MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE : MAOMBI ENDELEVU UFUNGUA MALANGO YA FURSA KWA MUOMBAJI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
    ⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/mara...
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: www.youtube.co....
    ⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
    ⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
    *** OUR PLAYLISTS***
    ⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: www.youtube.co....
    ⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: www.youtube.co....
    ⚫️ MAFUNDISHO: www.youtube.co....
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: www.youtube.co....
    ⚫️ UCHUMI: www.youtube.co....
    ⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: www.youtube.co....
    ⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: www.youtube.co....
    ⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: www.youtube.co... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/mara...
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: www.youtube.co....

Комментарии • 161

  • @marysbeautyempire806
    @marysbeautyempire806 11 месяцев назад +21

    Haya Mafundisho Yamenigusa Leo tarehe 16/10/2023.. Nimepata kusikia Neno ambalo litabadili historia ya maisha yangu. Mungu tusaidie sanaa. Semina hii Ilikuwa kwa ajiri yangu na ni kusudi la Mungu kwa ajiri yangu. Nimebarikiwa sanaa

  • @francialaizerLaizer
    @francialaizerLaizer 25 дней назад +1

    Kwa mafundisho haya Mungu amponye Mme wangu na mtumishi Mungu akutuze na akulinde ww na familya yako

  • @EliudCostantine
    @EliudCostantine 10 дней назад

    MWENYEZI MUNGU akutunze mtumishi wa MUNGU

  • @ChristopherChunga-t3k
    @ChristopherChunga-t3k 10 дней назад

    Mungu akubariki wajina Rev chunga Ddm mkutan

  • @ChrstopherPeter
    @ChrstopherPeter 14 дней назад +1

    Amina mtumish wa bwana

  • @shirimaoliva7695
    @shirimaoliva7695 4 месяца назад +5

    Mungu naoma unisaidie mimi na mume wangu maana kwenye majaribu tunayopitia tumefika mwisho bila msaada wa Mungu atuwezi kabisa ,

  • @OmegaLema-gg6dx
    @OmegaLema-gg6dx 28 дней назад

    Napokea kwa jina la YESU

  • @UeniceBukuku-rk4st
    @UeniceBukuku-rk4st 2 месяца назад +1

    Daaa asantee baba kwa mafundisho mazur Mungu akuinue

  • @mwanaharakati83
    @mwanaharakati83 6 месяцев назад +2

    Mungu niunulie watu watakaomba kwa ajiri yangu

  • @shirimaoliva7695
    @shirimaoliva7695 4 месяца назад +1

    Amina Mchungaji Mungu naomba unisaidie nikufuhamu wewe zaidi na niwe mwepesi wa kuomba Toba ili nikawe nguvu ya familiya yangu

  • @gastonekivuyo3577
    @gastonekivuyo3577 Месяц назад

    Namuombeaga Sana Mwl Aishi miaka mingi hapa duniani aendelee kutupa Mana mpaka tutoke Jangwani

  • @HarrietSannah
    @HarrietSannah Месяц назад +1

    Nakushukuru Mungu wangu mkuu

  • @tumainiModern
    @tumainiModern Год назад +5

    Baba unaniongezea Imani Mungu akubariki na akupe miaka mingi

  • @dativadominic7093
    @dativadominic7093 Год назад +1

    Barikiwa sana mtumishi ...Mwenyezi Mungu azidi kukutunza utulishe neno

  • @peterisack5016
    @peterisack5016 Год назад +1

    MUNGU akulinde sana mtumishi wa MUNGU

  • @teresiahasan8535
    @teresiahasan8535 2 года назад +9

    Mungu akutunze BAB kupitia masomo yko Kuna viwango tunavushwa na Mungu

  • @pascmedia1713
    @pascmedia1713 2 года назад +3

    Amina Baba ubarikiwe sana

  • @jojotanzan609
    @jojotanzan609 Год назад +2

    🙏Amen barikiwa mtumishi

  • @JohnThomas-o5z
    @JohnThomas-o5z 10 месяцев назад +1

    Nakupenda mchungaji na mwalimu wangu

  • @janejacob1402
    @janejacob1402 10 месяцев назад

    Asante MUNGU wa mbinguni nimebarikiwa ameni MUNGU ni mwema sana 🙏

  • @bestcakes7098
    @bestcakes7098 8 месяцев назад

    Asante Yesu kunihudumia leo kupitia mtumishi wako. Utukufu kwa Mungu🙏

  • @NoelMunganga-o6t
    @NoelMunganga-o6t 7 месяцев назад

    Ubarikiwe sans mtumishi wa mungu neno hili limenikumbusha baba yangu mzazi mungu amulaze Magali pema

  • @BlandinaMganga
    @BlandinaMganga 2 месяца назад

    Amen amen amen

  • @MaasaicultureGuide-cr2ct
    @MaasaicultureGuide-cr2ct Год назад +2

    Crabbshakarabakora mandorosharoboshaka katika jina la yesu

  • @WallecMYohana-ur7pf
    @WallecMYohana-ur7pf Год назад +1

    Mungu akubaliki baba

  • @mercychebetchematwa134
    @mercychebetchematwa134 2 месяца назад +2

    Neno lawakati Kwa Hali yangu 2/7/2024

  • @MALIKIACONCHESSA
    @MALIKIACONCHESSA 8 месяцев назад

    Asante sana Kwa kutullisha neno zuri MUNGU akubariki

  • @user-exauceimani
    @user-exauceimani 10 месяцев назад

    Asante sana kwa mafundisho na maombezi, u barikiwe sana mchungaji na kanisa

  • @elizabethelias3130
    @elizabethelias3130 6 месяцев назад

    Asante Mungu kwa kunikutanisha na hili somo

  • @aureliamlundi4506
    @aureliamlundi4506 Год назад +1

    Amina mungu ni mkubwa ubarikiwe mtumishi wa mungu

  • @TulasupaSanga
    @TulasupaSanga 7 месяцев назад

    Narúdi kwa bwana mwalimu naomba uniombee ubarikiwe sana🙏🏿

  • @edinamkoko
    @edinamkoko Год назад

    Ahsante YESU Kwa ujumbe huu mzuri mno.

  • @MagdalenaAyubu-ox5fz
    @MagdalenaAyubu-ox5fz Год назад +1

    Amen Mungu anisaidie na mimi niinuke kwa viwango

  • @QUEENJoseph-kh6cb
    @QUEENJoseph-kh6cb 4 месяца назад

    Amin Mungu funguwa lango nivuke salama

  • @cassiandomina7183
    @cassiandomina7183 7 месяцев назад

    Amen amen mtumishi wa Mungu, ubarikiwe

  • @ChausikuMachota
    @ChausikuMachota 8 месяцев назад

    Namshukuru Mungu Kwa neno hili

  • @RickMartin-gs2rv
    @RickMartin-gs2rv 3 месяца назад

    Amen Baba yangu wa IMANI

  • @BahatiMakoga
    @BahatiMakoga 8 месяцев назад

    Mungu akubariki sana mwalim

  • @jacklinestraton25
    @jacklinestraton25 3 месяца назад

    Ameeen Halleluyah Nabarikiwa

  • @suzandeniss8948
    @suzandeniss8948 Год назад

    Mungu akubariki sana Baba kwa neno zuri

  • @teresiahasan8535
    @teresiahasan8535 2 года назад +1

    Mungu akutunze BAB kupitia wew Kuna viwango tunavushwa na mungu

  • @JonasMusa-t9b
    @JonasMusa-t9b 11 месяцев назад

    Uwena miaka mingi ❤ mtumish,

  • @delphinakitali9125
    @delphinakitali9125 9 месяцев назад

    Amen, Mungu akubariki na kukuinua kila saa

  • @ValentinaMapunda
    @ValentinaMapunda Год назад +4

    In JESUS name AMEEN 🙏

  • @gabrielahmwakyembe8498
    @gabrielahmwakyembe8498 Год назад

    Mungu akutubze baba neno la leo ni kweli na amina

  • @SonkoJackosoni
    @SonkoJackosoni Год назад

    Hakika nimebarikiwa na neno hili sana Amen

  • @apolinabahati2168
    @apolinabahati2168 Год назад

    Muzuri awabariki sana watumishi wa Bwana

  • @Veronica-cn7st
    @Veronica-cn7st 3 месяца назад

    Amenl

  • @froidamahenge7043
    @froidamahenge7043 4 месяца назад

    Mungu akubariki baba

  • @yvonnemuyengo5823
    @yvonnemuyengo5823 8 дней назад

    Amen

  • @EsterHizza
    @EsterHizza 7 месяцев назад

    Amen thank you for the nice words of god is so wonderful

  • @Mboka-x6c
    @Mboka-x6c 5 месяцев назад

    Ameni barikiwa baba

  • @lucasmaro4172
    @lucasmaro4172 Месяц назад

    AMEN Mtumishi.

  • @ChausikuMachota
    @ChausikuMachota 8 месяцев назад

    Mungu akutumze

  • @AgnesMgina-ud6ho
    @AgnesMgina-ud6ho Год назад

    Mungu akutunze mtumishi❤❤❤❤

  • @EligiverShoo-o2m
    @EligiverShoo-o2m 6 месяцев назад

    Jaman naomben mawasiliano ya huyu mwalimu MWakasege ntashkuru sana

  • @wilywilliam8179
    @wilywilliam8179 8 месяцев назад

    Hakika YESU ni mwema

  • @elizabethjohn710
    @elizabethjohn710 2 года назад +1

    Amin

  • @odiliaedward1417
    @odiliaedward1417 2 года назад +2

    Mungu wa mbinguni akutunze mtumishi wa Bwana

  • @JophFidel
    @JophFidel Год назад

    Asant mungu kwakila jambo

  • @hillarytwoli6789
    @hillarytwoli6789 Год назад

    Mungu akuinue sana...

  • @LaurentDeemay-sb8wf
    @LaurentDeemay-sb8wf 11 месяцев назад

    More blessed a man of god

  • @veronicambeleseroisaya4539
    @veronicambeleseroisaya4539 Год назад +1

    AMEEN MTUMISHI

  • @josephatrwaichi7572
    @josephatrwaichi7572 Месяц назад

    37:50 Ukijiona umekaa muda mrefu na unahitaji la kuvuka lango lingine, " nenda kwa TOBA ".
    38:00 "TOBA kazi moja wapo ni hutoa nafasi ya UHALALI wa Mungu kuingilia kati tatizo ulilonalo.."
    Damu ya Bwana wetu YESU KRISTO iliyomwagika msalabani, daima itutakase tupate KIBALI mbele ya Mungu...🙏🏾
    15/08/2024.

  • @mwasebejeulingana1744
    @mwasebejeulingana1744 Год назад

    Utukufu kwa mungu

  • @msuya-r4c
    @msuya-r4c Месяц назад

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu. Tunaomba aliye upload arudie kuangalia hii video kuna sala baada ya dakika 40:03 imekatwa na kurukwa mpaka kwenye kumshukuru Mungu.

  • @halimacharles3495
    @halimacharles3495 2 года назад

    Amina mutumishi

  • @GiftSanga-b1j
    @GiftSanga-b1j Год назад

    Mungu akjtunze

  • @johnbernardmwakipesile4934
    @johnbernardmwakipesile4934 4 месяца назад

    Amen 🙏 ❤❤❤❤

  • @JescaMwakipesile
    @JescaMwakipesile 9 месяцев назад

    Glory to God.

  • @resamaria4617
    @resamaria4617 2 года назад

    Asante Yesu amena

  • @gladyskerubo6075
    @gladyskerubo6075 10 месяцев назад

    Hallelujah

  • @beatricechembagulabeatrice8991
    @beatricechembagulabeatrice8991 2 года назад

    Amina baba

  • @kevinMwiva
    @kevinMwiva Год назад

    GOD bless this work from you man of GOD.Glory to GOD

  • @BridgethNjau
    @BridgethNjau Месяц назад

    Kweli kabisa kama alikua ananiongoza bwana fungua Lango langu

  • @DianaShayo-io1pz
    @DianaShayo-io1pz Год назад

    Mungu apake mafuta mabichi zaidi mwl ili uokoe hiki kizazi cha leo

  • @BeishChanishe
    @BeishChanishe 8 месяцев назад

    Amen🙏🙏

  • @gladyskerubo6075
    @gladyskerubo6075 10 месяцев назад

    In Jesus name 🙏

  • @fathiasaed9718
    @fathiasaed9718 10 месяцев назад

    Ameni Ameni

  • @oliveromary669
    @oliveromary669 Год назад

    AMEN

  • @rehemakatana1137
    @rehemakatana1137 2 года назад +1

    Ameeeeen

  • @jameslesingita161
    @jameslesingita161 Год назад

    Roho yangu yafarijika Sana mungu akubari sana

  • @rehemakatana1137
    @rehemakatana1137 2 года назад

    Oooooo yes

  • @isayakayange5439
    @isayakayange5439 Год назад

    Ameni.

  • @margrethjonesmshana8555
    @margrethjonesmshana8555 2 года назад

    Ameeern MUNGU WA MBINGUNI Nifunulie Nione Kwa JICHO la 3

  • @MagangaMasunga
    @MagangaMasunga 7 месяцев назад

    Ameen

  • @elizabethalphonce9906
    @elizabethalphonce9906 3 месяца назад

    Huu ujumbe umenibariki Leo 6/6/2024

  • @techniciantheprogrammer5513
    @techniciantheprogrammer5513 Год назад

    HALLELUJAH

  • @Habiba-yb2hb
    @Habiba-yb2hb Год назад

    ❤❤🙏🙏

  • @JophFidel
    @JophFidel Год назад

    Ubalikiwe san mutumishi nabalikiwa kupitia ww

  • @agripinamheni5331
    @agripinamheni5331 Год назад

    Ameeeeeeeen

  • @nesssonga289
    @nesssonga289 5 месяцев назад

    Amiiiiiina

  • @MAFUNDISHO1
    @MAFUNDISHO1 Год назад

    Masomo yanatujenga sana haya

  • @monicalasway3795
    @monicalasway3795 Год назад

    Amina sanaa

  • @thomasmahemba9106
    @thomasmahemba9106 2 года назад

    Mtumishi wa Mungu Bwana Yesu asifiwe naitwa Thomas Mahemba naomba uniombee kuna kitu inanisumbua tokea kuokoka mpaka leo miaka 8 bado inanisumbua na nimejaribu kuomba na kukemea lakini bado inanisumbua naomba unisaidie kwa maombi maana imefikia hata uchumi wangu umeisha kutokana na tatizo hili

    • @lizm9221
      @lizm9221 Год назад

      Mtumishi wa Mungu Mahemba, Bwana akutokee ktk hilo. Siri ipo katika ufahamu wa Neno la Mungu kuhusu hilo eneo, ni maombi yangu kuwa utulie ktk Roho Mtakatifu anapoendelea kukufundisha what to do!

    • @lizm9221
      @lizm9221 Год назад

      Mungu akutunze mtumishi wa Mungu

  • @AugusterJackson-eb6er
    @AugusterJackson-eb6er 3 месяца назад

    Yesu nisaidie pale ninaposhidwa unipe nguvu baba yangu

  • @yohana6699
    @yohana6699 Год назад

    BABA MUNGU WA ISRAELI AKUINUYE NA AKUBARIKI SANA KWA MAFUNDISHO YAKO KWELI NIMEBARIWA MAVUNDISHO YALIKUWA YANGU

  • @enaboishuyouthtv
    @enaboishuyouthtv Год назад

    Kwa mafundisho haya nimeona mlango uliokuwaumefungwa kwa muda mrefu

  • @makrinamutalemwa2645
    @makrinamutalemwa2645 2 года назад

    Bahati

  • @feristerjaphet1630
    @feristerjaphet1630 Год назад

    Naitaji kupata mume mwema,