HUWEZI KUFANIKIWA KIMAISHA BILA MATATU HAYA....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 630

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je Месяц назад +1

    Asante mtumishi imenitoa ujinga Leo barikiwa mungu akupe ufahamu Zaidi yaulionao Amen 🙏🙏🙏

  • @LilianWilliam-z4v
    @LilianWilliam-z4v Месяц назад +1

    Ahsant sana pastor,kwa mafundisho mazuri Mungu akubariki

  • @oleladennish1516
    @oleladennish1516 3 года назад +9

    I enjoy your teaching especially mpaka bando zinaisha uongezi hata kitu kipya kwenye ubongo

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 3 года назад +10

    Mungu akuzidishiye mahali ulipo towa Neno na mafundisho
    umenikuza kiwango kigine naliweka moyoni na kishwani.asanti mubarikiwa wa Mungu

  • @zulfasaeed7445
    @zulfasaeed7445 3 года назад +14

    Asantee sana japokuwa mimi muislam na nipo kwenye funga yangu ila kwa hilo nimekuelewa sana mungu akujalie sana,maisha marefu baba🙏yan had nimelia 😭😭

  • @ELIANKABOMBO-sx5bs
    @ELIANKABOMBO-sx5bs Год назад +2

    Barikiwa sana mtumishi was mungu hakika mungu anamakusudi na watu wake mpaka akuwezeshe kururudisha neno la upakoooo mungu akubariki sana pia na mm mungu anibarikiiiiii

  • @bariadisdachurch
    @bariadisdachurch 3 года назад +5

    Bwana akubariki Mchungaji. Ni kweli kutamani sio kuzuri, Bora kuchunguza na Kupanga namna ya Kuanza. Mungu atusaidie Tusitangulize Tamaa.

  • @dianamalaba1776
    @dianamalaba1776 3 года назад +12

    Mungu akiamua kukutumia kwny kazi yke,shetani anaaibika,pr,Mungu amekujalia kipawa cha ajabu,ni mhubiri mzuri,hapo hapo ni mwalimu bingwa,Mungu akutunze pr Mmbaga.

  • @kepsonmaendakyenye2467
    @kepsonmaendakyenye2467 2 месяца назад +1

    Pastor mungu akuzidishiye 🙏🙏

  • @rodahadhiambo3637
    @rodahadhiambo3637 Год назад +8

    Mungu atukuzwe kwa kutufundisha mengi ,ubarikiwe sana pastor .

  • @gracemkomwa5172
    @gracemkomwa5172 11 месяцев назад +12

    Nimebarikiwa sana kusikiliza mafundisho yako Mtumishi. Mafundisho haya yaweka msingi mzuri sana ktk maisha yetu, na hata vizazi vyetu, hasa pale tutakapowajengea uwezo kwa haya. Mungu azidi kukubariki na kukutumia.

  • @PaulBosire-i3w
    @PaulBosire-i3w Год назад +6

    Yuo have said bro. That's God's power. Thanks so much.

  • @afroma33
    @afroma33 10 месяцев назад +2

    Barikiwa sana pastor,kwa hili fundisho hakika nimepata kitu

  • @jakee2041
    @jakee2041 Год назад +4

    Ameeen. Ameeen. Powerful teachings. God Bless you Pastor.❤❤ ukweli kabisaa huwezi ngangana kumtolea Mungu ili hali wazazi wako wako hawana hata blanket, nyumba, etc

  • @conniemukami127
    @conniemukami127 3 года назад +6

    Amina pastor, nimebarikiwa na somo lako na nimesoma kitu mpya. Mungu anisaidie. Ubarikiwe sana pastor

  • @felixomondi3673
    @felixomondi3673 3 года назад +10

    Mungu nisahidie niwe na kitu kipya akilini mwangu kila siku be blessed pst

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 2 года назад +2

    Barikiwa zaidi pastor hakika umenigusa kabisaa

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 3 года назад +2

    Mungu naomba niwekee mkono wa baraka unipe ufaham

  • @emanuelshilinde5605
    @emanuelshilinde5605 3 года назад +25

    Pastor, naomba kukili kuwa Dr Myles speech zake na wewe nimepata kubarikiwa sana, Dr Myles alitumika na Mwenyezi Mungu vizur. Mungu aendelee kukutumia sana na ubarikiwe mtumishi. Amina.

  • @ridormespreparatory-fu5wt
    @ridormespreparatory-fu5wt Год назад +1

    Barikiwa mtumishi Mbaga. Tuko pamoja. Nabarikiwa mno na mahubiri Yako. Ni Richard Kereti kutoka Kitengela Kenya.

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 10 месяцев назад +2

    Mungu akubariki Mchungaji wetu tunabarikiwa na mafundisho yako

  • @paulgendagenda3982
    @paulgendagenda3982 2 года назад +3

    Umeni inspire sana Mtumishi,Barikiwa sana!!

  • @EMANUELITAMBU-y7j
    @EMANUELITAMBU-y7j 9 месяцев назад +3

    True true our pastor. Thanks for your lesson from the God

  • @upendomassawe9357
    @upendomassawe9357 3 года назад

    Amina paxtor mbaga,huwa nafatilia xana mahuburi yako huwa na barikiwa xaxa,xan,mungu aendelee kukufunulia zaidi na zaidi.

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 11 месяцев назад +1

    ❤❤❤Very nice and true...
    Jina la baba Mungu lizidi kuhimidiwa DAIMA..

  • @Joycependopendo-dv2tb
    @Joycependopendo-dv2tb 9 месяцев назад +1

    Amen mungu akuongezee miaka mengi hapa duniani Na pia akuzishiee hekima

  • @justinerjuliaus8907
    @justinerjuliaus8907 Год назад +5

    Powerful massage man of God

  • @thomaswilson2407
    @thomaswilson2407 9 месяцев назад +2

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏

  • @anithaglorykwayu9728
    @anithaglorykwayu9728 3 года назад +2

    Kweliii kuna rafiki hapati usingizini ana kazini nzuri, nyumba nzuri na mume wake hadi amepewa dawa za vichaa ili alale kweli pesa inanunua kila kitu lakini vyo usingiziiii.

  • @johnmungai6096
    @johnmungai6096 3 года назад +6

    Wewe ni mwalimu naerimika sana kwa mafundisho yako mara nyingi machozi yanajitoa b blessed Teacher, Isaac Gathendu naishi Kenya

  • @QueenLiz-jn7xt
    @QueenLiz-jn7xt 6 месяцев назад +1

    Glory be to God! Be blessed the servant of God

  • @okhwakudunduomwenecommedy1991
    @okhwakudunduomwenecommedy1991 8 месяцев назад

    Mtu wa Mungu kupitia mafundisho yako nimebadilika sana God bless you man of God

  • @LilianWilliam-z4v
    @LilianWilliam-z4v Месяц назад

    Barikiwa pastor kwa,mahubiri mazuri

  • @ShukranSamsoni
    @ShukranSamsoni 4 месяца назад

    Mungu akubariki pasta kwa kunitoa woga🎉 maana kusikia hela kubwa huwa naogopa sana

  • @MarycianaDonald-bx1he
    @MarycianaDonald-bx1he Год назад +1

    Nimebarikiwa sana na somo hili ubarikiwe sana pastor

  • @herriethmbise5454
    @herriethmbise5454 2 года назад +1

    Ameni mtumishi wa Mungu barikiwa Sanaa kwa neno hili hakika tutapona wengi

  • @GeneriMwakuna
    @GeneriMwakuna 7 месяцев назад

    Nabarikiwa Sana na huduma unayofanya,,Mungu Akupandishe utukufu zaid hadi utukufu wa juu

  • @AminieliMaturo
    @AminieliMaturo 8 месяцев назад

    Ubarikiwe sana mchungaji nimepata kitu san By Aminieli fundi wa rangi

  • @seesee8114
    @seesee8114 3 года назад +8

    Esther Nyabuto from KSA ,Tuko pamoja kwa somo yaleo

  • @luckMwamwage
    @luckMwamwage Год назад

    Ahsante kwa Mafundisho mazuri, Mungu azidi kukupa ufahamu wa juu zaidi.

  • @salimakida95
    @salimakida95 10 месяцев назад +9

    Japo ni dini tofauti lakini huyu mchungaji namkubali sana Ana nasaha nzuri sana

  • @priscaayo2237
    @priscaayo2237 10 месяцев назад

    Somo linanigusa kwa kweli , Pastoe Mungubakubariki sana

  • @ernestkunja3472
    @ernestkunja3472 3 года назад +4

    Amen Mtumishi wa mungu ubarikiwe sana

  • @JoelMwangangi-li9vj
    @JoelMwangangi-li9vj 9 месяцев назад +2

    ❤you have really turned my life by your teachings

  • @priscalwangili4278
    @priscalwangili4278 3 года назад +5

    Pastor Mbaga, You're so Talented and hard working. God bless you nimekupata sawa sawa

  • @angelanather9640
    @angelanather9640 2 года назад

    Asanteee Pastor. Somo nzuri, God bless you. Ila naomba msaada wako. Nina biashara zaidi ya miaka 15 ila kila siku national hela mfukoni na kuanzia moja. Siingizi hela hata siku moja. Mpaka sasa nimechoka. Naomba msaada wako Pastor. Samahani kwa usumbufu.

  • @HashimAlly-o1c
    @HashimAlly-o1c Месяц назад

    Mungu akupe maisha marefu mtumishi

  • @MaryGodwin-i5u
    @MaryGodwin-i5u 11 месяцев назад +2

    Pastor thanks your talking the realness reality

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 3 года назад +6

    Amina, MB zangu kwa masomo yako Mch.David Mmbaga,Mungu akupemaisha marefu%.

  • @gersonjoseph224
    @gersonjoseph224 3 года назад +2

    NabarikiwA sana na somo lako mtumishi

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 года назад +5

    AMEN🙏....barikiwa sana mchungaji🙏

  • @CharlesShija-p1p
    @CharlesShija-p1p 3 дня назад

    Barikiwa neno nzuri

  • @MumuzaJoseph-cq7ew
    @MumuzaJoseph-cq7ew Год назад +1

    Mungu akubariki mtchungaji❤

  • @benjaminfernandes5599
    @benjaminfernandes5599 3 года назад +1

    Amen Pst nazidi kupata mafunuo be blessed.

  • @christinambilinyi5352
    @christinambilinyi5352 3 года назад +2

    Nabarikiwa na mafundisho yako

  • @AKIMANAAfsa-ki3vk
    @AKIMANAAfsa-ki3vk 11 месяцев назад

    Watumichi wamungu
    Balikiwa
    Naomba usaidizi
    Nirirogwa migu
    Nilirogea upande yabega yamukono yangu hoto Niko nawumuya amiiina balikiwa mutumichiwa mungu

  • @BrianMaxwell-m6p
    @BrianMaxwell-m6p 9 месяцев назад +1

    Thank you so much bishop I am age19 you have really motivated me for hustling 💪

  • @LucyMasingija
    @LucyMasingija 9 месяцев назад

    barikiwa sana pastor mbaga nakuelewa sana mm msabato mwenzio

  • @Oderabrenda
    @Oderabrenda 4 месяца назад

    Asante sana kwa haya mafunzo ninaamini nitatimiza haya mafunzo

  • @isabelavictor9964
    @isabelavictor9964 3 года назад +5

    Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa somo zuri 🙏

  • @Bahati-ms6vk
    @Bahati-ms6vk 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana pasta.siri 3 ili ufanyikiwe kimaisha samaani lakini nasubiri sana nisikiye iyo ya 3mafundisho hii mwalimu alitaja2mafundisho mda ukaisha

  • @isangasamatini217
    @isangasamatini217 3 года назад +1

    Mungu nijalie ili niweze kufikia malengo yangu

  • @lightmichael9081
    @lightmichael9081 3 года назад +5

    Nabarikiwa na mahubiri......nafungua mwaka kwa Aman

  • @emanuelmponihambamponihamb7107
    @emanuelmponihambamponihamb7107 11 месяцев назад

    Niwachache sn 🙏🕺NENO LA MUNGU LIPONYE MWILI NA ROHO.✔️💯yupo vzr.

  • @TumainiMadare
    @TumainiMadare Год назад

    Naamini mafundisho yako yataniinua zaidi na zaidi.mungu akuinue mchungaji

  • @agnesskalinga9915
    @agnesskalinga9915 3 года назад +2

    Mungu akubariki Sana Tena na zaidi kwa kutupa ufahamu huu. 🙏🙏🙏.

  • @musatbobius5472
    @musatbobius5472 3 года назад +13

    Katika MAMBO AMBAYO MTU HUYU ANABARIKIWA SIO MCHOYO KWELI NINAPOKUFUATILIA VIPINDI HIVI NABUBUJIKA BARAKA,MAFUNDISHO YAKE YAMEJAA MADINI,UBARIKIWE SANA

  • @sosydee3767
    @sosydee3767 3 года назад +2

    Kama mungu nilichokua nakiwaza nimekutana nacho utyube mm ni atrst naimba nyimbo zakidunia ila naamini kupitia we mchungaji mungu ataniongoza ubarikiwe xana mafundisho yako ni mazuri🙏🙏🙏

  • @joelmangere9045
    @joelmangere9045 3 года назад +4

    Hata mimi nilifanya kuku 🐔🐔 aina ya sasa... Walipata ugonjwa baadhi wakafa. Waliobaki niligawia wachungaji kwenye Makambi kwaaajili ya kitoweo. Nilipata shule 🏫 siku kata tamaa. Mwaka huu nimelima mahindi 🌽🌽 mimi na rafiki yangu hekalu 40 🌽 yametoa shina hadi shina . Leo hizi tarehe 10 mwaka 2021 wanatuita sisi n wachawi. Mahindi yamestawi kilioko maelezo......

  • @sisterolivia9874
    @sisterolivia9874 3 года назад +7

    Nimesoma mengi

    • @ferialajami6991
      @ferialajami6991 3 года назад +1

      Gladys umazi -ubarikiwe mchungaji kwa ujumbe mzuri mungu aidi kukupa hekma nakubali.

  • @danielnzyoka5938
    @danielnzyoka5938 3 года назад +21

    That's greatly reasoning, pastor! God bless you...as you shine to transform the lives of many.
    Give him a like 👍

  • @lachouxvyizigiro562
    @lachouxvyizigiro562 3 года назад +2

    Mungu akubariki mucungaji

  • @pascalnicolaus6986
    @pascalnicolaus6986 3 года назад +11

    Strong motivating speech!Thank you Pastor Mbaga! This is more than annointing!

  • @JanethMnyasenga-kg5dy
    @JanethMnyasenga-kg5dy 10 месяцев назад

    Ndie huyu jamani au macho yangu.huyu kijana mungu atuwekee tuweze kupona

  • @drkefa
    @drkefa 8 месяцев назад

    God bless you pastor tumetoka mbali

  • @jakee2041
    @jakee2041 Год назад +1

    Hii imenipendeza kabisa. ,,,, unatoa zaka na sadaka ili hali mzazi hana hata breakfast,,,, laana tupu ukweli kabisaa❤❤

  • @godlistenminja4765
    @godlistenminja4765 3 года назад +1

    Asanteh Sanah mtumishi wa mungu nitabadilika

  • @musarichard3173
    @musarichard3173 3 года назад +2

    Mtumishi wangu nabarikiwa sanaaa MUNGU akulinde niendelee kupata magombo ya kuikomboa akili yangu

  • @joycemaige8683
    @joycemaige8683 3 года назад +7

    Nime lia Sana aseee nina moyo wahuluma lakin ninayo kutana nayo ni magumu yanakatisha tamaa kuenderea kujitafutia maisha

    • @erickfrank6656
      @erickfrank6656 3 года назад

      Polee sana nini shidaaa jamani

    • @joycemaige8683
      @joycemaige8683 3 года назад

      @@erickfrank6656 hii ni media uwezi ongea apa vitu privacy

    • @erickfrank6656
      @erickfrank6656 3 года назад

      Nicheki fb Erick Frank Saerah utaniona naweaza kukupa mawazo tofauti wangu pole sana mungu yuko pamoja na ww

    • @joycemaige8683
      @joycemaige8683 3 года назад

      @@erickfrank6656 fb mi Sina Ina Instagram tu

    • @makongoronyerere1564
      @makongoronyerere1564 3 года назад

      @@joycemaige8683 ushauli wako nimzr ila inategemea umetingwa namazito kias gan

  • @MaombiJofre
    @MaombiJofre 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana Mwl David Mmbaga

  • @FarajaJustine
    @FarajaJustine 7 месяцев назад

    Amen Mungu akuinue zaidi mchungaji

  • @kissaadamu432
    @kissaadamu432 Год назад

    Asante mtumishi kwa mm nimekuelewa nitajitaidi niwe na ufahamu

  • @rashidikipangu9514
    @rashidikipangu9514 8 месяцев назад

    Mungu akubaliki mchungaji

  • @tiofilbayo7773
    @tiofilbayo7773 2 года назад +1

    Barikiwa mch. David Mbaga

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 3 года назад

    Amen Asante umenitoa mbali barikiwa saana

  • @noelmagaja1098
    @noelmagaja1098 3 года назад +3

    Tooo much blessed. Tumeelewa sana libarikiwe neno lako Daima

  • @didierbyendakahunga9979
    @didierbyendakahunga9979 3 года назад

    Asante kwako paster Mungu akupe maisha marefu

  • @modecayvalerian9554
    @modecayvalerian9554 3 года назад

    Ubarikiwe sana Mchungaji napenda mafundisho yako

  • @isaiahiman5617
    @isaiahiman5617 3 года назад +3

    Be blessed the sevant of LORD,I appreciate your lesson.
    May GOD blesse you,.thank you very much

  • @tukaesanatu2754
    @tukaesanatu2754 Год назад

    Asante baba,,mimi nitakutafuta unifundishe ili nile nini nipunguze kilo.
    Ubarikiwe kwa ushauri wako

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 2 месяца назад

    pastar kwano haukusikia kuwa mim nasubiri kaxo wakaniambia kuwa kuna kazi edol oil na mimim nasubiri butali sucag kwa my big bro

  • @willykiyeyeuw6274
    @willykiyeyeuw6274 2 года назад

    Ameni.
    ...mtumishi wangu,nimebarikiwa

  • @ngassa1tv331
    @ngassa1tv331 3 года назад +1

    hili nitalifanyia kazi nakuahidi somo la Leo litakuwa ushuhuda katika maisha yangu maana kwenye ubongo wangu kuna kitu kimeniingia

    • @lolegodisgreat1716
      @lolegodisgreat1716 3 года назад +1

      Wewe ndiwe mwalimu kweli Mungu azidi kukupea ufahamu zaidi pastor

  • @joycemaige8683
    @joycemaige8683 3 года назад +15

    Yani tokea nime patwa na vitu katika kichwa changu tena vyakukatisha tamaa lakin tokea nimeanza kufatilia saikolojia zinazo elezea maisha ndani yake Kuna mafundisho ya dini pia unajiapatia elim nzuli nime falijika Sana pia nimeanza kuona umuhinu sasa wakufatilia hizi saikolojia zenu asnt pastor 🙏mpo kama watu watatu kwakweli mung awape maisha malefu yani wewe na Joel nanauka hampishani mung azidi kuwapa miaka mingi aseee mung awape maisha malefu

  • @SilidionSimon
    @SilidionSimon 21 день назад

    ❤❤❤❤❤❤❤ asante muchungsji

  • @GeofreyEmmanuel-b4t
    @GeofreyEmmanuel-b4t 2 месяца назад

    Mungu azidi kukutunza milele

  • @nakubalikomba3645
    @nakubalikomba3645 3 года назад

    Vitu hivi mhimu Sana Amina pastor by mabela me

  • @jamesmedard5538
    @jamesmedard5538 3 года назад +6

    Namtukuza sana Mungu kupitia wewe Paster.

  • @dorisimgeni3936
    @dorisimgeni3936 7 месяцев назад

    Aminaa mchungaji nimebarikiwa sana

  • @jaromeedward781
    @jaromeedward781 11 месяцев назад +1

    God bless you pastor amen