Barikiwa sana mtumishi was mungu hakika mungu anamakusudi na watu wake mpaka akuwezeshe kururudisha neno la upakoooo mungu akubariki sana pia na mm mungu anibarikiiiiii
Mungu akiamua kukutumia kwny kazi yke,shetani anaaibika,pr,Mungu amekujalia kipawa cha ajabu,ni mhubiri mzuri,hapo hapo ni mwalimu bingwa,Mungu akutunze pr Mmbaga.
Nimebarikiwa sana kusikiliza mafundisho yako Mtumishi. Mafundisho haya yaweka msingi mzuri sana ktk maisha yetu, na hata vizazi vyetu, hasa pale tutakapowajengea uwezo kwa haya. Mungu azidi kukubariki na kukutumia.
Ameeen. Ameeen. Powerful teachings. God Bless you Pastor.❤❤ ukweli kabisaa huwezi ngangana kumtolea Mungu ili hali wazazi wako wako hawana hata blanket, nyumba, etc
Pastor, naomba kukili kuwa Dr Myles speech zake na wewe nimepata kubarikiwa sana, Dr Myles alitumika na Mwenyezi Mungu vizur. Mungu aendelee kukutumia sana na ubarikiwe mtumishi. Amina.
Kweliii kuna rafiki hapati usingizini ana kazini nzuri, nyumba nzuri na mume wake hadi amepewa dawa za vichaa ili alale kweli pesa inanunua kila kitu lakini vyo usingiziiii.
Asanteee Pastor. Somo nzuri, God bless you. Ila naomba msaada wako. Nina biashara zaidi ya miaka 15 ila kila siku national hela mfukoni na kuanzia moja. Siingizi hela hata siku moja. Mpaka sasa nimechoka. Naomba msaada wako Pastor. Samahani kwa usumbufu.
Ubarikiwe sana pasta.siri 3 ili ufanyikiwe kimaisha samaani lakini nasubiri sana nisikiye iyo ya 3mafundisho hii mwalimu alitaja2mafundisho mda ukaisha
Katika MAMBO AMBAYO MTU HUYU ANABARIKIWA SIO MCHOYO KWELI NINAPOKUFUATILIA VIPINDI HIVI NABUBUJIKA BARAKA,MAFUNDISHO YAKE YAMEJAA MADINI,UBARIKIWE SANA
Kama mungu nilichokua nakiwaza nimekutana nacho utyube mm ni atrst naimba nyimbo zakidunia ila naamini kupitia we mchungaji mungu ataniongoza ubarikiwe xana mafundisho yako ni mazuri🙏🙏🙏
Hata mimi nilifanya kuku 🐔🐔 aina ya sasa... Walipata ugonjwa baadhi wakafa. Waliobaki niligawia wachungaji kwenye Makambi kwaaajili ya kitoweo. Nilipata shule 🏫 siku kata tamaa. Mwaka huu nimelima mahindi 🌽🌽 mimi na rafiki yangu hekalu 40 🌽 yametoa shina hadi shina . Leo hizi tarehe 10 mwaka 2021 wanatuita sisi n wachawi. Mahindi yamestawi kilioko maelezo......
Yani tokea nime patwa na vitu katika kichwa changu tena vyakukatisha tamaa lakin tokea nimeanza kufatilia saikolojia zinazo elezea maisha ndani yake Kuna mafundisho ya dini pia unajiapatia elim nzuli nime falijika Sana pia nimeanza kuona umuhinu sasa wakufatilia hizi saikolojia zenu asnt pastor 🙏mpo kama watu watatu kwakweli mung awape maisha malefu yani wewe na Joel nanauka hampishani mung azidi kuwapa miaka mingi aseee mung awape maisha malefu
Asante mtumishi imenitoa ujinga Leo barikiwa mungu akupe ufahamu Zaidi yaulionao Amen 🙏🙏🙏
Ahsant sana pastor,kwa mafundisho mazuri Mungu akubariki
I enjoy your teaching especially mpaka bando zinaisha uongezi hata kitu kipya kwenye ubongo
Mungu akuzidishiye mahali ulipo towa Neno na mafundisho
umenikuza kiwango kigine naliweka moyoni na kishwani.asanti mubarikiwa wa Mungu
Asantee sana japokuwa mimi muislam na nipo kwenye funga yangu ila kwa hilo nimekuelewa sana mungu akujalie sana,maisha marefu baba🙏yan had nimelia 😭😭
Asante sana!! Mungu akupe mfungo mwema
Thanks for this message pastor
Barikiwa sana mtumishi was mungu hakika mungu anamakusudi na watu wake mpaka akuwezeshe kururudisha neno la upakoooo mungu akubariki sana pia na mm mungu anibarikiiiiii
Bwana akubariki Mchungaji. Ni kweli kutamani sio kuzuri, Bora kuchunguza na Kupanga namna ya Kuanza. Mungu atusaidie Tusitangulize Tamaa.
🙏
Mungu akiamua kukutumia kwny kazi yke,shetani anaaibika,pr,Mungu amekujalia kipawa cha ajabu,ni mhubiri mzuri,hapo hapo ni mwalimu bingwa,Mungu akutunze pr Mmbaga.
Warumbe
Asante sana pr
Sasa wapi ambako Shetani kamwinukia ??
Ni kweli mchungaji mahubiri yako ni mazuri sana ubarikiwe
Pastor mungu akuzidishiye 🙏🙏
Mungu atukuzwe kwa kutufundisha mengi ,ubarikiwe sana pastor .
Ameen
Nimebarikiwa sana kusikiliza mafundisho yako Mtumishi. Mafundisho haya yaweka msingi mzuri sana ktk maisha yetu, na hata vizazi vyetu, hasa pale tutakapowajengea uwezo kwa haya. Mungu azidi kukubariki na kukutumia.
Yuo have said bro. That's God's power. Thanks so much.
Barikiwa sana pastor,kwa hili fundisho hakika nimepata kitu
Ameeen. Ameeen. Powerful teachings. God Bless you Pastor.❤❤ ukweli kabisaa huwezi ngangana kumtolea Mungu ili hali wazazi wako wako hawana hata blanket, nyumba, etc
Amina pastor, nimebarikiwa na somo lako na nimesoma kitu mpya. Mungu anisaidie. Ubarikiwe sana pastor
Uelewa kweli nimekuelewa pastor
Mungu nisahidie niwe na kitu kipya akilini mwangu kila siku be blessed pst
Barikiwa zaidi pastor hakika umenigusa kabisaa
Mungu naomba niwekee mkono wa baraka unipe ufaham
Pastor, naomba kukili kuwa Dr Myles speech zake na wewe nimepata kubarikiwa sana, Dr Myles alitumika na Mwenyezi Mungu vizur. Mungu aendelee kukutumia sana na ubarikiwe mtumishi. Amina.
Barikiwa mtumishi Mbaga. Tuko pamoja. Nabarikiwa mno na mahubiri Yako. Ni Richard Kereti kutoka Kitengela Kenya.
Mungu akubariki sana
Mungu akubariki Mchungaji wetu tunabarikiwa na mafundisho yako
Umeni inspire sana Mtumishi,Barikiwa sana!!
True true our pastor. Thanks for your lesson from the God
Amina paxtor mbaga,huwa nafatilia xana mahuburi yako huwa na barikiwa xaxa,xan,mungu aendelee kukufunulia zaidi na zaidi.
❤❤❤Very nice and true...
Jina la baba Mungu lizidi kuhimidiwa DAIMA..
Amen mungu akuongezee miaka mengi hapa duniani Na pia akuzishiee hekima
Powerful massage man of God
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
Kweliii kuna rafiki hapati usingizini ana kazini nzuri, nyumba nzuri na mume wake hadi amepewa dawa za vichaa ili alale kweli pesa inanunua kila kitu lakini vyo usingiziiii.
Wewe ni mwalimu naerimika sana kwa mafundisho yako mara nyingi machozi yanajitoa b blessed Teacher, Isaac Gathendu naishi Kenya
Glory be to God! Be blessed the servant of God
Mtu wa Mungu kupitia mafundisho yako nimebadilika sana God bless you man of God
Barikiwa pastor kwa,mahubiri mazuri
Mungu akubariki pasta kwa kunitoa woga🎉 maana kusikia hela kubwa huwa naogopa sana
Nimebarikiwa sana na somo hili ubarikiwe sana pastor
Ameni mtumishi wa Mungu barikiwa Sanaa kwa neno hili hakika tutapona wengi
Nabarikiwa Sana na huduma unayofanya,,Mungu Akupandishe utukufu zaid hadi utukufu wa juu
Ubarikiwe sana mchungaji nimepata kitu san By Aminieli fundi wa rangi
Esther Nyabuto from KSA ,Tuko pamoja kwa somo yaleo
pamoja pamoja
Ahsante kwa Mafundisho mazuri, Mungu azidi kukupa ufahamu wa juu zaidi.
Japo ni dini tofauti lakini huyu mchungaji namkubali sana Ana nasaha nzuri sana
Somo linanigusa kwa kweli , Pastoe Mungubakubariki sana
Amen Mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
❤you have really turned my life by your teachings
Pastor Mbaga, You're so Talented and hard working. God bless you nimekupata sawa sawa
Asanteee Pastor. Somo nzuri, God bless you. Ila naomba msaada wako. Nina biashara zaidi ya miaka 15 ila kila siku national hela mfukoni na kuanzia moja. Siingizi hela hata siku moja. Mpaka sasa nimechoka. Naomba msaada wako Pastor. Samahani kwa usumbufu.
Mungu akupe maisha marefu mtumishi
Pastor thanks your talking the realness reality
Amina, MB zangu kwa masomo yako Mch.David Mmbaga,Mungu akupemaisha marefu%.
NabarikiwA sana na somo lako mtumishi
AMEN🙏....barikiwa sana mchungaji🙏
Mambo
Barikiwa neno nzuri
Mungu akubariki mtchungaji❤
Amen Pst nazidi kupata mafunuo be blessed.
Nabarikiwa na mafundisho yako
Watumichi wamungu
Balikiwa
Naomba usaidizi
Nirirogwa migu
Nilirogea upande yabega yamukono yangu hoto Niko nawumuya amiiina balikiwa mutumichiwa mungu
Thank you so much bishop I am age19 you have really motivated me for hustling 💪
Keep it up
barikiwa sana pastor mbaga nakuelewa sana mm msabato mwenzio
Asante sana kwa haya mafunzo ninaamini nitatimiza haya mafunzo
Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa somo zuri 🙏
Ninaomba mawasiliano
Ubarikiwe sana pasta.siri 3 ili ufanyikiwe kimaisha samaani lakini nasubiri sana nisikiye iyo ya 3mafundisho hii mwalimu alitaja2mafundisho mda ukaisha
Mungu nijalie ili niweze kufikia malengo yangu
Nabarikiwa na mahubiri......nafungua mwaka kwa Aman
Niwachache sn 🙏🕺NENO LA MUNGU LIPONYE MWILI NA ROHO.✔️💯yupo vzr.
Naamini mafundisho yako yataniinua zaidi na zaidi.mungu akuinue mchungaji
Mungu akubariki Sana Tena na zaidi kwa kutupa ufahamu huu. 🙏🙏🙏.
Katika MAMBO AMBAYO MTU HUYU ANABARIKIWA SIO MCHOYO KWELI NINAPOKUFUATILIA VIPINDI HIVI NABUBUJIKA BARAKA,MAFUNDISHO YAKE YAMEJAA MADINI,UBARIKIWE SANA
Kama mungu nilichokua nakiwaza nimekutana nacho utyube mm ni atrst naimba nyimbo zakidunia ila naamini kupitia we mchungaji mungu ataniongoza ubarikiwe xana mafundisho yako ni mazuri🙏🙏🙏
Amen. Ubarikiwe
Hata mimi nilifanya kuku 🐔🐔 aina ya sasa... Walipata ugonjwa baadhi wakafa. Waliobaki niligawia wachungaji kwenye Makambi kwaaajili ya kitoweo. Nilipata shule 🏫 siku kata tamaa. Mwaka huu nimelima mahindi 🌽🌽 mimi na rafiki yangu hekalu 40 🌽 yametoa shina hadi shina . Leo hizi tarehe 10 mwaka 2021 wanatuita sisi n wachawi. Mahindi yamestawi kilioko maelezo......
Amen
Nimesoma mengi
Gladys umazi -ubarikiwe mchungaji kwa ujumbe mzuri mungu aidi kukupa hekma nakubali.
That's greatly reasoning, pastor! God bless you...as you shine to transform the lives of many.
Give him a like 👍
Thanks pastor!.
B blessed pastor for the powerful inspiration.
@@vumiliakayela7219 y
Strong motvating speech
Mungu akubariki mucungaji
Strong motivating speech!Thank you Pastor Mbaga! This is more than annointing!
ok be blessed Indeed
@@bishoppeteroballa7701 a+Amina
Dodoma
Ndie huyu jamani au macho yangu.huyu kijana mungu atuwekee tuweze kupona
God bless you pastor tumetoka mbali
Hii imenipendeza kabisa. ,,,, unatoa zaka na sadaka ili hali mzazi hana hata breakfast,,,, laana tupu ukweli kabisaa❤❤
Asanteh Sanah mtumishi wa mungu nitabadilika
Mtumishi wangu nabarikiwa sanaaa MUNGU akulinde niendelee kupata magombo ya kuikomboa akili yangu
Nime lia Sana aseee nina moyo wahuluma lakin ninayo kutana nayo ni magumu yanakatisha tamaa kuenderea kujitafutia maisha
Polee sana nini shidaaa jamani
@@erickfrank6656 hii ni media uwezi ongea apa vitu privacy
Nicheki fb Erick Frank Saerah utaniona naweaza kukupa mawazo tofauti wangu pole sana mungu yuko pamoja na ww
@@erickfrank6656 fb mi Sina Ina Instagram tu
@@joycemaige8683 ushauli wako nimzr ila inategemea umetingwa namazito kias gan
Ubarikiwe sana Mwl David Mmbaga
Amen Mungu akuinue zaidi mchungaji
Asante mtumishi kwa mm nimekuelewa nitajitaidi niwe na ufahamu
Mungu akubaliki mchungaji
Barikiwa mch. David Mbaga
Amen Asante umenitoa mbali barikiwa saana
Tooo much blessed. Tumeelewa sana libarikiwe neno lako Daima
Asante kwako paster Mungu akupe maisha marefu
Ubarikiwe sana Mchungaji napenda mafundisho yako
Be blessed the sevant of LORD,I appreciate your lesson.
May GOD blesse you,.thank you very much
Asante baba,,mimi nitakutafuta unifundishe ili nile nini nipunguze kilo.
Ubarikiwe kwa ushauri wako
pastar kwano haukusikia kuwa mim nasubiri kaxo wakaniambia kuwa kuna kazi edol oil na mimim nasubiri butali sucag kwa my big bro
Ameni.
...mtumishi wangu,nimebarikiwa
hili nitalifanyia kazi nakuahidi somo la Leo litakuwa ushuhuda katika maisha yangu maana kwenye ubongo wangu kuna kitu kimeniingia
Wewe ndiwe mwalimu kweli Mungu azidi kukupea ufahamu zaidi pastor
Yani tokea nime patwa na vitu katika kichwa changu tena vyakukatisha tamaa lakin tokea nimeanza kufatilia saikolojia zinazo elezea maisha ndani yake Kuna mafundisho ya dini pia unajiapatia elim nzuli nime falijika Sana pia nimeanza kuona umuhinu sasa wakufatilia hizi saikolojia zenu asnt pastor 🙏mpo kama watu watatu kwakweli mung awape maisha malefu yani wewe na Joel nanauka hampishani mung azidi kuwapa miaka mingi aseee mung awape maisha malefu
Z
❤❤❤❤
😊😊
L
❤❤❤❤❤❤❤ asante muchungsji
Mungu azidi kukutunza milele
Vitu hivi mhimu Sana Amina pastor by mabela me
Namtukuza sana Mungu kupitia wewe Paster.
Aminaa mchungaji nimebarikiwa sana
God bless you pastor amen