VITA KWA WALIOBEBA MAONO - PASTOR SUNBELLA KYANDO
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Watu wengi wenye vita kubwa ni watu waliopakwa mafuta.
Watu wengi wenye neno la Mungu, wenye maono ndiyo wengi wanao ongoza kuanza vitu na kuacha kwasababu vita inakua kali sana.
Adui huwa anatumia nguvu kubwa sana kuwakandamiza watu ambao wametengwa na Mungu.
Kuna aina ya upako ambao huwa unarudisha miaka iliyoliwa na nzige, upako ambao haijarishi nguvu za giza zimeharibu kwa kiwango gani! Kuna majira nguvu ya Mungu ikishuka juu ya huyo mtu, huyo mtu anageuzwa upya anakuwa na uwezo wa kufanya lolote.
Ulivyosubiri sana imetosha sasa, kuna vitu inabidi uvipate wakati huu. Wakati UKIOKUBALIKA ni SASA.#PastorSunbella#Vita#Maono
Haleluya baba Mungu akunze sana sjawai skiliza nikabaki kamanilivyo Mungu ana kutumia kuponya roho yangu sana
Amen adui naachie kiti changu kwa jina la Yesu
Amina Mungu akubariki mimi sio wa Tanzania to nitaenda nje kwa jina la Yesu
Nagiunganisha na madhabahu ya upako wa Mungu ❤🇷🇼🙏🙌
Hakika Pastor Sunbella ninakufurahia sana. Mungu ajua moyo wangu unavyokufurahia. Wewe ni baraka sana maisha mwangu. Mungu akubariki sana baba
😅 14:57 😮😮😮😅😊😅😮
This man of God is anointed 🙌🙌hallelujah
Asantee baba
Ameen mtumishi unajua kutufunza
Amen amen it is my time
Napokea mafuta ya roho mtakatifu juu yangu ktk jina la Yesu kristo aliye hai
Amlna
Lazima nikanyage madhabahu hii yenye upako Mungu wangu nisaidie
Asante Mungu kwaajili ya huyu baba uendelee kumlinda na kumtunza ili mapenzi yako kwangu yatimizwe .
Ameen
Amina nimekuelewa Mtumishi
Neno hili ni kweli Nina farijika kweli kweli. Ni mchungaji Gad kazembe kutoka Drc
🙏🙏🙏🙏 hallelujah
Asante Mungu kwa ajili ya huyu baba
I lost track on how many times nimeangalia haya mahubiri, na kila mara ni mapya masikioni mwangu... Mungu azidi kukutunza Pastor Sunbella, You are such a blessing to us
Pastor sunbella 🙏🙏🙏your are a blessing to me,ipo siku 😭😭😭nitashuhudia ukuu wa Mungu kupitia haya mafundisho yako 🙏🙏
Am blessed with this anointing Hallelujah
God bless you all the way from Kenya,am real blessed,
Amina amina
Mungu anakitumia sana kuuganga moyo wangu
Mungu azidi kukupa maisha marefu yenye afya tele, umekuwa baraka sana kwangu
Amen mtumishi barikiwa sana
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu napenda sana mafundisho yako mungu kakupa kipawa chatofauti unafundisha naunaeleweka fana
Wakati nasikiliza hili soma kichwa kiliniuma Sana... Barikiwa pia naomba nafasi ya kukuona nipo na changamoto Mtumishi...
Mtumishi Pastor Sunbella naomba msaada wako wa Maombezi n muda mrefu Sasa... Naomba msaada wa Maombezi
Tuma ujumbe kwa namba hii 0658173322
Amen Mungu naomba uwe upande wangu wamenigandhamiza vya kutosha bwana yesu kupitia somo hili Mungu ikawe ni siku yangu nikakalie kiti changa
Mungu akubariki saana sana mtumishi wake Sunbella Kyando uzidi kuifanya kaz yake
Amen mtumishi wa mungu
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu. Hakika nimebarikiwa sana na hili neno na limenitia nguvu ya kusonga mbele.
Amen nipakwe kwa mafuta kwa jina la Yesu
Asante sana Bwana abarikiwe nguvu ya roho mtakatifu yupo hapa
Hallelujah hallelujah Mtumishi Mbarikiwaaa
Ashukuriwe MUNGU kwa Neno lako mtumishi,Napona ROHONI na mwilini
Mungu akubariki mtumishi wa MUNGU mafundisho Mungu anayokupa hakika yamenisaidia
Amen
Mbona nayaona maisha yangu kabisaaaa
Amen! I receive God's anointing for revival, renewal, breakthrough IJN 🙏
Nakupenda Sana Pastor sunbella Mungu akubaliki sana 🕊️🕊️🕊️
Shalom Mtumishi, Amen Man of God , hili neno ni la kwangu kabisa napokea haya Mafuta katika hii mathabahu kwa Jina kuu la Yesu.
Hallelujah 🙏🙏🙏 barikiwa sana mutumishe wa mungu
😭😭😭😭💔💔💔Adui wewe imetosha kwa mateso ipo siku Mungu atayafuta haya machozi 🙇♀️🙇♀️🙇♀️🙏🙏
ubarikiwe sana pasta kwa ujumbe wenye nguvu sana ..nilibarikiwa sana na ujumbe faida za kukaa kimya
Amina Mungu akaniponye kwa Imani nitashinda
Barikiwa Pastor Mungu akutunze kwaajili ya kuvusha maelfu ya watu.
Such a great surmon🙏
Am blessed
Nimeelewa sana pastor
Mchungaji mafundisho yako yanibariki sana.....ila Niko na tatizo Moja linansumbua sana ni hofu na woga
Asante Yesu🙏🙏🙏
AMEN UMEONGEA NA MIMI KABISAA NASHUKURU MUNGU KWAKUWA NIMEWEZA KUSIKILIZA HILI NENO KUTOKA KWAKO MTUMISHI WA MUNGU
Mungu anajibu kwa wakati wake
ameeeen mtumishi wa MUNGU ALIYEHAI UBARIKIWE
I connect in Jesus name.
yes lord this is what you have declared thankiu so much paster
Yan pastor unaongea mambo ambayo ndo yananitokea kwenye maisha yangu...yan kuna muda naumia sana katika mapito nayopitia..kiukweli MUNGU anipumzishe...kuna muda moyo wangu unachoka sana kwa kuumia...naumia sana mpaka kuna muda na mwambia MUNGU naomba unipumzishe..kama kweli wewe ni Baba wa yatima..basi nionekanie yatima wako nimechoka sana..Naomba msaada pia uniombee mtumishi.
Kilichopangwa na mungu nwanadamu hawezi kukizuia🙌🏻
HILI NI NENO LANGU MIMI BWANA WETU YESU ANAENDA KUNIPONYA NA KUNIFUNGUA NA UZAO WANGU
Nabarikiwa San na mafundisho yako yananikuza iman yangu baba mungu asikupungukie
Imetosha sasa imetosha sasa kwaji la yesu KIRISTO iniachie kwajina la yesu
Mungu akuinue kwa viwango vingine mtumishi wa Mungu
Amen..thank you Jesus for this is the right time for me to get this word
Nabarikiwa mnoo na mahubiri ( mafundish ) mar nyng yana ukwl mtupu ktk maish ye2 ila hatuach kumtegemea na kumuamn Mungu
Amen Baba ubarikiwe
Mtumishi wa Mungu anaongelea maisha yangu
REMIND ME OF THIS SERIES
asante naitaji kutoka nilipowekwa kwa damu ya yesu
Thanks again my pastor my God bless you 🙏
Barikiwa xana
I need that anointing in my life,🙏🙏
Mafundisho yako mtumishi yameni barikiiiiiii
🙏🙏🙏
IMETOSHA YESU
❤
Baba uishi milele
🙌🏾
Mtumishi ubarikiwe na mafundisho natamani kukutana na wewe by solomoni from mwanza
Ubarikiwe saaana baba
Mungu akubariki
Hakika
Nimebarikiwa sana mtumishi.Listening from Mbezi beach Dar
Amina sana nakwekewasana pasta
Be blessed Pastor.
Ubarikiweee sanaa Baba
Nimejua ya kwamba YUPO MUNGU ALIYE HAI
Vita kubwa maono makubwa ,amen
Man of God this is what I am going through now ..for a long time...what do you think I can do about this,.. advice.
I receive in Jesus name
🙌🏼🙌🏼 Anoint me afresh Lord🙏🏼
Good session ila mziki unakosesha utulivu wa kusikiliza sauti ya mtumishi, ushauri ondoeni mziki. Asante
May the almighty God bless you pastor for this message
Mahubiri ni mazuri sana ila mtoe hiyo sauti
Amen amen pastor..am receiving the annointing in Jesus name
I received that oil in Jesus name
Amen, pastor ooh I take my massage
Ameni I receive it is me man of God
Pastor Sunbella Kyando ninayhitaji mkubwa sana wa kuonana na wewe ninaomba maelekezo
Shalom, Tumia namba hii 0657173322 tuma ujumbe kwa Whatsap Andika mkoa unao toka na Ku set appointment
Asante sana
Be blessed pastor
Mziki wa nini jaman,unaondoa utulivu!
Unaongeza ladha
Ameen Thank you for your help .me men
Blessed Pastor. u touch me