ROHO MTAKATIFU NDANI YETU
HTML-код
- Опубликовано: 13 окт 2024
- Yohana 14:15-14:31
15 “Kama mnanipenda mtatimiza amri zangu. 16 Nami nitamwomba Baba, naye atawapeni Msaidizi mwingine akae nanyi siku zote. 17 Huyo ndiye Roho wa Kweli ambaye watu wasioamini hawawezi kumpokea. Watu kama hao hawamwoni wala hawamfahamu. Ninyi mnamfahamu kwa kuwa anakaa ndani yenu na ataendelea kuwa nanyi. 18 Sitawaacha kama yatima. Nitarudi kwenu. 19 Baada ya muda mfupi watu wa ulimwengu hawataniona tena, ila ninyi mta niona; na kwa kuwa mimi ni hai, ninyi pia mtakuwa hai.
#pastorsunbella #rohomtakatifu #realityofchrist
Barikiwa sana mtumishi napenda mafundisho yako
Amen
Nimebarikiwa 🙏
Amina mtumishiii mungu akubarikii ni kwelii ata mimi uwa kabla kityu cjocjote hakijatokea kibaya au kizuliii lazima nipewe taarifa iwe kwa hisia au kwa ndoto naomba mungu anikuzee kiroho niwe zaid ya apa na nikae katika njia yake kwanzia sasa na mda usiokua na kipimo
Amen baba iyoo Ni kweli
Daddy 🙏🙏
Amen mtumushi barikiwa sana
AMEEN
Amen 🙏 pastor blessed Sanbela kyando...nimewamis Sana mkuje Kenya siku moja
Mafidisho mazuri Santa.Mungu azidi kumpatia Mtumishi Wake baraka telee.
Ninabarikiwa sana na utumishi wako mtumishi Sanbela Kyando. Mungu akubariki na kukuzidisha zaidi na zaidi
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Najifunza mimi😢
Thank you Pastor for the your Teaching am blessed 🙏🇰🇪
Barikiwa sana Man of GOD
Nimekuelewa vizuri sana mchungaji. Barikiwa zaidi kwa mafundisho mazuri 🤲🙌
Amina amina Amina,atukuzwe Mungu aliye ndani yako pastor
Aminaa 🙏 MUNGU akubariki mtumishi
Aminq
Amen hallelujah
Baba sumbela mimi Niko Congo lakini mahubiriyako yananijenga natamani hâta nikuone
Love Holy Spirit 👏
hallelujah
Waoh neno zuri! Glory to God! Uzidi kuongezeka sana Pastor!
Amina
I love the holyspirit, am nothing without him. I need him more than oxygen.
i'm proud of you my Pastor
Thank u man of God.I love HolySpirit so much be blessed.
Love Holy spirit 🕊️🕊️
Be blessed Dady Bella🙏🏾💗
Je? pia shetani anaweza kukuonyesha Mambo ambayo hayajatokea?
Kwa maana hiyo mpka uwe na level kubwa rohon ndipo unawezaona Mambo kabla hayajatokea swali langu ni hili je roho mtakatifu anaweza ongea na mtu kwa njia ya ndoto au kwa mawazo ?pia ikiwa bado hujaokoka unaweza kujua Mambo yanayotaka kutokea ?je huyo pia ni roho mtakatifu
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen