UWE HODARI PR DAVID MMBAGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 фев 2025

Комментарии • 32

  • @NeelckysSekera
    @NeelckysSekera 4 дня назад +1

    Amina pasta,mungu akubariki nimebarikiwa sana from congo kinshasa

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj День назад +1

    Ahsante sana kwa mahubiri Mungu kweli anavyombo safi vya kutumia barikiwa mtumishi mmbaga ❤

  • @EmmaroseJoseph
    @EmmaroseJoseph 9 дней назад

    AMEN 🙏 AMEN 🙏 AMEN 🙏❤❤❤❤❤❤❤

  • @MariamBusele
    @MariamBusele Месяц назад +6

    Namshukulu MUNGU kwakuniunganisha nawewe tena barikiwe sana mchungaji🎉🎉

  • @JosphineMungoe
    @JosphineMungoe Месяц назад

    Mchungaji nimebarikiwa na mafudisho yako sana hakika nimejifunza mambo makuu mungu akubariki.

  • @VictoryKasunga
    @VictoryKasunga Месяц назад

    Amina ubarikiwe Pr

  • @elizabethgodfreytondo3052
    @elizabethgodfreytondo3052 Месяц назад

    Amen!

  • @alfasafaraja8515
    @alfasafaraja8515 Месяц назад

    Amen

  • @paulakyoo-l5p
    @paulakyoo-l5p Месяц назад

    Amina

  • @elienew3788
    @elienew3788 Месяц назад

    Nmefurahi ns kuzidi kujifunza kupitia hili zuri sana Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu 👏👏👏❤❤❤❤❤

  • @LailaNassor
    @LailaNassor 2 дня назад

    🙏

  • @lucynyigana2801
    @lucynyigana2801 Месяц назад +1

    AMINAAA

  • @OnsomuThadeus-w7x
    @OnsomuThadeus-w7x Месяц назад

    Amen nice teaching be blessed all the time

  • @LevinaMagono
    @LevinaMagono Месяц назад

    Amen mungu tupe ujasiri

  • @up2dateznzsecurity
    @up2dateznzsecurity Месяц назад

    Nabarikiwa sana na mahubir yako mtumishi was Mungu

  • @AngelinaChacha-gb3yh
    @AngelinaChacha-gb3yh Месяц назад +1

    Mungu akubariki mtumishi ili uendelee kutumikia watu wake.

    • @zaiokari1698
      @zaiokari1698 Месяц назад

      😊😊😊q😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @alicesidi9601
    @alicesidi9601 Месяц назад

    Amina, ubarikiwe Mchungaji

  • @perisbosibori2249
    @perisbosibori2249 Месяц назад

    AMEN 🙏! Thank you Pastor Mmbaga for the blessings of the word.

  • @Trizah-254-e
    @Trizah-254-e Месяц назад

    AMEN

  • @MariamBusele
    @MariamBusele Месяц назад

    Amina ubarikiwe sana mchungaji.

  • @ciciliawangare3507
    @ciciliawangare3507 Месяц назад

    amen and amen

  • @rizikilaunda961
    @rizikilaunda961 Месяц назад

    Amen 🙏 🇱🇷

  • @angelusbell2563
    @angelusbell2563 Месяц назад

    Yani unafundisha vitu vya maana sana!

  • @BonnyErnest
    @BonnyErnest Месяц назад +1

    Tunabarikiwa lakin mchungaji tunaomb uje ufundishe somo la utatu mtakatifu koz tunaambiwa akuna miungu wa tatu na akuna sehem kweny bibilia imeandik a et kuna miungu watat biblia nzima lakin ukisoma makin kweny biblia imeandikwa kwamb kuna mungu mmoja tu na bwan wetu yesu sas hii nazalia ya wasabato kwamba kuna mung bab mungu mwana na mungu roho hii imetoka wap kweny biblia naomba mtufundishe jaman

    • @marionmboya7219
      @marionmboya7219 Месяц назад

      Utatu mtakatifu ni mgawanyiko wa kuonesha Kazi tatu tofauti katika nafsi tatu tofauti. Utatu mtakatifu haimanishi kuwepo kwa miungu mitatu tofauti. Mungu ni mmoja tu na hufanya kazi kwetu sisi katika nafsi tatu tofauti ambapo Kuna Mungu Baba, Mungu Mwana na Mungu Roho Mtakatifu. (Mwanzo 1:26) inasema "Na tufanye mtu kwa mfano wetu” Hivyo utendaji wa Mungu unaonekana katika hizi sehemu tatu kuu katika jina Utatu mtakatifu. Wala haiwezekani kugawanisha/ kutenganisha nafsi hizi tatu na kusema kwamba kuna miungu mitatu.
      Mungu Baba ndiye muumbaji, Mungu Mwana aliyekuja duniani kuteswa kufa na kufufuka ili tupate ukombozi, Mungu Roho Mtakatifu ambaye ni mlinzi na msaidizi wetu ambapo kazi ya uumbaji na wokovu zinakuwa na uhusiano.

    • @BonnyErnest
      @BonnyErnest Месяц назад

      @marionmboya7219 sas je sas ivi uko mbingun izo nafsi ziko tatu kila moja na nafsi yake au zimeungana zimekuwa kama nafsi moja inayo gawanyika naomba unieleweshe yan uyo mungu baba mungh mwana na mungu roho zimeungana yan kama mwili mmoja kwa mfano au kila nafs iko peke yake sema kiutendaj ndo wanakuwa wamoja nielewesh apo kaka

  • @rosechagama4987
    @rosechagama4987 Месяц назад +1

    Pr Nahitaji hizo supplement unazotumia nahizihitaji mno

  • @MariamBusele
    @MariamBusele Месяц назад

    Aminaaa🎉🎉

  • @kiondojacob
    @kiondojacob Месяц назад

    Amina mchungaji

  • @MariamBusele
    @MariamBusele Месяц назад

    😂