NAFASI YA VAZI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO - PASTOR SUNBELLA KYANDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 51

  • @billjeremiahmaiwe
    @billjeremiahmaiwe 3 месяца назад +1

    Pastor...
    Nakuelewa sana.
    Kazi yako ni njema sana.

  • @rulemihayo2333
    @rulemihayo2333 Год назад +1

    Asante sana nime barikiwa na somo hili,ubarikiwe sana

  • @hildaringmmary9297
    @hildaringmmary9297 2 года назад

    Hatari hii mazabau ni Moto

  • @TrifainaMbwamboOfficial
    @TrifainaMbwamboOfficial 2 года назад +5

    Mungu akubariki Sana nafunguliwa Sana natamani siku nikanyage hapo naamini nitakua huru zaidi Mungu akuinue

  • @gloryhumphrey6256
    @gloryhumphrey6256 Год назад

    Mungu akubariki kwa ujumbe mzuri mtumishi wa Bwana

  • @elishasoka6692
    @elishasoka6692 2 года назад +6

    I connect my life with this prayer in Jesus name. Kila vazi lililokinyume na Mapenzi ya Mungu nayavua kwa nguvu ya Roho mtakatifu

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 2 года назад +3

    Asante Mtumishi leo nimeelewa baba na mama yangu walinikataza sana kuvaliana nguo. Asante Mungu Baba kwa neema hii ya kujifunza. Mbarikiwe watu wa Mungu Baba aliye hai.

  • @josephinevicent1010
    @josephinevicent1010 2 года назад

    Yesu naomba kibari kama cha Ester kupitia ibada hii kazi yako inside bure juu yangu.naomba unibariki

  • @teresiamwandanji603
    @teresiamwandanji603 2 года назад

    Ahsante kwa somo nzr pastor

  • @janettheis3749
    @janettheis3749 2 года назад +4

    Ameen, Baba wakiroho mungu azidi kukubariki na Familia yako.Asante kwa chakula Cha kiroho 🙏🏿🙏🏿

  • @rhodakisena6428
    @rhodakisena6428 2 года назад +2

    Watumishi wa Mungu waliosalia na wewe Mch Ni miongoni mwao, tunashukuru Mungu kwa neema hii kubwa. Mungu akulinde na kukutumia daima .

  • @marynjeri370
    @marynjeri370 2 года назад +4

    Mateso ya familia on Sunday.
    Miguu iliyohamishwa, Dodoma.
    Nafasi ya vazi....
    Following all of them, from Kenya.
    This is great revelation, especially this series of nafasi ya vazi.
    Nangoja sana maombi ya kumalizia hii series ya vazi.

  • @hoseashibanda711
    @hoseashibanda711 2 года назад +1

    Nabarikiwa na MAFUNDISHO makubwa ya Ufunuo wa Roho mtakatifu

  • @salomemueni100
    @salomemueni100 2 года назад

    Kwetu kenya..
    Mafazi ya madeni imefunuliwa kwangu leo..asanti mtumishi wa baba wa mbinguni kwa mafunzo ya ufunuo..
    Hallelujah.
    Hallelujah.
    Hallelujah..
    Damu ya jesu imenifungua leo.
    AMEN

  • @latifaonesmo7629
    @latifaonesmo7629 2 года назад +1

    Asantee mtumishi mm ndiomana rohoo yang inakataa mambo yakuazima mtu nguo bora nimpe moja kwa moja

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 2 года назад +2

    Amen mtumishi barikiwa sana

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 2 года назад

    Natamani Serikali ingeusikia ujimbe huu.

  • @maryandason1815
    @maryandason1815 2 года назад +2

    Amen Asante Sana Bishop Sanbella 🙏🙏 barikiwa Sana Bishop

  • @estherlyatuu8445
    @estherlyatuu8445 2 года назад +1

    Nabarikiwa sana na mafundisho Mungu anayokufunulia

  • @vedastogwido5311
    @vedastogwido5311 2 года назад +1

    Nimekuelewa saaanaa👏👏🙏

  • @chaseborgia
    @chaseborgia 2 года назад +1

    Amen amen amen Mtumishi Sunbella na watenda kazi wote Mungu azidi kuwabariki

  • @shedrackkiluswa5902
    @shedrackkiluswa5902 2 года назад

    Asante baba nashukuru umenisaidia sana MUNGU akubariki niyatendea kazi

  • @danstonecool1734
    @danstonecool1734 2 года назад +1

    following from nairobi

  • @scholafelix7167
    @scholafelix7167 3 месяца назад

    Baba ubarikiwe .naomba uniombee mm huwa naumwa kila mwezi nakunywa dawa..ikitoka malaria,,inakuja typhoid,, Mara UTI,,baba haipoi kabisaaa Ni kuumwa tuu baba niombeee ... Nmechoka kunywa dawa...

  • @danielkasongo2364
    @danielkasongo2364 2 года назад +2

    Nashukuru kwa mafunuo haya Ila mtumishi samaahani saaana huyu unaye mpatia kwendesha maombi rugha anayo isema na haliyo ao viwango vyoko haifai samani aache hivyo aombeshe tu aachane na rugha zake

  • @ruthnzioka7634
    @ruthnzioka7634 2 года назад

    AMEN amen amen

  • @estermatee4834
    @estermatee4834 2 года назад

    Amen pastor !! Naomba kujua ARUSHA sehem gani huwa unafanyia ibada?

  • @jomsafirikajinaki8820
    @jomsafirikajinaki8820 2 года назад

    Deus te abençoe pastor, gostou muito das suas pregações, Nipo Mozambique.

  • @carolinemwugusi8945
    @carolinemwugusi8945 2 года назад

    Amen asante kwa ufunuo huu mtumishi wa Mungu nimefahamu sasa

  • @venanceamosi8104
    @venanceamosi8104 2 года назад

    Amen 🙏

  • @neemasaidisaid1791
    @neemasaidisaid1791 2 года назад

    Amen baba mungu akubariki

  • @bettybusumba1478
    @bettybusumba1478 2 года назад

    We love you pastor

    • @hemedikulungu92
      @hemedikulungu92 2 года назад

      Amen Pastor be blessed masomo yako yanabariki sn.

  • @anniemoshi6527
    @anniemoshi6527 2 года назад

    Amen baba! Mungu akubariki sana.

  • @jordanasadjah8451
    @jordanasadjah8451 2 года назад

    Powerful word 🙏🙏

  • @anniemoshi6527
    @anniemoshi6527 2 года назад

    Tunaomba mafundisho ya Tuesday Arusha pls 😭

    • @realityofchristchurch
      @realityofchristchurch  2 года назад +3

      Ibada ya Arusha yenye somo MIGUU ILIYOHAMISHWA linapatikana kupitia ukurasa wa RUclips wa Pastor Sunbella Kyando wenye jina PASTOR SUNBELLA KYANDO

  • @frankmshana1331
    @frankmshana1331 2 года назад

    Hakika nimebarikiwa

  • @josephinelusambo4593
    @josephinelusambo4593 2 года назад

    nakufatilia sna kutuka American 🇺🇸 natamani kwawiki 4 niyakute hayo mafuvu ahija malizika

  • @esaiehakizimana5783
    @esaiehakizimana5783 2 года назад +1

    Mungu niepushe na vazi la Haram ya mauti naomba baba niwe huru kanisa Damu ya Yesu Kristo kanitakase

  • @victoriakazungu9744
    @victoriakazungu9744 2 года назад

    Ahsante mtumishi, Ila nipo simiyu, nahitaji msaada wa kuongea na wewe

  • @ndohoriomsacky445
    @ndohoriomsacky445 2 года назад

    Ogopa sana kupewa zawadi mtu aliye uchi ukapokea ni hatari sana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 2 года назад +1

    Watu huwa wanachukulia poa hivi vitu,lkn ndo hali halisi!

  • @zyeletimothofical9901
    @zyeletimothofical9901 2 года назад

    zyele Timoth polela

  • @christinesavai884
    @christinesavai884 2 года назад +1

    Amen Amen

  • @tumpedaudi6681
    @tumpedaudi6681 2 года назад

    Amen 🙏

  • @isabellarkageha7707
    @isabellarkageha7707 2 года назад

    Amen

  • @angeljoseph4666
    @angeljoseph4666 2 года назад

    Amen