MAARIFA YANAVYOWEZA KUKUSAIDIA KUZISHINDA NGUVU ZA GIZA -PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • Hosea 4:6
    [6]Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako.
    Maarifa ni taarifa sahihi juu ya jambo fulani.Taarifa sahihi ni ufunguo ambao utakusaidia kufungua malango ambayo unapaswa kuingia.
    Watu wanaozungumziwa hapa sio watu wasiomjua Mungu,Mungu anawaita "watu wangu" maana yake ni watu wanaomjua Mungu.Na anavyosema kuwa "umeyakataa maarifa..." ni kwamba aliwapelekea hao watu maarifa lakini wakayakataa na athari yake ndio hiyo wanaangamizwa.Na Mungu anasema kwa sababu hiyo Yeye(Mungu) atawakataa wasiwe makuhani wake.
    Maarifa sahihi ni muhimu kwa sababu yatakufanya ufanye kazi yake kwa urahisi na ufanisi.
    Katika somo hili utajifunza maana halisi ya maarifa,ni maarifa gani unayopaswa kuwa nayo,kwanini Mungu anataka uwe na maarifa sahihi, na athari za kukosa maarifa.
    UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
    Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
    Like our Facebook: / therealityof. .
    Follow our Instagram: / realityofch. .
    Subscribe our RUclips: www.youtube.co....
    Also Subscribe Roc worshippers youtube channel: / @rocworshipperz
    and Subscribe Pastor Sunbella Kyando RUclips
    / @pastorsunbellakyando

Комментарии • 73

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 2 года назад +5

    Asante poster ubarikiwe mungu azidi kukutumia nikiwa muislam umenifundisha jinsi ntaongeza maarifa ktk swala zangu Asante sanaaaa 🤲🤲🤲

  • @ruthie8466
    @ruthie8466 2 года назад +6

    Just discovering this great man of God,he is awesome,baraka,more grace.

  • @patrickmwakai5545
    @patrickmwakai5545 6 месяцев назад +1

    God bless you the man of God i like your teachings ,i am in kenya the way we teach it's really kabisa ,natamani nipoker upako Kama wako ,just pray for me

  • @elizabethmwamdanga7377
    @elizabethmwamdanga7377 5 месяцев назад +1

    AMEEN

  • @4gtradingimpex201
    @4gtradingimpex201 Год назад

    wakati nafuatilia somo ulipofikia swala la kuhani kabra hujamnyanyua mimi nimeletewa picha haraka huyo mtumishi amekuja kutoa ibada kwangu na anaondoka na binti zangu kutoka nyumbani kwangu kwenda nao sehemu kwa ajili ya masomo zaidi.Naamini haya ni maarifa yanaweza kutoa kutoka sehemu fulani.

  • @mustafagehonde1154
    @mustafagehonde1154 3 года назад +2

    Somo zuri Sana nimelipenda limenifundisha Mambo mengi ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @Devotamlelwa9239
    @Devotamlelwa9239 5 месяцев назад

    Nashukuru Kwa mafundisho Yako myumish

  • @estherlukawe5435
    @estherlukawe5435 Год назад

    Efaha church

  • @JamesMwiti-k4x
    @JamesMwiti-k4x Месяц назад

    God bless you,but naamini waeza omba tukafunguliwa ata kama uko mbali am in kenya

  • @blessingyusuphu504
    @blessingyusuphu504 2 года назад

    Amina

  • @veronikaaugustino2258
    @veronikaaugustino2258 3 года назад +2

    Asante MUNGU kwa Kila maarifa ktk Kila NENO lako Nisiangamie mm na family yangu AMINA

  • @lydiawasai9439
    @lydiawasai9439 2 года назад +2

    Mungu akueke na azidi kupanua your ministry. B blessed 🙌 😇 🙏 thanks so much

  • @elvaidaernest6210
    @elvaidaernest6210 3 года назад +2

    Aminaaaa ubalikiwe sanaa mtumishi wa Mungu nimebalikiwa sanaa

  • @estherkillango5867
    @estherkillango5867 Год назад

    sio mitatu tuuu hata ishirini

  • @ntulisuzan897
    @ntulisuzan897 2 года назад +1

    Ubarikiwe mtumishi mifano inatufanya tukuelewe sana 🙏

  • @mariamzambi1995
    @mariamzambi1995 3 года назад +1

    Yesu nipe maarifa ya jinsi ya kujiombea nipate uponyaji. Najiungamanisha na madhabahu hii nipate kibali cha uponyaji wa mwili na wa roho AMEN.

  • @magrethsomi4318
    @magrethsomi4318 3 года назад +2

    Ameen mtumishi. Somo zuri sana.

  • @leytcastle9402
    @leytcastle9402 3 года назад +1

    Namwomba Shetani mmoja😃😃 ... Barikiwa Mchungaji

  • @bettymwigune8150
    @bettymwigune8150 Год назад

    Hekima ya ajabu

  • @wilbard3692
    @wilbard3692 3 года назад +1

    Somo zur sana barikiwa Min Sun

  • @timotheomahala373
    @timotheomahala373 3 года назад +2

    Amen

  • @JeniphaThomas-z5j
    @JeniphaThomas-z5j 4 месяца назад

    ❤❤❤❤

  • @andrewsenyagwa
    @andrewsenyagwa 8 месяцев назад +1

    Sure relationship with holy spirit is the key

  • @happinessakim2679
    @happinessakim2679 3 года назад +2

    Thanks so much dady🙏🙏🙏

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 года назад +1

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @amosjblack9614
    @amosjblack9614 3 года назад

    Asante sana mtumishi wa Mungu mafundisho yako yananijenga sana kiroho

  • @aisiamkonyi4977
    @aisiamkonyi4977 Год назад

    Ameen, umenibariki sana pastor sunbella.ubarikiwe

  • @elishajailosy8346
    @elishajailosy8346 3 года назад +1

    Maarifa ni MUHIMU sanaa

  • @liliankeyabaraka8195
    @liliankeyabaraka8195 Год назад

    Asante sana pastor nabarikiwa sana na MUNGU akubariki sana 🙏💕

  • @hendrykingmecky3922
    @hendrykingmecky3922 3 года назад +2

    Amen somo lilikuwa ni moto nimelielewa

  • @mhamdahmd7758
    @mhamdahmd7758 3 года назад +1

    Amen barikiwa mutumishi kwa somo zuri

  • @janembalinga7074
    @janembalinga7074 Год назад

    Ameen asante kwa hili somo sina cha kuongea zaod ya kusema asantee Yesu

  • @cocubanza1049
    @cocubanza1049 3 года назад

    Mtumishi ,Bwana yesu asifiweee...
    Mm nahitaji maombi kwa habari ya ndoto niliyoota nikwamba niliota nimeng'atwaa mkononii na mwanangu halafu baada ya siku moja sehemu ya mkono niliyong'atwa ikaanza kuuma..

  • @nasrakitwana4744
    @nasrakitwana4744 2 года назад

    Ubalikiwe mtumishi kwa masomo yako hakika yananijenga sana

  • @geendaki7678
    @geendaki7678 3 года назад

    Namuomba MUNGU aniwezeshe siku moja kukutana na wewe Mtumishi Sunbella hakika naamini nami nina Jambo nahitaji kupokea kutoka kwako Mtumishi wa Bwana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾.

  • @NeemaMgaya-ez9un
    @NeemaMgaya-ez9un 10 месяцев назад

    Amina

  • @erastomendamenda172
    @erastomendamenda172 Год назад

    Mungu akubariki we baba mch

  • @philipmaina9046
    @philipmaina9046 Год назад

    Amen amen man of God am blsd from Kenya,am a pastor I wish i ca meet you one day for impartation

  • @florencemueni7598
    @florencemueni7598 3 года назад +1

    Amen Asante pastor

  • @jameskoome1607
    @jameskoome1607 Год назад

    Nasukuruu kutoka Kenya

  • @mosesmnyantope9534
    @mosesmnyantope9534 2 года назад

    Nimekuerewa pasta

  • @lucilamushi2894
    @lucilamushi2894 3 года назад

    Nimebarikiwa Sana na Neno zuri la maarifa.Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu.

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 3 года назад

    Asante 🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 Mtumushi kwa somo

  • @agnesalex4761
    @agnesalex4761 3 года назад

    Ubarikiwe mchungaji

  • @yaotv360
    @yaotv360 2 года назад

    Mweee umenifungua mch

  • @stellanamunaba813
    @stellanamunaba813 2 года назад

    Amen.Thankyou LORD for using your servant to help me understand well your word.

  • @IsaiahMananga
    @IsaiahMananga Год назад

    Amina sana❤

  • @tatukadope7213
    @tatukadope7213 2 года назад

    Amen mtumish

  • @ezekielluhas3351
    @ezekielluhas3351 3 года назад

    🙌Mungu azidi kukuinua Pastor

  • @florenceflorence1170
    @florenceflorence1170 3 года назад +1

    Amen pastor

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 3 года назад

    Marifa ni muhimu

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 3 года назад

    AMEEEN AMEEEN

  • @salamamapendo6461
    @salamamapendo6461 3 года назад

    Jambo jina langu ni Salama Mapendo nawapata nikiwa marekani naitaji namba ya mtumushi uyu Mungu kwa musaada ya maombezi

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  3 года назад

      Wasiliana na nasi kwa namba hii hapa +255 657 173 322

    • @marymlewa8682
      @marymlewa8682 3 года назад

      @@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe

    • @injili658
      @injili658 2 года назад

      @@realityofchristchurch Bwana Yesu asifiwe sana. Anauliza kama mnaweza kumpa kijana counseling na mwongozo wa kichungaji. Anachukua theology hapo Rhema bible college na hana kipato kwa hiyo anataka kukata tamaa kabisa. Naweza kumsaidia?

  • @anaaanick4187
    @anaaanick4187 3 года назад

    Amen Ameen

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 3 года назад

    👏👏👏👏👏👏👏

  • @shedrack4694
    @shedrack4694 Год назад

    absolute

  • @priscaibrahim5660
    @priscaibrahim5660 2 года назад

    Amen

  • @graceneema5569
    @graceneema5569 3 года назад

    Amen papa pastor

  • @rehemakatana1137
    @rehemakatana1137 2 года назад

    Amen

  • @janetjanet8669
    @janetjanet8669 2 года назад

    Amina

  • @edwarddaud6785
    @edwarddaud6785 2 года назад

    Thanks

  • @rahabusanga1559
    @rahabusanga1559 3 года назад

    amen,God is good

  • @renaldleonard5956
    @renaldleonard5956 3 года назад

    Amen

  • @gilbertwanje
    @gilbertwanje 3 года назад

    Amen

  • @Willyb254
    @Willyb254 3 года назад

    Amen

  • @RoseRose-vf5km
    @RoseRose-vf5km 3 года назад

    Amen

  • @cocubanza1049
    @cocubanza1049 3 года назад

    Halafu baada ya siku moja mkono huo huo wa kuliaa kidole cha pili baada ya kidole gumba kikanzaa kuvimbaa sehemu ya ukucha, huku maamivu ni makali saana...mdudu namsikia anatemvbea mbele mara nyuma, na ukucha unazidi kuuma...