NAMNA NGUVU ZA GIZA ZINAVYOFANYA KAZI - PASTOR SUNBELLA KYANDO
HTML-код
- Опубликовано: 9 фев 2025
- Nguvu za giza hufanya kazi kwa namna nyingi.Sio zote hukaa ndani ya mtu,zingine hufanya kazi zikiwa nje ya mwili.Na watu wa aina hii mara nyingi hata wakienda kuombewa huwa hawakutwi na pepo hata moja ila wakiangalia maisha yao wanaona kabisa kuwa kuna sehemu nguvu za giza zimeshikilia.
Unataka kujua ni jinsi gani unatoka kwenye tatizo hilo?Karibu ujifunze somo hili kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Pastor Sunbella Kyando.
UNAWEZA WASILIANA NASI AU KUTUMA SADAKA YAKO KWA NAMBA HII : 0657 173 322
Unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii
Like our Facebook: / therealityof. .
Follow our Instagram: / realityofch. .
Subscribe our RUclips: www.youtube.co....
Allelujah nimepata ufunuo sana kupitia mafundisho yako,,my brother alikaliwa na udaifu miaka nane ivo hadi akafa,i wish ningekua nimepata mafundisho yako,angekufa ningemuombea hadi nitoe coz now nimekua so powerful kupitia all your teachings nilipoanza kufuatilia nikaanza kufunuliwa mengi
Amen mtumishi barikiwa sana
Niko Kenya PST mafuzo Yako yananiinua kiroho niombee sana mimi ni ANNAH Mwisiwa.
I love this channel....
Praise the Lord
Mungu akubariki kwa mafundisho.Hakika rohi wa bwana anaudumia wengi
Shalom Man of God.Thankyou so much for allowing God to use you to bless me with this deep knowledge of the word.This is what the church needs to understand.
Mungu umlinde mtumishi wako Sunbella siku zote! Mjalie maisha marefu azidi kutufungua.
Mungu azidi kukufunilia Ili Nasi tuzidi kufulinuliw
Amina.Mungu akubariki Mtumishi Sunbella
Be blessed baba 🙏🙏🔥
Mbona mwishoni unapunguza sauti sana
Powerful word,God bless you mtumishi wa bwana
Ameen
May God bless you most for your a good message to us growing youth
Blessed is the name of the Lord Jesus
emen
Ameen,Nimeelewa Pastor.
Powerful message thanks Papa
Amen, Asante ubarikiwe
Nikweli mutumishi wa Mungu mimi Nina jitoa kumutumikia Muumba wangu kwa iwezo wa Roho Mutagatifu
Bwana Yesu Akubariki sana, Mtumishi wa Mungu🙏🙏
Roho mtakatifu kanifungue mimi na familia yangu
Roho mtakatifu nifungu mimi nafamilia yangu amen
Amen
Tufungue ufahamu baba
Roho mtakatifu anisaidie
MI nashukuru MUNGU pepo la uzinzi limeiisha baada ya kukutana na pastor mmoja akaniombea hadi Sasahivi naona miujiza maana nilikuwa najiuliza inakuaje niko kanisani nasali halafu ikitokea ile akili ya kuchepuka inanijia nashindwa kuishinda nalia nasema MUNGU unioni nafanya nisichokitaka lazima nashukuru MUNGU Ile Hali imeisha hadi najiuliza ilikuwaje kuwaje hadi nafanya vile lakini Sasahivi nimeshinda nashukuru MUNGU
Hongera na Mungu azidi kukulinda kwenye agano lako jipya
Mungu abariki pasta na ampee nguvu
Mtumishi una patikana wapi?? Mawasiliano napataje??
@@dianaisack9202 Kanisa lipo Sinza Mori karibu kabisa na ofisi za TAMWA.Karibu sana.
Siku unazopatikan mtumishi ni zip,mbali na jpili??
Amen
Amen
Amen
Amen