JIFANYIE TATHMIN- KWANINI HUFANIKIWI? PR. DAVID MMBAGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • JIUNGE NA CHENEL YETU YA DHARURA KWA KUBONYEZA youtube.com/@H...

Комментарии • 98

  • @theresiagideon2178
    @theresiagideon2178 10 месяцев назад +37

    Mchungaji ubarikiwe sana na haya mafundisho, Mungu amenitendea muujiza mkubwa sana, nilikuwa na tatizo lililonisumbua kwa muda wa miaka mitano na kidogo nimetumia dawa za kila aina na hospital nilikuwa naambiwa ni kawaida tuu. Mwezi ulioisha nilikusikiliza ukiwa makambi ya Kwaraa ulitoa kisa cha mama wa Dodoma aliyeuguliwa na mtoto wake. Nami nikaingia kuomba kama ulivyoelekeza nikamwambia Mungu wewe sio mgonjwa wala mwenye dhambi ndio maana ulishuka kwa sisi wagonjwa na wenye dhambi basi naomba uzima wako ndani yangu. Hiyo hali imetoweka mpaka leo sijaiona tena. Mungu azidi kukutumia kwaajili ya utukufu wake Ameen🙏

  • @AgostinoSampala-dr5ml
    @AgostinoSampala-dr5ml 10 месяцев назад +9

    pastor Mungu akubariki Mimi nipo Israel saizi na vita inaendelea pia ninamatumaini ya kuzidi kuwa salama mpaka nitakapo rudi Tanzania. Wahimize vijana wenzangu kupambana kwa kumtegemea Mungu maana ndie kimbilio letu na ngao Yetu.

  • @zaitunimkanyagasi6501
    @zaitunimkanyagasi6501 8 месяцев назад

    Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,nafurahi Sana kusikiliza nafundisho yako

  • @Patience763
    @Patience763 9 месяцев назад

    Waaaaaaaa mafundisho yameniponda ila nimefundishika mungu niongozeee

  • @user-ue3ou3xe5r
    @user-ue3ou3xe5r 9 месяцев назад

    Barikiwe sana pastor kwa somo zuri

  • @francinahmwinga684
    @francinahmwinga684 2 месяца назад

    Mungu akubariki mtumishi

  • @stevenmaganga8107
    @stevenmaganga8107 9 месяцев назад

    Sijawah toka kapa ktk mafundisho yako,mungu akutunze

  • @mollely001
    @mollely001 10 месяцев назад

    Ubarikiwe san mchungaji maan nimepat kitu kabisa

  • @linethowire7031
    @linethowire7031 2 месяца назад

    Somo hili litafanya kitu kwangu mwaka huu...Mungu WA MBINGUNI ukatende kadri uwezavyo kwetu sote....

  • @danykiza1996
    @danykiza1996 9 месяцев назад

    Ubarikiwe sana

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 10 месяцев назад +3

    Amina .Nashukuru sana kwa Mafundisho yanayonifungua akili zangu .Ubarikiwe pastor Mbaga napata ujasiri mkubwa kupitia mafundisho yako🙏🙏🙏

  • @Geoffrey_sabato
    @Geoffrey_sabato 10 месяцев назад +6

    Hatimaye muda umetimia, nilisubiri kwa shauku

  • @EstherMwenze-dx6qj
    @EstherMwenze-dx6qj 2 месяца назад +1

    Pastor pray for me I want to be preacher and am working on it,I can recall I prayed God to bless me with job then I shall further my studies to preach his gospel

  • @dicksonmakungu7184
    @dicksonmakungu7184 10 месяцев назад

    Nabarikiwa sana mafundisho haya nahitaji maombi pst

  • @user-qg3tn7sx8g
    @user-qg3tn7sx8g 9 месяцев назад

    Bwana akutie nguvu pr

  • @phydloramnyaka3026
    @phydloramnyaka3026 6 дней назад

    Mungu akubariki,umenifungua macho na na na ya kumwomba Mungu.

  • @aleroalero277
    @aleroalero277 9 месяцев назад

    Hata mimk niliwahi sahau mzigo kariakoo siku mbili sikumbuki niliuach wapi, nikafunga jamani .. nikasikia sauti inaniambia ni rudi kuangalia, nikakumbuka sehemu ni liyosahau nikajipa moyo mkuu mana kuna sauti ilikua inanirudisha nyuma kwamba napoteza tu muda... nikaenda nikakuta mizigo kwenye duka wamenihifadhi, Mungu ni mwema sana

  • @evasesoa8437
    @evasesoa8437 9 месяцев назад

    Thanks man of God unanibariki na mahubiri yako napata ufahamu zaidi ni omba halafu bisha ndio kanuni

    • @evasesoa8437
      @evasesoa8437 9 месяцев назад

      Nafurahi kujifunza ufalme wa mbinguni

  • @purity134
    @purity134 10 месяцев назад +1

    Amina,hii somo lilikua langu ,help me God to become successful for whatever i put my hand on in Jesus name

  • @JescarKananas
    @JescarKananas 50 минут назад

    Hakika nikweri kabisa Mungu watu anayatenda makuu ,hilinitokea nasafili na familia yangu tulikuwa tunaenda mkoani bk tukitoka dar sehemu Moja inahitwa Kisewe sted gari lilipo kuja tukapanda gari na nikasahau pochi yangu stend Kuna mateja Pele kama wote na habilia WA kutosha pochi ilikuwa na na cm kubwa 1 na ndogo 1 Kuna shilingi kama laki 5 nimefika mbali kabisa konda anataka nauli pochi sioni nikakumbuka nimehiacha stend kwenye benchi nikishuka nikapata boda hakanirudisha stend nakuta pochi hiko palepale ndani kama ya lisaa Zima nikafungua nakukuta hiko vilevile wote waliokuwepo walishangaa mno mateja walihishia kushangaana tu, palikuwa na Mzee Moja aliniuliza ninanguvu Gani,nilimjibu kuwa Mungu tu.hakika Mungu hanashangaza kwa mengi mno mchg Mungu hakupe miaka mingi.

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 10 месяцев назад +3

    Hakika mchungaji,Mbaga mafundisho yako mambo mengi nimeyafanya kwa vitendo na kwa imani kwa vitendo na nimefanikiwa vitu vingi.Shamba nimelima,kabla sijanununua nilimshirikisha Mungu na hata sijaona shamba niliomba magunia 20 na zaidi.Ikawa hivi nilipolima nikapata magunia 22.Unafundisha imani halisi

    • @lynnijayiongadi8134
      @lynnijayiongadi8134 10 месяцев назад

      Amen

    • @perisbosibori2249
      @perisbosibori2249 10 месяцев назад

      Sure, GOD is everything in everything in our lives. Thank you Pastor for this lesson and wonderful message. May our LORD protect you as you continue serving Him in His vineyard.

  • @deusntobi6682
    @deusntobi6682 Месяц назад

    Amina

  • @calebmakori
    @calebmakori 10 месяцев назад +3

    Amen Mungu kwanza. God help me to have teachable spirit and obedient to your word . Pray for me

  • @user-qz6ir2oy1d
    @user-qz6ir2oy1d 10 месяцев назад +2

    Nikweli Mimi niliskiliza haya masomo nilikuwa nimeajiliwa kwa duka la mtu nilianza kuona duka langu kiroho nikamwambia mungu mwaka huu mwezi wa sta niwe na duka langu kwa Imani tarehe 20/06/2023 nilimiki duka langu namshukuru sana huyu mungu kwa Imani anajibu sana mungu analipa sana watu wa mungu.

    • @aishaally1859
      @aishaally1859 10 месяцев назад

      Amen amen nami napokea kwa jina la Bwana wetu YESU kristo

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 10 месяцев назад +1

    Mchungaji huyu namkubali kwa mafundisho yake!❤

  • @rehemanashon3739
    @rehemanashon3739 10 месяцев назад +2

    Nina USHUHUDA Mimi mwenyewe nyumba yangu Iko kwenye lenta miaka kumi Sasa ,batinzipo ila mbao za only 3.6M zimetushinda.Zikipatikana tu tatizo lingine linaibuka Pesa zinaenda kwenye tatizo.Hili SoMo ni Kwa ajili yangu na Nina Imani Sasa hii nyumba inaenda kuisha Kwa Jina la Yesu Kristo.
    Maombi Yako Pastor 🙏🙏

  • @RubaR-nr5wz
    @RubaR-nr5wz 10 месяцев назад

    Asante sana nimepata mengi ya kujifunza na kunikuza imani yangu mungu azidi kukupa hekima zake na kuendelea kuzidi kudumu katika utukufu wake yesu kristo amen ubarikiwe pia

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo3637 10 месяцев назад

    Mungu atukuzwe ,hili Somo mungu alitaka niskilize ,ubarikiwe sana pastor ,Mungu azidi kukutumia kuongea na watu wake ,

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 10 месяцев назад

    Barikiwa sana PST MMBAGA hakika ni mengi nimejifunza kwako. Bwana Yesu asifiwe🙏🏾

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 10 месяцев назад +1

    Mungu akubariki na injili isonge mbele

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 10 месяцев назад +2

    Amen 🙏🙏 MUCHUNGANJI,Leo tu nimetoka kunena kwamba nimechoka na hii life Asante YESU ,naomba msahee

  • @gracemoraa3963
    @gracemoraa3963 10 месяцев назад

    Also this message is for me paster .nisajua shida yangu iko wait.Mungu akupaliki kwa hi some.

  • @jenestermabati4409
    @jenestermabati4409 10 месяцев назад

    Ubarikiwe Pr.Nabarikiwa kwa mafundisho yako

  • @EmmanuelyJoseph-cu8xv
    @EmmanuelyJoseph-cu8xv 10 месяцев назад +2

    Nashukuru sana Mungu mwema Kwa kunipa kazi na kunipa mke mwema hakika Mungu ni mwaminifu sana. Ila nina jaribu napitia kwenye familia yangu plz nahitaji msaada wa maombi

    • @eustina0
      @eustina0 10 месяцев назад +1

      Aminaa Mungu nmwema atakuepushia jaribu lako

    • @EmmanuelyJoseph-cu8xv
      @EmmanuelyJoseph-cu8xv 10 месяцев назад

      @@eustina0 Amina nashukul sana 🙏🙏

    • @eustina0
      @eustina0 10 месяцев назад

      @@EmmanuelyJoseph-cu8xv karibu sana

  • @AndreaSangopirlo-vc9zu
    @AndreaSangopirlo-vc9zu 10 месяцев назад

    Ubarikiwe mchungaji alie kwenye group la mchungaji

  • @shaniachanceline2751
    @shaniachanceline2751 10 месяцев назад

    Amen! Nabarikiwa sana na somo hili ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jamesmwakitalima
    @jamesmwakitalima 10 месяцев назад

    Leo nimepona kwenye matumizi ya sabuni,nimeacha

  • @rhinakiza
    @rhinakiza 10 месяцев назад +1

    Amen 🙏🏼 🙏🏼

  • @wilfridamanono2667
    @wilfridamanono2667 10 месяцев назад +2

    Watching from Kenya, nice teaching be blessed

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel 10 месяцев назад

    Be blessed pastor... napenda sana kujifunza habar ya Ufalme wa Mungu

  • @SaitotiHinyura
    @SaitotiHinyura 10 месяцев назад

    Asante sana Mungu kwa ujumbe huu wenye kunifumbua akili zangu za kimwili na kiroho.Amina.

  • @PhinaAtienoAyodo
    @PhinaAtienoAyodo Час назад

    Hello pastor, naomba uombe mtoto wangu Samuel anaanguka kifafa since Jan 2018 to date. Cha kushangaza at times anaongea aachwe akiwa amepoteza fahamu.

  • @laridistrict4710
    @laridistrict4710 10 месяцев назад

    nashukuru mtumishi wa mungu.Kweli kabisa umetaja kinacho subua maisha yangu ya kwanba kila nilicho nacho ni silaha ya mungu.nimeamuaa kwa jna la yesu ushindi niwa yesu ndani yangu na milele zote yesu ni rafiki mpendwa....neema ili nisimame mpaka mwisho

  • @nabibyaamos363
    @nabibyaamos363 10 месяцев назад

    Hili somo limenihusu kwa kiasi cha haja,asante mchungaji.

  • @scolaebenezer4538
    @scolaebenezer4538 10 месяцев назад

    Thanks man of God,be blessed

  • @kenansyprian6954
    @kenansyprian6954 10 месяцев назад

    Pastor asantee kwa mahubiri yako. Naomba tusaidie uchambuzi wa Kina wa Historia ya Israel na Palestina.

  • @margaretwanjiru9096
    @margaretwanjiru9096 10 месяцев назад

    Kila saa nashukuru Mungu kwa kufanya nipate kukujua Pastor Mbaga....
    maana umenifundisha mengi na kupata kumjua Mungu zaidi na zaidi na kukua kiimani kila saa...
    Barikiwa sana sana MCHUNGAJI WA MUNGU🙏🏻🙏🏻

  • @johnnyangaresi2387
    @johnnyangaresi2387 10 месяцев назад +2

    Thank you pastor i have learned something thank you for encouraging me

  • @graceoyoo3418
    @graceoyoo3418 10 месяцев назад +1

    Amina pastor

  • @ThomasErro-tx9td
    @ThomasErro-tx9td 10 месяцев назад

    Mch nikweli unajitahidi sana kufundisha, na unafundisha neno la Mungu kwa ufasaha sana, lakini hao watu wako wa dini ya sabato wako zaidi kushika dini, na siku ya saba na roho mtakatifu haikubali hata moja, naww unamkubali roho mtakatifu, je hukutani na wachungaji wenzako kwenye kongamano yenu, je hapo wanachukuliaje, ukizingatia wanamkashifu roho mtakatifu

    • @theresiamwanamkejasiri6510
      @theresiamwanamkejasiri6510 10 месяцев назад

      Wasabato wasio amini Roho mtakatifu hao sio wasabato achana nao,tena ni wachungaji,Hapana kwa kweli,

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 10 месяцев назад

    Amen Amen. Ni kweli izo ni chawa kichwani. Mungu akubariki sana.

  • @user-ipallangyo
    @user-ipallangyo 10 месяцев назад +1

    Ninabarikiwa Pastor

  • @abigaelmwadena2262
    @abigaelmwadena2262 10 месяцев назад

    Ameen ameen barikiwa Sana Mutumishi wa Mungu

  • @abilityemmanuel3000
    @abilityemmanuel3000 10 месяцев назад

    pastor ubarikiwe unanitia nguvu katika neno la mungu mmebaki wachache saana

  • @jofryoba7762
    @jofryoba7762 10 месяцев назад

    Ubarikiwe Sana mch.wangu

  • @seiframadhan3387
    @seiframadhan3387 10 месяцев назад

    Huyu Mungu acheni tu aitwe Mungu huwa ananifanyia vitu mpaka nashangaa nitamuabudu nakumuamini kwa kila kitu nitaendelea kushukulu kwa mapenzi yake

  • @bigirimanairad2883
    @bigirimanairad2883 10 месяцев назад

    Amen Mbarikiwe.

  • @jimin77310
    @jimin77310 10 месяцев назад +1

    Na iwe ivyo🙏🏿🙏🏿

  • @user-eg1sy1cs2n
    @user-eg1sy1cs2n 10 месяцев назад

    Msomaji ana vituo vingi mno

  • @josianeniyonkuru5796
    @josianeniyonkuru5796 10 месяцев назад

    Amina🙏✍🙏✍

  • @user-ue7wo8th7d
    @user-ue7wo8th7d 10 месяцев назад

    Amen 🇰🇪

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 10 месяцев назад

    Naitaji pia bwana anisaidiye. Nimerudi nyuma sana kwa kutowa ao kusaidiya maskini na mayatima.

  • @waltergekone3879
    @waltergekone3879 10 месяцев назад

    Amen

  • @BarnabasJonas-nv4ig
    @BarnabasJonas-nv4ig 10 месяцев назад

    AMINA

  • @kabalizasekanabomarko6063
    @kabalizasekanabomarko6063 10 месяцев назад

    Nimebarikiwa sana na mahubiri yako.

  • @MairaFuraha
    @MairaFuraha 10 месяцев назад

    Mubarikiwe sana

  • @eustina0
    @eustina0 10 месяцев назад +1

    Mungu nmwema

    • @user-he7cf3wp2p
      @user-he7cf3wp2p 10 месяцев назад +2

      Paster nashukuru MUNGU sana kwa ajili yako hakika kupitia mafundisho yako nimeona mwanga mkubwa ktk safari yangu ya kwenda mbinguni mungu amefungua fahamu zangu

  • @LeneyaAline-pp2mi
    @LeneyaAline-pp2mi 10 месяцев назад

    🎉❤❤🙏🙏

  • @annmjemah5655
    @annmjemah5655 10 месяцев назад

    Ni kweli mchungaji hata mimi niliacha laptop airport ya dsm kwenye vitotoli . security guard akaitunza nikarudi kutika kongowe hadi kiwanjani namuuliza receptionist anasema sijui ngoja nimuulize mlinzi mkuu . Kumbe aliichukua

  • @MSM374
    @MSM374 10 месяцев назад +1

    Inawasha

  • @laridistrict4710
    @laridistrict4710 10 месяцев назад

    Ombea ndoa yangu

  • @annmjemah5655
    @annmjemah5655 10 месяцев назад

    So mlinzi aliichukua akqitunza

  • @LevinaRutashongerwa
    @LevinaRutashongerwa Месяц назад

    Wee umefanikiwa mangapi nunua ndege basi tujue umefanikiwa hata wewe hujafanikiwa

  • @giftgiven5272
    @giftgiven5272 9 месяцев назад

    Amina

  • @user-os3vo4sm2n
    @user-os3vo4sm2n 10 месяцев назад

    AMEN 🙏🙏🙏🙏