Kuwa Makini Nani Unamuoa | Kuuweza Wakati Ujao | Pastor Tony Kapola
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Je, unamfahamu mtu unaetarajia kumuoa au unaenda tu na maisha? Tega sikio upate neno kuhusu hili swala.
Connect with Pastor Tony Osborn Ministries:
Facebook: / pastortonykapola
Instagram: / pastortonyosborn
Contacts (Mawasiliano): +255 713 702 187
Offerings (Sadaka): +255 762 153 539 (ANTHONY KAPOLA) - Видеоклипы
Natamani mtumishi ungelikuwa unatumia maneno ya kiingereza kwa nchi zinazo zungumza lugha hiyo, watu tunashindwa kukuelewa mzee. Tafadhali atukupangii lugha ya kutumia ila ni vyema unaongea na watu wa taifa gani. Asante!
Ukiona huelewi Maana yake hakuitwa kwa ajili yako
Lakin ametoa ushaur mzuri wew umejibu kwa kejeli hekima ni bora sanaaa
Kweli babisa aongee luga ya kwetu
You mean kue na translator au?
Kweli kaka bora angeweka mkaliman siyo wote wanaomfatilia manajua iyo lugha
Pastor una watu wengi wanakufuatilia niwa nchi yako pia weka mkalimani unatumia sana lugha ya kingereza na kwa wengine hawaelew japo wengine tunaelewa ila wengine wanatamani kusikia nini unahibiri lakin kwahajili ya lugha ya kingereza wanapata shida
Asante sana umesema nilichotaka kusema 🙏🙏🙏
Kweli kabisa hapo
Naomba uongee kwa sauti😢😢😢😢😢😢 jamani😢😢😢mpaka clipu zake nimekua navuka😢😢😢😢😢😢
translate kama huelewi
Pastor unanibariki kwel
Pastor.i wish pia kungetufundisha na somo la mahusiano ya watu wenye dini tofauti😢
Asha amosi mtumishi unafundisha sana rakini punguza kigereza maana watu wengene hawajui kigereza unafundisha vizuri watoto wetu mungu akubariki sana
Jamani huyu baba ANAFUNDISHA 🙌🙌Tushindwe tu kubadilika ila PT Baba kwenye mafundisho tu UUNATUFUNDISHA❤❤
Exactly
Someni biblia😂😂😂 nd mtajua ukweli yesu aliotak ufundishwe hawafundishi bali mnapenda life experiences
Sana
Fundishaa kingereza au Kiswahil mtu wa Mungu fanya kama Roho mtakatifu anavyokuongoza na kukutumia
Ni hivyo kama kuna mtu hajui lugha anapaswa kujifunza kwa maana huyu mtumishi anaongea kingereza na anatafsiri hapohapo sikiliza kwa utulivu utamwelewa mtumishi wa Mungu... Muache kukosoa watumishi wa Mungu kama unaongea na mtu wa kawaida. Sio sahihi unapaswa kutoa maoni wala sio kama kila mtu atakavyo Ila kwa hekima ya Mungu kama huelewi haya pita hiviiii......
😂😂😂😂😂😂😂kumbe na wewe umetumia majibu ya hekima😢😢😢😢
Wewe mwenyewe una hekima yeyote mpumbavu tu😂
Haaaaa pumbavuten daa😂😂@@FrankMushi-cs5js
A tired mind can't make a good decision,,, 📖💯🇨🇩
Mtumishi mungu abariki ila Sisi tusio juwa kizungu naomba utufikirie
Zungumzaa kiswahili mtumishi ndo wengi
Pastor,,am grateful at least you made me learn how to forgive,my heart isn't heavy,,
Unaeleweka baba
I think huyu Pastor, ni moja kati ya watumishi bora hapa Tanzania. Mungu akubariki sana mtumishi.🙏
Mungu nisaidie kweli kweli nipate ubavu wangu sahihi
Amen
Endelea kusali
G uko peke yako
Okey
Nikweli kila mtumishi amepewa watu wakuongea nao lkn uyu pastor kingereza kingi Sana watu wanatamn kumskliza lkn daah 😢English tupu
Ni kwasababu dunia nzima inamsikiliza ....ndo maana anachanganya kuna watu pia hawajui kiswahili
Alafu wanaomsikiliza nahisi wote ni wasomi
Ubarikiwe Mtumishi naomba uweke mkalmani ili Neema hii iwafikie watu wengi zaidi ulimwenguni Ubarikiwe na Bwana
Yuko kimataifa zaidi sio tu tz
Uko sahihi mtumishi kuhusu swala la lugha mbona liko sawa kuchanyanga lugha sio shida !! Mtumishi endelea kutoka madini
Mungu nisaidie kisha unipeleke nguvu za maombi ili nimuombee mwanaume huyu, kama yupo sahihi,kwa jina la yesu ameeeeeeeennnnnn
Mambo
Poa sana vip zaleo @@ramadhanimtiba834
Amen
Amen mm pia na iwe hivyo kwang🙏
Ila kiongozi ila kwa sisi ambao atujapata neema naaka kalugha tunateseka alafu chakula kitamu kweli weka kabint kakutafsiri utumie kiswahili ndugu, Mungu tusaidie ombi letu lifike
Congratulations kwako mtumishi
Umenibadilisha sehem kubwa sana ya maisha yangu
Amen amen Baba
Pastor please am going through a family curse that has ruined my life and am struggling right now pls pray 4me am from Kenya
Pia Niko Kenya...Je unaeza Kua wajua jinsi ya kutumia hizo number zao?
Masomo yako mazuri sana, na natufundisha mambo ya vizazi kabisa, ila nakuomba utumie kiswahili, tunapata shida maneno mengine kuyaelewa
My sister was living him lakini kwa ajili ya vingereza mingi anaanzaga vuka publications zake.
Wariour of God 🎉
MUNGU akuweke sana mtumishi wa MUNGU unatutoa gizani mnoo much blessed
Baba pastor punguza kingereza sisi wengine hatujasoma,lakin tuna haki ya kupaata mafundisho
😂😂😂😂 si babaako alikuwambia nenda shule ukaona madaftari mazitoo? Ukaenda misele yako saii unamlaum tony
Mungut akubaliki msomi na wanao pia wasome sana ili uje kujua Nini maana ya DUNIA@@DignaEliamani
Kama tungesoma wote Nani angelima? Vidole avilingani,🎉
Nimeona watu wengi wanabeza watu tunaolalamika kingereza kingi siyo kwamba atujuhi kuongea ila tunaangalia na watu wengne wasiyo ijua iyo lugha basi kama anaoushauli wetu siyo sahihi basi aweke mkaliman ili watu wengne pia wapate neema ya kuskiliza
@@happynescostat7420😂😂😂😂😂Asante Kwa jibu Hilo ukute hata yy haelew lugha
You have saved one soul today, amen
Yaaani mifano yote ni mm, everything was for me 😮 then I WILL PRAY SIR
Sois abondement béni 🙏🏼!
Kweli kabisa kingereza kingi basi bola Uwe na mkaliman kama unapenda kuongea lugha ngeni
Holy Spirit of God Amen 🙏🏼.
PT, hata sisi wanawake tuwe makini nani anatuoa. PANDE ZOTE MBILI KUWA MWILI 1 na Vizazi hivi vya Kidigital na sio Analog, Shidaleee , cheche ndani zitaripuwa nyumba, 🤔. Eee Mwenyezi Mungu, Neema yako, Amen 🙏🏼
Asante YESU kwa mafindisho kazuri, hakika PT bwana Mungu na akuzidishie Neema pamoja na familia yako
😅Kama Kingereza Kinamzingua Mswahili wa Gezaulole Wekeni Mkalimani.
Roho Mtakatifu aliye Ndani ya Huyu Pastor anaflow English.
Umetisha
Thank you very much Pastor Tony Kapola due to your message to us be blessed pastor Amen.
Pasta tunapenda sana mafundisho yako lakini wengine hatuelewi kingereza hivyo tunaomba ufundishe kwa lugha ya kiswahili
Umande wengi mliukimbia asee
Congratulations Pastor you talk the truth
Pastor jamani anafundisha,abarikiwe na MUNGU
Halafu wanaodadai anaongea kiingereza sana ni vizuri ili wajifunzie humohumo.
Ama kwa hakika Mimi nimebarikiwa kuwa na PT Kama wewe najiona ni mwenye bahati mnooooo mafundisho yako yananiongoza na kunifanyia nijue ninapo kwenda barikiwa Sana
Uyu pastor apelekwe nchi nyingne sasa kingereza tupu jaman
😂😂😂
God has increased his audience, pray for him and the message.
Napenda mahibiri lakini lugha ya kiingereza si ndo mtihani
Mafundisho ni mazur sana shida ni lugha jitahidi kutumia Kiswahili na sisi tukuelewe vizur
Hallelujah! Ahsante Mungu kwa kukupa kibali hiki kikubwa namna hiii unasaidia wengi
I just can't stop listening to you..... you always walk along my life mystery❤❤❤be blessed for such preaching
I will pray for it for my future family my God help me and make fulfill my purpose
TRUTH TO BE TOLD ❤...STRAIGHT FORWARD
Pastor your the best 💖 🥰 MAFUNDISHO yako yamenibadilisha nimepiga hatua na naendelea kujifunza Please Glory to God who bring you to this world 🌍🙏🙏💯
Announced man of God always listening in from Kenya
Mungu alibariki sana tumbo ulilotoka
Powerfully word
Amen Amen Amen, Ubarikiwe sana Pastor TK,, iyo ni kweli kabisa,, maombi, malombi,,, 📖🕊️❤️
Mungu azidi kukubariki sana Pastor, kwa kuitumia vyema talanta aliyokupaa.
Sifa na utukufu apewe BWANA YESU
Mungu akuweke sana uendelee kutufundisha hii mambo ❤❤❤❤❤❤ Mtumish wa Bwana Ahsante
Thank pastor Tony I understand you what am tooking so appreciate you
Kafundishe wazungu
Hallelujah 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Amen amen amen
Wow
Really love your sermon.........
Thank you so much Pastor
may God protect you pastor..🙏 for lessons
Mungu nisaidie nipate mume sahihi
Ndio mm mungu amenituma kwako😂
Napenda mafundizo yako ....barikiwa mtumishi wa mungu
Ahsante baba Mungu anisaidie nipate mwanaume sahihi kwenye maisha yangu
amen
Hivi huyu mchungaji wateja wake ni wanajua kingereza sana au.
Sipendagi sana nikimuona mswahili muda mwingi anatumia kingereza kuliko lugha yake huwa namwona mzugaji tu kama wazugaji wengine 😢
Poleee usiwe unasikiliza nduguu😊
😂😂endelea kuangalia wazigaji sisi tunasonga
Badili mtazamo ndugu yangu
Badili mtazamo ndugu yangu
Tuache sisi tunaopenda wazugaji tuna enjoy……
Don't say jump, say skip
Mchungaji nakuelewa sana mafundisho yako tena napenda mnoo kukufatilia,,,, lakini sasa KINGELEZA KINGI MNOO UNAWEKA ,,, MANENO MENGI YANANIPITA NAKUWA NI MTU WA KUUNGAUNGA MANENO ILI NIPATE SENTESI NA NIIPATIE MAANA.
😢😢😢😢😢 jamani mimi😢😢😢mwambieni jamani😢😢😢😢
Barikiwa sana pastor
Ubarikiwe baba
Unahubir Kwl kbs ila lugha itakushusha baba
Haitamshusha.
Waooooh
EE MWENYEZI MUNGU NIOKOE
hivi hawa inamaaana mambo yao yamenyooka hawanaga changamoto
Alway on my pray ..Mungu akutunze pastor 😇
Mtumishi tumia kiswahili mi kingereza sikijui
Power wisdom ever heard
Mtumishi bwana akuongezee neema kubwa. Kwa mafundisho yako.
Barikiwa sana
Kingereza kingi Aisee
Mtumishi daaaa hata.mm.nilimwota.mume.wangu ananikimbia.kumbe.sio sahihi kwangu..maana.hata.nguo.za.watoto.hanunui
😂😂
OMBA MAMBO MENGINE NIYEYE AMEFUNGWA AU WEWE UMEFUNGWA ILI USIHUDUMIWE AU KUTHAMINIWA
Naomba upunguze kingereza pls paster
Tunakuelewa vzur sn
Hapo kasema Mtumishi
Aki pastor please pray for us to get the right partner 🙏
Yan napenda sana mafundish yako san
Kaka kaka kaka naimani ntafika mbali kukufwatilia we unaukweli mkubwa na Akili kubwa unayo,,,Tk
Kweli pasta weka na mkalimani natamani kukusikliza sielewi kabisa
Imeingia hiyoo had kweny Moyo
Punguza kingereza baba siyo kwamba hatuelewi kingereza lakn angalia watu wangapi wanaokusikiliza ni wa nchi gan?
Mbona kingereza chake simpo Sana na kila mtumishi anawatu wake wanao muelewa so usilaum
Mbona kingereza chake simpo Sana na kila mtumishi anawatu wake wanao muelewa so usilaum
Amin sana mtumishi wa mungu akubariki sana
Amina
Nimependa biti❤
😂
Ameen
Kingereza chako kinanifurahishaga sn et every time I see big chest i am vurugward😂😂😂😂na your mind is tawanyward😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaah napenda sn kukuckiliza we mchungaji 🙌🙌🙌
Kingeleza sasa ungekiacha
Barikiwa sana
Postor i request you to pray for me ,
Asante pastor 🙏
Hii Kali wow
Tumia lugha ya Taifa letu kama unahudumia wa Tanzania
Tatizo kingereza nikingi mno
For someone I know; alifunga na kuomba for the same case”relationship”. Siku ya mwisho ya mfungo aliona/aliota yupo nje ya nyumba yake amezungukwa na kono kono wengi sana wale wasiokuwa na jumba juu, then wakawa wanabadilika taratibu kuwa chura…..
Very weird.
Mtumishi nikweli unajua kufundisha ila nashauri jaribu kutumia kiswahili ila hata yule mdada wakijijin mwnye Smart aweze kukuelewa