Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,
Amen Kwa hakika mungu Ni mzuri Na pia nimwamnifu kila nikisikiza mahubiri haya Kuna kitu kipaya najifunza hakika mungu wa mbinguni akubariki pastor Na pia akuongezee miaka mengi
This sermon is a blessing, i have a lecture who told us at his home their is not television or radio no phone to the kids, he give the books to read if tired they out to play,
Asanti sana nyumbani wa mungu kwa kusikiliza Nasumbili yako mimi niliona hapohapo mgojwa ulionisumbua sana mpaka nikama moyo . asifiwe mungu na mungu akupariki sana
Vile Bwana apendavyo akutumie fanya kwa nguvu zako zote mpaka mwisho Bwana ameweka mafundisho makubwa juu yako nguvu zote wekeza Na Bwana Akusaidie sana kwa mfaano wa paulo
Mchungaji niombee nipate utakaso wa roho mtakatifu pamoja nipate cheo cha kuwa mibaraka kwa ndugu zangu ...pia niweze kupata kazi mji wa Nairobi ..sema neno pastor nipate mbaraka wa ibrahimu
Kila kitu tunachofanya ni cha kiroho kweli kabisa. Kuna kipindi nilitafuna kwa mambo ya hovyo kabisa pesa ya ujenzi ili tutoke kwenye nyumba ya kupanga. Nikahisi hii si jambo la kawaida ilihitaji Mungu anisaidie. Nilipoomba nijenge, haraka Mungu alijibu ndani ya mwaka tu tulihamia. Baada ya mwaka Mungu alinioneshea, akaja mtu wa nyumbani akatamka tu akasema sikutegemea kama huyu jamaa atafikia hatua hii. Na akaropoka tena kwa rafiki yangu akasema huyu jamaa simwelewi mwelewi ile nguvu kapata wapi. Rafiki akamwuliza nguvu gani? Akajibu kwa ufupi tu yule mke wake huenda ni mchawi ndiye anayemsaidia.......
Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,
Asante Mungu nimezidi kujengeka kiroho huyu Mungu kwangu ni rafiki yangu amenitendea mengi na namuomba anipe Hekima yakumtumikia bila kuchoka
Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,
Amen Kwa hakika mungu Ni mzuri Na pia nimwamnifu kila nikisikiza mahubiri haya Kuna kitu kipaya najifunza hakika mungu wa mbinguni akubariki pastor Na pia akuongezee miaka mengi
Amina mtumishi ubarikiwe Sana Naomba uniombee Nina shida nyingi. Ningekuwa na Namba yako ya simu tungeongea ila kwa imani nitapona
Asema mpe mda mwingi Yesu utapata kila ukitakacho kiurahisi.tuanze wote Leo ndugu tuone maajabu
Naanza leo kukupa mda wangu Yesu.mambo yangu yamegoma sababu nimeyapa mda Sana kuliko wewe
Amen nabarikiwa sana Mungu akubariki pastor.
Martha musafiri pastor mungu akubariki sana unatusaidia tulio weng na mungu akubariki sana🙏
Amen , mafundisho yako posta mbaga mungu akubariki sana nko kenya taita.
Amina. ZIDI KUBARIKIWA PASTOR.
Amen,kweli bila Mungu tunafanya kazi bure
Amen
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU
Mungu akubariki kwa mafundisho unayotufundsha stayblessed mch Mmbaga
This sermon is a blessing, i have a lecture who told us at his home their is not television or radio no phone to the kids, he give the books to read if tired they out to play,
Asanti sana nyumbani wa mungu kwa kusikiliza Nasumbili yako mimi niliona hapohapo mgojwa ulionisumbua sana mpaka nikama moyo .
asifiwe mungu na mungu akupariki sana
Mungu akubariki pasta tunatosheka n'a mahubiri
Ameeen Pastor Nabarikiwa sana na Mahubiri haya nakupata vizuri kutoka Muscat 🙏🙏
Amina mchungaji mbaga ùbarikiwe naomba roho mtakatjfu anisaidie kumjua mungu alivyo nilidhani najua kumbe sijui chochote
Amen🙏
Amen Amen 🙏🏻
Vile Bwana apendavyo akutumie fanya kwa nguvu zako zote mpaka mwisho Bwana ameweka mafundisho makubwa juu yako nguvu zote wekeza Na Bwana Akusaidie sana kwa mfaano wa paulo
Kweli mungu ni mwema Kila saa,na wakati wake ni sasa.Amina pastor.barikiwa sana 🙏🙏🙏🙏
kuna kitabu kinaitwa THE MONEY CODE, aisee kinaelezea njia zilizowafanya wayahudi kufanikiwa katika biashara
Kitabu hicho unacho?
Amen
Amina.
Akika nabarikiwa sana na ingili hii nikiwa Nairobi mutumishi wa mungu mungu azidi kukuinwa
Mchungaji nimiaka miwili imepita tangu ufundishe somo hili lakin nimepata kibali kwa bwana biashara yangu imekua sana asante mungu
Mungu atukuzwe saaaana
Hivi mie nashukuru Mungu sana kwa kunikutanisha na mafundisho ya pst Mmbaga, kwani nilikua kwenye giza sana 🙏🙏🙏🙏
Naitaji maombe pastor🙏🙏naumwa🙏
Amina 🙏🙏
Barikiwa San pastor
Ubarikiwe mtumishi wa Bwana
Fundisho nzuri asante kwa kunielimisha umenisaidia sana barikiwa mtumishi wa Mungu
Ameen mafundisho yananifungulia mengi 😭ubarikiwe sana pastor🙏🙏🙏
Amina
Amen, nabarikiwe san 🙏🏾
Your teachings pastor inspire me so much be blessed
Graciàs🙌
Amen -Thanks be to God
Amen
Nimejifundisha mengi,
Asante pastor
Nimebarikiwa na somo hili. Barikiwa pastor
Ahsante sana mtumishi wa bwana Mungu awabaliki sana
Ameen Pastor nimepata moyo wakumjua huyu Mungu.
Mchungaji niombee nipate utakaso wa roho mtakatifu pamoja nipate cheo cha kuwa mibaraka kwa ndugu zangu ...pia niweze kupata kazi mji wa Nairobi ..sema neno pastor nipate mbaraka wa ibrahimu
Mungu akutendee muujiza
Amen 🙏🙏🙏
Amen nabarikiwa nikiwa labanon
Uzidi kubarikiwa mola
Nikweli kabisa
Kila kitu tunachofanya ni cha kiroho kweli kabisa. Kuna kipindi nilitafuna kwa mambo ya hovyo kabisa pesa ya ujenzi ili tutoke kwenye nyumba ya kupanga. Nikahisi hii si jambo la kawaida ilihitaji Mungu anisaidie. Nilipoomba nijenge, haraka Mungu alijibu ndani ya mwaka tu tulihamia. Baada ya mwaka Mungu alinioneshea, akaja mtu wa nyumbani akatamka tu akasema sikutegemea kama huyu jamaa atafikia hatua hii. Na akaropoka tena kwa rafiki yangu akasema huyu jamaa simwelewi mwelewi ile nguvu kapata wapi. Rafiki akamwuliza nguvu gani? Akajibu kwa ufupi tu yule mke wake huenda ni mchawi ndiye anayemsaidia.......
Thank u
ASante kwa mahu
Niukweli kbisa ukipumzka unpta nguvu
Mungu aendele kuku tunza 🙏🙏
Masaaa 6 yanatosha kulala
Ameen
ninajekwa naomba maombi
only point is to belive in GOD
Pastor David mbaga,, samahan siku ukipata muda utuewekee sawa hali hii ya waadventsta kusherekea mwaka mpya limekaaje tusaidie
ruclips.net/user/liveM_9N3GilTmU?feature=share
Pr naomba no yako ya. Cim yako ya Sasa tafadhali
God bless you uendeleze kazi yake
Mimi nataka niongee na pastor moja kwa moja lakn nashindwa kuchukua namba
Nilikuwa nimetanga mbali nawe Yesu Narudi nisaidie kuyaelewa haya na kuyafanyia kazi
yaani mch. umenena
Nashukuru mchungaji kwa kunipa akili ya chakula Cha roho
Niko hapa nakufuatiria kutoka saudia
Ninajifunza
++
Thanks 🙏🙏 for inspiration massage pastor kindly assist me with your number Damaris from Kenya.
Ameen, nimejipata nalia,nikikumbuka vile nimerudi nyuma kufunga,😭Ee Mwenyezi Mungu, naomba ufahamu na Nuru yako iniangazie kwa Mara nyengine,angalau niache unafiki na wewe🙏🙏🙏,
Nabarkiwa na mahbir amina pastor
Amen 🙏🙏🙏
Amen
Amina .
Amina
Amina
Amen🙏
Amen
Amena baba
Amina
Amen
Amin barikiwa kwakututiyamoyo