VITA KWA WALIOBEBA MAONO - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Watu wengi wenye vita kubwa ni watu waliopakwa mafuta.
    Watu wengi wenye neno la Mungu, wenye maono ndiyo wengi wanao ongoza kuanza vitu na kuacha kwasababu vita inakua kali sana.
    Adui huwa anatumia nguvu kubwa sana kuwakandamiza watu ambao wametengwa na Mungu.
    Kuna aina ya upako ambao huwa unarudisha miaka iliyoliwa na nzige, upako ambao haijarishi nguvu za giza zimeharibu kwa kiwango gani! Kuna majira nguvu ya Mungu ikishuka juu ya huyo mtu, huyo mtu anageuzwa upya anakuwa na uwezo wa kufanya lolote.
    Ulivyosubiri sana imetosha sasa, kuna vitu inabidi uvipate wakati huu. Wakati UKIOKUBALIKA ni SASA.#PastorSunbella#Vita#Maono

Комментарии • 188

  • @joelemmanuel9616
    @joelemmanuel9616 4 месяца назад +2

    Haleluya baba Mungu akunze sana sjawai skiliza nikabaki kamanilivyo Mungu ana kutumia kuponya roho yangu sana

  • @bethcharles1794
    @bethcharles1794 2 года назад +3

    Amen adui naachie kiti changu kwa jina la Yesu

  • @EstherRichard-du9qq
    @EstherRichard-du9qq 6 месяцев назад +2

    Amina Mungu akubariki mimi sio wa Tanzania to nitaenda nje kwa jina la Yesu

  • @kayitarecharles6993
    @kayitarecharles6993 2 месяца назад +1

    Nagiunganisha na madhabahu ya upako wa Mungu ❤🇷🇼🙏🙌

  • @successmbizo3209
    @successmbizo3209 2 года назад +16

    Hakika Pastor Sunbella ninakufurahia sana. Mungu ajua moyo wangu unavyokufurahia. Wewe ni baraka sana maisha mwangu. Mungu akubariki sana baba

    • @deusngaruko5879
      @deusngaruko5879 9 месяцев назад

      😅 14:57 😮😮😮😅😊😅😮

  • @Miriam84Akizimana
    @Miriam84Akizimana 2 года назад +21

    This man of God is anointed 🙌🙌hallelujah

  • @GilgariMinistryTanzania
    @GilgariMinistryTanzania 5 месяцев назад +1

    Asantee baba

  • @TusaKiblaga-vp9jg
    @TusaKiblaga-vp9jg 2 месяца назад

    Ameen mtumishi unajua kutufunza

  • @NeemaMgaya-ez9un
    @NeemaMgaya-ez9un 4 месяца назад +1

    Amen amen it is my time

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 3 месяца назад +1

    Napokea mafuta ya roho mtakatifu juu yangu ktk jina la Yesu kristo aliye hai

  • @mertus.nestory.bishirangon4624
    @mertus.nestory.bishirangon4624 3 месяца назад +1

    Amlna

  • @langolambinguni8653
    @langolambinguni8653 2 года назад +4

    Lazima nikanyage madhabahu hii yenye upako Mungu wangu nisaidie

  • @joycesanga6951
    @joycesanga6951 2 года назад +4

    Asante Mungu kwaajili ya huyu baba uendelee kumlinda na kumtunza ili mapenzi yako kwangu yatimizwe .

  • @veronicamlowe9663
    @veronicamlowe9663 9 месяцев назад

    Amina nimekuelewa Mtumishi

  • @pasteurgadkazembedivine5750
    @pasteurgadkazembedivine5750 2 года назад +3

    Neno hili ni kweli Nina farijika kweli kweli. Ni mchungaji Gad kazembe kutoka Drc

  • @JOHNPWELE-nw1wc
    @JOHNPWELE-nw1wc 6 месяцев назад +1

    🙏🙏🙏🙏 hallelujah

  • @winnieminyalla9430
    @winnieminyalla9430 2 года назад +5

    Asante Mungu kwa ajili ya huyu baba

  • @NelsonMboya
    @NelsonMboya Год назад +2

    I lost track on how many times nimeangalia haya mahubiri, na kila mara ni mapya masikioni mwangu... Mungu azidi kukutunza Pastor Sunbella, You are such a blessing to us

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Год назад +1

    Pastor sunbella 🙏🙏🙏your are a blessing to me,ipo siku 😭😭😭nitashuhudia ukuu wa Mungu kupitia haya mafundisho yako 🙏🙏

  • @gracemdugo5446
    @gracemdugo5446 4 месяца назад

    Am blessed with this anointing Hallelujah

  • @SammykazunguKazungu
    @SammykazunguKazungu 27 дней назад

    God bless you all the way from Kenya,am real blessed,

  • @JoshuaKamala-r5g
    @JoshuaKamala-r5g 6 месяцев назад

    Amina amina

  • @LovenessKasaba-tf1ru
    @LovenessKasaba-tf1ru Год назад +1

    Mungu anakitumia sana kuuganga moyo wangu
    Mungu azidi kukupa maisha marefu yenye afya tele, umekuwa baraka sana kwangu

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 года назад +2

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @nyashangondya3660
    @nyashangondya3660 Год назад +1

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu napenda sana mafundisho yako mungu kakupa kipawa chatofauti unafundisha naunaeleweka fana

  • @loycegodson7754
    @loycegodson7754 Год назад

    Wakati nasikiliza hili soma kichwa kiliniuma Sana... Barikiwa pia naomba nafasi ya kukuona nipo na changamoto Mtumishi...

  • @francengosha2183
    @francengosha2183 2 года назад +3

    Mtumishi Pastor Sunbella naomba msaada wako wa Maombezi n muda mrefu Sasa... Naomba msaada wa Maombezi

  • @SonkoJackosoni
    @SonkoJackosoni 10 месяцев назад

    Amen Mungu naomba uwe upande wangu wamenigandhamiza vya kutosha bwana yesu kupitia somo hili Mungu ikawe ni siku yangu nikakalie kiti changa

  • @yustinmbilinyi671
    @yustinmbilinyi671 3 года назад +2

    Mungu akubariki saana sana mtumishi wake Sunbella Kyando uzidi kuifanya kaz yake

  • @dadamwajuma5155
    @dadamwajuma5155 2 года назад +1

    Amen mtumishi wa mungu

  • @lindamjenga8978
    @lindamjenga8978 2 года назад +2

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu. Hakika nimebarikiwa sana na hili neno na limenitia nguvu ya kusonga mbele.

  • @bethcharles1794
    @bethcharles1794 2 года назад +1

    Amen nipakwe kwa mafuta kwa jina la Yesu

  • @benjaminnzeyimana6536
    @benjaminnzeyimana6536 2 года назад +2

    Asante sana Bwana abarikiwe nguvu ya roho mtakatifu yupo hapa

  • @vailethsiwandilo5748
    @vailethsiwandilo5748 2 года назад +1

    Hallelujah hallelujah Mtumishi Mbarikiwaaa

  • @mariammarco1273
    @mariammarco1273 Год назад

    Ashukuriwe MUNGU kwa Neno lako mtumishi,Napona ROHONI na mwilini

  • @amaniipatrokil4214
    @amaniipatrokil4214 Год назад

    Mungu akubariki mtumishi wa MUNGU mafundisho Mungu anayokupa hakika yamenisaidia

  • @thomasgervas5883
    @thomasgervas5883 Год назад

    Amen

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza7661 3 года назад +2

    Mbona nayaona maisha yangu kabisaaaa

  • @roseamunga5455
    @roseamunga5455 2 года назад +5

    Amen! I receive God's anointing for revival, renewal, breakthrough IJN 🙏

  • @elishagwimile9652
    @elishagwimile9652 2 года назад +3

    Nakupenda Sana Pastor sunbella Mungu akubaliki sana 🕊️🕊️🕊️

    • @susanjuma4340
      @susanjuma4340 Год назад

      Shalom Mtumishi, Amen Man of God , hili neno ni la kwangu kabisa napokea haya Mafuta katika hii mathabahu kwa Jina kuu la Yesu.

  • @HawaNababbi
    @HawaNababbi Год назад

    Hallelujah 🙏🙏🙏 barikiwa sana mutumishe wa mungu

  • @monicahmwalozi
    @monicahmwalozi Год назад

    😭😭😭😭💔💔💔Adui wewe imetosha kwa mateso ipo siku Mungu atayafuta haya machozi 🙇‍♀️🙇‍♀️🙇‍♀️🙏🙏

  • @kadumaisaya4287
    @kadumaisaya4287 2 года назад +1

    ubarikiwe sana pasta kwa ujumbe wenye nguvu sana ..nilibarikiwa sana na ujumbe faida za kukaa kimya

  • @halmashekalage2318
    @halmashekalage2318 Год назад

    Amina Mungu akaniponye kwa Imani nitashinda

  • @LovenessKihwele
    @LovenessKihwele Год назад

    Barikiwa Pastor Mungu akutunze kwaajili ya kuvusha maelfu ya watu.

  • @P.W.I.P.I_MINISTRIES
    @P.W.I.P.I_MINISTRIES 2 года назад +4

    Such a great surmon🙏
    Am blessed

  • @neemageofrey3235
    @neemageofrey3235 Год назад

    Nimeelewa sana pastor

  • @kokuonesmo-ub2vg
    @kokuonesmo-ub2vg Год назад

    Mchungaji mafundisho yako yanibariki sana.....ila Niko na tatizo Moja linansumbua sana ni hofu na woga

  • @mrslucasndoka2920
    @mrslucasndoka2920 2 года назад +2

    Asante Yesu🙏🙏🙏

  • @michaelbwoma2760
    @michaelbwoma2760 2 года назад +1

    AMEN UMEONGEA NA MIMI KABISAA NASHUKURU MUNGU KWAKUWA NIMEWEZA KUSIKILIZA HILI NENO KUTOKA KWAKO MTUMISHI WA MUNGU

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 года назад +2

    Mungu anajibu kwa wakati wake

  • @frankmshana1331
    @frankmshana1331 2 года назад

    ameeeen mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI UBARIKIWE

  • @edomfungo5176
    @edomfungo5176 2 года назад +3

    I connect in Jesus name.

  • @سلطانالقحطاني-ظ3ع
    @سلطانالقحطاني-ظ3ع 2 года назад +4

    yes lord this is what you have declared thankiu so much paster

  • @yasintamagulyati4550
    @yasintamagulyati4550 Год назад

    Yan pastor unaongea mambo ambayo ndo yananitokea kwenye maisha yangu...yan kuna muda naumia sana katika mapito nayopitia..kiukweli MUNGU anipumzishe...kuna muda moyo wangu unachoka sana kwa kuumia...naumia sana mpaka kuna muda na mwambia MUNGU naomba unipumzishe..kama kweli wewe ni Baba wa yatima..basi nionekanie yatima wako nimechoka sana..Naomba msaada pia uniombee mtumishi.

  • @irenemengi6519
    @irenemengi6519 2 года назад

    Kilichopangwa na mungu nwanadamu hawezi kukizuia🙌🏻

  • @madamelee6017
    @madamelee6017 2 года назад +1

    HILI NI NENO LANGU MIMI BWANA WETU YESU ANAENDA KUNIPONYA NA KUNIFUNGUA NA UZAO WANGU

  • @salomegendo6040
    @salomegendo6040 2 года назад

    Nabarikiwa San na mafundisho yako yananikuza iman yangu baba mungu asikupungukie

  • @SonkoJackosoni
    @SonkoJackosoni 10 месяцев назад

    Imetosha sasa imetosha sasa kwaji la yesu KIRISTO iniachie kwajina la yesu

  • @flaviakyaruzi7277
    @flaviakyaruzi7277 2 года назад

    Mungu akuinue kwa viwango vingine mtumishi wa Mungu

  • @neddyboiywo4119
    @neddyboiywo4119 11 месяцев назад

    Amen..thank you Jesus for this is the right time for me to get this word

  • @goodluckygalbon1585
    @goodluckygalbon1585 Год назад

    Nabarikiwa mnoo na mahubiri ( mafundish ) mar nyng yana ukwl mtupu ktk maish ye2 ila hatuach kumtegemea na kumuamn Mungu

  • @igkapinga1272
    @igkapinga1272 2 года назад

    Amen Baba ubarikiwe

  • @kumbukachokala114
    @kumbukachokala114 2 года назад +1

    Mtumishi wa Mungu anaongelea maisha yangu

  • @paulmunyendo440
    @paulmunyendo440 Год назад

    REMIND ME OF THIS SERIES

  • @MichoSimbe
    @MichoSimbe Год назад

    asante naitaji kutoka nilipowekwa kwa damu ya yesu

  • @StephenRuhigwa
    @StephenRuhigwa 11 месяцев назад

    Thanks again my pastor my God bless you 🙏

  • @masterkey536
    @masterkey536 2 года назад

    Barikiwa xana

  • @joycembere831
    @joycembere831 2 года назад +1

    I need that anointing in my life,🙏🙏

  • @tamukntejo9260
    @tamukntejo9260 2 года назад

    Mafundisho yako mtumishi yameni barikiiiiiii

  • @ColinRaymound
    @ColinRaymound Год назад

    🙏🙏🙏

  • @angelalaizer3895
    @angelalaizer3895 2 года назад

    IMETOSHA YESU

  • @ChrlesRwezahula
    @ChrlesRwezahula Год назад +1

  • @NgalulaSoso
    @NgalulaSoso Год назад

    Baba uishi milele

  • @LydiaDamiani-jq2uc
    @LydiaDamiani-jq2uc Год назад

    🙌🏾

  • @solomonritoman682
    @solomonritoman682 2 года назад

    Mtumishi ubarikiwe na mafundisho natamani kukutana na wewe by solomoni from mwanza

  • @frankrobart1700
    @frankrobart1700 2 года назад

    Ubarikiwe saaana baba

  • @EliyaJoseph-hp2ne
    @EliyaJoseph-hp2ne Год назад

    Mungu akubariki

  • @nazalenamgeni3588
    @nazalenamgeni3588 Год назад

    Hakika

  • @eliaichihenry9010
    @eliaichihenry9010 2 года назад

    Nimebarikiwa sana mtumishi.Listening from Mbezi beach Dar

  • @gabrielmwaipopo1739
    @gabrielmwaipopo1739 2 года назад

    Amina sana nakwekewasana pasta

  • @liberatuceboniphace4004
    @liberatuceboniphace4004 2 года назад +3

    Be blessed Pastor.

  • @gfabianmwacha946
    @gfabianmwacha946 2 года назад

    Ubarikiweee sanaa Baba

  • @venerandamavanza1059
    @venerandamavanza1059 2 года назад +1

    Nimejua ya kwamba YUPO MUNGU ALIYE HAI

  • @filbertbaseka2522
    @filbertbaseka2522 2 года назад

    Vita kubwa maono makubwa ,amen

  • @davidmuchui7008
    @davidmuchui7008 2 года назад +1

    Man of God this is what I am going through now ..for a long time...what do you think I can do about this,.. advice.

  • @roseneemamassawe-gv7oq
    @roseneemamassawe-gv7oq Год назад

    I receive in Jesus name

  • @anniekuria7165
    @anniekuria7165 2 года назад

    🙌🏼🙌🏼 Anoint me afresh Lord🙏🏼

  • @lilliangodwin
    @lilliangodwin 2 года назад

    Good session ila mziki unakosesha utulivu wa kusikiliza sauti ya mtumishi, ushauri ondoeni mziki. Asante

  • @benahwaeni7328
    @benahwaeni7328 2 года назад

    May the almighty God bless you pastor for this message

  • @irenebidaz9071
    @irenebidaz9071 2 года назад

    Mahubiri ni mazuri sana ila mtoe hiyo sauti

  • @johnmusau4189
    @johnmusau4189 2 года назад

    Amen amen pastor..am receiving the annointing in Jesus name

  • @henrykemei4645
    @henrykemei4645 Год назад

    I received that oil in Jesus name

  • @happinessmtani7621
    @happinessmtani7621 2 года назад

    Amen, pastor ooh I take my massage

  • @langolambinguni8653
    @langolambinguni8653 2 года назад

    Ameni I receive it is me man of God

  • @joycesanga6951
    @joycesanga6951 2 года назад +1

    Pastor Sunbella Kyando ninayhitaji mkubwa sana wa kuonana na wewe ninaomba maelekezo

    • @pastorsunbellakyando
      @pastorsunbellakyando  2 года назад +1

      Shalom, Tumia namba hii 0657173322 tuma ujumbe kwa Whatsap Andika mkoa unao toka na Ku set appointment

    • @joycesanga6951
      @joycesanga6951 2 года назад +1

      Asante sana

  • @joycethadeo6635
    @joycethadeo6635 2 года назад +1

    Be blessed pastor

  • @childrengospelmissiontanza1474
    @childrengospelmissiontanza1474 2 года назад +4

    Mziki wa nini jaman,unaondoa utulivu!

  • @kadunawewe7248
    @kadunawewe7248 2 года назад

    Ameen Thank you for your help .me men

  • @wilednzunda.9887
    @wilednzunda.9887 2 года назад

    Blessed Pastor. u touch me