limekaaje tusaidie

  • @user-pe9hl6ks6m
    @user-pe9hl6ks6m 11 месяцев назад +1

    Pr naomba no yako ya. Cim yako ya Sasa tafadhali

  • @nicepallangyo1860
    @nicepallangyo1860 Год назад

    Mimi nataka niongee na pastor moja kwa moja lakn nashindwa kuchukua namba

  • @UncleJonah-h8l
    @UncleJonah-h8l Год назад

    Nilikuwa nimetanga mbali nawe Yesu Narudi nisaidie kuyaelewa haya na kuyafanyia kazi

  • @peninamwailunda8813
    @peninamwailunda8813 Год назад

    yaani mch. umenena

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Год назад

    Nashukuru mchungaji kwa kunipa akili ya chakula Cha roho

  • @marsellah9295
    @marsellah9295 Год назад

    Niko hapa nakufuatiria kutoka saudia

  • @veronicajimisha61
    @veronicajimisha61 Год назад

    Ninajifunza

  • @nazieleliakimu3625
    @nazieleliakimu3625 11 месяцев назад +1

    ++

  • @damariskimaiga364
    @damariskimaiga364 Год назад

    Thanks 🙏🙏 for inspiration massage pastor kindly assist me with your number Damaris from Kenya.

  • @MARIE-iy4bx
    @MARIE-iy4bx Год назад +2

    Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,

  • @samwelgidion3401
    @samwelgidion3401 Год назад +1

    Amen 🙏🙏🙏

  • @roycekasoso6089
    @roycekasoso6089 Год назад +1

    Amen

  • @verynicemkaro7116
    @verynicemkaro7116 Год назад

    Amina .

  • @mayalastephano6781
    @mayalastephano6781 Год назад

    Amina

  • @charleskibugachannel2210
    @charleskibugachannel2210 Год назад

    Amina

  • @Uzima-Tv
    @Uzima-Tv Год назад

    Amen🙏

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 Год назад

    Amen

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 Год назад

    Amina