MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE : MAOMBI ENDELEVU UFUNGUA MALANGO YA FURSA KWA MUOMBAJI.
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/mara...
⚫️ VISIT LIVE IBADA: www.youtube.co....
⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
*** OUR PLAYLISTS***
⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: www.youtube.co....
⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: www.youtube.co....
⚫️ MAFUNDISHO: www.youtube.co....
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: www.youtube.co....
⚫️ UCHUMI: www.youtube.co....
⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: www.youtube.co....
⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: www.youtube.co....
⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: www.youtube.co... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/mara...
⚫️ VISIT LIVE IBADA: www.youtube.co....
Haya Mafundisho Yamenigusa Leo tarehe 16/10/2023.. Nimepata kusikia Neno ambalo litabadili historia ya maisha yangu. Mungu tusaidie sanaa. Semina hii Ilikuwa kwa ajiri yangu na ni kusudi la Mungu kwa ajiri yangu. Nimebarikiwa sanaa
Kwa mafundisho haya Mungu amponye Mme wangu na mtumishi Mungu akutuze na akulinde ww na familya yako
MWENYEZI MUNGU akutunze mtumishi wa MUNGU
Mungu akubariki wajina Rev chunga Ddm mkutan
Amina mtumish wa bwana
Mungu naoma unisaidie mimi na mume wangu maana kwenye majaribu tunayopitia tumefika mwisho bila msaada wa Mungu atuwezi kabisa ,
Amen
Napokea kwa jina la YESU
Daaa asantee baba kwa mafundisho mazur Mungu akuinue
Mungu niunulie watu watakaomba kwa ajiri yangu
Amina Mchungaji Mungu naomba unisaidie nikufuhamu wewe zaidi na niwe mwepesi wa kuomba Toba ili nikawe nguvu ya familiya yangu
Namuombeaga Sana Mwl Aishi miaka mingi hapa duniani aendelee kutupa Mana mpaka tutoke Jangwani
Nakushukuru Mungu wangu mkuu
Baba unaniongezea Imani Mungu akubariki na akupe miaka mingi
Barikiwa sana mtumishi ...Mwenyezi Mungu azidi kukutunza utulishe neno
MUNGU akulinde sana mtumishi wa MUNGU
Mungu akutunze BAB kupitia masomo yko Kuna viwango tunavushwa na Mungu
Amina Baba ubarikiwe sana
🙏Amen barikiwa mtumishi
Nakupenda mchungaji na mwalimu wangu
Asante MUNGU wa mbinguni nimebarikiwa ameni MUNGU ni mwema sana 🙏
Asante Yesu kunihudumia leo kupitia mtumishi wako. Utukufu kwa Mungu🙏
Ubarikiwe sans mtumishi wa mungu neno hili limenikumbusha baba yangu mzazi mungu amulaze Magali pema
Amen amen amen
Crabbshakarabakora mandorosharoboshaka katika jina la yesu
Mungu akubaliki baba
Neno lawakati Kwa Hali yangu 2/7/2024
Asante sana Kwa kutullisha neno zuri MUNGU akubariki
Asante sana kwa mafundisho na maombezi, u barikiwe sana mchungaji na kanisa
Asante Mungu kwa kunikutanisha na hili somo
Amina mungu ni mkubwa ubarikiwe mtumishi wa mungu
Amen 🙏
Narúdi kwa bwana mwalimu naomba uniombee ubarikiwe sana🙏🏿
Ahsante YESU Kwa ujumbe huu mzuri mno.
Amen Mungu anisaidie na mimi niinuke kwa viwango
Amin Mungu funguwa lango nivuke salama
Amen amen mtumishi wa Mungu, ubarikiwe
Namshukuru Mungu Kwa neno hili
Amen Baba yangu wa IMANI
Mungu akubariki sana mwalim
Ameeen Halleluyah Nabarikiwa
Mungu akubariki sana Baba kwa neno zuri
Mungu akutunze BAB kupitia wew Kuna viwango tunavushwa na mungu
Uwena miaka mingi ❤ mtumish,
Amen, Mungu akubariki na kukuinua kila saa
In JESUS name AMEEN 🙏
Mungu akutubze baba neno la leo ni kweli na amina
Hakika nimebarikiwa na neno hili sana Amen
Muzuri awabariki sana watumishi wa Bwana
Amenl
Mungu akubariki baba
Amen
Amen thank you for the nice words of god is so wonderful
Ameni barikiwa baba
AMEN Mtumishi.
Mungu akutumze
Mungu akutunze mtumishi❤❤❤❤
Jaman naomben mawasiliano ya huyu mwalimu MWakasege ntashkuru sana
Hakika YESU ni mwema
Amin
Mungu wa mbinguni akutunze mtumishi wa Bwana
Asant mungu kwakila jambo
Mungu akuinue sana...
More blessed a man of god
AMEEN MTUMISHI
37:50 Ukijiona umekaa muda mrefu na unahitaji la kuvuka lango lingine, " nenda kwa TOBA ".
38:00 "TOBA kazi moja wapo ni hutoa nafasi ya UHALALI wa Mungu kuingilia kati tatizo ulilonalo.."
Damu ya Bwana wetu YESU KRISTO iliyomwagika msalabani, daima itutakase tupate KIBALI mbele ya Mungu...🙏🏾
15/08/2024.
Utukufu kwa mungu
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu. Tunaomba aliye upload arudie kuangalia hii video kuna sala baada ya dakika 40:03 imekatwa na kurukwa mpaka kwenye kumshukuru Mungu.
Amina mutumishi
Mungu akjtunze
Amen 🙏 ❤❤❤❤
Glory to God.
Asante Yesu amena
Hallelujah
Amina baba
GOD bless this work from you man of GOD.Glory to GOD
Kweli kabisa kama alikua ananiongoza bwana fungua Lango langu
Mungu apake mafuta mabichi zaidi mwl ili uokoe hiki kizazi cha leo
Amen🙏🙏
In Jesus name 🙏
Ameni Ameni
AMEN
Ameeeeen
Roho yangu yafarijika Sana mungu akubari sana
Oooooo yes
Ameni.
Ameeern MUNGU WA MBINGUNI Nifunulie Nione Kwa JICHO la 3
Ameen
Huu ujumbe umenibariki Leo 6/6/2024
Amen
HALLELUJAH
❤❤🙏🙏
Ubalikiwe san mutumishi nabalikiwa kupitia ww
Ameeeeeeeen
Amiiiiiina
Masomo yanatujenga sana haya
Amina sanaa
Mtumishi wa Mungu Bwana Yesu asifiwe naitwa Thomas Mahemba naomba uniombee kuna kitu inanisumbua tokea kuokoka mpaka leo miaka 8 bado inanisumbua na nimejaribu kuomba na kukemea lakini bado inanisumbua naomba unisaidie kwa maombi maana imefikia hata uchumi wangu umeisha kutokana na tatizo hili
Mtumishi wa Mungu Mahemba, Bwana akutokee ktk hilo. Siri ipo katika ufahamu wa Neno la Mungu kuhusu hilo eneo, ni maombi yangu kuwa utulie ktk Roho Mtakatifu anapoendelea kukufundisha what to do!
Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
Yesu nisaidie pale ninaposhidwa unipe nguvu baba yangu
BABA MUNGU WA ISRAELI AKUINUYE NA AKUBARIKI SANA KWA MAFUNDISHO YAKO KWELI NIMEBARIWA MAVUNDISHO YALIKUWA YANGU
Kwa mafundisho haya nimeona mlango uliokuwaumefungwa kwa muda mrefu
Bahati
Naitaji kupata mume mwema,