Kuwa Makini Nani Unamuoa | Kuuweza Wakati Ujao | Pastor Tony Kapola

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Je, unamfahamu mtu unaetarajia kumuoa au unaenda tu na maisha? Tega sikio upate neno kuhusu hili swala.
    Connect with Pastor Tony Osborn Ministries:
    Facebook: / pastortonykapola
    Instagram: / pastortonyosborn
    Contacts (Mawasiliano): +255 713 702 187
    Offerings (Sadaka): +255 762 153 539 (ANTHONY KAPOLA)
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 237

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi2089 6 месяцев назад +57

    Natamani mtumishi ungelikuwa unatumia maneno ya kiingereza kwa nchi zinazo zungumza lugha hiyo, watu tunashindwa kukuelewa mzee. Tafadhali atukupangii lugha ya kutumia ila ni vyema unaongea na watu wa taifa gani. Asante!

    • @jovenatusstephen5958
      @jovenatusstephen5958 6 месяцев назад +9

      Ukiona huelewi Maana yake hakuitwa kwa ajili yako

    • @jamesmwafongo1295
      @jamesmwafongo1295 6 месяцев назад +26

      Lakin ametoa ushaur mzuri wew umejibu kwa kejeli hekima ni bora sanaaa

    • @OrbitTumbe
      @OrbitTumbe 6 месяцев назад +3

      Kweli babisa aongee luga ya kwetu

    • @carolinederi5690
      @carolinederi5690 6 месяцев назад +1

      You mean kue na translator au?

    • @robertmaximilian3264
      @robertmaximilian3264 6 месяцев назад +2

      Kweli kaka bora angeweka mkaliman siyo wote wanaomfatilia manajua iyo lugha

  • @mobilebeats3086
    @mobilebeats3086 6 месяцев назад +26

    Pastor una watu wengi wanakufuatilia niwa nchi yako pia weka mkalimani unatumia sana lugha ya kingereza na kwa wengine hawaelew japo wengine tunaelewa ila wengine wanatamani kusikia nini unahibiri lakin kwahajili ya lugha ya kingereza wanapata shida

    • @robertmaximilian3264
      @robertmaximilian3264 6 месяцев назад +1

      Asante sana umesema nilichotaka kusema 🙏🙏🙏

    • @lodricklazaro1013
      @lodricklazaro1013 6 месяцев назад

      Kweli kabisa hapo

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 6 месяцев назад

      Naomba uongee kwa sauti😢😢😢😢😢😢 jamani😢😢😢mpaka clipu zake nimekua navuka😢😢😢😢😢😢

    • @Zuhuranadadoita
      @Zuhuranadadoita 14 дней назад

      translate kama huelewi

    • @MerianaJacob
      @MerianaJacob 13 дней назад

      Pastor unanibariki kwel

  • @AminaSemvua
    @AminaSemvua 5 дней назад +1

    Pastor.i wish pia kungetufundisha na somo la mahusiano ya watu wenye dini tofauti😢

  • @AshaAmosi
    @AshaAmosi 3 месяца назад +2

    Asha amosi mtumishi unafundisha sana rakini punguza kigereza maana watu wengene hawajui kigereza unafundisha vizuri watoto wetu mungu akubariki sana

  • @babyjacob3122
    @babyjacob3122 6 месяцев назад +32

    Jamani huyu baba ANAFUNDISHA 🙌🙌Tushindwe tu kubadilika ila PT Baba kwenye mafundisho tu UUNATUFUNDISHA❤❤

    • @Dominant97
      @Dominant97 5 месяцев назад +1

      Exactly

    • @YusuphLyanga-e8j
      @YusuphLyanga-e8j 4 месяца назад

      Someni biblia😂😂😂 nd mtajua ukweli yesu aliotak ufundishwe hawafundishi bali mnapenda life experiences

    • @otarurosie
      @otarurosie 3 месяца назад

      Sana

  • @suzanajilala2871
    @suzanajilala2871 6 месяцев назад +11

    Fundishaa kingereza au Kiswahil mtu wa Mungu fanya kama Roho mtakatifu anavyokuongoza na kukutumia
    Ni hivyo kama kuna mtu hajui lugha anapaswa kujifunza kwa maana huyu mtumishi anaongea kingereza na anatafsiri hapohapo sikiliza kwa utulivu utamwelewa mtumishi wa Mungu... Muache kukosoa watumishi wa Mungu kama unaongea na mtu wa kawaida. Sio sahihi unapaswa kutoa maoni wala sio kama kila mtu atakavyo Ila kwa hekima ya Mungu kama huelewi haya pita hiviiii......

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 6 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂kumbe na wewe umetumia majibu ya hekima😢😢😢😢

    • @FrankMushi-cs5js
      @FrankMushi-cs5js 6 месяцев назад

      Wewe mwenyewe una hekima yeyote mpumbavu tu😂

    • @GabrielGabriel-o3s
      @GabrielGabriel-o3s 5 месяцев назад

      Haaaaa pumbavuten daa😂😂​@@FrankMushi-cs5js

  • @eliasiravuga7539
    @eliasiravuga7539 6 месяцев назад +9

    A tired mind can't make a good decision,,, 📖💯🇨🇩

  • @JohnMwata-b9o
    @JohnMwata-b9o 15 дней назад +1

    Mtumishi mungu abariki ila Sisi tusio juwa kizungu naomba utufikirie

  • @dominicpallangyo2631
    @dominicpallangyo2631 8 часов назад

    Zungumzaa kiswahili mtumishi ndo wengi

  • @Zena-eu6tr
    @Zena-eu6tr 3 месяца назад +3

    Pastor,,am grateful at least you made me learn how to forgive,my heart isn't heavy,,

  • @JosephMalongo-d9j
    @JosephMalongo-d9j 14 минут назад

    Unaeleweka baba

  • @shadrackmballah80
    @shadrackmballah80 2 месяца назад +1

    I think huyu Pastor, ni moja kati ya watumishi bora hapa Tanzania. Mungu akubariki sana mtumishi.🙏

  • @GloryPeter-xc4ph
    @GloryPeter-xc4ph 6 месяцев назад +25

    Mungu nisaidie kweli kweli nipate ubavu wangu sahihi

  • @hellynabrie5286
    @hellynabrie5286 6 месяцев назад +10

    Nikweli kila mtumishi amepewa watu wakuongea nao lkn uyu pastor kingereza kingi Sana watu wanatamn kumskliza lkn daah 😢English tupu

    • @Rosetemba97
      @Rosetemba97 6 месяцев назад +6

      Ni kwasababu dunia nzima inamsikiliza ....ndo maana anachanganya kuna watu pia hawajui kiswahili

    • @lilasuliman552
      @lilasuliman552 6 месяцев назад +1

      Alafu wanaomsikiliza nahisi wote ni wasomi

    • @neemaryan9947
      @neemaryan9947 6 месяцев назад +1

      Ubarikiwe Mtumishi naomba uweke mkalmani ili Neema hii iwafikie watu wengi zaidi ulimwenguni Ubarikiwe na Bwana

    • @veronicankhwazi7954
      @veronicankhwazi7954 6 месяцев назад

      Yuko kimataifa zaidi sio tu tz

  • @MaboyiSimba
    @MaboyiSimba 5 месяцев назад +3

    Uko sahihi mtumishi kuhusu swala la lugha mbona liko sawa kuchanyanga lugha sio shida !! Mtumishi endelea kutoka madini

  • @evalynependo3824
    @evalynependo3824 6 месяцев назад +16

    Mungu nisaidie kisha unipeleke nguvu za maombi ili nimuombee mwanaume huyu, kama yupo sahihi,kwa jina la yesu ameeeeeeeennnnnn

  • @emmanuelmogela5871
    @emmanuelmogela5871 5 месяцев назад +4

    Ila kiongozi ila kwa sisi ambao atujapata neema naaka kalugha tunateseka alafu chakula kitamu kweli weka kabint kakutafsiri utumie kiswahili ndugu, Mungu tusaidie ombi letu lifike

  • @KELVINKUBINGWA
    @KELVINKUBINGWA 5 месяцев назад +7

    Congratulations kwako mtumishi
    Umenibadilisha sehem kubwa sana ya maisha yangu

  • @claudemushaga
    @claudemushaga 25 дней назад

    Amen amen Baba

  • @kizitowalukwe1501
    @kizitowalukwe1501 6 месяцев назад +4

    Pastor please am going through a family curse that has ruined my life and am struggling right now pls pray 4me am from Kenya

    • @dorcasmukami7032
      @dorcasmukami7032 4 месяца назад

      Pia Niko Kenya...Je unaeza Kua wajua jinsi ya kutumia hizo number zao?

  • @ashercinematic7080
    @ashercinematic7080 6 месяцев назад +4

    Masomo yako mazuri sana, na natufundisha mambo ya vizazi kabisa, ila nakuomba utumie kiswahili, tunapata shida maneno mengine kuyaelewa

  • @BenoîtWasolu
    @BenoîtWasolu 5 месяцев назад +2

    My sister was living him lakini kwa ajili ya vingereza mingi anaanzaga vuka publications zake.

  • @TullyLyandala
    @TullyLyandala 2 дня назад

    Wariour of God 🎉

  • @JescahMnanka
    @JescahMnanka 2 месяца назад

    MUNGU akuweke sana mtumishi wa MUNGU unatutoa gizani mnoo much blessed

  • @PytchenMbala-yz8qn
    @PytchenMbala-yz8qn 6 месяцев назад +7

    Baba pastor punguza kingereza sisi wengine hatujasoma,lakin tuna haki ya kupaata mafundisho

    • @DignaEliamani
      @DignaEliamani 6 месяцев назад +1

      😂😂😂😂 si babaako alikuwambia nenda shule ukaona madaftari mazitoo? Ukaenda misele yako saii unamlaum tony

    • @gracemkami1343
      @gracemkami1343 6 месяцев назад

      Mungut akubaliki msomi na wanao pia wasome sana ili uje kujua Nini maana ya DUNIA​@@DignaEliamani

    • @happynescostat7420
      @happynescostat7420 6 месяцев назад

      Kama tungesoma wote Nani angelima? Vidole avilingani,🎉

    • @robertmaximilian3264
      @robertmaximilian3264 6 месяцев назад +1

      Nimeona watu wengi wanabeza watu tunaolalamika kingereza kingi siyo kwamba atujuhi kuongea ila tunaangalia na watu wengne wasiyo ijua iyo lugha basi kama anaoushauli wetu siyo sahihi basi aweke mkaliman ili watu wengne pia wapate neema ya kuskiliza

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 6 месяцев назад

      ​@@happynescostat7420😂😂😂😂😂Asante Kwa jibu Hilo ukute hata yy haelew lugha

  • @OkoaAfrika
    @OkoaAfrika 6 месяцев назад +1

    You have saved one soul today, amen

  • @daudlazaro8276
    @daudlazaro8276 6 месяцев назад +4

    Yaaani mifano yote ni mm, everything was for me 😮 then I WILL PRAY SIR

  • @pacomeHabamungu
    @pacomeHabamungu 3 месяца назад +1

    Sois abondement béni 🙏🏼!

  • @BenedictMtove
    @BenedictMtove 6 месяцев назад +4

    Kweli kabisa kingereza kingi basi bola Uwe na mkaliman kama unapenda kuongea lugha ngeni

  • @work24onme
    @work24onme 6 месяцев назад +5

    Holy Spirit of God Amen 🙏🏼.
    PT, hata sisi wanawake tuwe makini nani anatuoa. PANDE ZOTE MBILI KUWA MWILI 1 na Vizazi hivi vya Kidigital na sio Analog, Shidaleee , cheche ndani zitaripuwa nyumba, 🤔. Eee Mwenyezi Mungu, Neema yako, Amen 🙏🏼

  • @joycenanjala2262
    @joycenanjala2262 6 месяцев назад +9

    Asante YESU kwa mafindisho kazuri, hakika PT bwana Mungu na akuzidishie Neema pamoja na familia yako

  • @saturinimushi4746
    @saturinimushi4746 6 месяцев назад +13

    😅Kama Kingereza Kinamzingua Mswahili wa Gezaulole Wekeni Mkalimani.
    Roho Mtakatifu aliye Ndani ya Huyu Pastor anaflow English.

  • @ThomasTemba-u6z
    @ThomasTemba-u6z 6 месяцев назад +2

    Thank you very much Pastor Tony Kapola due to your message to us be blessed pastor Amen.

  • @brayankimambo5125
    @brayankimambo5125 6 месяцев назад +15

    Pasta tunapenda sana mafundisho yako lakini wengine hatuelewi kingereza hivyo tunaomba ufundishe kwa lugha ya kiswahili

  • @KadengeKazungu-pf6yi
    @KadengeKazungu-pf6yi 6 месяцев назад +1

    Congratulations Pastor you talk the truth

  • @Davidgeorge-xq8me
    @Davidgeorge-xq8me 5 месяцев назад +2

    Pastor jamani anafundisha,abarikiwe na MUNGU
    Halafu wanaodadai anaongea kiingereza sana ni vizuri ili wajifunzie humohumo.

  • @FaridaMuhamed-is6xg
    @FaridaMuhamed-is6xg 6 месяцев назад +1

    Ama kwa hakika Mimi nimebarikiwa kuwa na PT Kama wewe najiona ni mwenye bahati mnooooo mafundisho yako yananiongoza na kunifanyia nijue ninapo kwenda barikiwa Sana

  • @hellynabrie5286
    @hellynabrie5286 6 месяцев назад +6

    Uyu pastor apelekwe nchi nyingne sasa kingereza tupu jaman

    • @heavenlight5084
      @heavenlight5084 6 месяцев назад

      😂😂😂

    • @makenakiki946
      @makenakiki946 6 месяцев назад +1

      God has increased his audience, pray for him and the message.

  • @CresenciaMahembega
    @CresenciaMahembega 6 месяцев назад +4

    Napenda mahibiri lakini lugha ya kiingereza si ndo mtihani

  • @EmmanuelBurton-kt1wk
    @EmmanuelBurton-kt1wk 4 месяца назад

    Mafundisho ni mazur sana shida ni lugha jitahidi kutumia Kiswahili na sisi tukuelewe vizur

  • @theresiaambroce7280
    @theresiaambroce7280 6 месяцев назад +3

    Hallelujah! Ahsante Mungu kwa kukupa kibali hiki kikubwa namna hiii unasaidia wengi

  • @haikananyaro285
    @haikananyaro285 6 месяцев назад +3

    I just can't stop listening to you..... you always walk along my life mystery❤❤❤be blessed for such preaching

  • @EllaHurumaNdamu
    @EllaHurumaNdamu 6 месяцев назад +1

    I will pray for it for my future family my God help me and make fulfill my purpose

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 6 месяцев назад +2

    TRUTH TO BE TOLD ❤...STRAIGHT FORWARD

  • @agneselias-po4fq
    @agneselias-po4fq 6 месяцев назад +2

    Pastor your the best 💖 🥰 MAFUNDISHO yako yamenibadilisha nimepiga hatua na naendelea kujifunza Please Glory to God who bring you to this world 🌍🙏🙏💯

  • @trickeredbayaza7901
    @trickeredbayaza7901 6 месяцев назад +2

    Announced man of God always listening in from Kenya

  • @Magdalena-tz7uk
    @Magdalena-tz7uk 6 месяцев назад +1

    Mungu alibariki sana tumbo ulilotoka

  • @ernestnoely848
    @ernestnoely848 5 месяцев назад +1

    Powerfully word

  • @eliasiravuga7539
    @eliasiravuga7539 6 месяцев назад +3

    Amen Amen Amen, Ubarikiwe sana Pastor TK,, iyo ni kweli kabisa,, maombi, malombi,,, 📖🕊️❤️

  • @Bushman000
    @Bushman000 6 месяцев назад +2

    Mungu azidi kukubariki sana Pastor, kwa kuitumia vyema talanta aliyokupaa.

  • @jamesmwashinga
    @jamesmwashinga 5 месяцев назад

    Sifa na utukufu apewe BWANA YESU

  • @meikoking
    @meikoking 6 месяцев назад +1

    Mungu akuweke sana uendelee kutufundisha hii mambo ❤❤❤❤❤❤ Mtumish wa Bwana Ahsante

  • @godfreycosmas604
    @godfreycosmas604 6 месяцев назад +1

    Thank pastor Tony I understand you what am tooking so appreciate you

  • @yusuphmipawa6340
    @yusuphmipawa6340 6 месяцев назад +3

    Kafundishe wazungu

  • @evalynependo3824
    @evalynependo3824 6 месяцев назад +2

    Hallelujah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻

  • @bikoolaizer2737
    @bikoolaizer2737 6 месяцев назад +2

    Amen amen amen

  • @SenteuNaserian
    @SenteuNaserian 4 месяца назад

    Wow
    Really love your sermon.........
    Thank you so much Pastor

  • @inosensiaologa5946
    @inosensiaologa5946 4 месяца назад

    may God protect you pastor..🙏 for lessons

  • @seraphineally9739
    @seraphineally9739 6 месяцев назад +2

    Mungu nisaidie nipate mume sahihi

    • @ZOMBIE-bf6yg
      @ZOMBIE-bf6yg 3 месяца назад

      Ndio mm mungu amenituma kwako😂

  • @dorcasmukami7032
    @dorcasmukami7032 4 месяца назад

    Napenda mafundizo yako ....barikiwa mtumishi wa mungu

  • @rosemarykimario2880
    @rosemarykimario2880 6 месяцев назад +1

    Ahsante baba Mungu anisaidie nipate mwanaume sahihi kwenye maisha yangu

  • @bonychitanda6410
    @bonychitanda6410 5 месяцев назад

    Hivi huyu mchungaji wateja wake ni wanajua kingereza sana au.

  • @EliaMwambene-t8h
    @EliaMwambene-t8h 6 месяцев назад +7

    Sipendagi sana nikimuona mswahili muda mwingi anatumia kingereza kuliko lugha yake huwa namwona mzugaji tu kama wazugaji wengine 😢

    • @mushyglory1361
      @mushyglory1361 6 месяцев назад +1

      Poleee usiwe unasikiliza nduguu😊

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 6 месяцев назад +1

      😂😂endelea kuangalia wazigaji sisi tunasonga

    • @NoelMwikeve
      @NoelMwikeve 6 месяцев назад

      Badili mtazamo ndugu yangu

    • @NoelMwikeve
      @NoelMwikeve 6 месяцев назад

      Badili mtazamo ndugu yangu

    • @paulajohn7901
      @paulajohn7901 6 месяцев назад +1

      Tuache sisi tunaopenda wazugaji tuna enjoy……

  • @amosibilingi4299
    @amosibilingi4299 6 месяцев назад +3

    Don't say jump, say skip

  • @EssauChauya
    @EssauChauya 6 месяцев назад +1

    Mchungaji nakuelewa sana mafundisho yako tena napenda mnoo kukufatilia,,,, lakini sasa KINGELEZA KINGI MNOO UNAWEKA ,,, MANENO MENGI YANANIPITA NAKUWA NI MTU WA KUUNGAUNGA MANENO ILI NIPATE SENTESI NA NIIPATIE MAANA.

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 6 месяцев назад

      😢😢😢😢😢 jamani mimi😢😢😢mwambieni jamani😢😢😢😢

  • @MagrethErnest-ge2yq
    @MagrethErnest-ge2yq 6 месяцев назад +1

    Barikiwa sana pastor

  • @ShazymRahim
    @ShazymRahim 2 месяца назад

    Ubarikiwe baba

  • @sammychansa1797
    @sammychansa1797 6 месяцев назад +2

    Unahubir Kwl kbs ila lugha itakushusha baba

  • @GlauryHaule
    @GlauryHaule 6 часов назад

    Waooooh

  • @daliaangelo3242
    @daliaangelo3242 Месяц назад

    EE MWENYEZI MUNGU NIOKOE

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 6 месяцев назад +3

    hivi hawa inamaaana mambo yao yamenyooka hawanaga changamoto

  • @haikaellyngajilo7768
    @haikaellyngajilo7768 5 месяцев назад

    Alway on my pray ..Mungu akutunze pastor 😇

  • @adrianokubila8374
    @adrianokubila8374 4 месяца назад

    Mtumishi tumia kiswahili mi kingereza sikijui

  • @PeterSimbeya-hd7gs
    @PeterSimbeya-hd7gs 5 месяцев назад

    Power wisdom ever heard

  • @Anagracep
    @Anagracep 5 месяцев назад

    Mtumishi bwana akuongezee neema kubwa. Kwa mafundisho yako.

    • @Anagracep
      @Anagracep 5 месяцев назад

      Barikiwa sana

  • @bplugins81
    @bplugins81 5 месяцев назад

    Kingereza kingi Aisee

  • @analupia
    @analupia 6 месяцев назад +2

    Mtumishi daaaa hata.mm.nilimwota.mume.wangu ananikimbia.kumbe.sio sahihi kwangu..maana.hata.nguo.za.watoto.hanunui

    • @georgedavid8358
      @georgedavid8358 6 месяцев назад

      😂😂

    • @oprahpelle2531
      @oprahpelle2531 5 месяцев назад

      OMBA MAMBO MENGINE NIYEYE AMEFUNGWA AU WEWE UMEFUNGWA ILI USIHUDUMIWE AU KUTHAMINIWA

  • @EvaJoseph-m1y
    @EvaJoseph-m1y 6 месяцев назад

    Naomba upunguze kingereza pls paster

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 6 месяцев назад

    Tunakuelewa vzur sn

  • @MinisterRaphaelMwamu
    @MinisterRaphaelMwamu 3 месяца назад

    Hapo kasema Mtumishi

  • @Selfia-ru4wu
    @Selfia-ru4wu 5 месяцев назад

    Aki pastor please pray for us to get the right partner 🙏

  • @FrankAron-h9k
    @FrankAron-h9k 5 месяцев назад

    Yan napenda sana mafundish yako san

  • @getrudaleonard8323
    @getrudaleonard8323 6 месяцев назад

    Kaka kaka kaka naimani ntafika mbali kukufwatilia we unaukweli mkubwa na Akili kubwa unayo,,,Tk

  • @chimgegeema5533
    @chimgegeema5533 5 месяцев назад

    Kweli pasta weka na mkalimani natamani kukusikliza sielewi kabisa

  • @victoriskiwango6770
    @victoriskiwango6770 4 месяца назад

    Imeingia hiyoo had kweny Moyo

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 6 месяцев назад +16

    Punguza kingereza baba siyo kwamba hatuelewi kingereza lakn angalia watu wangapi wanaokusikiliza ni wa nchi gan?

    • @mwantelatv3028
      @mwantelatv3028 2 месяца назад

      Mbona kingereza chake simpo Sana na kila mtumishi anawatu wake wanao muelewa so usilaum

    • @mwantelatv3028
      @mwantelatv3028 2 месяца назад

      Mbona kingereza chake simpo Sana na kila mtumishi anawatu wake wanao muelewa so usilaum

  • @jastinnkya
    @jastinnkya 6 месяцев назад

    Amin sana mtumishi wa mungu akubariki sana

  • @floramakwi-vg4en
    @floramakwi-vg4en 6 месяцев назад

    Amina

  • @edwardisingo3286
    @edwardisingo3286 6 месяцев назад +1

    Nimependa biti❤

  • @genzisolutions9104
    @genzisolutions9104 6 месяцев назад +1

    Ameen

  • @rithaferdinand3738
    @rithaferdinand3738 6 месяцев назад +1

    Kingereza chako kinanifurahishaga sn et every time I see big chest i am vurugward😂😂😂😂na your mind is tawanyward😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaah napenda sn kukuckiliza we mchungaji 🙌🙌🙌

  • @salima2658
    @salima2658 6 месяцев назад +2

    Kingeleza sasa ungekiacha

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 6 месяцев назад

    Barikiwa sana

  • @daliaangelo3242
    @daliaangelo3242 Месяц назад

    Postor i request you to pray for me ,

  • @sophiamarwa4067
    @sophiamarwa4067 6 месяцев назад

    Asante pastor 🙏

  • @davidmutindaofficial952
    @davidmutindaofficial952 5 месяцев назад

    Hii Kali wow

  • @AnnaAyubu-cm9mv
    @AnnaAyubu-cm9mv 5 месяцев назад

    Tumia lugha ya Taifa letu kama unahudumia wa Tanzania

  • @madahaman5402
    @madahaman5402 23 дня назад

    Tatizo kingereza nikingi mno

  • @tullymwakipesile2077
    @tullymwakipesile2077 6 месяцев назад

    For someone I know; alifunga na kuomba for the same case”relationship”. Siku ya mwisho ya mfungo aliona/aliota yupo nje ya nyumba yake amezungukwa na kono kono wengi sana wale wasiokuwa na jumba juu, then wakawa wanabadilika taratibu kuwa chura…..
    Very weird.

  • @LukaslaizerLaizer
    @LukaslaizerLaizer 6 месяцев назад

    Mtumishi nikweli unajua kufundisha ila nashauri jaribu kutumia kiswahili ila hata yule mdada wakijijin mwnye Smart aweze kukuelewa