Leo pasta, umeongea namimi asilimia 100.100% ombi langu kwako MUNGU akutie nguvu kwakila unachopitia pia. Akupe nguvu ya kushinda zaidi na zaidi. Kwa jina la Yesu.🙏🏼❤️
Pastor Amen nikama umepiga picha ya maisha yangu niko na changamoto nyingi ela ninamuamini Bwana wa Majeshi unapoomba niombee boma yangu shetani amevamia kila kitu ela ninaamini nono laleo na maombi Mungu atanifungua❤🙏
Huu ubongo sio wa kawaida kabsa,unajua kugusa maisha asilia tunayoishi.Mungu akutunze tuu pastor,ndilo ombi Langu kila siku,masomo yko yanaponya moyo wangu kila siku.ubarikiwe Sana.
Asante sana Pastor mahubiri yako yamenikuza kiroho kabisa najiona naelekea mahali pazuri mahubiri ya Leo yamenijenga,yamenionya nashukuru Mungu kunena nami kupitia mtumishi wake barikiwa sana Mungu akutende mema na jamii yako usipungukiwe🙏
Mchungaji umeongea na mimi ibada ya leo yote ni yangu, Mungu Anisaidie kuwa na mwisho mzuri, ni kweli kuna wakati napita mapito mengi mazito na magumu na kukata tamaa, lakini kwa ibada hii nimetiwa nguvu na natubu na naanza na Bwana Yesu Tena Na Mungu Anisaidie sana!Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
Nimebarikiwa nakupokea uponyaj wa kipekeee pasta😢😢😢😢 nimelia kwa uchunguu, nishike mkono bwana, napia kajidhihilishe wewe mbele ya huyu pasta kwamaa sio yeye bali ni wewe mungu wa mbinguni
its well in JESUS .UMEONEA NIKAHISI NI SASA UNANIONGELESHA NA YESU AMEKUTUMA NAOMBA NEEMA YA KUMNGONJA BWANA MAANA NIMEELEWA SIO MUNGU ANAHUSIKA BALI NI ADUI AMESHIDWA KWA JINA LA YESU...NIOMBEE
Pasta umenigusa sana siku moja niritaka kumuuwa mkee,na nikanunuwa na kisu,nikakiweka Musegeni,rakin chaajabu niripotoka ndani nikakuta kire kisu hakipo nikakitafuta nikakikosa,namda huo ulikuwa Ndo mda wakumuua,rakini sikuJuwa ariekitoa kire kisu chamaajabu yure mwanamke Mungu aritengeneza mbinu yakuachananae mpaka leo huyo mwanamke nirishaachananae.jina RABWANA ritukuzwe,niko huru maana sjamuuwa.naomba maombi yako mtumishi.uenderee kuniombea.
Amen navumilia hadi asubuhi kupambazuke..halleluyah
Hakika nimekuelewa na nimenenepa ghafra na kujiona ninafaa na mungu yuko pamoja nami, barikiwa mtumish
Leo pasta, umeongea namimi asilimia 100.100% ombi langu kwako MUNGU akutie nguvu kwakila unachopitia pia. Akupe nguvu ya kushinda zaidi na zaidi. Kwa jina la Yesu.🙏🏼❤️
Amen
Amen
🙏🙏🙏
Amina
Amina Pastor Bwana akubariki kwa neno la uzima tunapata nguvu za kisonga mbele
Amina papa pasteur, mungu aendeleye kukupa hakili na hekima
Yaani mungu muzuri kwetu mpaka yeye huturudiliya ,asante kwa mahubiri pasta
Asante sana muchungaji.mungu akubariki sana
Mungu akubariki sana mchungaji
Amen nimebarikiwa Kwa neno
Amina mcungaji unaniponyakiroho Yesu mwenyewealigeukwa narafikiyake wakribu sembuse mimi umeniponyakirohonilikata tamaakabisa kumpenda mtuasiyekupenda pagumuu barikiwasaaana mungukutunze mchungaji .
Amen
Pastor Amen nikama umepiga picha ya maisha yangu niko na changamoto nyingi ela ninamuamini Bwana wa Majeshi unapoomba niombee boma yangu shetani amevamia kila kitu ela ninaamini nono laleo na maombi Mungu atanifungua❤🙏
Barikiw pastor Mmbaga....
Pasta yehova mungu wetu akutunze na kukulinda siku zote za maisha yako chini ya jua
Asante Mungu Baba umesikia kilio changu umenijaza nguvu na utakuwa nami daima hata ukamilifu wa dahari kwa jina la Yesu Kristo Amina.
Amen
Hallelujah .. amen
Ahsante sana somo lina mwaka tayari lakini nimeliona leo katika wakati sahihi na nikiwa katika kukata tamaa na kuliacha kanisa mungu akubariki sana pr
I love Ps D. MMBAGA
He preaches the good news of Jesus Christ.
Amen
Huu ubongo sio wa kawaida kabsa,unajua kugusa maisha asilia tunayoishi.Mungu akutunze tuu pastor,ndilo ombi Langu kila siku,masomo yko yanaponya moyo wangu kila siku.ubarikiwe Sana.
Pasta ombea msichana wangu mungu amfungue kuroka minyororo ya umalaya na ampe mume
congratulations p.r mungu hakusaidie zaidi unapoendelea na kupeana neno la bwana
Pasta, ninashukuru Mungu kwa kutumia kwa hali, isio ya kawaida, kweli Roho wa Mungu anafanya kazi kweli ndani mwako ❤
Asante sana Pastor mahubiri yako yamenikuza kiroho kabisa najiona naelekea mahali pazuri mahubiri ya Leo yamenijenga,yamenionya nashukuru Mungu kunena nami kupitia mtumishi wake barikiwa sana Mungu akutende mema na jamii yako usipungukiwe🙏
powerful sermon pastor may God bless you
Barikiwa sana mchungaji
Amina 🙏🙏
Ombi hili likawe langu AMEN
I'm blessed pastor and I thank God always for your being there for us help innocent soul like you have done to me glory and honor be to God 🙏🙏
😮😊
❤
Amen...
Mungu akuongezeye siku zakuishi ila wendeleye kutulisha
Anajisaidiyaaa dama anavyo dai na ata akulii vizuri Mungu msaidiee
Amen ubarikiwe pst
Barikiwa sana pastor mmbaga nabarikiwa sana na mahubiri yako
Nashukuru sana pastor Mungu azidi kukubariki
Umesema nami Mtumishi was Mungu/mteule was Mungu.
Ubarikiwe sana mchungaji,somo hili limenijenga Sana kumtegemea Mungu zaidi ya chochote.
Amen Amen
Pasta kweli Ili somo kimenijenga kweli Mungu mwenyewe hamuongelei vzr iweje mm na mm Ninan asantee Kwa somo nzr
Amen
AMENA KUBWA
Ubarikiwe sana pastor mbaga
Amina
Amen and Amen be blessed pastor
Nshukur Mungu pastor tangu nianze kusikiza mahubir nabata nguvu zaidi nikirudi kenya niko naushuhuda wakutosha kwa Mungu anayo nitendea
Yaani nimebarikiwa sana. Asante Yesu kwa kuwezesha sisi tulisikilize neno lako kwa urahisi hivi.
Amina Pastor Mungu akubariki sana maana umenisaidia sana. Mungu akulinde na kila mipango wa adui
Pastor tunamshukuru Mungu kwa ajili yako,Mungu aendelee kukutumia Shambani mwake
Asanti kwammahubiri nime yasikia leo yamenisaidia nirikuwa mbari mungu akubariki uzidi kuniombea niko canada
Kweli 📌💯MUNGU ANAWEZA KUGEUZA USIKU MMOJA UKAWA MCHANA KWA MAISHA YA MTU YYTE🔥🔥Job:yote kujifunza💪💪
I RECEIVE THIS🤲🔥🤲🔥IJMN🙏🙏🙏
Mchungaji umeongea na mimi ibada ya leo yote ni yangu, Mungu Anisaidie kuwa na mwisho mzuri, ni kweli kuna wakati napita mapito mengi mazito na magumu na kukata tamaa, lakini kwa ibada hii nimetiwa nguvu na natubu na naanza na Bwana Yesu Tena Na Mungu Anisaidie sana!Mungu akutunze mtumishi wa Mungu
Mchungaji nikependa kuuliza kufuka unaweza kutuma maji pekee
Pastor ombi langu Mungu akutunze na aendelee kukutumia
Mchungaji Bwana adumu kukutumia. Bwana ameongea nami kupitia wewe. Pokea sifa Bwana. Ahsante. Nisaidie kubaki nawe hadi mwisho.
Aminaaa
Amen am soo blessed nice courageous and powerful message God bless you pastor
mimi napenda mahubiri ya pr mmbaga sana ni na nifarigi sana
Nabarikiwa Sana'a pastor naposikiliza mahubiri yako
Asante sana Mchungaji somo limenibariki na limenigusa. Naamini yote ni kwa Utukufu wa Mungu. Bari,iwa
Mungu aku bariki,
AMINA
Barikiwa Sana Mchungaji Mmbaga.Umenibariki Sana na somo hili
God bless you pastor.unanibariki from Mombasa kenya
Powerful message be blessed Pastor
Mungu akubariki Mchungaji
Nimebarikiwa sana…Somo limenigusa na kunipa nguvu mpya🙏🏽
Hearts speak with hearts
Amen sana mtu wa mungu mafundisho matamu sana
Nimebarikiwa nakupokea uponyaj wa kipekeee pasta😢😢😢😢 nimelia kwa uchunguu, nishike mkono bwana, napia kajidhihilishe wewe mbele ya huyu pasta kwamaa sio yeye bali ni wewe mungu wa mbinguni
Ubarikiwe sana na Bwana Mungu
Nashukuru pasta kwa mahubiri
its well in JESUS .UMEONEA NIKAHISI NI SASA UNANIONGELESHA NA YESU AMEKUTUMA NAOMBA NEEMA YA KUMNGONJA BWANA MAANA NIMEELEWA SIO MUNGU ANAHUSIKA BALI NI ADUI AMESHIDWA KWA JINA LA YESU...NIOMBEE
Baba nilitaka acha unyumba sababu ya matatizo ila na shukuru Mungu sana kwaneno ili
Unaniongelea mimi tu
Pasta umenigusa sana siku moja niritaka kumuuwa mkee,na nikanunuwa na kisu,nikakiweka Musegeni,rakin chaajabu niripotoka ndani nikakuta kire kisu hakipo nikakitafuta nikakikosa,namda huo ulikuwa Ndo mda wakumuua,rakini sikuJuwa ariekitoa kire kisu chamaajabu yure mwanamke Mungu aritengeneza mbinu yakuachananae mpaka leo huyo mwanamke nirishaachananae.jina RABWANA ritukuzwe,niko huru maana sjamuuwa.naomba maombi yako mtumishi.uenderee kuniombea.
Mungu na atukuzwe
Amen and amen
Hallelujah,blessings pastor
Amen I am Blessed
Barikiwa sana Pastor Mbaga, Kuna vipengelee naona unaongea na Mimi kabisa, Mungu akutunze
God bless pastor,nimejifunza something big from this sermon,I watch from Saudi Arabia🙏🙏
AMEN 🙏🙏🙏
hallelujah hallelujah hallelujah
MUNGU AKUBARIKI SANA PASTOR MMBAGA
Ahsante Mchungaji umenipa nguvu
Barikiwa pastor
Bwana akubariki sana Mchungaji, umekuwa Mbaraka kwetu
Barikiwa sn mtumishi.
May God bless you ,may His will be done now and forever Amina
asante sana,lakini mutu anawezaje kuongeya na pastor in private
❤
Amina. Kufunga ndiyo kabisa
Amina mchungaji
Nakufuatilia kwa makini ni Israel 😢
Jaman huyu baba mungu amtunzee
Amen.MUNGU atusaidiye
Pasta naumwa naomba uniombee
Hello pastor nakufuatilia Kila mara kutoka Kenya nipe namba zako za simu
Ameeeeen
Nabarikiwa sana kutoka arusha
Nasisi wa mitandaoni tunatamani tumjue mkeo jmn
Amen amen and amen
Spoke into my heart
Mchungaji umeongea kama ulijuwa napitia wakat mgumu ktk kaz yngu
Natamani sikumoja utaalikwa makambi huku kwetu
Mngu akubaliki
Nikweli mtumishi MUNGU MAWAZO YA
Mafundisho ya Baraka.